Ukristo na Uislamu ni Dini mbili zisizofanana kabisa

Ukristo na Uislamu ni Dini mbili zisizofanana kabisa

tuna uhakika gani??kama uislam una manabii zaidi ya 200k,tuna uhakika gani kama akina mwamposa na hata wa kike hawapo ktk hii orodha??

Kwanza tamko lenyewe kiasili ni la nisba ya kiume. Halikai kwa mwanamke. Utume na unabii ulikomea kwa Muhammad.

Hawa waliopo sasa ni matapeli na waongo shida wamekuja zama ambazo watu wengi hawajishughulishi na elimu, hasa WAKRISTO ndio wamekuwa mazwa zwa mno.

Someni historia za mitume na manabii, walau tu kwa uchache na kwa akili ndogo mjue nini maana ya Utume na Unabii.
 
Sasa Tofauti iko wapi Kuita Sahihi Bukhari na Kuita kwa Kirefu chake?
Hapo umeandila Kirefu cha Jina La Sahihi al Bukhari..
Na hata ukiangalia maana ya hicho ulichokiandika Ni hicho hicho..

Sijaelewa hoja yako ni ipi hapo ? Sababu kwanza kabisa huko juu nimekubali ya kuwa kuna hadithi dhaifu, lakini nikakupa faida juu ya jina asili la kitabu, lakini haikutosha nikakuambia baada ya Qur'an hakuna kitabu kingine sahihi isipokuwa Sahih al-Bukhari.
 
Stori za biblia na quran zote ni za kutunga tu, ila watunzi wa biblia Wana akili sana, watunzi wa quran ni vilaza tu walikopi kwa biblia wakaharibu stori za wenzao then wakajiona wao ndo wapo sahihi.
Mungu akusamuhe bule kwaman hujui ulitendalo
 
Stori za biblia na quran zote ni za kutunga tu, ila watunzi wa biblia Wana akili sana, watunzi wa quran ni vilaza tu walikopi kwa biblia wakaharibu stori za wenzao then wakajiona wao ndo wapo sahihi.
Biblia iko live,ndo maana nguvu za giza zinakimbia kwa jina la Yesu kama ilivyo andikwa
 
Mkuu hakuna Hadithi Dhaifu kwenye Hadithi zilizopewa Grade ya Sahihi..

Maneno haya ameukuambia nani ? Una elimu walau kidogo ya Hadithi maana naona unaandika vitu ambavyo havipo.

Ulamaa wa fani ya hadithi huzihakiki hadithi, na kuna maneno ya Imamu Bukhari akielezea namna alivyo kusanya hadithi, pamoja na umakini wake na dua zake kwa Allah ili asikosee katika ukusanyaji wa hadithi za mtume ikaja kuonekana kuna hadithi dhaifu, na hii inaonyesha wazi ya kuwa mwanadamu hajakamilika. Na kukosea hakuepukiki. Katika ukusanyaji wa hadithi zaidi ya 6,000 zikapataikana hadithi zisizo zidi 30 au 50 kuwa zina shida, hili halishushi ubora na usahihi wa kitabu chake. Ndio maana mpaka kesho kinabaki kuwa ni kitabu sahihi zaidi baada ya Qur'an.
 
Kisai

Kitabu cha mathayo hakikuandikwa na Mathayo..

Kitabu hicho kwenye Asili yake kimeandikwa hivi..

"Ευαγγέλιο κατά Ματθαίον" inatamkwa "Evangéliο katá Mattháion"

Kwa kiswahili "Injili kama ilivyosemwa na mathayo"

sasa jina la Injili lenyewe lina "kata" ambayo inaonyesha Aliyeandika sio aliyesimulia..


Kitabu ambacho aliandika mathayo kinataja kuwa Yesu alikutana na Mtu mmoja aitwaye mathayo..natamani ungekuwa unajua Kigiriki tungeweka Hilo fungu tukalichambua ukajua kuhusu Nafsi katika sarufi..

Mathayo 9:9

Naye Yesu alipokuwa akipita kutoka huko aliona mtu ameketi forodhani, aitwaye Mathayo, akamwambia, Nifuate. Akaondoka, akamfuata.

And as Jesus passed forth from thence, he saw a man, named Matthew, sitting at the receipt of custom: and he saith unto him, Follow me. And he arose, and followed him."



marko hakuwahi kuwa mwanafunzi wa Yesu ila alikuwa Mwanafunzi wa Petro kwahyo hakuwahi kumuona Yesu siku yoyote ile..

