Ukristo ni kutukuza utamaduni wa watu weupe, tujitafakari sana

Ukristo ni kutukuza utamaduni wa watu weupe, tujitafakari sana

Unase πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡


Tumesha
Hiyo chart yako kila mtu anaweza uliandika kivyake , hiyo walikupa huko kanisani kwenu.

Unasema kwenye waislamu kuna mashoga , ni kweli hata huku kwenye magwiji wa waislamu kumejaa mashoga angalia mwenyewe


View: https://www.youtube.com/watch?v=Rw4lftGzwYw&pp=ygUkZm91ciBpbiBmaXZlIHZhdGljYW4gcHJpZXN0cyBhcmUgZ2F5


nimekuuliza au unajifanya huelewi kusoma ??

Hiuvi Seif sharif alitibiwa hospitali ya taasisi ya Kanisa ??? jee ulitoa shilingi ngapi za mchango ??

By the way Lisu naye alitibiwa kwenye taasisi ya kanisa vile??? Ulichangia ngapi ??

Magufuli pia kumbe alipelekwa kwenye taasisi ya kanisa ?? ULITOA NGAPI

by the way huyo baba yenu nyerere kumbe naye alifia KCMC ?? ulitoa ngapi huko


View: https://youtu.be/znU44b2MLOA?t=32
 
Unasema watu wanahamia uislamu hebu angalia hapa chini dini inayoongoza kwa watu. πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ Na hapo bado mnaoa wake waanne na mnazaaa bila mpango. Nani ahamie dini ambayo mungu wao ameshindwa kuwakomboa wapalestinaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
1726945214644.png

Kuna swali nimekuliza zaidi ya mara mia hamsini na nane haujajibu? Kiburi cha kutaka ujibiwe unatoa wapi ? Imetokoea mombasa leo asubuhi hii πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡Hatari sana jiulize kwanini mashoga wamejaa walipojaa waislamu ? Kwa nini ushirikina umejaa walipojaa waislamu ?
View attachment 3103340
Unasema umeniuliza mara ya saba angalia huko chini kuna swali mnimekuuliza zaidi ya mara mia na ishirini na saba na haujajibu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ .Wapi imeandikwa kuwa adamu alimuoa Eva akiwa na umri wa mwaka mmoja ? Kumbe na wewe unataka uoe watoto wadogo unajua maana ya pedophile ? Kama Bakwata ni usalama wa taifa unaswalia wapi chooni ? Unasema ni muvi ndugu yangu wanaofanya mahojiano ni wakristu ? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Haya ndiyo mafundisho ya Uislamu ? Tumia quran kumpinga huyu sheikh hapa chini.Maaana muamedi alimuoa Aisha akiwa na miaka sita na akaanza kujamiana nae alipofikisha miaka 9. Naona bado mnaendeleza gurudumu kama zamani. Hebu nifafanulie inakuwaje sheikh anaongea na binti mdogo kumshawishi aolewe ? Basi tumia Quran kumpinga huyu sheikh hapa chini πŸ‘‡ πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
View attachment 3103341
Haya ndiyo mafundisho ya Uislamu ?Are you serious ? njoo ulezee kuhusu Bacha Bazi kijana ? Bado haujaelezea kuhusu huu utamaduni na inafanyika wazi wazi.Na Bado tumeongea sana huko nyuma kuhusu Bacha Bazi lakini haujajibu chochote ndugu yangu. Naomba unifafanulie haya mambo hapa chini ni sahihi. Maana haya yanafanyika wazi wazi uarabuni. Na ndio maana ushoga umejaa visiwani kuliko bara. Nasubiri majibu ndugu yangu. Mtoto wa kiume amevalishwa nguo za kike na kucheza kwenye sherehe. Mwenye dau kubwa anamnunua na kuawiti mpaka kifo kiwatenganshe. Nasubiri majibu ndugu yanguπŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
View attachment 3103342
Vipi kuhusu huyu binti aliyeolewa yeye na binamu yake kwa mzee wa miaka 60. Hawa ni wazungu ? Nayo imeigizwa maana hii ni interview imefanywa na hao hao waaarabu waliotuletea uislamu naomba ujibu ndugu yangu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
View attachment 3103343
Haya na hii ya binti ambaye wa miaka kumi aliyeolewa na kijana wa miaka 26 nayo ni interview imefanywa na hao hao waaarabu waliotuletea uislamu naomba ujibu ndugu yangu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
View attachment 3103344


