Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo raia kuondolewa ndio unaona ni big deal,..,hiyo inaamanisha kuwa urusi kanyoosha mikono kuupoteza huo mkoa, mbona ni kawaida hata Ukraine wakiona Hali imekuwa mbaya sehemu wanafanya evacuation? Hujasikia Ukraine alifanya evacuation huko Khakivu,Yale niliyoyazungumza.
Russia ameshaandaa kampeni kabambe huko muda si punde mtu anaenda kuumia.Maana inasemekana hadi raia hapo Kursk wanahamishwa,Yani kitachofuata ni shaba tu hapo hao raia wakishahamishwa.
View attachment 3066349View attachment 3066350View attachment 3066351
Hata English ni shida,unascreenshort tu na kubandikaYale niliyoyazungumza.
Russia ameshaandaa kampeni kabambe huko muda si punde mtu anaenda kuumia.Maana inasemekana hadi raia hapo Kursk wanahamishwa,Yani kitachofuata ni shaba tu hapo hao raia wakishahamishwa.
View attachment 3066349View attachment 3066350View attachment 3066351
Nani alitegemea Ukraine ange maintain jeshi la urusi Kwa Miaka 3Hato maintain dominance ya hilo eneo.
Hana ukubwa wa jeshi wa kumaintain hilo.
Russia wipes out 1,000 Ukrainian soldiers wamepata walichokitaka
View: https://youtu.be/3S1Th2r9dfo?si=eVkSFGLiPclPc1oV
Ame maintain nini!?Nani alitegemea Ukraine ange maintain jeshi la urusi Kwa Miaka 3
Ona ulivyo MPUMBAVU.Hata English ni shida,unascreenshort tu na kubandika
Ona huyu kichaa.Kwa hiyo raia kuondolewa ndio unaona ni big deal,..,hiyo inaamanisha kuwa urusi kanyoosha mikono kuupoteza huo mkoa, mbona ni kawaida hata Ukraine wakiona Hali imekuwa mbaya sehemu wanafanya evacuation? Hujasikia Ukraine alifanya evacuation huko Khakivu,
Wewe jamaa una hoja dhaifu sana,halafu Sina uhakika kama hiyo heading kwenye kwenye hiyo screenshot uliyotuwekea kama kizungu chake umekielewa sawasawa
Bucha, Hostomel,....Mkuu mbona unazunguka sana!?
Nitajie eneo gani mpaka sasa Ukraine kalikomboa kutoka Russia!?
Nasubiri jibu hapo.
Pia naona HUELEWI NINACHOZUNGUMZA,Embu rudia kusoma tena.
Ukraine wako vizuri kwa counter offensive ila kumaintain mapigano muda mrefu huwa wanakosa hiko kitu kwasababu ya uhaba wa askari.
Embu rejelea walivyofanikiwa kupora maeneo dhidi ya Wagner kwa counter offensive,hadi bendera walichomoa.
Ila Wagner walipoongeza idadi ya kikosi Ukraine walikimbia tena lile eneo.
Narudia tena,the problem is not annexation but the problem is the maintaining of dominance to the annexation.
Usipoelewa hapo Kakojoe ulale.
Yani umetaja sehemu moja,Hostomel ipo ndani ya Bucha na hayo ni maeneo ndani ya mji mkuu Kyiev.Bucha, Hostomel,....
Kwa kuongezea ni kwamba urusi walichakazwa na kufurushwa hukoYani umetaja sehemu moja,Hostomel ipo ndani ya Bucha na hayo ni maeneo ndani ya mji mkuu Kyiev.
Mie nazungumzia maeneo ya mipakani Kharkiv,Donetsk,Mariupol,Donbasna.k.
Mji mkuu tunajua kwamba wote ulikombolewa mwanzoni mwa vita.
Hayo matoto ni terror bred na future terrorists. Na hayo mijawanawake acha ife itakubalije kubeba mimba na kuzaa magaidi?Putin ana Jeshi ?kwa akili yako jeshi linalouwa watoto na Wana wake badala lipambane na Jeshi linaharibu shule hospital
ww na pa jeshi la Putin mnawaza kama sawa hivi
Hapo Kharkiv na Snake Island Warusi walichapika saana mpaka wakaachia maeneo.Kwa kuongezea ni kwamba urusi walichakazwa na kufurushwa huko
Kyiv 😇
Khakivu 😇
Kupyansk 😇
Izium 😇
Kheson 😇
Snake island 😇
Lyman 😇
Bryanklia😇
Mycolaiv 😇
Odessa 😇
List ni ndefu sana mkuu
.......Taja hata eneo moja lililokombolewa.......Yani umetaja sehemu moja,Hostomel ipo ndani ya Bucha na hayo ni maeneo ndani ya mji mkuu Kyiev.
Mie nazungumzia maeneo ya mipakani Kharkiv,Donetsk,Mariupol,Donbasna.k.
Mji mkuu tunajua kwamba wote ulikombolewa mwanzoni mwa vita.
Usingemjibu........Taja hata eneo moja lililokombolewa.......
Ok, sahihi, Hostomel ipo Bucha.
Ngoja na wao waonje kidogo.Wanajeshi wa Ukraine wamefanya uvamizi wa ghafla kwenye jimbo la Kursk nchini Urusi lililoko kwenye mpaka na jimbo la Summy la nchini Ukraine. Taarifa zinasema mpaka sasa wanajeshi wa Ukraine wamesonga mbele umbali wa 30km kutoka Mpaka wake na Urusi.
Mapigano yanaendelea huku taarifa zikionesha Magari ya Kivita na ndege za kivita za Ukraine zikizunguka ndani ya mji huo. Pia,Wanajeshi kadhaa wa Urusi wametekwa
Wazae sasa hivi watasaidia nini?Ndugu yao Putin aliombwa sana asifanye uvamizi, yeye akajifanya supa pawa wa special military operation ya wiki moja. Majuzi nimesikia anawaambia wanawake wazae watoto nane kwa vile idadi ya watu wa kujiunga na jeshi imepungua sana. Zaidi ya askari 300,000 kuuwawa ndani ya miaka mitatu tu siyo mchezo.