Ukristo na Uislamu ni Dini mbili zisizofanana kabisa

Ukristo na Uislamu ni Dini mbili zisizofanana kabisa

Makafiri mna hangaika sana ila wenye akili hadi hao waliyowadanganya sasa hivi wameanza kuijua haki na wanaingia kwenye dini ya mwenyezi mungu makundi kwa makundi, maji na mafuta siku zote hujitenga nyie makafir wa mbagala bakini huko huko kwenye kukanyaga mafuta
Dini ikikufanya uwadhadau,kuwatukana na kuwakejeli binadamu wenzio achana nayo,haifai
 
Hivi mtu anayeamini kuna mungu watatu na anayeamini atapona kwa kukanyaga mafuta hao si wakuwaonea huruma kabisa
Wewe unayeamini Quran kushushwa wakati hakukuwa na shahidi wa kuthibitisha hili si wa kuonea huruma... Quran ilishushwaje wakati maandiko yake tayari yalikuwepo hata kabla Mohamad hajazaliwa... Unasemaje maandiko yameshushwa, wakati yesu mwenyewe kasoma torati kwa kuishika kwenye sinagogi... Anatokea mtu anasema haikuwepo, eti kashushiwa yeye tu
 
H
Mleta mada biblia alipewa nabii gani?
Tulishawaambia kuwa haya mambo ya kupeana vitabu yako Kwa manabii wa mchongo.Hata huyo mnayedai alipewa kitabu hakuwahi kukiona.Ni wapi Muhammad aliwahi kuiona Quran?
 
Defensive machinsm at work.
Ngoja nikufuate huku huko unakotaka kujificha, nifyeke hicho kichaka chako cha Karanga unachotaka kukitumia.

Kati ya manabii laki 2 na 24 wanaotambulika na uislamu na vitabu vya kiislamu kama ulivyo sema, nitajie manabii wawili ama watatu wanaosema Mungu hana Mwana then huu mjadala utakuwa umeisha.



upande wangu mimi naweza kukupa verse za akina:-
KING DAVID.
SULEIMAN.
MUSA.
ISAYA.
JEREMIA ETC WANAKUBALI KUWA MUNGU ANA MWANA NA UNAWEZA SEMA VITABU VYAO HAVITAMBULIKI KATIKA ISLAM.
SO TUJADILI KUPITIA VITABU VYA KIISLAM TU.
Kaka!
Wewe ndiye mhadhiri (lecturer) uliyesema kwenye uislamu kati ya manabii 124,000 Muhammad peke yake ndiye aliyesema Munge hana mwana.

Mimi ni hadhira nimepokea ulichokisema (kiandika). Kwa kutaka kuelewa zaidi darasa ulilotoa nikakuuliza swali. Sasa wewe swali unanigeuzia mimi tena?

Nauliza tena swali: Umesema kati ya manabii 124,000 kwenye uislam ni Muhammad peke yake aliyesema Mungu hana mwana. Tunafahamu mafundisho ya dini ya Uislam ni kama mafundisho ya dini nyengine kwa maana yana maandiko (vitabu) vyao.

Sasa nisaidie ushahidi kwenye vitabu vyao kwa ulichokisema ili na mimi nielimike na hilo! Ili tukisema au ikisemwa hivyo waislamu wenyewe wakihoji sisi tunawapa uthibitisho kutoka kwenye maandiko yao huko huko!

Nasubiri jawabu kiongozi.
 
Makafiri mna hangaika sana ila wenye akili hadi hao waliyowadanganya sasa hivi wameanza kuijua haki na wanaingia kwenye dini ya mwenyezi mungu makundi kwa makundi, maji na mafuta siku zote hujitenga nyie makafir wa mbagala bakini huko huko kwenye kukanyaga mafuta
Uzuri wanakuja ku dilute dini wanafanya kazi njema sana ,ndo maana kwa sasa waislam wala kitimoto na wapiga mvinyo wameongezeka kuliko kipindi chochote,,,,na waislam wengi hawana upepo wa kusoma albadili maana hawatimizi matakwa
 
Tutajie wanafunzi sita tu ambao walinukuu walinukuu habari za Yesu.
Hapa kuna orodha ya wanafunzi sita wa Yesu ambao walikuwa maarufu kwa kutoa maelezo kuhusu maisha, mafundisho, na matendo ya Yesu katika Injili:

1. Mtume Mathayo: Aliandika Injili ya Mathayo ambayo inaelezea maisha na mafundisho ya Yesu, pamoja na mafundisho yake makuu.

