Ukristo na Uislamu ni Dini mbili zisizofanana kabisa

Ukristo na Uislamu ni Dini mbili zisizofanana kabisa

Wazo hili lingekosekana hapa ningepotea JF milele.

Hata hivyo hakuna kiumbe kilichojileta duniani kwa ridhaa yake chenyewe bila ya kuumbwa.

Je kabla ya kuumbwa kilikuwa kinaishi wapi na baada ya maisha duniani kitarudi wapi?

Tafakari na chukua hatua,haki hekima kidini [emoji375][emoji375]
Una uthibitisho upi kwamba viumbe vyote viliumbwa?

Ukiwa na nyama[emoji3052] fresh kisha ukaiacha kwa muda ikaanza kuoza wakatokea wadudu kwenye hiyo nyama, Utasema hao wadudu wameumbwa?

Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe kimeumbwa, Kwa nini umu exclude muumbaji kwenye uumbaji?

Muumbaji huyo kabla ya kuumba alikuwa wapi?

Huko alikokuwa kulitoka wapi?

Kama muumbaji aliweza kuwepo tu bila kuumbwa, Hata viumbe vipo tu bila kuumbwa.

Ndio maana wadudu(finyofinyo) wanaweza kujitokeza wenyewe tu kwenye Nyama bila kuhitaji muumbaji.

Na kama haiwezekani viumbe kujiumba vyenyewe, Hata huyo muumbaji hawezi kujiumba mwenyewe.
 
Kwahiyo kwenye maisha huna kingine cha kujadili zaidi ya dini?
Vingine vitajadiliwa na wengine, Tanzania ina watu zaidi ya Milioni 60, mimi pekee siwezi kujadili mada za sekta mbalimbali... Mimi leo nimechagua upande huu, wewe pia unaweza kuleta za Siasa tu, au za Kiuchumi tu, au za kivita tu
 
Ndio mnavyodanganywa na wazungu wenu ndio maana hata papa anawaambia anayowaambia maana hamjawahi kuwa na akili na mwamposa na wenzake watarndelea kuwageuza ng'ombe kila siku, haya nendeni mkakanyage mafuta
Screenshot_20240405-204956~2.png
 
Katika Biblia hiyo ilishatabiriwa kitambo... Siku za mwisho watu watamuasi MUNGU na dhambi zitaongezeka, kwa ambao wanasoma biblia vizuri, hawashituki
Wazungu wameshtukia kama walikuwa wanapigwa , hakuna mungu anabariki mashoga, hakuna mungu watatu na mungu hajawahi kuwa na mtoto, mungu gani anateswa na yeye anamlilia mungu? Does it make sense kweli
 
Unamaanisha nini kusema maneno yake hayafiki moja kwa moja kwa mitume....
Namaanisha waandishi wa Injili hawakuchukua moja kwa moja toka kwa Yesu.

Kwa hali hii, lazima waliyo yanukuu yachunguzwe, yajulikane kweli yametoka kwa Yesu au ni kweli ni mafundisho ya Yesu.
 
Katika Biblia hiyo ilishatabiriwa kitambo... Siku za mwisho watu watamuasi MUNGU na dhambi zitaongezeka, kwa ambao wanasoma biblia vizuri, hawashituki
Kwa hiyo from the beginning mungu alijua kabisa wanadamu watakuja kumuasi na dhambi zitaongezeka akatulia tu?

Akashindwa kudhibiti dhambi zisiongezeke na wanadamu wasimuasi?

Basi Huyo Mungu ni Mdhaifu sana.
 
Yesu neno lake liliandikwa na watu aliokuwa anakesha nao ambao kimsingi ni wanafunzi wake ndio walifanya hiyo kazi ya kuandika Injili. Yesu aliwaamuru wanafunzi wake na wafuasi wake wasambaze injili duniani kote.
Tutajie wanafunzi sita tu ambao walinukuu walinukuu habari za Yesu.
 
Wazungu wameshtukia kama walikuwa wanapigwa , hakuna mungu anabariki mashoga, hakuna mungu watatu na mungu hajawahi kuwa na mtoto, mungu gani anateswa na yeye anamlilia mungu? Does it make sense kweli
Screenshot_20240401-173304~2.png
 
Yesu alitoa amri ya kueneza Injili katika aya kadhaa, lakini moja ya maelekezo yake muhimu zaidi kuhusu suala hilo ni katika Injili ya Mathayo, sura ya 28, aya ya 19-20 (NIV):

"Kwa hiyo enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu; na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari."
Mathayo alikuwa ni nani kwa Yesu ? Je alimuona Yesu ? Kama hakumuona Yesu hizo habari yeye au hilo andiko yeye alilipata wapi ?
 
