Tuonyeshe alitupiga fix wapi ?Mud aliwapiga fix mkajaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuonyeshe alitupiga fix wapi ?Mud aliwapiga fix mkajaa
Okay nilitaka kukujibu kwa hoja ila umemaliza vizuri..tuendelee kuishi na imani zetu maana hata hizi dini ni tofauti na imani za mababu zetu ni vile hatujui tmetupwa kwenye uwanja wa masbindano tusiyoyajua ila imani zetu ndizozitatuokoa kutoka katika vita na mashindano ya mataifa.Labda hii watu hawajui. Leo si tunazungumzia dini zetu, let's go.
Kuna tofauti ya watu walioandikwa kwenye Biblia na Koran, hilo kwanza ulijue. Ibrahim unayemsoma kwenye Biblia si Ibrahim unayemsoma kwenye Koran.
Ibrahim wa kwenye Biblia baba yake anaitwa Terah ila wa kwenye Koran anaitwa Azar. Kasome Quran 6:74.
Kwenye Biblia wana Yesu, kwenye Koran wana Issa. Huyu Issa hakusulubiwa msalabani, ila Yesu alisulubiwa. Ndugu zangu, hawa ni watu wawili tofauti.
Kuna MUNGU (Almighty GOD) kwenye Biblia na kuna Allah kwenye Koran
So watu wa huku ni tofauti na wa kule. Kwa Biblia, Ishmael anajulikana kama mtoto wa kijakazi, ila kwa Kuran ni tofauti.
So mkikaa na kuzungumza, cha kwanza jueni mnawazungumzia watu wa sehemu tofautitifauti.
Mfalme Suleiman wa Bible alikuwa holy na baadaye akaanguka dhambini ila wa kwenye Kuran alikuwa anaongea mpaka na majini. So mkiwa mnawasoma watu wa kwenye Bible, msije kufikiri ni watu walewale wa kwenye Kuran, sio hivyo.
Musa wa kwenye Biblia alipewa Amri 10 za MUNGU, Musa wa kwenye Koran hakupewa amri 10 zozote.
Biblia inamtambua Samson kama jamaa aliyebarikiwa nguvu na uwezo wa kupambana na udhaifu wake ni kukata nywele zake, ila hakuna kisa cha namna hiyo kwenye Quran.
Biblia imeorodhesha mitume na manabii wengi wakitoka katika chimbuko la wayahudi, wakati Quran haiwazungumzii wayahudi katika chimbuko la unabii.
Ndio maana ukimsoma mtu wa huku, unaona tofauti kubwa na mtu wa kule.
Kuran imemtambua Adam kama mtume, ila kwa Biblia imemtambua kama mtu wa kawaida tu, mtu aliyeumbwa mwanzoni kabisa.
So mlifahamu hilo, sio mnakaa kwenye vijiwe vya kahawa mnabishana weeee meaningwhile watu mnaowazungumzia ni tofauti.
Historia ya Matukio ikitofautiana basi jua kabisa hao ni watu tofauti kabisa.
Hivyo ni vyema kila mtu abaki na anachokiamini, muda au siku ya kiama ndio ukweli utadhihirika nani alikuwa sahihi na nani alikuwa muongo.
Wewe umeweza kuthibitisha Mungu yupo?Kushindwa kuthibitisha kitu kipo ni kwamba hakipo. Hii akili ya wapi kijana ? Yaani Falsafa na Logic zinawafanya muwe wavivu sana kufikiri.
Kushindwa kuthibitisha uwepo wa kitu Kuna sababu kadhaa miongoni mwa sababu ni kutokuwa na elimu juu ya kitu husika.
Lakini Kuna vitu vingine uwepo wake ni lazima, na unajithibitisha wenyewe. Mfano uwepo wa simu, unathibitisha uwepo wa Msanifu wa simu hiyo.
Sasa unaposema Mungu hayupo kwa sababu hakuwahi kuwepo, ho sentensi Haina maana. Sasa unajengaje hoja kwa kitu ambacho hakina maana ? Huu ni uzwa zwa.
Tuanzie hapo kwanza.... Kwani unamaanisha nini ukisema "Maneno ya Mungu"Ina maanisha kila mtu aliyejisikia aliandika biblia?na haiwezi kuwa ni maneno ya mungu
Acha uongoKwanini unaandika Uongo ?
Tuwekee tatizo Moja tu la kiuandishi ambalo lipo katika Qur'an.
Unaposema iliandikwa au kukusanywa, hapa umeonyesha wazi ya kuwa Qur'an huijui. Qur'an imeandikwa yote na kukamilika hata Mtume hajafa. Alivyo kufa Mtume ndio ikakusanywa na haikupita hata miaka 20. Hii miaka 100 umeipata wapi ?
Hapo ndio mjue dunia ina siri na sisi tunatumikaKatika historia ya awali, Biblia ilianzishwa katika lugha za asili kama Kiebrania (kwa Agano la Kale) na Kigiriki (kwa Agano Jipya).
Wewe ndio umepotoka.... Injili ya yesu agano jipya imeandikwa na Mathayo, Luka na Yohana ambao kimsingi ni wanafunzi wa Yesu na walikuwa nae nyakati nyingi na Biblia inasema hivyoMKuu Hapa umedanganya Saana..
