Ukristo na Uislamu ni Dini mbili zisizofanana kabisa

Ukristo na Uislamu ni Dini mbili zisizofanana kabisa

Labda hii watu hawajui. Leo si tunazungumzia dini zetu, let's go.

Kuna tofauti ya watu walioandikwa kwenye Biblia na Koran, hilo kwanza ulijue. Ibrahim unayemsoma kwenye Biblia si Ibrahim unayemsoma kwenye Koran.

Ibrahim wa kwenye Biblia baba yake anaitwa Terah ila wa kwenye Koran anaitwa Azar. Kasome Quran 6:74.
Ni sawa Kuwa watu wawili wanaweza kuwa Jina zaidi ya Moja?
Au hilo unabisha?

Kwenye Biblia kuna watu wamekosewa mara nyingi sana Unakuta kwenye Agano jipya baba yake kaandikwa jina jingine na kwenye agano la kale baba yake jina jingine...
HIvyo hiyo kwa dini Za ukristo na Uislam ni kawaida sana..

kuhsu Majina kutofautiana ya Mababa nina Ushahidi wa watu kwenye Biblia ambao Baba zao wana majina Tofauti kwenye vitabu tofauti na mtoto ni mmoja....

Ukitaka nitakuonyesha

Kwenye Biblia wana Yesu, kwenye Koran wana Issa. Huyu Issa hakusulubiwa msalabani, ila Yesu alisulubiwa. Ndugu zangu, hawa ni watu wawili tofauti.
Hakuna Mtu aliyekuwa akiitwa Yesu na wala kwenye Majina ya kiyahudi hakuna jina Linaloitwa Yesu..

Jina halisi aliloitwa Yesu ni Yeshua( Kiebrania) au Yehoshua (Kiaramu)...

mpaka pale lilipobadilisha kwenda Kigiriki Kwenye Tafsiri ya kwanza ya Biblia ya Septuagint ndipo jina lilibadilishwa kutoka Yeshua kuwa Iesous...

Ambapo kutokana kukosekana kwa herufi ya moja kwa moja ikabdii Kwa Latini waite J badala ya Ie kwahiyo ikawa Jesus..

So watu wa huku ni tofauti na wa kule. Kwa Biblia, Ishmael anajulikana kama mtoto wa kijakazi, ila kwa Kuran ni tofauti.
ishamael alikuwa Mtoto wa Mke wa Ibrahimu na hakuwa mtoto wa Kijakazi..

Soma Mwanzo 16:3

Mwanzo 16:3

"Sarai mkewe Abramu akamtwaa Hajiri Mmisri mjakazi wake, baada ya kukaa Abramu katika nchi ya Kanaani miaka kumi, akampa Abramu mumewe, awe mkewe."

"And Sarai Abram's wife took Hagar her maid the Egyptian, after Abram had dwelt ten years in the land of Canaan, and gave her to her husband Abram to be his wife."

Ilikuwa Ni sheria kuwa Ukikaa na mtumwa kwa miaka 10 inatakiwa kumuachia Huru..


Ila Sarai hakupenda kumuachia Hagar (Hajar) ikabdi ampe Ibrahimh ili amuoe..

Kwahyo Ibrahimu Alimuoa Hajar akiwa Mtu huru na sio Mtumwa maana haikuruhusiwa Mwebrabia Kumuoa Mtumwa wake..


Musa wa kwenye Biblia alipewa Amri 10 za MUNGU, Musa wa kwenye Koran hakupewa amri 10 zozote.
Samahani Mkuu Unajua maana Ya Torati au Torah?
Kama unajua nadhani hautakuwa na shaka mtu akisema Musa alipewa Torati..
Historia ya Matukio ikitofautiana basi jua kabisa hao ni watu tofauti kabisa.
Kwa kuwa nakifahamu Quran si kitabu cha masimulizi..
Kama unafahamu kuhusu...

TANAKH utaelewa kuwa Kuna vitabu vya mabii ,Vitabu vya Masimulizi kuna vitabu vya torati na vitabu vya mashahiri..

Quran ni Kitabu cha mashairi...
Kama ilivyo Wimbo uliobora, Mithali,Zaburi na Vingine au vinaitwa Ketuvi'm kwa lugha ya Kiebrania...

