Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Porojo
Manabii wengine walikuwa wanasemaje kwa mujibu wa Quran? Kwamba Mungu ana mtoto?Quran Bhana!!. Islam ina manabii laki 2 na 24,ila kati ya hao manabii wote ni Muhammad Pekee ndiye anasema Mungu hana Mtoto kinyume na manabii laki 2 na 23.
NdiyoManabii wengine walikuwa wanasemaje kwa mujibu wa Quran? Kwamba Mungu ana mtoto?
Chochote utakachoandika bila uthibitisho wa hoja ni porojoNilichokiandika ama Muhammad ndiyo Porojo.
Bila shaka hapo.kuna mchanganyiko.inakuwaje kitabu kimoja kiandikwe kwa lugha 2 tofauti?Katika historia ya awali, Biblia ilianzishwa katika lugha za asili kama Kiebrania (kwa Agano la Kale) na Kigiriki (kwa Agano Jipya).
Biblia inajumuisha maandiko yaliyoandikwa na waandishi mbalimbali katika kipindi tofauti cha historia ya dini ya Kiyahudi na Kikristo. Haijaandikwa moja kwa moja na nabii mmoja maalum. Badala yake, inajumuisha maandiko yaliyoandikwa na manabii, wataalamu wa dini, wanahistoria, na waandishi wengine, ambao waliandika kwa kuzingatia ufunuo, uzoefu wa kidini, na matukio ya kihistoria. Kwa mfano, katika Agano la Kale, vitabu vingi vinavyohusishwa na nabii kama vile Isaya, Yeremia, na Ezekieli, wanasemekana kuwa na sehemu ya maandiko yaliyojumuishwa katika Biblia. Katika Agano Jipya, vitabu vya Injili vilivyoandikwa na wanafunzi wa Yesu pamoja na barua za mitume ni sehemu ya maandiko yaliyojumuishwa katika Biblia.Mleta mada biblia alipewa nabii gani?
Yaani umepiga wote kwa jiwe moja😃, hutaki upande.Wahuni wa Roma na Saudia kwenye ubora wao
Kwani lengo la kuleta nabii si kuilea jamii kwa kuipatia muongozo utokao kwa Mungu?Kama Adam alikuwa binadamu wa kwanza. Unabii alikuwa anaufanya kwankina nani?
Shida ipo wapiBila shaka hapo.kuna mchanganyiko.inakuwaje kitabu kimoja kiandikwe kwa lugha 2 tofauti?
Uthibitisho upi unaoutaka?.Chochote utakachoandika bila uthibitisho wa hoja ni porojo
Nabii ndio mtume??Mleta mada biblia alipewa nabii gani?
Mkuu mimi sikufuchi, hizi dini zililetewa kwa madhumuni ya kututawala.Yaani umepiga wote kwa jiwe moja😃, hutaki upande.
Waislamu wana vitabu vyao! Unaweza kutusaidia ushahidi kutoka kwenye vitabu vyao ili tusiwe tukaonekana tunawasingizia kwa hili?Ndiyo
Una uhakika gani kuwa hao waliondika biblia walichokiandika ni sahihi?Biblia inajumuisha maandiko yaliyoandikwa na waandishi mbalimbali katika kipindi tofauti cha historia ya dini ya Kiyahudi na Kikristo. Haijaandikwa moja kwa moja na nabii mmoja maalum. Badala yake, inajumuisha maandiko yaliyoandikwa na manabii, wataalamu wa dini, wanahistoria, na waandishi wengine, ambao waliandika kwa kuzingatia ufunuo, uzoefu wa kidini, na matukio ya kihistoria. Kwa mfano, katika Agano la Kale, vitabu vingi vinavyohusishwa na nabii kama vile Isaya, Yeremia, na Ezekieli, wanasemekana kuwa na sehemu ya maandiko yaliyojumuishwa katika Biblia. Katika Agano Jipya, vitabu vya Injili vilivyoandikwa na wanafunzi wa Yesu pamoja na barua za mitume ni sehemu ya maandiko yaliyojumuishwa katika Biblia.
Kamand wa Gaza nakuona hapaWaislamu wana vitabu vyao! Unaweza kutusaidia ushahidi kutoka kwenye vitabu vyao ili tusiwe tukaonekana tunawasingizia kwa hili?
Naaaam.msaidie na wewe kumtajaNabii ndio mtume??