Ukristo na Uislamu ni Dini mbili zisizofanana kabisa

Ukristo na Uislamu ni Dini mbili zisizofanana kabisa

Labda hii watu hawajui. Leo si tunazungumzia dini zetu, let's go.

Kuna tofauti ya watu walioandikwa kwenye Biblia na Koran, hilo kwanza ulijue. Ibrahim unayemsoma kwenye Biblia si Ibrahim unayemsoma kwenye Koran.

Ibrahim wa kwenye Biblia baba yake anaitwa Terah ila wa kwenye Koran anaitwa Azar. Kasome Quran 6:74.

Kwenye Biblia wana Yesu, kwenye Koran wana Issa. Huyu Issa hakusulubiwa msalabani, ila Yesu alisulubiwa. Ndugu zangu, hawa ni watu wawili tofauti.

Kuna MUNGU (Almighty GOD) kwenye Biblia na kuna Allah kwenye Koran

So watu wa huku ni tofauti na wa kule. Kwa Biblia, Ishmael anajulikana kama mtoto wa kijakazi, ila kwa Kuran ni tofauti.

So mkikaa na kuzungumza, cha kwanza jueni mnawazungumzia watu wa sehemu tofautitifauti.

Mfalme Suleiman wa Bible alikuwa holy na baadaye akaanguka dhambini ila wa kwenye Kuran alikuwa anaongea mpaka na majini. So mkiwa mnawasoma watu wa kwenye Bible, msije kufikiri ni watu walewale wa kwenye Kuran, sio hivyo.

Musa wa kwenye Biblia alipewa Amri 10 za MUNGU, Musa wa kwenye Koran hakupewa amri 10 zozote.

Biblia inamtambua Samson kama jamaa aliyebarikiwa nguvu na uwezo wa kupambana na udhaifu wake ni kukata nywele zake, ila hakuna kisa cha namna hiyo kwenye Quran.

Biblia imeorodhesha mitume na manabii wengi wakitoka katika chimbuko la wayahudi, wakati Quran haiwazungumzii wayahudi katika chimbuko la unabii.

Ndio maana ukimsoma mtu wa huku, unaona tofauti kubwa na mtu wa kule.

Kuran imemtambua Adam kama mtume, ila kwa Biblia imemtambua kama mtu wa kawaida tu, mtu aliyeumbwa mwanzoni kabisa.

So mlifahamu hilo, sio mnakaa kwenye vijiwe vya kahawa mnabishana weeee meaningwhile watu mnaowazungumzia ni tofauti.

Historia ya Matukio ikitofautiana basi jua kabisa hao ni watu tofauti kabisa.

Hivyo ni vyema kila mtu abaki na anachokiamini, muda au siku ya kiama ndio ukweli utadhihirika nani alikuwa sahihi na nani alikuwa muongo.
🔹 Ni dini ambazo ni antagonistic kabisa hazina mfanano wowote

🔵 Mungu wa wakristu anataka kusamehe mara nyingi iwezekanavyo na anakataza kisasi , lakini upande wa pili kawaambia kuwa kisasi ni haki Yao

🔵 Mungu wa wakristu haitaji watu wa kumpigania, lakini Mungu wa upande mwingine wafuasi wake wanampigania kwa bunduki na risasi zilizotengenezwa na wachina na wakristu

🔵 Mungu wa wakristu ameweka wazi kuwa majini ni mashetani lakini wa upande wa pili amewabia ni ndugu zao, wanaswali pamoja, na wanatumia kwenye shughuli mbalimbali iliwemo uganga, tena amewapa sura nzima nayo ni sura ya 72 ( sura Al jinn)

🔵Biblia imeweka wazi kuwa mtoto wa Ibrahim aliyetaka kutolewa sadaka ni Isaka lakini upande wa pili wamepiga cross multiplication na kusema ni Ishmael

🔵 Kwenye ukristu ndoa za watoto ni marufuku lakini upande wa pili mtoto akiota vimatiti tuu ni MKE tayari