Makafiri mna hangaika sana ila wenye akili hadi hao waliyowadanganya sasa hivi wameanza kuijua haki na wanaingia kwenye dini ya mwenyezi mungu makundi kwa makundi, maji na mafuta siku zote hujitenga nyie makafir wa mbagala bakini huko huko kwenye kukanyaga mafuta
Mimi nakwambia na nakuagiza uchunguze,ukiona aliyekuwa mkristo kabadili kuwa muislam,lazima awe na akili zenye mushkeri.

Mkristo timamu kabisa anajua kwamba siku za mwisho wafuasi wa kristo watakuwa wachache sana,na waliopotea watakuwa makundi.
 
  • Nzuri
Reactions: 511
Wazungu wameshtukia kama walikuwa wanapigwa , hakuna mungu anabariki mashoga, hakuna mungu watatu na mungu hajawahi kuwa na mtoto, mungu gani anateswa na yeye anamlilia mungu? Does it make sense kweli
Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
 
Kwani hapo jamaa kakosea nini hadi umekuja kwa hasira hivi!?
Sijawahi kuwa na hasira na makafir ila makafir huwa wanasumbuliwa sana na dini ya haki kila siku lazima warushe uzi zaidi ya mmoja kuhangaika na uislamu ila hukuti muislamu mwenye muda huo,dini yetu imejotosheleza and we are very proud, hushangai hadi kufunga tu ramadhani pia makafir wanapna wivu kama kwaresma hakuna?
 
Katika aya hii, Yesu anawapa wanafunzi wake amri ya kwenda ulimwenguni kote na kuwafanya wanafunzi wa mataifa yote, kwa kuwabatiza na kuwafundisha kuhusu mafundisho yake. Hii inajulikana kama Agizo la Uenezi, na ni moja ya maagizo muhimu zaidi katika maandiko ya Kikristo ambayo yamewaongoza Wakristo kwa karne nyingi kuhubiri na kushiriki Injili.
Swali langu, lipo hapa, wewe umejuaje kama maneno hayo aliyasema Yesu ?

Mathayo maneno haya ameyapata toka kwa nani ?
 
Ndio mnavyodanganywa na wazungu wenu ndio maana hata papa anawaambia anayowaambia maana hamjawahi kuwa na akili na mwamposa na wenzake watarndelea kuwageuza ng'ombe kila siku, haya nendeni mkakanyage mafuta
Hao unaowataja hawapo kwenye Biblia na wala matendo yao hayatafsiriwi kama maandiko ya Biblia... Mwamposa na Papa ni wakristo kama wakristo wengine tu, na wala biblia haijaandika ukuu wao... Ukristo maana yako ufuasi wa mafundisho ya Yesu kristo na sio ufuasi wa mwamposa au Papa... Papa na Mwamposa ni wafundishaji tu wa maandiko ya Yesu Kristo, kama walivyo kama Binadamu wengi katika kazi yao wanaweza kuteleza katika ufundishaji na kukosea mafundisho
 
Mimi nakwambia na nakuagiza uchunguze,ukiona aliyekuwa mkristo kabadili kuwa muislam,lazima awe na akili zenye mushkeri.

Mkristo timamu kabisa anajua kwamba siku za mwisho wafuasi wa kristo watakuwa wachache sana,na waliopotea watakuwa makundi.
Hivi mtu anayeamini kuna mungu watatu na anayeamini atapona kwa kukanyaga mafuta hao si wakuwaonea huruma kabisa
 
Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Acheni ujinga, ithibati haiji kitoto hivi. Thibitisha ya kuwa Mungu hajawahi kuwepo na utuambie umejuaje ?

Na kitu ambacho hakijawahi kuwepo unakidiriki vipi ? Au unaandika tu mambo pasi na kufikiria ?
 
Maandishi yanayohusu maisha na utume wa Musa katika Biblia yanahusishwa na vitabu viwili muhimu: Kutoka na Kumbukumbu la Torati. Kwa mujibu wa imani ya Kiyahudi na Kikristo, Mungu alimpa Musa sheria na maagizo kwa ajili ya taifa la Israeli, na haya yakaandikwa katika kitabu cha Kutoka na sehemu nyingine za Torati.
Maana yake matini ya neno kwa neno ya Taurati hakuna, bali Kuna kumbukumbu. Kumbukumbu ambazo lazima zihakikiwe ili ziweze kutumia.

Swali la msingi, ni nani alizihakiki hizi kumbukumbu na kuzipa hadhi ya kutumika na kuwekwa kwenye mikusanyiko wa vitabu vingine na kuwa Biblia ?
 