2. Mtume Marko: Aliandika Injili ya Marko, ambayo inatoa maelezo ya haraka-haraka ya huduma ya Yesu na matendo yake ya ajabu.

3. Mtume Luka: Aliandika Injili ya Luka na pia Kitabu cha Matendo ya Mitume, ambayo inaelezea habari za Yesu na pia kuendeleza historia ya kanisa la kwanza.

4. Mtume Yohana: Aliandika Injili ya Yohana, ambayo inatoa mtazamo wa kipekee wa mafundisho na miujiza ya Yesu, pamoja na mazungumzo yake ya kina na wanafunzi wake.

5. Mtume Petro: Ingawa hakuandika moja kwa moja Injili, Petro alikuwa mmoja wa wanafunzi wa Yesu na alikuwa na jukumu muhimu katika uanzishaji wa kanisa la kwanza. Barua zake mbili (ambavyo kwa sasa ni vitabu), 1 Petro na 2 Petro, zinatoa mafundisho muhimu kuhusu imani na maisha ya Kikristo.

6. Mtume Paulo: Ingawa si mmoja wa wanafunzi wa Yesu wakati wa huduma yake duniani, Paulo alikuwa mtume aliyetumika kwa nguvu katika kusambaza injili baada ya ufufuo (kufufuka) wa Yesu. Barua zake nyingi zilizoandikwa kwa makanisa ya karne ya kwanza zinatoa mafundisho na mwongozo muhimu kwa Wakristo.
 
Kwani lengo la kuleta nabii si kuilea jamii kwa kuipatia muongozo utokao kwa Mungu?

Adam alikuwa ni baba na kiongozi kwa familia yake na ndiye mtu wa kwanza. Unafikiri mwongozo wake juu ya malezi na kuiongoza familia yake na kuyatawala mazingira ulikuwa unatoka wapi? Ulikuwa unatoka kwa Mungu.

Na namna ya kuiongozo familia yake kiroho mwingozo alikuwa anaupata kutoka kwa nani? Jawabu ni kwa Mungu.

Hivyo akafanywa kuwa Nabii kwa familia yake. Ni kama manabii wengine walivyotumwa kwa watu wa jamii yao/eneo lao tu. Halikadhalika na yeye. Akifanywa kuwa nabii kwa ajili ya kuiongoza familia kwenye mazingira ambayo wao ndiyo viumbe wa kwanza wa aina yao kuishi. Yaani binadamu.
Opinion yako.Kuna andiko lolote ku prove hoja yako nje ya biblia na Quran?
 
Ulisema Musa ndio aliandika na muda huo huo mnasema ni Kumbukumbu la Taurati hili si sahihi.

Kwa mujibu wa maelezo yako, inaonekana nyinyi wakristo hamjikiti sana katika kujua uhakika wa maandiko na wapi yametoka, na kujua lipi sahihi lifatwe na lipi si sahihi lisifatwe.
Wewe vipi bado unaamini Quran ilishushwa wakati maandiko mengi ya manabii yalikuwepo hata kabla Mohamad hajazaliwa... Unashushiwaje kitu ambacho tayari kilikuwepo?

Ebu nawe kaa ujikite kutafuta Habari za Musa, Ibrahim na Yesu, zilitoka wapi kwa Mohamad wakati tayari zilikuwepo na watu walikuwa wameziandika na kuzijua hata kabla ya kuzaliwa Mohamad
 
Amri kumi za MUNGU walizopewa wakristo ndizo hizo hizo wanazofata na kushika waislam. Kama unabisha niambie wapi sio kweli.
Nitajie Mstari wowote kwenye Quran unaotaja Amri 10 alizopewa Musa


Dini zote zina siku maalumu ya ibada, yaani Jumapili na ijumaa.
Uwezi kusema Dini zinafanana wakati hata siku ya kuabudu sio moja... Hata wahindu wanasiku yao ya kuabudu, uwezi kusema Wahindu na wakristo ni sawa eti kwa sababu wote wana siku ya kuabudu

Dini zote wanatoa sadaka siku za ibada na siku za kawaida wanahimizwa kufanya zaka na sadaka binafsi.
Kutoa Sadaka haimaanishi mnafanana, hata Devil Worshipers na wachawi wanatoa Sadaka... Sadaka sio hoja ya kufanya dini kufanana

Dini zote zinatumia lugha za kigeni yaani English,latin na kiarabu
Lugha sio hoja, hata Devil Worshipers shipers wanatumia kiingereza na wachawi wanatumia kiswahili kama waislamu haimaanishi ni dini moja

Dini zote zina muabudu MUNGU, na zinamlaani shetani
Mungu umwabudie wewe sio amwabudie jirani yako.... Wahindi wanaabudu Ngombe...