🔵 Ndoa za ndugu ni marufuku kwenye ukristu lakini upande wa pili mtu anamwoa mtoto wa dada yake na baba yake bila shida yoyote lakini kifuatacho ndani utakuta watoto wenye usonji wa kutosha

🔵 Mbingu ya wakristu ni kuimba na kumsifu Mungu Wala hakuna kuoa Wala kuolewa ila upande wa pili tendo la ndoa ndio shughuli kuu kule na favour wamepewa wanaume tuu kukabidhiwa viumbe wa ajabu 72 ila wanawake hawajulikani watakuwa wanafanya nini
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Makafiri mna hangaika sana ila wenye akili hadi hao waliyowadanganya sasa hivi wameanza kuijua haki na wanaingia kwenye dini ya mwenyezi mungu makundi kwa makundi, maji na mafuta siku zote hujitenga nyie makafir wa mbagala bakini huko huko kwenye kukanyaga mafuta
Hakuna haki huko ni story za kitungwa tu
 
Kama vile Mohammad alivyoleta story ya kushushiwa quran sio?
Sawa, Muhammad alileta story ya kushushiwa Quran. Naomba ushahidi kuwa Mathayo, Luka, Peter, Marko walimuona Yesu na wakaandika habari zake first hand.
Halafu tutazungumza story ya Muhammad.
 
Utaupata wapi ushahidi usio na shaka kwa jambo lililotokea miaka 2000 iliyopita????
Hata tungeweka maandishi bado yasingefaulu,maana yanahamishwa kutoka chanzo hiki kwenda kile kwa tech tofauti.

Miaka 2000 ijayo kuna watu watakataa wakiambiwa watu leo wanatumia siku mbili kusafiri hapa mpaka kigoma,sababu tu hakutakuwa na video ya tukio wala mtu aliyeishi leo wa kuwahakikishia.
Ushahidi hakuna.
Lakini wenye elimu wanajua Mathayo, Luka, Marco wala Petro hawajaandika injili. Ni story za watu tu.
 
Sawa, Muhammad alileta story ya kushushiwa Quran. Naomba ushahidi kuwa Mathayo, Luka, Peter, Marko walimuona Yesu na wakaandika habari zake first hand.
Halafu tutazungumza story ya Muhammad.
Asante kwa kuthibitisha kuwa mood alitunga story.
 
Unaona sasa,
Kwahiyo maneno ya Paulo ni ya Mungu?
Uzuri Yesu aliishi duniani hapa. Alishindwa kuacha maneno yake Mwenyewe?
Yaani Muhammad aliwazarau sana. Akatunga story na kuua watu
 
Yaani Muhammad aliwazarau sana. Akatunga story na kuua watu
Hahahah bora hata Muhammad zilikua zama za kale. Nyie papa anawafanya mashoga nyakati hizi na mnashangilia.....mna akili?
 
Kijana natamani sana uelewe swali langu nililo kuuliza. Hao wengine hawakumuona Yesu iweje wawe wanafunzi wa Yesu ?

Wapi Matayo au Marko au Luka alinukuu toka kwa Yesu moja kwa moja ? Hapo hakuna mwanafunzi wa Yesu.

Swali langu liko pale pale, nitajie Wanafunzi 6 ambao walinukuu kwa Yesu moja kwa moja.

Kingine hapo hakuna Mtume hata mmoja, unajua maana ya neno Mtume ? Au unalitumia tu kimazoea ? Mtume hupelekwa kwa watu ambao imani sahihi ilipotea pakatamalaki ushirikina. Sasa iweje Yesu awe Mtume na hao unao dai ni wanafunzi wake wawe Mitume vile vile.

Mk 16:15-16 SUV​

Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa
 
  • Thanks
Reactions: 511
Hahahah bora hata Muhammad zilikua zama za kale. Nyie papa anawafanya mashoga nyakati hizi na mnashangilia.....mna akili?
Kwani wakati Mohammad ananyonya mboo ya Hassan alikuwa mwanamke?
 
Labda hii watu hawajui. Leo si tunazungumzia dini zetu, let's go.