So Nakushauri Usome Dini yoyote kabla ya kuiattaq
 
Biblia inachukuliwa kama Neno la Mungu la kweli na kuaminika, na imani ya kikristo inaamini kwamba maandishi yaliyo katika Biblia yalikuwa chini ya uongozi na uwezo wa Roho Mtakatifu wakati wa uandishi wake. Kupitia manabii mbalimbali na wanafunzi wa yesu na wafuasi wake waliongozwa kuandika habari za Mungu. Na habari za yote yaliyotendeka zilikuwa wazi kwa sababu zilishuhudiwa na watu wengi. Mfano Injili ya Yesu imeandikwa katika Agano Jipya kwenye kitabu cha Mathayo, Luka, Yohana na wote maandiko yao yanafanana na wote walikuwa wanafunzi wa Yesu

Ni kama wewe unavyoamini kwamba Mohamad alishushiwa Koran, na wakati hakuna shahidi juu ya hilo aliyekuwepo akiona Mohamad akipokea Quran
Biblia ina makosa mengi sana na Quran ina makosa mengi sana..
Kama hivi vitabj vingeandikwa na Mungu naamini visingekuwa na makosa
 
Biblia inachukuliwa kama Neno la Mungu la kweli na kuaminika, na imani ya kikristo inaamini kwamba maandishi yaliyo katika Biblia yalikuwa chini ya uongozi na uwezo wa Roho Mtakatifu wakati wa uandishi wake. Kupitia manabii mbalimbali na wanafunzi wa yesu na wafuasi wake waliongozwa kuandika habari za Mungu. Na habari za yote yaliyotendeka zilikuwa wazi kwa sababu zilishuhudiwa na watu wengi. Mfano Injili ya Yesu imeandikwa katika Agano Jipya kwenye kitabu cha Mathayo, Luka, Yohana na wote maandiko yao yanafanana na wote walikuwa wanafunzi wa Yesu

Ni kama wewe unavyoamini kwamba Mohamad alishushiwa Koran, na wakati hakuna shahidi juu ya hilo aliyekuwepo akiona Mohamad akipokea Quran
Ina maanisha kila mtu aliyejisikia aliandika biblia?na haiwezi kuwa ni maneno ya mungu
 
Qur'an Ina matatizo zaidi ya kiuandishi, iliandikwa au kukusanywa miaka zaidi ya 100 baada ya Mtume kufariki, wakati Biblia ilikuwa imekamilika au baadhi ya vitabu vyake viliandikwa miaka 30-40 baada ya Yesu kupaa. N walioandika waliishi naye; walimjua na kimfahamu Yesu.
Ndiyo maana Qur'an Waislamu and wengine hawaijui , kazi yao ni kufunga na kuswali na kusikiliza mawaidha tu. Hata waliotafsiri mengine wamepotosha baadhi ya maandiko. Mtu mwenybhekima atasoma na kuchambua. Mwislamunhna uhakika kam akifa atakwenda mbinguni, sababu hata Mtume mwenyewe hajui. Angalia Yesu alizungumza kwa ujasiri sana. " Nilipo Mimi nanyi mtakiwepo"
MKuu Hapa umedanganya Saana..
Hakuna Hata mwandishi mmoja kwenye Biblia ni authenification yaani hakuna aliyemuona yesu wala hakuna aliyeonana na waandishi wa Biblia..
Biblia Yote ni Pseudepigrapha...
Ni uhandishi kwa 3rd Part..
Na naweza kukuthibitishia hivyo..
Na Quran hivyo hivyo
 
Biblia inachukuliwa kama Neno la Mungu la kweli na kuaminika, na imani ya kikristo inaamini kwamba maandishi yaliyo katika Biblia yalikuwa chini ya uongozi na uwezo wa Roho Mtakatifu wakati wa uandishi wake. Kupitia manabii mbalimbali na wanafunzi wa yesu na wafuasi wake waliongozwa kuandika habari za Mungu. Na habari za yote yaliyotendeka zilikuwa wazi kwa sababu zilishuhudiwa na watu wengi. Mfano Injili ya Yesu imeandikwa katika Agano Jipya kwenye kitabu cha Mathayo, Luka, Yohana na wote maandiko yao yanafanana na wote walikuwa wanafunzi wa Yesu

Ni kama wewe unavyoamini kwamba Mohamad alishushiwa Koran, na wakati hakuna shahidi juu ya hilo aliyekuwepo akiona Mohamad akipokea Quran
Hakuna mfuasi hata mmoja wa Yesu aliandika Biblia..
Kama unaweza nithibitishie
 
Biblia inachukuliwa kama Neno la Mungu la kweli na kuaminika, na imani ya kikristo inaamini kwamba maandishi yaliyo katika Biblia yalikuwa chini ya uongozi na uwezo wa Roho Mtakatifu wakati wa uandishi wake. Kupitia manabii mbalimbali na wanafunzi wa yesu na wafuasi wake waliongozwa kuandika habari za Mungu. Na habari za yote yaliyotendeka zilikuwa wazi kwa sababu zilishuhudiwa na watu wengi. Mfano Injili ya Yesu imeandikwa katika Agano Jipya kwenye kitabu cha Mathayo, Luka, Yohana na wote maandiko yao yanafanana na wote walikuwa wanafunzi wa Yesu