Labda hii watu hawajui. Leo si tunazungumzia dini zetu, let's go.

Kuna tofauti ya watu walioandikwa kwenye Biblia na Koran, hilo kwanza ulijue. Ibrahim unayemsoma kwenye Biblia si Ibrahim unayemsoma kwenye Koran.

Ibrahim wa kwenye Biblia baba yake anaitwa Terah ila wa kwenye Koran anaitwa Azar. Kasome Quran 6:74.

Kwenye Biblia wana Yesu, kwenye Koran wana Issa. Huyu Issa hakusulubiwa msalabani, ila Yesu alisulubiwa. Ndugu zangu, hawa ni watu wawili tofauti.

Kuna MUNGU (Almighty GOD) kwenye Biblia na kuna Allah kwenye Koran

So watu wa huku ni tofauti na wa kule. Kwa Biblia, Ishmael anajulikana kama mtoto wa kijakazi, ila kwa Kuran ni tofauti.

So mkikaa na kuzungumza, cha kwanza jueni mnawazungumzia watu wa sehemu tofautitifauti.

Mfalme Suleiman wa Bible alikuwa holy na baadaye akaanguka dhambini ila wa kwenye Kuran alikuwa anaongea mpaka na majini. So mkiwa mnawasoma watu wa kwenye Bible, msije kufikiri ni watu walewale wa kwenye Kuran, sio hivyo.

Musa wa kwenye Biblia alipewa Amri 10 za MUNGU, Musa wa kwenye Koran hakupewa amri 10 zozote.

Biblia inamtambua Samson kama jamaa aliyebarikiwa nguvu na uwezo wa kupambana na udhaifu wake ni kukata nywele zake, ila hakuna kisa cha namna hiyo kwenye Quran.

Biblia imeorodhesha mitume na manabii wengi wakitoka katika chimbuko la wayahudi, wakati Quran haiwazungumzii wayahudi katika chimbuko la unabii.

Ndio maana ukimsoma mtu wa huku, unaona tofauti kubwa na mtu wa kule.

Kuran imemtambua Adam kama mtume, ila kwa Biblia imemtambua kama mtu wa kawaida tu, mtu aliyeumbwa mwanzoni kabisa.

So mlifahamu hilo, sio mnakaa kwenye vijiwe vya kahawa mnabishana weeee meaningwhile watu mnaowazungumzia ni tofauti.

Historia ya Matukio ikitofautiana basi jua kabisa hao ni watu tofauti kabisa.

Hivyo ni vyema kila mtu abaki na anachokiamini, muda au siku ya kiama ndio ukweli utadhihirika nani alikuwa sahihi na nani alikuwa muongo.
Akili kisoda, umeshupaza shingo na huu ujinga nyambafu
US na Europe wana dini zao
Asia wana dini zao
South America wana dini zao
Africa kuna nyani aliyechangamka kushupaza shingo na dini za wengine

View: https://www.youtube.com/watch?v=C_wnGga6YUU
 
Hata hivyo, kuhusu ni nani aliyeandika vitabu hivi kumejadiliwa sana katika masomo ya kibiblia. Kuna mtazamo unaodhani kwamba Musa mwenyewe aliandika sehemu kubwa ya maandishi haya chini ya uongozi wa Mungu. Hata hivyo, kuna mifano mingine inayopendekeza kuwa maandishi hayo yalikusanywa na kuhaririwa na watu wengine baada ya kifo cha Musa, na kwamba huenda yalikuwa na michango ya waandishi wengine pia au watu aliokuwa nao katika kipindi cha utume.
Ulisema Musa ndio aliandika na muda huo huo mnasema ni Kumbukumbu la Taurati hili si sahihi.

Kwa mujibu wa maelezo yako, inaonekana nyinyi wakristo hamjikiti sana katika kujua uhakika wa maandiko na wapi yametoka, na kujua lipi sahihi lifatwe na lipi si sahihi lisifatwe.
 
Acheni ujinga, ithibati haiji kitoto hivi. Thibitisha ya kuwa Mungu hajawahi kuwepo na utuambie umejuaje ?

Na kitu ambacho hakijawahi kuwepo unakidiriki vipi ? Au unaandika tu mambo pasi na kufikiria ?
Hakuna uthibitisho wowote wa kuwepo Mungu kwa vile Hayupo kwa namna yoyote ile ya kuthibitishika yupo.

Huu ni uthibitisho tosha kwamba hayupo.

Ukiweza thibitisha yupo.
 
Back
Top Bottom