James Hadley Chase
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 1,984
- 3,695
Aliyeanzisha Ukristo ndio huyo aliyeanzisha Uislam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atauwa mtu hapa amekuja kisharishari tu 😂😂Jamaa anatamani kutembeza upanga
Doh! Haya yanatokea wapi tena?Kamand wa Gaza nakuona hapa
Mikono ya waandishi itachafua.yatakuwa sio maandiko ya mungu bali hadithi za watu ndo zimeandikwaS
Shida ipo wapi
Mi nimezungumzia stori zilizo kwenye hivo vitabu sio lugha. Kwani we hapo huwezi kukopi kitabu cha kitaliano na kuandika kwa kiswahili Kisha ukakiEdit kwa namna unayoitaka mwenyewe?Quran imeandikwa kiarabu biblia iliandikwa kwa lugha gani?
Kivipi Mkuu?Aliyeanzisha Ukristo ndio huyo aliyeanzisha Uislam
Quran Bhana!!. Islam ina manabii laki 2 na 24,ila kati ya hao manabii wote ni Muhammad Pekee ndiye anasema Mungu hana Mtoto kinyume na manabii laki 2 na 23
Uthibitisho upi unaoutaka?.
Kuwa Specific nikuelewe.
Katika imani za dini ya Kiyahudi na Ukristo, Adam na Hawa, mke wake, walikuwa wazazi wa kwanza wa wanadamu wote.Kama Adam alikuwa binadamu wa kwanza. Unabii alikuwa anaufanya kwankina nani?
Yeremia 8-8.Mi nimezungumzia stori zilizo kwenye hivo vitabu sio lugha. Kwani we hapo huwezi kukopi kitabu cha kitaliano na kuandika kwa kiswahili Kisha ukakiEdit kwa namna unayoitaka mwenyewe?
Defensive machinsm at work.Waislamu wana vitabu vyao! Unaweza kutusaidia ushahidi kutoka kwenye vitabu vyao ili tusiwe tukaonekana tunawasingizia kwa hili?
Mchanganyiko wa lugha katika Biblia unatokana na historia na muktadha wa utamaduni na lugha za kipindi cha uandishi wake. Biblia ilikusanya maandiko mengi kutoka kwa waandishi tofauti kwa kipindi kirefu cha muda na katika maeneo mbalimbali. Kwa mfano, Agano la Kale lililoandikwa kwa Kiebrania na Agano Jipya lililoandikwa kwa Kigiriki.Bila shaka hapo.kuna mchanganyiko.inakuwaje kitabu kimoja kiandikwe kwa lugha 2 tofauti?
Kwa maelezo haya ni wazi kabisa Biblia siyo kitabu kitakatifu.Biblia inajumuisha maandiko yaliyoandikwa na waandishi mbalimbali katika kipindi tofauti cha historia ya dini ya Kiyahudi na Kikristo. Haijaandikwa moja kwa moja na nabii mmoja maalum. Badala yake, inajumuisha maandiko yaliyoandikwa na manabii, wataalamu wa dini, wanahistoria, na waandishi wengine, ambao waliandika kwa kuzingatia ufunuo, uzoefu wa kidini, na matukio ya kihistoria. Kwa mfano, katika Agano la Kale, vitabu vingi vinavyohusishwa na nabii kama vile Isaya, Yeremia, na Ezekieli, wanasemekana kuwa na sehemu ya maandiko yaliyojumuishwa katika Biblia. Katika Agano Jipya, vitabu vya Injili vilivyoandikwa na wanafunzi wa Yesu pamoja na barua za mitume ni sehemu ya maandiko yaliyojumuishwa katika Biblia.
Kwahiyo kwenye maisha huna kingine cha kujadili zaidi ya dini?Dini ni sehemu za maisha yetu ya kila siku
Yeremia 8-8.waandishi wameifanya nini taurati?Mchanganyiko wa lugha katika Biblia unatokana na historia na muktadha wa utamaduni na lugha za kipindi cha uandishi wake. Biblia ilikusanya maandiko mengi kutoka kwa waandishi tofauti kwa kipindi kirefu cha muda na katika maeneo mbalimbali. Kwa mfano, Agano la Kale lililoandikwa kwa Kiebrania na Agano Jipya lililoandikwa kwa Kigiriki.
Agano la Kale liliandikwa kwa Kiebrania (pamoja na sehemu za Aramaic), na baadaye, tafsiri zilifanyika katika lugha tofauti kama vile Kigiriki (Septuagint) na Kilatini (Vulgata) ili kufikia wasomaji wa lugha hizo.
Agano Jipya la Biblia liliandikwa hasa katika Kigiriki kwa sababu Kigiriki ilikuwa lugha rasmi, au lugha ya kawaida ya eneo la Mashariki ya Mediterania wakati wa Yesu na kanisa la kwanza la Kikristo. Kigiriki kilizungumzwa na kueleweka kotekote katika Milki ya Roma, ukijumuisha maeneo ambayo wanafunzi na wafuasi wa Yesu walieneza mafundisho yake.
Wayahudi wengi katika enzi hiyo walikuwa na lugha mbili, wakielewa Kiebrania na Kigiriki. Hata hivyo, lugha ya kila siku ya mawasiliano na biashara katika maeneo kama Yudea, Galilaya, na maeneo mengine ambako Yesu alihubiri mara nyingi ilikuwa ya Kigiriki, kwa sababu ya uvutano wa utamaduni wa Kigiriki na ushindi wa vita ya The Great Alexander.
Kwa sababu hiyo, wakati waandishi wa Agano Jipya walipoandika mafundisho ya Yesu na jumuiya ya Wakristo wa mapema, walifanya hivyo katika lugha ambayo ingewafikia watu wengi zaidi na kupatikana zaidi kwa watu wa wakati huo - Kigiriki. Zaidi ya hayo, iliruhusu mafundisho ya Yesu kuenea kwa urahisi zaidi kwa watu wasio Wayahudi, na hivyo kuchangia kuenea kwa haraka kwa Ukristo katika karne zilizofuata.
Biblia inachukuliwa kama Neno la Mungu la kweli na kuaminika, na imani ya kikristo inaamini kwamba maandishi yaliyo katika Biblia yalikuwa chini ya uongozi na uwezo wa Roho Mtakatifu wakati wa uandishi wake. Kupitia manabii mbalimbali na wanafunzi wa yesu na wafuasi wake waliongozwa kuandika habari za Mungu. Na habari za yote yaliyotendeka zilikuwa wazi kwa sababu zilishuhudiwa na watu wengi. Mfano Injili ya Yesu imeandikwa katika Agano Jipya kwenye kitabu cha Mathayo, Luka, Yohana na wote maandiko yao yanafanana na wote walikuwa wanafunzi wa YesuUna uhakika gani kuwa hao waliondika biblia walichokiandika ni sahihi?