Ni kama wewe unavyoamini kwamba Mohamad alishushiwa Koran, na wakati hakuna shahidi juu ya hilo aliyekuwepo akiona Mohamad akipokea Quran
Luka anasema waandishi waliokota okota maneno.na yeye akajiokotea
 

Attachments

  • Screenshot_20240407_174533_Biblia Takatifu.jpg
    Screenshot_20240407_174533_Biblia Takatifu.jpg
    488.5 KB · Views: 8
Makafiri mna hangaika sana ila wenye akili hadi hao waliyowadanganya sasa hivi wameanza kuijua haki na wanaingia kwenye dini ya mwenyezi mungu makundi kwa makundi, maji na mafuta siku zote hujitenga nyie makafir wa mbagala bakini huko huko kwenye kukanyaga mafuta
Screenshot_20240402-205120~2.png
 
Yeremia 8-8.
Waandishi wameifsnya nini taurati?

Nabii Yeremia anawalaumu waandishi kwa kugeuza au kuficha ukweli wa sheria, hivyo kuvuruga uelewa wa watu kuhusu mapenzi ya Mungu. Kwa maneno mengine, ingawa watu walikuwa na sheria ya Mungu, maandiko yalikuwa yamepotoka kutokana na kuingiliwa kwa wanasheria, ambao walikuwa wakihariri au kuchagua kutomuonyesha Mungu kwa usahihi. Hivyo, Yeremia anawakumbusha watu kwamba kuwa na sheria pekee bila kutumia kwa haki na kwa ukweli ni udanganyifu.

Ni kama ilivyo kwenye uislamu, wao pia wanaamini katika mitazamo tofautitofauti ndio maana kuna Shia, Ahmad, Sunni. Kila mtu akimsonta mwenzake kwa kupotoka
 
Nabii Yeremia anawalaumu waandishi kwa kugeuza au kuficha ukweli wa sheria, hivyo kuvuruga uelewa wa watu kuhusu mapenzi ya Mungu. Kwa maneno mengine, ingawa watu walikuwa na sheria ya Mungu, maandiko yalikuwa yamepotoka kutokana na kuingiliwa kwa wanasheria, ambao walikuwa wakihariri au kuchagua kutomuonyesha Mungu kwa usahihi. Hivyo, Yeremia anawakumbusha watu kwamba kuwa na sheria pekee bila kutumia kwa haki na kwa ukweli ni udanganyifu.

Ni kama ilivyo kwenye uislamu, wao pia wanaamini katika mitazamo tofautitofauti ndio maana kuna Shia, Ahmad, Sunni. Kila mtu akimsonta mwenzake kwa kupotoka
Yeremia hakuwa nabii
 
Kivipi Mkuu?

Unaweza ukatuweka wazi zaidi ili na sisi tuipate hiyo elimu na kuweza kujitambua?
Kuna mwamba anaitwa Mfalme Constantine mkuu, mtawala wa kwanza wa dola ya Roma kuingiza Ukristo kwenye serikali ya Roma na yeye mwenyewe kuingia kwenye Ukristo. Huyu ndiyo master mind wa biblia, sehemu kubwa ya mpangilio wa vitabu vya agano jipya vilipangwa kwa maelekezo yake. Vitabu vya agano la kale vingi ni hadithi za maisha ya wayahudi na sheria za dini ya kiyahudi (Judaism).

Malengo ya mtawala Constantine katika kuunda biblia ilikuwa ni kutengeneza ushawishi wa kisiasa kupitia dini ya kiyahudi lakini waongeze udambwidambwi mwingine ili kunogesha kwa kuweka agano la kale na jipya. Baadhi ya wasomi na watafiti wa elimu ya dini wanaamini kwamba sehemu kubwa ya hadithi za agano jipya ni za kutungwa na watawala wa dola ya Roma kwa maslahi yao ya kisiasa katika kujenga ushawishi ulimwenguni.
 
Tunga
Stori za biblia na quran zote ni za kutunga tu, ila watunzi wa biblia Wana akili sana, watunzi wa quran ni vilaza tu walikopi kwa biblia wakaharibu stori za wenzao then wakajiona wao ndo wapo sahihi.
Tunga na qeww tuone akili zako mbwa mkubwa wewe
 
Sababu maelezo yake au maneno yake hayafiki moja kwa moja kwa mitume husika, mfano Yesu na Musa.
Unamaanisha nini kusema maneno yake hayafiki moja kwa moja kwa mitume....