Kuna tofauti ya watu walioandikwa kwenye Biblia na Koran, hilo kwanza ulijue. Ibrahim unayemsoma kwenye Biblia si Ibrahim unayemsoma kwenye Koran.

Ibrahim wa kwenye Biblia baba yake anaitwa Terah ila wa kwenye Koran anaitwa Azar. Kasome Quran 6:74.

Kwenye Biblia wana Yesu, kwenye Koran wana Issa. Huyu Issa hakusulubiwa msalabani, ila Yesu alisulubiwa. Ndugu zangu, hawa ni watu wawili tofauti.

Kuna MUNGU (Almighty GOD) kwenye Biblia na kuna Allah kwenye Koran

So watu wa huku ni tofauti na wa kule. Kwa Biblia, Ishmael anajulikana kama mtoto wa kijakazi, ila kwa Kuran ni tofauti.

So mkikaa na kuzungumza, cha kwanza jueni mnawazungumzia watu wa sehemu tofautitifauti.

Mfalme Suleiman wa Bible alikuwa holy na baadaye akaanguka dhambini ila wa kwenye Kuran alikuwa anaongea mpaka na majini. So mkiwa mnawasoma watu wa kwenye Bible, msije kufikiri ni watu walewale wa kwenye Kuran, sio hivyo.

Musa wa kwenye Biblia alipewa Amri 10 za MUNGU, Musa wa kwenye Koran hakupewa amri 10 zozote.

Biblia inamtambua Samson kama jamaa aliyebarikiwa nguvu na uwezo wa kupambana na udhaifu wake ni kukata nywele zake, ila hakuna kisa cha namna hiyo kwenye Quran.

Biblia imeorodhesha mitume na manabii wengi wakitoka katika chimbuko la wayahudi, wakati Quran haiwazungumzii wayahudi katika chimbuko la unabii.

Ndio maana ukimsoma mtu wa huku, unaona tofauti kubwa na mtu wa kule.

Kuran imemtambua Adam kama mtume, ila kwa Biblia imemtambua kama mtu wa kawaida tu, mtu aliyeumbwa mwanzoni kabisa.

So mlifahamu hilo, sio mnakaa kwenye vijiwe vya kahawa mnabishana weeee meaningwhile watu mnaowazungumzia ni tofauti.

Historia ya Matukio ikitofautiana basi jua kabisa hao ni watu tofauti kabisa.

Hivyo ni vyema kila mtu abaki na anachokiamini, muda au siku ya kiama ndio ukweli utadhihirika nani alikuwa sahihi na nani alikuwa muongo.
Ukaribu na uhusiano wa kwanza wa dini hizi ni Ile IMANI ya uwepo wa MUNGU, aliyetuumba sisi ambaye yuko MBINGUNI na IPO siku kwake tutarejea.

Hizo facts zingine are just paths to the final destination.
 
Katika Biblia hiyo ilishatabiriwa kitambo... Siku za mwisho watu watamuasi MUNGU na dhambi zitaongezeka, kwa ambao wanasoma biblia vizuri, hawashituki
Na hii pia ni tofauti. Biblia inatabiri lkn Kuran kila kinachosemwa ni kweli
 
Hahahah bora hata Muhammad zilikua zama za kale. Nyie papa anawafanya mashoga nyakati hizi na mnashangilia.....mna akili?
images(26).jpg
 
Labda hii watu hawajui. Leo si tunazungumzia dini zetu, let's go.

Kuna tofauti ya watu walioandikwa kwenye Biblia na Koran, hilo kwanza ulijue. Ibrahim unayemsoma kwenye Biblia si Ibrahim unayemsoma kwenye Koran.

Ibrahim wa kwenye Biblia baba yake anaitwa Terah ila wa kwenye Koran anaitwa Azar. Kasome Quran 6:74.

Kwenye Biblia wana Yesu, kwenye Koran wana Issa. Huyu Issa hakusulubiwa msalabani, ila Yesu alisulubiwa. Ndugu zangu, hawa ni watu wawili tofauti.