Hakuna Hata mwandishi mmoja kwenye Biblia ni authenification yaani hakuna aliyemuona yesu wala hakuna aliyeonana na waandishi wa Biblia..
Biblia Yote ni Pseudepigrapha...
Ni uhandishi kwa 3rd Part..
Na naweza kukuthibitishia hivyo..
Na Quran hivyo hivyo
Unbelievers are enemies of Allah and they will roast in hell. - 41:14Tuonyeshe alitupiga fix wapi ?
Mkuu narudia tena Biblia ni muunganiko wa vitabu vilivyoandikwa na watu tofauti... Yani maandiko yao yaliunganishwa na kuitwa biblia, na biblia imeandikw nyakati tofauti tofauti, kuna agano la kale lililoandikwa kabla ya Yesu na yesu alilikuta, na kuna agano jipya ambalo limeandika injili ya Yesu kristo... Biblia imeandikwa sio kwa pamoja bali kwa kukusanya maandiko kutoka kwa manabii wa kale, wanafunzi wa yesu na wafuasi wa MunguHakuna mfuasi hata mmoja wa Yesu aliandika Biblia..
Kama unaweza nithibitishie
Unazungumzia katika Dini gani? Ndio maana na sema uislamu na ukristo ni dini zisizofananaYeremia hakuwa nabii
Ndicho kilichopelekea Ukristo kuwa na madhehebu ambayo unayoyaona leo... Watu walianza kujitenga na kutengeneza madhehebu mengine baada ya kuona ukristo unapotoka kutoka katika asili yake halisiKuna mwamba anaitwa Mfalme Constantine mkuu, mtawala wa kwanza wa dola ya Roma kuingiza Ukristo kwenye serikali ya Roma na yeye mwenyewe kuingia kwenye Ukristo. Huyu ndiyo master mind wa biblia, sehemu kubwa ya mpangilio wa vitabu vya agano jipya vilipangwa kwa maelekezo yake. Vitabu vya agano la kale vingi ni hadithi za maisha ya wayahudi na sheria za dini ya kiyahudi (Judaism).
Malengo ya mtawala Constantine katika kuunda biblia ilikuwa ni kutengeneza ushawishi wa kisiasa kupitia dini ya kiyahudi lakini waongeze udambwidambwi mwingine ili kunogesha kwa kuweka agano la kale na jipya. Baadhi ya wasomi na watafiti wa elimu ya dini wanaamini kwamba sehemu kubwa ya hadithi za agano jipya ni za kutungwa na watawala wa dola ya Roma kwa maslahi yao ya kisiasa katika kujenga ushawishi ulimwenguni.
Ikiwa kila muda unabadilisha mada hatutaelewana.Yeremia 8-8.
Waandishi wameifsnya nini taurati?
Hao wadudu unaowazungumzia ni funza waliotagwa na nzi.... Leo hii wewe ukioza ukiwa nje ya dunia uwezi kutoa funza kwa sababu kule hakuna nzi... Au nyama ukiifungia kwenye chombo ambacho mdudu hawezi kuingia basi nyama itaoza bila kuwa na hao wadudu... Huo sio muujizaNdio maana wadudu(finyofinyo) wanaweza kujitokeza wenyewe tu kwenye Nyama bila kuhitaji muumbaji.
Mkuu Nyakati za zamani zikishapita Ndo kipindi ambacho mtu akikumbuka Hujiona Jinsi gani alivyokuwa Mjinga..Wakati ulipokuwa mchungaji ulikuwa unamhubiri mungu yupi?
Ulitumia kitabu gani?
Ndio shida ya kutokusoma maandiko ya biblia... Huo ushoga hata kwenye Sodoma na Gomorrah kwenye biblia ulikuwepo ukapelekea mungu kushusha gharika la moto katika miji hiyo...Wazungu wameshtukia kama walikuwa wanapigwa , hakuna mungu anabariki mashoga, hakuna mungu watatu na mungu hajawahi kuwa na mtoto, mungu gani anateswa na yeye anamlilia mungu? Does it make sense kweli
Kuna watu wako hai na wanaoza viungo vyao na kutoa wadudu.Hao wadudu unaowazungumzia ni funza waliotagwa na nzi.... Leo hii wewe ukioza ukiwa nje ya dunia uwezi kutoa funza kwa sababu kule hakuna nzi... Au nyama ukiifungia kwenye chombo ambacho mdudu hawezi kuingia basi nyama itaoza bila kuwa na hao wadudu... Huo sio muujiza
Sijaona jibu la swali mkuu.Mkuu Nyakati za zamani zikishapita Ndo kipindi ambacho mtu akikumbuka Hujiona Jinsi gani alivyokuwa Mjinga..
Kwa mfano Huwezk waambia Wana wa Israel wale vyakula Vilivyo Najisi ambavyo walikula wakiwa misri wavile hivyo hovyo wakiwa Kanaani wakati Mungu amewapa maagizo ya KOSHER
Nimeshasema mara kadhaa mathayo ni mwanafunzi wa Yesu, sasa wewe ni mwanafunzi alafu ushindwe kumuona mwalimu wako.... Sio alimuona tu, bali alitembea nae na kula naeMathayo alikuwa ni nani kwa Yesu ? Je alimuona Yesu ?