Yesu neno lake liliandikwa na watu aliokuwa anakesha nao ambao kimsingi ni wanafunzi wake ndio walifanya hiyo kazi ya kuandika Injili. Yesu aliwaamuru wanafunzi wake na wafuasi wake wasambaze injili duniani kote.

Yesu alitoa amri ya kueneza Injili katika aya kadhaa, lakini moja ya maelekezo yake muhimu zaidi kuhusu suala hilo ni katika Injili ya Mathayo, sura ya 28, aya ya 19-20 (NIV):

"Kwa hiyo enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu; na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari."

Katika aya hii, Yesu anawapa wanafunzi wake amri ya kwenda ulimwenguni kote na kuwafanya wanafunzi wa mataifa yote, kwa kuwabatiza na kuwafundisha kuhusu mafundisho yake. Hii inajulikana kama Agizo la Uenezi, na ni moja ya maagizo muhimu zaidi katika maandiko ya Kikristo ambayo yamewaongoza Wakristo kwa karne nyingi kuhubiri na kushiriki Injili.


Maandishi yanayohusu maisha na utume wa Musa katika Biblia yanahusishwa na vitabu viwili muhimu: Kutoka na Kumbukumbu la Torati. Kwa mujibu wa imani ya Kiyahudi na Kikristo, Mungu alimpa Musa sheria na maagizo kwa ajili ya taifa la Israeli, na haya yakaandikwa katika kitabu cha Kutoka na sehemu nyingine za Torati.

Hata hivyo, kuhusu ni nani aliyeandika vitabu hivi kumejadiliwa sana katika masomo ya kibiblia. Kuna mtazamo unaodhani kwamba Musa mwenyewe aliandika sehemu kubwa ya maandishi haya chini ya uongozi wa Mungu. Hata hivyo, kuna mifano mingine inayopendekeza kuwa maandishi hayo yalikusanywa na kuhaririwa na watu wengine baada ya kifo cha Musa, na kwamba huenda yalikuwa na michango ya waandishi wengine pia au watu aliokuwa nao katika kipindi cha utume.

Utume wa Musa ni karne nyingi sana, haikuwa rahisi kugundua moja kwa moja kama ni yeye ndio aliandika au watu aliokuwa nao
 
Asilimia kubwa ya watu wa dini hawamjui huyo wanayemuita Mungu wala hawamuamini na kumpenda ila wanamuogopa kutokana na hadithi walizosikia kuhusu hilo dude.
🤣🤣🤣🤣
 
Makafiri mna hangaika sana ila wenye akili hadi hao waliyowadanganya sasa hivi wameanza kuijua haki na wanaingia kwenye dini ya mwenyezi mungu makundi kwa makundi, maji na mafuta siku zote hujitenga nyie makafir wa mbagala bakini huko huko kwenye kukanyaga mafuta
Mungu hana dini acha uongo
 
Aliyeanzisha Ukristo ndio huyo aliyeanzisha Uislam
Hapana, Ukristo na Uislamu ni dini mbili tofauti na zilianzishwa na viongozi tofauti na katika muktadha tofauti kihistoria.

Ukristo ulianza karibu na karne ya 1 BK (Baada ya kristo) katika Mashariki ya Kati, kufuatia maisha, mafundisho, kifo, na ufufuo wa Yesu Kristo. Wafuasi wake, pamoja na mitume wake, walihubiri Injili (habari njema) kuhusu Yesu kote katika eneo la Mediterania na hata zaidi. Ukristo ulikua na kusambaa hasa baada ya kazi za mitume na kupitia juhudi za viongozi wa kiroho na wamishonari.

Uislamu, kwa upande mwingine, ulianzishwa na Mtume Muhammad katika karne ya 7 BK (Baada ya kristo) huko Arabuni. Muhammad alipokea ufunuo wa Qurani kutoka kwa Mungu kupitia malaika Gabriel, na kisha akahubiri ujumbe huo kwa watu wa Makkah na maeneo mengine. Uislamu ulienea kwa haraka baada ya kifo cha Muhammad, kufuatia juhudi za masahaba wake na viongozi wengine wa kidini.

Ingawa kuna mwingiliano wa kihistoria kati ya Ukristo na Uislamu, na wote wawili wanahusisha mafundisho na watu wa zamani wa Biblia, ni dini tofauti na viongozi wao tofauti walioanzisha.
 
Back
Top Bottom