Marko kwa Jina jingine Huitwa Yohana..
Hakuwa mwanafunzi wa yesu bali mwanafunzi wa Petro.
.
Matendo ya Mitume 12:12

"Na alipokuwa akifikiri haya akafika nyumbani kwa Mariamu, mamaye Yohana, ambaye jina lake la pili ni Marko; na watu wengi walikuwa wamekutana humo wakiomba."


Luka Nimeshamuelezea Aliluwa Daktari wa Paulo na sio mwanafunzi wa Yesu

Yohana Ni kata Na sio Original Version..
Na hata ukisoma kwenye hiyo Yohana yenyewe mwishoni Inakataa Kuwa Yohana sio mwandishi wa Kitabu hicho..

Yohana 21:23-24

"Basi neno hilo lilienea katikati ya ndugu ya kwamba mwanafunzi yule hafi. Walakini Yesu hakumwambia ya kwamba hafi; bali, Ikiwa nataka huyu akae hata nijapo, imekupasaje wewe? "

Huyu ndiye yule mwanafunzi ayashuhudiaye haya, na aliyeyaandika haya: nasi twajua ya kuwa ushuhuda wake ni kweli"

Sasa Unaweza kuona hao wanasema Sisi Twajua ni kina nani wanaomshuhudia Yohana kuwa Ushuhuda wake ni wa Kweli????


Huku sitii nena kwa sababu inafahamika kabisa
Muhammad alimuona Yesu?Ikiwa hakumuona kama akina Mathayo tumwamini nani?
 
Nafahamu unajua Grade za hadithi na ndo maana Nikaandika hivyo..

Kuna Sahihi, Hassana, Dhaifu na kuna mawduʻ au Maudhu (موضوع)..

Nilichozungumzia Ni kuhusu Hadithi zilizochambuliwa na kupewa Rank ya grade ya Sahihi..
Sio zote ni Sahihi...

Huu ni mgawanyo wa wa mwanzo katika msingi au misingi ya hadithi, lakini ndani yake pia kuna Elimu ya ilal za hadithi kwa maana dosari za ndani sana. Mfano kuna hadithi ukizitazama ni unasema ni sahihi lakini ndani yake zina ila. Vitabu vyake vipo vingi sana vinaelezea haya mambo.

Sasa jifunze fani ya Hadithi upate kujua haya.
 
Makafiri mna hangaika sana ila wenye akili hadi hao waliyowadanganya sasa hivi wameanza kuijua haki na wanaingia kwenye dini ya mwenyezi mungu makundi kwa makundi, maji na mafuta siku zote hujitenga nyie makafir wa mbagala bakini huko huko kwenye kukanyaga mafuta
Neno Kafir lina ukakasi mwingi sana, sijui wenzetu mkilitumia huwa mnajisikia amani kiasi gani moyoni.
 
Qur'an Ina matatizo zaidi ya kiuandishi, iliandikwa au kukusanywa miaka zaidi ya 100 baada ya Mtume kufariki, wakati Biblia ilikuwa imekamilika au baadhi ya vitabu vyake viliandikwa miaka 30-40 baada ya Yesu kupaa. N walioandika waliishi naye; walimjua na kimfahamu Yesu.
Ndiyo maana Qur'an Waislamu and wengine hawaijui , kazi yao ni kufunga na kuswali na kusikiliza mawaidha tu. Hata waliotafsiri mengine wamepotosha baadhi ya maandiko. Mtu mwenybhekima atasoma na kuchambua. Mwislamunhna uhakika kam akifa atakwenda mbinguni, sababu hata Mtume mwenyewe hajui. Angalia Yesu alizungumza kwa ujasiri sana. " Nilipo Mimi nanyi mtakiwepo"
Lakini ndio kitabu ambacho hakiongezeki hata herufi moja au kubadilika chochote. Ila Biblia iliyokamilika watu wamefanya watakavyo na kuna versions kibao!
 
Sijaelewa hoja yako ni ipi hapo ? Sababu kwanza kabisa huko juu nimekubali ya kuwa kuna hadithi dhaifu, lakini nikakupa faida juu ya jina asili la kitabu, lakini haikutosha nikakuambia baada ya Qur'an hakuna kitabu kingine sahihi isipokuwa Sahih al-Bukhari.
Na ndiyo nina kujibu Kuwa Hadithi zote kwenye sahih alBukhari sio Zote ni sahihi...
Na Kwa uelewa na Elimu Yangu hakuna Hadithi Iliyokusanywa na kupewa Daraja la sahihi halafu ikawemo kwenye Udhaifu..