Dini zote zina vitabu vikuu yaani Bible na Msaafu vyenye mafundisho na kanuni za kale zenye maudhui ya kisasa.
Utofauti wa vitabu tu inamaanisha dini hazifanani... Zingekuwa zinafanana zingekuwa na kitabu kimoja
 
Dini zote zinaamrisha maisha kuanza na Ndoa.
Ndoa haimaanishi Dini zinafanana... Ukristo hauamini ndoa za wake wengi, uislamu unaamini katika hilo.... Pia hata kabla ya dini, ndoa za jadi zilikuwepo
 
Dini zote zina role model figure yaani Mitume Yesu na Mohamed.
Wakristo hawamuamini Mohamad, hapo tayari hizi dini ni tofauti hata namna ya kusali ni tofauti
 
Mkuu narudia tena Biblia ni muunganiko wa vitabu vilivyoandikwa na watu tofauti... Yani maandiko yao yaliunganishwa na kuitwa biblia, na biblia imeandikw nyakati tofauti tofauti, kuna agano la kale lililoandikwa kabla ya Yesu na yesu alilikuta, na kuna agano jipya ambalo limeandika injili ya Yesu kristo... Biblia imeandikwa sio kwa pamoja bali kwa kukusanya maandiko kutoka kwa manabii wa kale, wanafunzi wa yesu na wafuasi wa Mungu
Wakati Muhammad anawataja "Watu wa Kitabu"Alikuwa anarefer kitabu gani?
 
Ndio inawezekana kuwepo watu wawili tofauti kabisa wenye jina linalofanana... Kitu kinachofanya watu hawa wawili kusemekana kuwa ni mtu mmoja ni kufanana kwa matukio au historia yao... Ila wasipofanana tu matukio basi hao sio mtu mmoja... Mfano Yesu na Issa ni watu wawili tofauti kabisa kwa sababu historia zao hazifanani.
Hujasoma Maelezo yangu ukayaelewa? kayasome..
Kuna Mtu anayeitwa Petro..

Unajua Kuwa Petro,Peter halikuwa Jina lake na wala hakuwahi kuitwa Hivyo???

jina lake Halisi lilikuwa ni Simon ila Yesu alimuita Mwamba kwa Kiaram " cephas"

Mpaka wanakufa hicho kizazi hakukuwa na Mtu anayeitwa Petro mwanafunzi wa Yeshua..


Kwa mujibu wa Biblia baba yake na Yusuph mke wa Maria ni nani??
Kwa Mujibu wa Biblia Baba yake na Mke wa Musa ni nani?

tuanze na hayo kwanza mengine yatafuata




Yesu ni tafsiri tu ya kiswahili
Jina "Yesu" ni tafsiri ya Kiswahili ya jina la Kigiriki "Ἰησοῦς" (Iēsous), ambalo lenyewe ni tafsiri ya jina la Kiebrania "ישוע" (Yeshua) au "יְהוֹשֻׁעַ" (Yehoshua), linalomaanisha "Yahweh anaokoa" au "Yahweh ndiye wokovu."

Kama ilivyo kwa majina mengine ya kiebrania yaliyotafsiriwa kuja kiswahili kama Yohana, Musa, Petro na mengineyo. Kitu pekee kinachofanya jina hilo kudhiriisha huyo mtu ni mfanano wa historia na matukio yao
mkuu Tangu umezaliwa Umewahi kuona Jina la Mtu linatafsiriwa..

Kwa mfano hapo unaitwa Mhaya ukienda kongo utaitwa Nani???
vipi ukienda China??
Jina halina Tafsiri..

na hapo ndo walipo tuweza..
huwezk kushangaa Jina la Yakobo lina tafsiri Mbili tofauti
kuna Yakobo wa Jacob na Kuna Yakobo wa James Bado hushangai?

Jina linaloandikwa kwa Kiebrania kwa Maandishi sawa Ila tafsiri Tofauti...