Huko nyuma ulileta video ya massage ya kijapani ukasema ni ushahidi kuwa kanisa lina fanya mambo ya ajabu hii ni video ya kanisa ?
1726405957833.png

Link ya video kama hapo kwenye picha ni :
View: https://youtu.be/BVmlqagq0HU
Unasema Mapadri hawana hela niambie ni wapi mapadre waliomba serikali iwalipe mishahara kama masheikh wanavyofanya hapa chini ?
1726511210150.png


Nakwambia kama Uislamu ungeje



MAFUNZO YA KANISA


Maana ya neno "Kanisa" ni mkusanyiko wa Wakristo, au khasa ni mapadri ambao wamejipa kazi ya kutengeneza imani na ibada na vile vile kutoa huduma maalumu za kidini kwa kufuata yale yanayoaminiwa kuwa ni mafunzo ya Yesu Kristo. "Kanisa" yaweza kuwa vile vile na maana ya madhehebu fulani ambayo Mkristo anaikubali na kuifuata, kama vile Kanisa la Kikatoliki, la Kianglikana, la Kiluteri n.k. Mbali na kuwa neno "Kanisa" pia lina maana ya kawaida ya kuwa ni jengo la ibada la Wakristo, kama ulivyokuwa Msikiti kwa Waislamu, na Hekalu kwa wengineo.

Takriban makanisa yote, au madhehebu zote za Kikristo, zinashikilia itikadi hizi zifwatazo bila ya wasiwasi wo wote au kutaka kusaili cho chote. Imani kama hizo huitwa "Dogma", yaani imani za kuaminiwa bila ya kusailiwa kuwa zaingia akilini au la:

1. Yupo Mungu Mmoja.

2. Katika Mungu zipo Nafsi tatu, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu. Nafsi hizi tatu zinaitwa Utatu Mtakatifu. Zote Nafsi tatu ni sawa, zote ni za milele, yaani hazina mwanzo wala hazina mwisho. Hizo si miungu mitatu, bali ni Mungu Mmoja.

3. Baba ni Mungu na ndiye Nafsi ya kwanza katika Utatu Mtakatifu.

4. Mwana ni Mungu na ndiye Nafsi ya pili katika Utatu. Yeye ni Yesu Kristo ambaye ni Mungu aliyekuja kwa sura ya mtu. Hakuumbwa, lakini alizaliwa na Bikra Maria yapata karibu miaka elfu mbili iliyopita katika nchi ya Palastina, akasalibiwa, akafa na akafufuka kutoka wafu siku ya tatu. Kifo chake na mateso yake msalabani yalikusudiwa kuwa ni kafara ili dhambi za wanaadamu zisamehewe. Hii ndiyo yaitwa Kafara ya Yesu, na kwa hivyo yeye anaitwa Mwokozi.

5. Roho Mtakatifu ni nafsi ya tatu ya Utatu Mtakatifu. Baada ya kufa kwa Yesu Kristo, Roho Mtakatifu aliwateremkia "Mitume" (wale wamishinari wa mwanzo) wa Yesu Kristo, na huyo Roho anaendelea kuliongoza Kanisa.

6. Kila mtoto wa kibinaadamu anayo dhambi, hiyo inayoitwa Dhambi Ya Asili iliyorithiwa kutokana na uasi wa Adam alipovunja amri ya Mungu kumkataza asile tunda, naye akala yeye na mkewe Hawa.

7. Ubatizo, ibada ya kummichia mtu maji, au kwa mujibu wa baadhi ya madhehebu, kumzamisha mtu katika maji, kuwa ni ishara ya kukubaliwa katika Kanisa, na imani ya Kafara ya Yesu Kristo ni njia pekee ya kuokoka.
 
Hiyo chart yako kila mtu anaweza uliandika kivyake , hiyo walikupa huko kanisani kwenu.

Unasema kwenye waislamu kuna mashoga , ni kweli hata huku kwenye magwiji wa waislamu kumejaa mashoga angalia mwenyewe


View: https://www.youtube.com/watch?v=Rw4lftGzwYw&pp=ygUkZm91ciBpbiBmaXZlIHZhdGljYW4gcHJpZXN0cyBhcmUgZ2F5


nimekuuliza au unajifanya huelewi kusoma ??