Pengine unatakiwa kujua Madaraja ya Hadithi yanapangwaje kwa kufuata Musnad/Isnad

Bhasi ngoja nikukumbushe..

Kigezo cha sifa ya kwanza ni asili ya Isnad ambayo huzigawa Hadith katika makundi manne ambayo ni Hadith Qudsi, Hadith Marfu, Hadith Mauquf na Hadith Maqtu’..

Kigezo cha sifa ya pili ni ukamilikaji wa muungano wa Isnad "Chain of narration" kwa kuangalia kama imekatika ama haikukatika na hivyo huzigawa tena Hadith katika makundi kama Musnad"Iliounganika",Mutassil,Munqati,Mu'allaq na Mursal..
Yako mengi sana Sitaki kuyataja yote ntaenda kwenye Daraja Au sifa ya kuaminiwa au uhifadhi wa mpokeaji au kumbukumbu ambazo ndo hiyo nimezitaja kama sahihi,Dhaifu,Hassana,Na Maudhu..

Sasa nimekuambia hivi katika hadithi zote zilizokusanywa na Imam Muhammad Ibn Ismai’l Al Bukhari..
Zilizopewa Grade ya Sahihi yaani zisizokuwa na Shaka..

zipo Hadithi Humo ndani sio sahihi na sio za Kweli ila zimepewa daraja la Sahihi, Kumbuka sio.daraja la dhaifu maudhu au Hassana...
na zimekuwa zikihifadhiwa kwa miaka Mimgi sana
 
Maneno haya ameukuambia nani ? Una elimu walau kidogo ya Hadithi maana naona unaandika vitu ambavyo havipo.

Ulamaa wa fani ya hadithi huzihakiki hadithi, na kuna maneno ya Imamu Bukhari akielezea namna alivyo kusanya hadithi, pamoja na umakini wake na dua zake kwa Allah ili asikosee katika ukusanyaji wa hadithi za mtume ikaja kuonekana kuna hadithi dhaifu, na hii inaonyesha wazi ya kuwa mwanadamu hajakamilika. Na kukosea hakuepukiki. Katika ukusanyaji wa hadithi zaidi ya 6,000 zikapataikana hadithi zisizo zidi 30 au 50 kuwa zina shida, hili halishushi ubora na usahihi wa kitabu chake. Ndio maana mpaka kesho kinabaki kuwa ni kitabu sahihi zaidi baada ya Qur'an.
Ndyo mkuu Nina elimu Ya hadithi na ndio maana naweza kuliongelea ningekuwa sina Elimu nalo usingeniona nililiongelea Hilo swala..

KAma kutapatikana Hadithi Maudhu' 10 kwenye hAdithi Hata 100..
KUtafanya tutirie shaka Hadithi zingine usahihi wake..

Na ndo maana Ukiongea Ukweli Maneno 10000 lakini ukaongea maneno 100 yanye Kuweza kuleta Taharuki ya Uongo utaonekana Muongo na yale maneno mengine uliyosema yatapuuzwa..

Kwanini nasema hivyo..
Ndani ya Hadithi za sahihi bukhari kuna Hadithi ambazo zinaonyesha wazi kuwa quran Imepunguzwa hadithi kama hizo umaweza ukaiita ya Bahati mbaya kwako wewe???

Hadithi ambayo imedanganya Pia zipo za kila aina kwahyo hata kama kitaonekana Bora baada ya Quran bado kina makosa mengi sana inaonekana mikono ya watu iliingia kuongeza baadhi ya vitu
 
Muhammad alimuona Yesu?Ikiwa hakumuona kama akina Mathayo tumwamini nani?
Amini your Own Intrusion mkuu!
I dont Trust mtu wa tatu at least angekuwa wa pili...

Lets say kumetokea Ajali..
Unaenda kumuhoji aliyesimuliwa na mtu aliyesimuliwa na mtu aliyekuwepo kwenye ajali..

Huwezi kupata The original contents Kwa sababu pia lazma kutokee uchujaji wa Taarifa
 
Huu ni mgawanyo wa wa mwanzo katika msingi au misingi ya hadithi, lakini ndani yake pia kuna Elimu ya ilal za hadithi kwa maana dosari za ndani sana. Mfano kuna hadithi ukizitazama ni unasema ni sahihi lakini ndani yake zina ila. Vitabu vyake vipo vingi sana vinaelezea haya mambo.

