JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,191
- 8,490
Aisee! Vita Tena!Tunga
Tunga na qeww tuone akili zako mbwa mkubwa wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee! Vita Tena!Tunga
Tunga na qeww tuone akili zako mbwa mkubwa wewe
Mkuu Inaonyesha Hujui maana ya Torati kabisa..!Katika ukristo torati ni kitabu kinachomuelezea Musa.... Musa wa biblia na musa wa Quran ni watu wawili tofauti....
Quran haielezei Amri kumi za MUNGU ambazo ni nguzo za ukristo. Mikasa inatofautiana uwezi kusema mtu huyo ni mmoja kaka
Unawaonea wivu kukanyaga mafuta!? Na wewe katafute cha kukanyaga kama vipi.Ndio mnavyodanganywa na wazungu wenu ndio maana hata papa anawaambia anayowaambia maana hamjawahi kuwa na akili na mwamposa na wenzake watarndelea kuwageuza ng'ombe kila siku, haya nendeni mkakanyage mafuta
DANIEL 3:25 “Look!” Nebuchadnezzar shouted. “I see four men, unbound, walking around in the fire unharmed! And the fourth looks like a God !”Kaka!
Wewe ndiye mhadhiri (lecturer) uliyesema kwenye uislamu kati ya manabii 124,000 Muhammad peke yake ndiye aliyesema Munge hana mwana.
Mimi ni hadhira nimepokea ulichokisema (kiandika). Kwa kutaka kuelewa zaidi darasa ulilotoa nikakuuliza swali. Sasa wewe swali unanigeuzia mimi tena?
Nauliza tena swali: Umesema kati ya manabii 124,000 kwenye uislam ni Muhammad peke yake aliyesema Mungu hana mwana. Tunafahamu mafundisho ya dini ya Uislam ni kama mafundisho ya dini nyengine kwa maana yana maandiko (vitabu) vyao.
Sasa nisaidie ushahidi kwenye vitabu vyao kwa ulichokisema ili na mimi nielimike na hilo! Ili tukisema au ikisemwa hivyo waislamu wenyewe wakihoji sisi tunawapa uthibitisho kutoka kwenye maandiko yao huko huko!
Nasubiri jawabu kiongozi.
MKuu kila siku nawaambia watu kuwa Kwenye ujana Nishatoka..Wewe ndio umepotoka.... Injili ya yesu agano jipya imeandikwa na Mathayo, Luka na Yohana ambao kimsingi ni wanafunzi wa Yesu na walikuwa nae nyakati nyingi na Biblia inasema hivyo
Kijana uje na facts za maana
Hayo unayoelezea ni mambo ambayo mtoto wa Sunday school.anaweza kukujibu na anayajua naijua biblia Nimesoma Theology nimehubiri Biblia Nimeitumikia Biblia..Mkuu narudia tena Biblia ni muunganiko wa vitabu vilivyoandikwa na watu tofauti... Yani maandiko yao yaliunganishwa na kuitwa biblia, na biblia imeandikw nyakati tofauti tofauti, kuna agano la kale lililoandikwa kabla ya Yesu na yesu alilikuta, na kuna agano jipya ambalo limeandika injili ya Yesu kristo... Biblia imeandikwa sio kwa pamoja bali kwa kukusanya maandiko kutoka kwa manabii wa kale, wanafunzi wa yesu na wafuasi wa Mungu
Mungu anayeAbudiwa na wakristo Mkuu yehova,Elohimu,Yahwe n.k..Sijaona jibu la swali mkuu.
Mkuu, kwani Muhammad ni mtume wa kikristo?DANIEL 3:25 “Look!” Nebuchadnezzar shouted. “I see four men, unbound, walking around in the fire unharmed! And the fourth looks like a God !”
Daniel alijua Mungu ana mwana, Muhammad akamslimisha Daniel bila ridhaa yake na kusema alikuwa muislamu ila Muhammad huyo huyo akakataa UJUMBE wa Daniel kuwa Mungu ana Mwana.
HOSEA 11:"When Israel was a child, I loved him, and out of Egypt I called my son.
Hosea nae akaslimishwa na Muhammad na kila siku tunaambiwa manabii wote wa kale walikuwa waislam ila rajabu huyo huyo anaetuambia hivyo anakataa mafundisho yao ya kuwa Mungu ana Mwana.
Et kwasababu hana mke.. Mungu hana mwana kwasababu hana Mke, ila Mariam kiumbe asiye na nguvu zote, uwezo wote katika Kuran kaipata mtoto bila mme.
Na shetani katika quran ana kizazi ila hana mke. Ukimuuliza muislamu mke wa Shetani ni nani, hawana majibu. Ila Mungu tu ndiye anayetakiwa awe na mke ili Apatae mtoto!! Hii bhagosha!!. 😂
Isaia 7:14 the maiden is with child and she will bear a son, and will call his name Immanuel.
Naye ni muislamu kwa mjibu wa Muhammad ila isaya alipotoka aliposema Mungu ana Mwana.. The list goes on.
Hawa ni manabii wa kale
Unbelievers are enemies of Allah and they will roast in hell. - 41:14
Kama alisema ukweli kwa nini hapa aagize tena wauawe?
Fight unbelievers who are near to you. 9:123
Nini kilitokea mpka ukajikuta huku uliko?Mungu anayeAbudiwa na wakristo Mkuu yehova,Elohimu,Yahwe n.k..
