Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Nilitamani sana hii kitu itokee sasa imetimia.Kibao kimegueka sasa! Dikteta putin mvamizi sasa amevamiwa yeye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilitamani sana hii kitu itokee sasa imetimia.Kibao kimegueka sasa! Dikteta putin mvamizi sasa amevamiwa yeye
Ha ha haVladimir anataman akachukue mazaga yake aliopeleka iran ,baada yakugundua hata yeye pia sio main character
Nilijua tu, kuwa urusi lazima itapigwa maana magharibi hawataki kusikia fijo za kipumbavu za kikomunist. Urusi itapigwa na itafilisiwa vikali na ndio kupotea kwa putinWanajeshi wa Ukraine wamefanya uvamizi wa ghafla kwenye jimbo la Kursk nchini Urusi lililoko kwenye mpaka na jimbo la Summy la nchini Ukraine. Taarifa zinasema mpaka sasa wanajeshi wa Ukraine wamesonga mbele umbali wa 30km kutoka Mpaka wake na Urusi.
Mapigano yanaendelea huku taarifa zikionesha Magari ya Kivita na ndege za kivita za Ukraine zikizunguka ndani ya mji huo. Pia,Wanajeshi kadhaa wa Urusi wametekwa
Endelea kujuaNilijua tu, kuwa urusi lazima itapigwa maana magharibi hawataki kusikia fijo za kipumbavu za kikomunist. Urusi itapigwa na itafilisiwa vikali na ndio kupotea kwa putin
Acha bange wewe.Hayo maeneo yote ukitoa Kyiev yapo CHINI YA MAPIGANO.Kwa kuongezea ni kwamba urusi walichakazwa na kufurushwa huko
Kyiv 😇
Khakivu 😇
Kupyansk 😇
Izium 😇
Kheson 😇
Snake island 😇
Lyman 😇
Bryanklia😇
Mycolaiv 😇
Odessa 😇
List ni ndefu sana mkuu
Huu mjadala kama huuwezi kaa pembeni.Usingemjibu.
vijana wa hv mna mchango mdogo kwa taifa , Urusi kutoka km 11 kuingia kiev hadi kurudishwa mipakani bado unataka nkujibu eneo lipi Ukraine kakomboaMkuu mbona unazunguka sana!?
Nitajie eneo gani mpaka sasa Ukraine kalikomboa kutoka Russia!?
Nasubiri jibu hapo.
Pia naona HUELEWI NINACHOZUNGUMZA,Embu rudia kusoma tena.
Ukraine wako vizuri kwa counter offensive ila kumaintain mapigano muda mrefu huwa wanakosa hiko kitu kwasababu ya uhaba wa askari.
Embu rejelea walivyofanikiwa kupora maeneo dhidi ya Wagner kwa counter offensive,hadi bendera walichomoa.
Ila Wagner walipoongeza idadi ya kikosi Ukraine walikimbia tena lile eneo.
Narudia tena,the problem is not annexation but the problem is the maintaining of dominance to the annexation.
Usipoelewa hapo Kakojoe ulale.
hahahahaaaaaVladimir anataman akachukue mazaga yake aliopeleka iran ,baada yakugundua hata yeye pia sio main character
akili zako ni sufuriHuu mjadala kama huuwezi kaa pembeni.
Hatuendekezi emotions humu ndani bali facts.
Hukuelewa swali kaa pembeni walioelewa swali wamejibu.vijana wa hv mna mchango mdogo kwa taifa , Urusi kutoka km 11 kuingia kiev hadi kurudishwa mipakani bado unataka nkujibu eneo lipi Ukraine kakomboa
Kama huwezi mjadala kaa pembeni.akili zako ni sufuri
akil zako ni sufuriYani umetaja sehemu moja,Hostomel ipo ndani ya Bucha na hayo ni maeneo ndani ya mji mkuu Kyiev.
Mie nazungumzia maeneo ya mipakani Kharkiv,Donetsk,Mariupol,Donbasna.k.
Mji mkuu tunajua kwamba wote ulikombolewa mwanzoni mwa vita.
Alielewa kajibu we dunderhead kaa pembeni.akil zako ni sufuri
Supapawa ana hali mbaya kweli kweliWanajeshi wa Ukraine wamefanya uvamizi wa ghafla kwenye jimbo la Kursk nchini Urusi lililoko kwenye mpaka na jimbo la Summy la nchini Ukraine. Taarifa zinasema mpaka sasa wanajeshi wa Ukraine wamesonga mbele umbali wa 30km kutoka Mpaka wake na Urusi.
Mapigano yanaendelea huku taarifa zikionesha Magari ya Kivita na ndege za kivita za Ukraine zikizunguka ndani ya mji huo. Pia,Wanajeshi kadhaa wa Urusi wametekwa
Aaah wapi..... hatimaye mvamizi kavamiwa.
Hajateka maeneo mapigano yanaendelea na Russia kazidisha vikosi Kursk.Aaah wapi..... hatimaye mvamizi kavamiwa.