Sasa jifunze fani ya Hadithi upate kujua haya.
Mkuu najua yote hayo Ila siwezi kuandika yote kwa wakati mmoja kuna mgawanyiko zaidi ya 8 kwenye uchambuzi wa Hadithi..

Nimesoma Ilimul Hadith (Mustalahul Hadith) vizuri sana nafikir kuliko hata fani zingine maana nilichukua muda mwingi sana kuchimba na kujua hasa..

NA kwa uchambuzi zaidi nakusihi kasome vitabu vifuatavyo ambavyo hata mimi ninavyo vya baadhi ya wanazuoni wa Hadithi..Ambayo vingi na baadhi vinachambua makosa kwenye sahihi..

  • Musannaf Abd Razak cha Imam Abd Razak Al Sanani
  • Musannaf Ibn Abi Shaybah cha Imam Abu Bakr Ibn Abd Allah Ibn Muhammad Ibn Abi Shaybah aliezaliwa .
  • Sahih Ibn Hibban cha Abu Hatim Muhammad Ibn Hibban .
  • Sunan Ad Darimi cha Imam Muhammad Abd Rahman Ad Darimi As Samarqand
  • Sahih Ibn Huzaymah cha Imam Muhammad Ibn Ishaq Ibn Khuzaymah
  • Sunan Ad Daraqutni cha Imam Abu Hasan Ali Ibn Umar Al Daraqutni
  • Mustadrak Al Sahihain/Mustadrak Al Hakim cha Imam Muhammad Ibn Abd Allah Al Hakim
  • Sunan Al Bayhaqi/Sunan Al Kubra cha Imam Abu Bakr Ahmad Ibn Husayn Al Bayhaqi
  • Sharh Al Sunan na Masabih Al Sunan vya Imam Abu Muhammad Al Husayn Al Baghawi
  • Riyadh as Salihin cha Imam Abu Zakariyah Muhyiddin Sharaf An Nawawi
  • Al Jami’i cha Imam Ismai’l Ibn Umar Ibn Kathir.
  • Hiki cha mwisho nafikiri Ni maarufu sana Bulugh al-Maram na Fat-h Al Barri ambavyo vyote ni vya Hafidh Shihabu Dinn Abu Fadhl Ibn Hajar
Ukivisoma vyote hivyo Huenda ukajua Zaidi Ilmul hadith vipo kwenye Chumba cha Maktaba yangu na navisoma sana Kikubwa ni kwamba Ukweli Mchungu....Hadithi zilizochambuliwa kuwa Sahihi nyingi zina makosa mengi Na hazifai hata kuwa Hassana au Dhaifu
 
Ukristo na Uislamu ni dini mbili tofauti kabisa.

1. Mtume wa Uislamu ni mmoja tu ambaye ni Muhammadi.
Na ndiye pekee anayesikilizwa na kufutwa mafundisho yake na Waislamu. (hakuna nabii mwingine anayesikilizwa na waislamu wala kuyafuata mafundisho yake)

2. Mungu wa Waislamu ni Allah ambaye hakuwahi kutajwa kabla ya Uislamu na ana mtume mmoja tu Muhammadi.

3. Uislamu unaabudu viumbe visivyo na Uhai kama wanavyolisujudia Jiwe Jeusi la huko Maka (Aswadi)

4. Mungu wa Waislamu Allah anasikia maombi ya lugha moja tu Kiarabu.

5. Mungu wa Waislamu anaisikia swala ikiwa tu anayeswali anaaangalia Kibra ya Maka.

5. Uislamu unatumia vifaa visivyotajwa na nabii yoyote katika dini kama Tasbihi.

6. Uislamu una utambulisho usiotajwa popote yaani alama za Mwezi na Nyota.

7. Uislamu ni dini pekee iliyoshindwa hadi hii leo kukanusha hoja ya Salman Rushdie kuwa Qurani ni Aya za Shetani. (umma wake umeamua kumhukumu kifo na kuzuia kitabu chake kisisomwe badala ya kuijibu hoja yake)

8. Uislamu ni dini ya umma wenye jazba na vitisho. (ukimdhihaki mtume wao mmoja tu muhamadi au kuiharibu Qurani, lazima wakuuwe)

9. Uislamu ni dini pekee ambayo ina waumini Watu na Majini.

10. Uislamu ndio dini pekee yenye muhusika mkoja tu mwarabu wa Maka Muhamadi. Wahusia wengine wote ni Wayahudi wa Israeli wakati imeandikwa Uarabuni.