Kama Yeshua ina tafsiri Kwanini Jina la yoshua Bin Nun hakuitea Yesu Bin Nuni?


Hajiri kipindi anaolewa alikuwa bado kijakazi, na hata hakupata haki zote kama mke. Hata mtoto wake hakufanywa mwana mkuu machoni pa Ibrahim badala yake Mke wake Sarah baada ya kuzaa ndio isaka akafanywa mtoto mkuu machoni pa baba.
mkuu Jitahidi Kusoma sana
Maana nilipokuandikia mwanzo ulielewa?
Kipindi cha zamani Mtumwa aliachiwa baada ya kukaa miaka kumi kwa bwana wake..

Ila Hajar alipotimiza miaka Kumi sarai hakuona haja ya kumuachia akaamua kumuozesha mumewe awe mke wa Ibrahimu..

Nimekupa Andiko la biblia Mkuu kasome maana zamani Ukikaa na mtumwa "Kijakazi" utaruhusiwa kukaa naye miaka saba tu, Baada ya hapo utamuachia..
Kama hutataka kumuachia Bhasi Muoe..
Na ndo kilichofanyika..


Kutoka 21:2

"Ukimnunua mtumwa, atakutumikia muda wa miaka sita; mwaka wa saba atatoka kwako huru bure."


Sasa Turudi kwa hajari alitumika miaka mingapi Ilkuwa Kumi maana yake ni kwamba alikuwa Huru na ndo maana akaweza kuruhusiwa kuolewa na Ibrahimu ambaye ni bwana wake..

Mwanzo 16:3
"Sarai mkewe Abramu akamtwaa Hajiri Mmisri mjakazi wake, baada ya kukaa Abramu katika nchi ya Kanaani miaka kumi, akampa Abramu mumewe, awe mkewe."


Nafikiri Sasa Umeelewa.
 
Kuna mwamba anaitwa Mfalme Constantine mkuu, mtawala wa kwanza wa dola ya Roma kuingiza Ukristo kwenye serikali ya Roma na yeye mwenyewe kuingia kwenye Ukristo. Huyu ndiyo master mind wa biblia, sehemu kubwa ya mpangilio wa vitabu vya agano jipya vilipangwa kwa maelekezo yake. Vitabu vya agano la kale vingi ni hadithi za maisha ya wayahudi na sheria za dini ya kiyahudi (Judaism).

Malengo ya mtawala Constantine katika kuunda biblia ilikuwa ni kutengeneza ushawishi wa kisiasa kupitia dini ya kiyahudi lakini waongeze udambwidambwi mwingine ili kunogesha kwa kuweka agano la kale na jipya. Baadhi ya wasomi na watafiti wa elimu ya dini wanaamini kwamba sehemu kubwa ya hadithi za agano jipya ni za kutungwa na watawala wa dola ya Roma kwa maslahi yao ya kisiasa katika kujenga ushawishi ulimwenguni.
Hoja zako ni nzuri lakini misingi yako ya kuamini hiki ulichokiandika haitofautiani na wale waamini dini.

Wao wameamini kile kilichoandikwa kwenye vitabu husika na kuamini. Halikadhalika na wewe umeamini kile kilichoandikwa kwenye kitabu husika.

Kwa utofauti wa lugha kwa namna nyengine tungesema; laiti ulichokiamini wewe kama ingelikuwa uislam basi ungelikuwa muislam chief. Na laiti ulichokiamini wewe kingelikuwa ukristo basi leo hii ungelikuwa mkristo chief.

Ikiwa kama tukiendelea kuubeba msingi uleule wa hoja yako basi nyote mnaogelea kwenye bahari ileile kiongozi. Tofauti itakuwa ni nomino tu.
 
Sasa kama ilikuwa ngumu, kwanini yanafanyiwa kazi maandiko yake na huku mnajua wazi ya kuwa hakuna hakika yake ?
Walikuwepo enzi hizo ndio wanasema ni Maandiko yake na baadhi aliyaandika yeye na ndivyo tunavyoamini... Ni kama wewe unavyosema Quran imeshushwa na Mohamad, je baada ya kushushwa na Mohamad, maisha yaliyofuta ya historia ya Mohamad mpaka kifo yaliongia vipi kwenye Quran?

Je wewe ulikuwepo au nani alikuwepo wakati Mohamad anashushiwa Quran? Je kuna ushahidi wowote kuwa alishushiwa
 
Back
Top Bottom