Ukraine yateka vitongoji vya Urusi kwenye jimbo la Kursk

Ukraine yateka vitongoji vya Urusi kwenye jimbo la Kursk

Yale niliyoyazungumza.
Russia ameshaandaa kampeni kabambe huko muda si punde mtu anaenda kuumia.Maana inasemekana hadi raia hapo Kursk wanahamishwa,Yani kitachofuata ni shaba tu hapo hao raia wakishahamishwa.
Screenshot_2024-08-10-20-12-21-30_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-08-10-20-12-55-21_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-08-10-20-13-15-08_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Yale niliyoyazungumza.
Russia ameshaandaa kampeni kabambe huko muda si punde mtu anaenda kuumia.Maana inasemekana hadi raia hapo Kursk wanahamishwa,Yani kitachofuata ni shaba tu hapo hao raia wakishahamishwa.
View attachment 3066349View attachment 3066350View attachment 3066351
Kwa hiyo raia kuondolewa ndio unaona ni big deal,..,hiyo inaamanisha kuwa urusi kanyoosha mikono kuupoteza huo mkoa, mbona ni kawaida hata Ukraine wakiona Hali imekuwa mbaya sehemu wanafanya evacuation? Hujasikia Ukraine alifanya evacuation huko Khakivu,

Wewe jamaa una hoja dhaifu sana,halafu Sina uhakika kama hiyo heading kwenye kwenye hiyo screenshot uliyotuwekea kama kizungu chake umekielewa sawasawa
 
Hata English ni shida,unascreenshort tu na kubandika
Ona ulivyo MPUMBAVU.
Habari inasema RUSSIA TO SEND MORE TROOPS TO KURSK REGION.
We unaelewa nini hapo!?
Pia hiyo anti terrorism task force iliyokua deployed katika maeneo ya belgorod na kursk kazi yao nini!?
Au hao wanaenda kucheza sindimba!?
Rudi shule ukasome.
 
Kwa hiyo raia kuondolewa ndio unaona ni big deal,..,hiyo inaamanisha kuwa urusi kanyoosha mikono kuupoteza huo mkoa, mbona ni kawaida hata Ukraine wakiona Hali imekuwa mbaya sehemu wanafanya evacuation? Hujasikia Ukraine alifanya evacuation huko Khakivu,

Wewe jamaa una hoja dhaifu sana,halafu Sina uhakika kama hiyo heading kwenye kwenye hiyo screenshot uliyotuwekea kama kizungu chake umekielewa sawasawa
Ona huyu kichaa.
Hao raia wanakuwa evacuated kuwapa nafasi hiko kikosi kuja kufanya mashambulizi hapo.
Mifumo ya ulinzi pamoja na askari zaidi wanatarajiwa kuongezwa hapo.
 
Mkuu mbona unazunguka sana!?
Nitajie eneo gani mpaka sasa Ukraine kalikomboa kutoka Russia!?
Nasubiri jibu hapo.
Pia naona HUELEWI NINACHOZUNGUMZA,Embu rudia kusoma tena.
Ukraine wako vizuri kwa counter offensive ila kumaintain mapigano muda mrefu huwa wanakosa hiko kitu kwasababu ya uhaba wa askari.
Embu rejelea walivyofanikiwa kupora maeneo dhidi ya Wagner kwa counter offensive,hadi bendera walichomoa.
Ila Wagner walipoongeza idadi ya kikosi Ukraine walikimbia tena lile eneo.
Narudia tena,the problem is not annexation but the problem is the maintaining of dominance to the annexation.
Usipoelewa hapo Kakojoe ulale.
Bucha, Hostomel,....
 
Yani umetaja sehemu moja,Hostomel ipo ndani ya Bucha na hayo ni maeneo ndani ya mji mkuu Kyiev.
Mie nazungumzia maeneo ya mipakani Kharkiv,Donetsk,Mariupol,Donbasna.k.
Mji mkuu tunajua kwamba wote ulikombolewa mwanzoni mwa vita.
Kwa kuongezea ni kwamba urusi walichakazwa na kufurushwa huko

Kyiv 😇

Khakivu 😇

Kupyansk 😇

Izium 😇

Kheson 😇

Snake island 😇

Lyman 😇

Bryanklia😇

Mycolaiv 😇

Odessa 😇

List ni ndefu sana mkuu
 
Yani umetaja sehemu moja,Hostomel ipo ndani ya Bucha na hayo ni maeneo ndani ya mji mkuu Kyiev.
Mie nazungumzia maeneo ya mipakani Kharkiv,Donetsk,Mariupol,Donbasna.k.
Mji mkuu tunajua kwamba wote ulikombolewa mwanzoni mwa vita.
.......Taja hata eneo moja lililokombolewa.......
Ok, sahihi, Hostomel ipo Bucha.
 
Wanajeshi wa Ukraine wamefanya uvamizi wa ghafla kwenye jimbo la Kursk nchini Urusi lililoko kwenye mpaka na jimbo la Summy la nchini Ukraine. Taarifa zinasema mpaka sasa wanajeshi wa Ukraine wamesonga mbele umbali wa 30km kutoka Mpaka wake na Urusi.

Mapigano yanaendelea huku taarifa zikionesha Magari ya Kivita na ndege za kivita za Ukraine zikizunguka ndani ya mji huo. Pia,Wanajeshi kadhaa wa Urusi wametekwa
Ngoja na wao waonje kidogo.
 
Ndugu yao Putin aliombwa sana asifanye uvamizi, yeye akajifanya supa pawa wa special military operation ya wiki moja. Majuzi nimesikia anawaambia wanawake wazae watoto nane kwa vile idadi ya watu wa kujiunga na jeshi imepungua sana. Zaidi ya askari 300,000 kuuwawa ndani ya miaka mitatu tu siyo mchezo.
Wazae sasa hivi watasaidia nini?
 
Back
Top Bottom