Kuna MUNGU (Almighty GOD) kwenye Biblia na kuna Allah kwenye Koran

So watu wa huku ni tofauti na wa kule. Kwa Biblia, Ishmael anajulikana kama mtoto wa kijakazi, ila kwa Kuran ni tofauti.

So mkikaa na kuzungumza, cha kwanza jueni mnawazungumzia watu wa sehemu tofautitifauti.

Mfalme Suleiman wa Bible alikuwa holy na baadaye akaanguka dhambini ila wa kwenye Kuran alikuwa anaongea mpaka na majini. So mkiwa mnawasoma watu wa kwenye Bible, msije kufikiri ni watu walewale wa kwenye Kuran, sio hivyo.

Musa wa kwenye Biblia alipewa Amri 10 za MUNGU, Musa wa kwenye Koran hakupewa amri 10 zozote.

Biblia inamtambua Samson kama jamaa aliyebarikiwa nguvu na uwezo wa kupambana na udhaifu wake ni kukata nywele zake, ila hakuna kisa cha namna hiyo kwenye Quran.

Biblia imeorodhesha mitume na manabii wengi wakitoka katika chimbuko la wayahudi, wakati Quran haiwazungumzii wayahudi katika chimbuko la unabii.

Ndio maana ukimsoma mtu wa huku, unaona tofauti kubwa na mtu wa kule.

Kuran imemtambua Adam kama mtume, ila kwa Biblia imemtambua kama mtu wa kawaida tu, mtu aliyeumbwa mwanzoni kabisa.

So mlifahamu hilo, sio mnakaa kwenye vijiwe vya kahawa mnabishana weeee meaningwhile watu mnaowazungumzia ni tofauti.

Historia ya Matukio ikitofautiana basi jua kabisa hao ni watu tofauti kabisa.

Hivyo ni vyema kila mtu abaki na anachokiamini, muda au siku ya kiama ndio ukweli utadhihirika nani alikuwa sahihi na nani alikuwa muongo.
Japan Luna dini ya Mungu mart finish ya shetani, mwenye macho haambiwi....
 
Ndio maana ukaulizwa,ikiwa vitabu vingine vilikuwepo Quran ilikuja na jipya gani kutoka kwa mtume wa kiarabu???

Swali kama ungekuwa umesoma vizuri majibu yangu usingeuliza sababu majibu nimeyatoa. Tofauti ya mitume ni sheria na namna ya kuabudu. Ila ujumbe mkuu ni Kumuabudu Allah pekee pasi na kumshirikisha na chochote. Sheria ya Musa sio sheria ya Yesu wala sio sheria ya Muhammad.
Ndio tunaomba uthibitisho kwa Alitumwa na Mungu hakika.wala hakukurupuka asubuhi akaja na hekaya kama nabii tito.

Uthibitisho ni hii Qur'an yenyewe na ndio muujiza mkubwa alio pewa mtume Muhammad. Maneno kama yako au mfano wake waliyasema makafiri wa Makka, na maneno mengi wakamuita ikiwemo mchawi, mwendawazimu, lakini Qur'an hii ikaonyesha ya kuwa ni hakika :

88. Sema: Wangeli kusanyika watu na majini ili walete mfano wa hii Qur'ani basi hawaleti mfano wake, hata wakisaidiana wao kwa wao. {al-Israa : 88}

Labda, nikuulize swali dogo ushawahi kuisoma Qur'an, mpaka unailinganisha na Hikaya, sababu hata wale mabingwa na fasaha wa lugha wa Kikuraishi walishindwa kulenda walau kipande cha aya tu mfano wa Qur'an. Sasa unapo sema ni hekaya unaijua hekaya ?
 
kwahiyo sheria zilikuwa za kwao binafsi au za Allah??
Sheria zinakuwaje zao wakati wao wametumwa na Allah ? Jibu walipewa vyote yaani sheria zinatoka kwa Allah. Unauliza maswali ya kitoto na unajua kabisa Musa nae ni Mtume na Yesu kadhalika.
 
Back
Top Bottom