Swali langu linataka uthibitisho ya kuwa alikuwa kweli ni mwanafunzi wa Yesu ? Katika wale wanafunzi 12 wa Yesu Matayo alikuwa ni miongoni mwao ?Nimeshasema mara kadhaa mathayo ni mwanafunzi wa Yesu, sasa wewe ni mwanafunzi alafu ushindwe kumuona mwalimu wako.... Sio alimuona tu, bali alitembea nae na kula nae
Ebu uliza swali lenye mantiki
.Jibu rahisi sana, hizo aya zimeshukwa kwa minasaba tofauti. Rejea tafsir Ibn Kathir Lakini sura uliyo inukuu yaani sura ya 41 aya 14 inasema hivi :
14. Walipo wajia Mitume mbele yao na nyuma yao wakawaambia: Msimuabudu ila Mwenyezi Mungu! Wakasema: Angeli taka Mola wetu Mlezi bila ya shaka angeli wateremsha Malaika. Basi sisi hakika tunayakataa hayo mliyo tumwa. {Fussilat : 14}
Anasema Allah mtukufu :
123. Enyi mlio amini! Piganeni na wale makafiri walio karibu yenu, na wakute ugumu kwenu. Na jueni ya kwamba Mwenyezi Mungu yu pamoja na wacha- Mungu. {At-Tawbah : 123}
Hii aya inaongelea mlango wa Jihadi. Hii aya ilikuwa inaongelea katika uwanja wa vita.
Hiki ndicho nilikiandika kwenye kot yangu pili. Niliijua utasema hivyo ndiyo maana nikakuambia tujadili kupitia quran. kati ya manabii laki moja na 24 ni nabii yupi aliwaisema Mungu hana mwana ?.Mkuu, kwani Muhammad ni mtume wa kikristo?
Hakuna asiyefahamu ukimzungumzia Muhammad unazungumzia uislam.
Na ukisema Muhammad amesema, moja kwa moja unazungumzia uislam.
Sasa wewe unasema Muhammad amesema hivi; halafu uthibitisho unautoa kwenye biblia? Kweli kabisa?
Kijana natamani sana uelewe swali langu nililo kuuliza. Hao wengine hawakumuona Yesu iweje wawe wanafunzi wa Yesu ?Hapa kuna orodha ya wanafunzi sita wa Yesu ambao walikuwa maarufu kwa kutoa maelezo kuhusu maisha, mafundisho, na matendo ya Yesu katika Injili:
1. Mtume Mathayo: Aliandika Injili ya Mathayo ambayo inaelezea maisha na mafundisho ya Yesu, pamoja na mafundisho yake makuu.
2. Mtume Marko: Aliandika Injili ya Marko, ambayo inatoa maelezo ya haraka-haraka ya huduma ya Yesu na matendo yake ya ajabu.
3. Mtume Luka: Aliandika Injili ya Luka na pia Kitabu cha Matendo ya Mitume, ambayo inaelezea habari za Yesu na pia kuendeleza historia ya kanisa la kwanza.
4. Mtume Yohana: Aliandika Injili ya Yohana, ambayo inatoa mtazamo wa kipekee wa mafundisho na miujiza ya Yesu, pamoja na mazungumzo yake ya kina na wanafunzi wake.
5. Mtume Petro: Ingawa hakuandika moja kwa moja Injili, Petro alikuwa mmoja wa wanafunzi wa Yesu na alikuwa na jukumu muhimu katika uanzishaji wa kanisa la kwanza. Barua zake mbili (ambavyo kwa sasa ni vitabu), 1 Petro na 2 Petro, zinatoa mafundisho muhimu kuhusu imani na maisha ya Kikristo.
6. Mtume Paulo: Ingawa si mmoja wa wanafunzi wa Yesu wakati wa huduma yake duniani, Paulo alikuwa mtume aliyetumika kwa nguvu katika kusambaza injili baada ya ufufuo (kufufuka) wa Yesu. Barua zake nyingi zilizoandikwa kwa makanisa ya karne ya kwanza zinatoa mafundisho na mwongozo muhimu kwa Wakristo.
Nilishahadithia.Zaidi mara 100 Humu Jf sasa ni too.much..Nini kilitokea mpka ukajikuta huku uliko?
Nikikuletea kutoka kwenye Qur'an utasadikisha?Hiki ndicho nilikiandika kwenye kot yangu pili. Niliijua utasema hivyo ndiyo maana nikakuambia tujadili kupitia quran. kati ya manabii laki moja na 24 ni nabii yupi aliwaisema Mungu hana mwana ?.
Lete ushahidi wa makandiko, ni Muhammad tu alafu mbaya zaidi anawahubiri wakristo ambao wameshaonywa kabla ya ujio wake. Mpinga Kristo ni yule anayesema Mungu hana mwana kinyume na manabii wote waliotangulia.
gut ya Muhammad na Waislam kuwa Mungu hana mwana iko beyond na fikra za binadamu.
Fix zikowapi wakati aya ziko wazi ? Shida yenu Wakristo sio wasomi na hampekui mambo.Ndio fix hizo sasa.
.
Kama umeona yeye hajawataja si umtajie wewe kuliko kurudia swali moja kila maraKijana natamani sana uelewe swali langu nililo kuuliza. Hao wengine hawakumuona Yesu iweje wawe wanafunzi wa Yesu ?
Wapi Matayo au Marko au Luka alinukuu toka kwa Yesu moja kwa moja ? Hapo hakuna mwanafunzi wa Yesu.
Swali langu liko pale pale, nitajie Wanafunzi 6 ambao walinukuu kwa Yesu moja kwa moja.
Kingine hapo hakuna Mtume hata mmoja, unajua maana ya neno Mtume ? Au unalitumia tu kimazoea ? Mtume hupelekwa kwa watu ambao imani sahihi ilipotea pakatamalaki ushirikina. Sasa iweje Yesu awe Mtume na hao unao dai ni wanafunzi wake wawe Mitume vile vile.
Hebu lete tuoneNikikuletea kutoka kwenye Qur'an utasadikisha?