MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
- Thread starter
- #41
Hahahahaha ila we jamaa una mahaba au sijui unaamua tu kujitoa fahamu. Wenzako wanalia huko wanapoteza miji kila siku we unang'ang'ana na Kyiv tu. Ile ya Kyiv ilikuwa geresh na NATO wakaingia kingi.
Pale Kyev Mrusi alipigwa za uso kageuza kama mbwa koko....hehehehe