Ukraine yateka vitongoji vya Urusi kwenye jimbo la Kursk

Ukraine yateka vitongoji vya Urusi kwenye jimbo la Kursk

Ahahahahaha! Ebu tafuta kitu inaitwa "Normandy Landings".
Normandy no tukio tofauti na Hitler kufika moscow,walipofika moscow wakubwa wakalimega jeshi na kulipeleka front nyingine,warusi walianzisha mkong'oto hapo mpaka Berlin,kwa kasi yake allies(usa,uk,france etc) wakaona mrusi atapata maujiko na kupora technology kuliko wao,wakaharakisha kwenda,mrusi alishamaliza kazi kitokea eastern front
 
Hii habari nina mashaka nayo, yaan majeshi ya urusi yapo yameshikilia karibu nusu ya kyv wao wamejipenyesza kisirisiri kuja nyuma yao na kutekamji wa moscow ambako wanajeshi hawapo, nafikiri huu sio utekaji bali wanaonesha kuwa wanaweza kupiga ndani ya moscow soon watauawa
 
Check msafara wa warusi uliokuwa ulienda kwenye reinforcement huko Kursk ulivyochakazwa
1723258319811.jpg
1723258000974.jpg
1723258011086.jpg
 

Attachments

  • 1723258015825.jpg
    1723258015825.jpg
    539.1 KB · Views: 2
Check msafara wa warusi uliokuwa ulienda kwenye reinforcement huko Kursk ulivyochakazwa View attachment 3065767View attachment 3065768View attachment 3065769
Ukraine imefanya uthubutu wa hali ya juu saana, yamkini hii imesababishwa na ukaribu wa Russia na Iran. Wakahisi Russia anaweza akaipa Iran kiburi zaidi, ili kumzima wakahamishia vita nyumbani kwake.

Na toka Russia apigwe kwake, Iran akatangaza hatolipa kisasi kwa Israel. Mimi natamani sana kuona Ukraine akiendeleza mashambulizi hapo hapo kwenye ardhi ya Russia.
 
Normandy no tukio tofauti na Hitler kufika moscow,walipofika moscow wakubwa wakalimega jeshi na kulipeleka front nyingine,warusi walianzisha mkong'oto hapo mpaka Berlin,kwa kasi yake allies(usa,uk,france etc) wakaona mrusi atapata maujiko na kupora technology kuliko wao,wakaharakisha kwenda,mrusi alishamaliza kazi kitokea eastern front
Ahahahahaha!!!
 
Hiyo kesho haifiki au tusubirie na wao Russia wapandishe bendera nyekundu yakulipa kisasi kama walivyofanya ndugu zao wa Iran?
Mkuu tusiongee kama tumeshiba Makande ama ubwabwa na maharagwe.
Ukraine haina jeshi la kupahimili hapo.
Tupo hapa muda utaongea.
Kuchukua sio tatizo bali ku maintain dominance ndio tatizo.
Eastern Donetsk walipaingia hivi hivi na kujigamba kuteka maeneo,ila baadae nadhani unafahamu taarifa gani zilitokea,Ukraine ilipoteza askari na kukimbia Eastern Donetsk.
 
Ukraine imefanya uthubutu wa hali ya juu saana, yamkini hii imesababishwa na ukaribu wa Russia na Iran. Wakahisi Russia anaweza akaipa Iran kiburi zaidi, ili kumzima wakahamishia vita nyumbani kwake.

Na toka Russia apigwe kwake, Iran akatangaza hatolipa kisasi kwa Israel. Mimi natamani sana kuona Ukraine akiendeleza mashambulizi hapo hapo kwenye ardhi ya Russia.
Hato maintain dominance ya hilo eneo.
Hana ukubwa wa jeshi wa kumaintain hilo.
 
hv unajuwa hata raman ya eneo lenye mapigano mpk sasa ? hv unajuwa Urusi alikuwa kakamata eneo gan kwa feb 2022 je unahisi hao wanajeshi na vifaru vyao walipitia wap kufika mpk mpakani ? au unahisi walishushwa na chopa mpk ndani ya maeneo ya Urusi
Mkuu mbona unazunguka sana!?
Nitajie eneo gani mpaka sasa Ukraine kalikomboa kutoka Russia!?
Nasubiri jibu hapo.
Pia naona HUELEWI NINACHOZUNGUMZA,Embu rudia kusoma tena.
Ukraine wako vizuri kwa counter offensive ila kumaintain mapigano muda mrefu huwa wanakosa hiko kitu kwasababu ya uhaba wa askari.
Embu rejelea walivyofanikiwa kupora maeneo dhidi ya Wagner kwa counter offensive,hadi bendera walichomoa.
Ila Wagner walipoongeza idadi ya kikosi Ukraine walikimbia tena lile eneo.
Narudia tena,the problem is not annexation but the problem is the maintaining of dominance to the annexation.
Usipoelewa hapo Kakojoe ulale.
 
Back
Top Bottom