Hiuvi Seif sharif alitibiwa hospitali ya taasisi ya Kanisa ??? jee ulitoa shilingi ngapi za mchango ??

By the way Lisu naye alitibiwa kwenye taasisi ya kanisa vile??? Ulichangia ngapi ??

Magufuli pia kumbe alipelekwa kwenye taasisi ya kanisa ?? ULITOA NGAPI

by the way huyo baba yenu nyerere kumbe naye alifia KCMC ?? ulitoa ngapi huko


View: https://youtu.be/znU44b2MLOA?t=32

Sijasema wamejaa mashoga nimesema watoto wa kiume wananunuliwa na kulawitiwa toka wakiwa wadogo mpaka wanapokufa. Nioneshe mahali wazungu wanafanya hivyo ?
Unasema Nyerere alifia KCMC hivi umesoma shule kweli ? Maana inaelekea huko kichwani umejazaujinga wa uliyojifunza Madrasa. Nenda ka-google Nyerere alifia wapi aisee kweli wavaa makobazi ni wajinga sana.
Kuna swali nimekuliza zaidi ya mara mia hamsini na nane haujajibu? Kiburi cha kutaka ujibiwe unatoa wapi ? Imetokoea mombasa leo asubuhi hii πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡Hatari sana jiulize kwanini mashoga wamejaa walipojaa waislamu ? Kwa nini ushirikina umejaa walipojaa waislamu ?

Unasema umeniuliza mara ya saba angalia huko chini kuna swali mnimekuuliza zaidi ya mara mia na ishirini na saba na haujajibu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ .Wapi imeandikwa kuwa adamu alimuoa Eva akiwa na umri wa mwaka mmoja ? Kumbe na wewe unataka uoe watoto wadogo unajua maana ya pedophile ? Kama Bakwata ni usalama wa taifa unaswalia wapi chooni ? Unasema ni muvi ndugu yangu wanaofanya mahojiano ni wakristu ? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Haya ndiyo mafundisho ya Uislamu ? Tumia quran kumpinga huyu sheikh hapa chini.Maaana muamedi alimuoa Aisha akiwa na miaka sita na akaanza kujamiana nae alipofikisha miaka 9. Naona bado mnaendeleza gurudumu kama zamani. Hebu nifafanulie inakuwaje sheikh anaongea na binti mdogo kumshawishi aolewe ? Basi tumia Quran kumpinga huyu sheikh hapa chini πŸ‘‡ πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Haya ndiyo mafundisho ya Uislamu ?Are you serious ? njoo ulezee kuhusu Bacha Bazi kijana ? Bado haujaelezea kuhusu huu utamaduni na inafanyika wazi wazi.Na Bado tumeongea sana huko nyuma kuhusu Bacha Bazi lakini haujajibu chochote ndugu yangu. Naomba unifafanulie haya mambo hapa chini ni sahihi. Maana haya yanafanyika wazi wazi uarabuni. Na ndio maana ushoga umejaa visiwani kuliko bara. Nasubiri majibu ndugu yangu. Mtoto wa kiume amevalishwa nguo za kike na kucheza kwenye sherehe. Mwenye dau kubwa anamnunua na kuawiti mpaka kifo kiwatenganshe. Nasubiri majibu ndugu yanguπŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡

Vipi kuhusu huyu binti aliyeolewa yeye na binamu yake kwa mzee wa miaka 60. Hawa ni wazungu ? Nayo imeigizwa maana hii ni interview imefanywa na hao hao waaarabu waliotuletea uislamu naomba ujibu ndugu yangu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Haya na hii ya binti ambaye wa miaka kumi aliyeolewa na kijana wa miaka 26 nayo ni interview imefanywa na hao hao waaarabu waliotuletea uislamu naomba ujibu ndugu yangu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Huko nyuma ulileta video ya massage ya kijapani ukasema ni ushahidi kuwa kanisa lina fanya mambo ya ajabu hii ni video ya kanisa ?
1726405957833.png


Link ya video kama hapo kwenye picha ni :
View: https://youtu.be/BVmlqagq0HU
Unasema Mapadri hawana hela niambie ni wapi mapadre waliomba serikali iwalipe mishahara kama masheikh wanavyofanya hapa chini ?
1726511210150.png