11. Uislamu ndio dini pekee inayojinasibu kuwa imekusanya vitabu vyote vya dini ya Kiyahudu na Kikristo kama Torati, Zaburi na Injiri bila kuwa na hivyo vitabu. (Haina Amri Kumi alizopewa Musa, (Haina Aya yoyote za Torati, Zaburi wala Injiri)

12 Uislamu ndio dini pekee inayomdhibiti shetani kwa kumpiga mawe.

Kuna tofauti nyingi za Uislamu na Ukristo ila leo naishia hapa.
 
Na ndiyo nina kujibu Kuwa Hadithi zote kwenye sahih alBukhari sio Zote ni sahihi...
Na Kwa uelewa na Elimu Yangu hakuna Hadithi Iliyokusanywa na kupewa Daraja la sahihi halafu ikawemo kwenye Udhaifu..

Pengine unatakiwa kujua Madaraja ya Hadithi yanapangwaje kwa kufuata Musnad/Isnad

Bhasi ngoja nikukumbushe..

Kigezo cha sifa ya kwanza ni asili ya Isnad ambayo huzigawa Hadith katika makundi manne ambayo ni Hadith Qudsi, Hadith Marfu, Hadith Mauquf na Hadith Maqtu’..

Kigezo cha sifa ya pili ni ukamilikaji wa muungano wa Isnad "Chain of narration" kwa kuangalia kama imekatika ama haikukatika na hivyo huzigawa tena Hadith katika makundi kama Musnad"Iliounganika",Mutassil,Munqati,Mu'allaq na Mursal..
Yako mengi sana Sitaki kuyataja yote ntaenda kwenye Daraja Au sifa ya kuaminiwa au uhifadhi wa mpokeaji au kumbukumbu ambazo ndo hiyo nimezitaja kama sahihi,Dhaifu,Hassana,Na Maudhu..

Sasa nimekuambia hivi katika hadithi zote zilizokusanywa na Imam Muhammad Ibn Ismai’l Al Bukhari..
Zilizopewa Grade ya Sahihi yaani zisizokuwa na Shaka..

zipo Hadithi Humo ndani sio sahihi na sio za Kweli ila zimepewa daraja la Sahihi, Kumbuka sio.daraja la dhaifu maudhu au Hassana...
na zimekuwa zikihifadhiwa kwa miaka Mimgi sana
Nimecheka sana, inaonekana huna elimu ya Hadithi zaidi ya kutaja mgawanyo wa hadithi tena pasi na kuzingatia misingi.

Zipo hadithi ambazo zilionekana ni sahihi lakini zina shida bali dhaifu kabisa, na hii ni baada ya kupembuliwa upya. Tafuta kitabu cha Sheikh Albaniy kiitwacho 'SIlsila Ahadithi Dhaif' kadhalika tafuta kitabu cha Sheikh Muqbil kiitwacho 'Hadith al-Mu'ala dhwahiha as-Swaiha'.

Kingine hakuna "Hadithi Maqtu'". Kanukuu vizuri hili neno.

Nakupa kazi tuwekee hadithi mbili tu ambazo si sahihi toka kwenye Sahihi Bukhar, maana kuna utafauti katika kusihi hadithi na kutokuwa sahihi kabisa. Maana hata Hadithi Sahihi nazo zimegawanyika.
 
Ndyo mkuu Nina elimu Ya hadithi na ndio maana naweza kuliongelea ningekuwa sina Elimu nalo usingeniona nililiongelea Hilo swala..

KAma kutapatikana Hadithi Maudhu' 10 kwenye hAdithi Hata 100..
KUtafanya tutirie shaka Hadithi zingine usahihi wake..

Na ndo maana Ukiongea Ukweli Maneno 10000 lakini ukaongea maneno 100 yanye Kuweza kuleta Taharuki ya Uongo utaonekana Muongo na yale maneno mengine uliyosema yatapuuzwa..

Kwanini nasema hivyo..
Ndani ya Hadithi za sahihi bukhari kuna Hadithi ambazo zinaonyesha wazi kuwa quran Imepunguzwa hadithi kama hizo umaweza ukaiita ya Bahati mbaya kwako wewe???

Hadithi ambayo imedanganya Pia zipo za kila aina kwahyo hata kama kitaonekana Bora baada ya Quran bado kina makosa mengi sana inaonekana mikono ya watu iliingia kuongeza baadhi ya vitu
Huna elimu ya hadithi zaidi ya kutaja migwanyo ya aina za hadithi.
 
Back
Top Bottom