Ukraine yateka vitongoji vya Urusi kwenye jimbo la Kursk

Ukraine yateka vitongoji vya Urusi kwenye jimbo la Kursk

Itahitaji nguvu kuendelea kulishikilia hilo eneo mkuu,nguvu ya silaha na rasilimali watu/jeshi.
Vyote hivyo ni haba kwa Ukraine.
Screenshot_20240809-190341.png
Screenshot_20240809-190341.png
.,
 
Kwa hiyo ww kwa akili yako unaweza kufanya uvamizi dhidi ya mipaka ya nchi nyingine kwa wanajeshi 1000 na magari 20 alafu utegemee warudi salama?hata ungeivamia

Kwa hiyo ww kwa akili yako unaweza kufanya uvamizi dhidi ya mipaka ya nchi nyingine kwa wanajeshi 1000 na magari 20 alafu utegemee warudi salama?hata ungeivamia Somalia?
Utaleta mrejesho wa kuuliwa wote 1000.
 
Itahitaji nguvu kuendelea kulishikilia hilo eneo mkuu,nguvu ya silaha na rasilimali watu/jeshi.
Vyote hivyo ni haba kwa Ukraine.
Ukraine kulishikilia Hilo eneo kweli ni ngumu.,vita itakuwa ni Kali mno...,tujiandae kuona vita kama Ile iliyoacha mji wa bakhumut ukiwa magofu ikijirudia huko Kursk, maana warusi watatumia nguvu zote kama walizotumia huko bakhumut
 
Hilo halimaanishi kuwa Russia hatojibu mapigo.
Lazima mapigo yatajibiwa tena mara dufu zaidi ya hayo.
Ukraine kulishikilia Hilo eneo kweli ni ngumu.,vita itakuwa ni Kali mno...,tujiandae kuona vita kama Ile iliyoacha mji wa bakhumut ukiwa magofu ikijirudia huko Kursk, maana warusi watatumia nguvu zote kama walizotumia huko bakhumut
Quote Reply
 
Mambo ni 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥

The Ukrainians have already reached the Russian Nuclear Power Plant, the entrances to the Kursk Nuclear Power Plant are blocked. Power was turned off in the units of the nuclear power plant under construction, the builders left the p
1723223884621.jpg
re
 
Hilo halimaanishi kuwa Russia hatojibu mapigo.
Lazima mapigo yatajibiwa tena mara dufu zaidi ya hayo.
Mambo ni 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥

The Ukrainians have already reached the Russian Nuclear Power Plant, the entrances to the Kursk Nuclear Power Plant are blocked. Power was turned off in the units of the nuclear power plant under construction, the builders left the premise and fled
1723223884621.jpg
re
 
Mambo ni 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥

The Ukrainians have already reached the Russian Nuclear Power Plant, the entrances to the Kursk Nuclear Power Plant are blocked. Power was turned off in the units of the nuclear power plant under construction, the builders left the premise and fledView attachment 3065581re
We tulia hiyo ni vita .
 
The Freedom of Russia Legion, which supports Ukraine in its war against Russia, has urged residents of Kursk Oblast to share information on Russian forces, leading the Federal Security Service to detain locals for filming Russian troop defeats.
Muda upo mkuu tusimalize nishati mwili bure.
 
Russia continues to burn:
In the Oktyabr district of the Kursk region, an electrical substation catches fire after the arrival of Ukrainian drones
Screenshot_20240809-205953.png
.
 
Siongei ushabiki natumia akili vema sana.
Jeshi la Ukraine ni crippled and dismantled army.
Hawataweza kuhimili mashambulizi haya upunje.
Kama wameshindwa kuhimili mashambulizi ya ardhi yao iliyotekwa sembuse ardhi mpya waliovamia!??
Think critically bro.
walifikaj hapo bila kumudu mapigano ?
 
Hilo halimaanishi kuwa Russia hatojibu mapigo.
Lazima mapigo yatajibiwa tena mara dufu zaidi ya hayo.
kwa akili yako unaamin Russia alikuwa hajui kuwa kuna vita mpk Ukraine alipoingia kwenye hilo jimbo ? ukiona Ukraine wanemrudisha Urusi kutoka nje ya kiev mpk sasa wanapora baadhi ya maeneo bas juwa hali si nzur kwa Urusi kwa baadhi ya maeneo ya vita


Ukitumia ushabiki huez elewa
 
kwa akili yako unaamin Russia alikuwa hajui kuwa kuna vita mpk Ukraine alipoingia kwenye hilo jimbo ? ukiona Ukraine wanemrudisha Urusi kutoka nje ya kiev mpk sasa wanapora baadhi ya maeneo bas juwa hali si nzur kwa Urusi kwa baadhi ya maeneo ya vita


Ukitumia ushabiki huez elewa
Eneo lililotekwa ni la mpakani na Urusi.
Ukraine huwa wana mtindo wa kutumia counter offensive.
Hata walipokua wanataka kukomboa Donetsk walifanya hivi hivi kama walivyofanya sasa,ila mwishowe hawawezi kuhimili mapigano ya muda mrefu kesha wanakimbia.
Donetsk walikimbia hivi hivi ilhali walishaanza kusogelea mji kwa ndani.
 
Eneo lililotekwa ni la mpakani na Urusi.
Ukraine huwa wana mtindo wa kutumia counter offensive.
Hata walipokua wanataka kukomboa Donetsk walifanya hivi hivi kama walivyofanya sasa,ila mwishowe hawawezi kuhimili mapigano ya muda mrefu kesha wanakimbia.
Donetsk walikimbia hivi hivi ilhali walishaanza kusogelea mji kwa ndani.
hv unajuwa hata raman ya eneo lenye mapigano mpk sasa ? hv unajuwa Urusi alikuwa kakamata eneo gan kwa feb 2022 je unahisi hao wanajeshi na vifaru vyao walipitia wap kufika mpk mpakani ? au unahisi walishushwa na chopa mpk ndani ya maeneo ya Urusi
 
Back
Top Bottom