Nakwambia kama Uislamu ungejenga shule, vyuo, taasisi na mahospitali kama wakatoliki ningehama dini na kuwa muislamu. Mimi sio mjinga ndugu yangu.
Hapo juu umelalamika umeniuliza mara ya sita πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
1726406045147.png


Mbona mimi kuna swali nimekuuliza zaidi ya mara mia haujaleta majibu ? Naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya mia moja na sitini nakuuliza. Unazidi kuonyesha watu uwezo wako wa kufikiri . Huko juu nilikuambia ''usipokuwa makini nitakuuliza zaidi ya mara mia ''. sasa tunaelekea mia mbiliπŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡

Tumeshafikisha mia na moja .Narudia tena kwa mara ya mia moja na sitini "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe kwa ajili ya kukuelimisha
 

Attachments

  • rapidsave.com_-x7bzi6dmbe681.mp4
    26.8 MB
Ukristo uliingizwa na wazungu Afrika kwa mara ya kwanza katika karne ya 1 AD Misri na Tunisia na baadae kuenea kaskazini. Karne ya 4 AD Ethiopia iliufanya ukristo hata kuwa dini ya kitaifa chini ya mfalme Ezana kwenye himaya ya Aksumite.

Lakini umeenea zaidi Afrika Chini ya jangwa la Sahara ikiwemo Tanganyika kwenye karne ya 15 chini ya wamisionari waliokuwa wanakuja kututawala, kututumikisha na kutuibia mali zetu ikiwa ni njia nzuri ya kutubadilisha kisiasa, kifikra na kitamaduni( wakati wa ukuaji wa himaya ya kirumi), kuenezwa ktk njia zote zilizokuwa zinafanya biashara pamoja na za watumwa.

Machifu na viongozi wetu walikumbatia ukristo kwa sababu ya kujenga urafiki na wazungu au kwa nguvu lakini lengo la wazungu likiwa ni kutubadilisha tuwe na imani kama yao ili tutawaliwe kirahisi kifikra na kiuchumi, biblia wakiishikilia mkono mmoja lakini bunduki mkono mwingine ukifanya masihara nao aliyefanya masihara na hao watakatifu, basi jua kwako imeenda!

Ambacho hakikubadilika ktk ukristo wa leo ni kutawala na upigaji. Mchungaji yuko juu ya kila mtu na hata juu ya familia za watu. Wakiamua wachungaji baba mwenye familia jua kwako imeenda Utakalolisema kama ushauri kwa mkeo atakuchenjia ndani mpaka utakoma hata kama ukiuliza mbona hela zote za familia unapeleka kanisani. Zitapelekwa, mchungaji ataambiwa unakatalia hela na hakuna kuongea na wewe wiki nzima.

Mahubiri mengine ya kitapeli na yanajulikana kabisa huu ni utapeli lakini inahalalishwa na watu na serikali inakaa kimya kabisa watu wakiibiwa, na hata kuingilia maamuzi ya kiafya katika familia za watu kwa maombi yasiyokuwa na miguu wala mikono. Kwa utawala huu walionao leo wananunuliwa magari ya kifahari, wanalishwa mahotelini kifahari, watoto wao wanasomeshwa shule za maana na wengine wanajengewa nyumba za kifalme kutoka kwa waumini wao ambao wengi hata mlo mmoja kwa siku ni shida.

Ukristo kama ilivyokuwa nia ya wakoloni kuja kutupiga na kuzineemesha kiutajiri nchi za ulaya, leo wakati nchi hizo zimeshakuwa matajiri, wachungaji na viongozi wa kidini wamekuwa ni wapigaji wa wananchi tena bila huruma au aibu. Baadae tutakuja kuona wakitosheka kwa kula na kusaza wachungaji ndio watakuwa maraisi wa nchi zetu baada ya mafisadi kuchoka maana ndio wenye hela.

Kwa hiyo mtu asinidanganye kunisomea kifungu hiki cha neno ktk bibilia kinasema hili au lile. Nawajua.
Mnapambania kutukuza utamaduni wa watu weupe niwaamini ili mnitawale kiuchumi na kifikra.

Na mara nyingi hata serikali nyingi za Africa zunajua tunapigwa, ila wanazisaidia serikali nyingi "KUTUNZA AMANI, ILI MAFISADI NAO WAENDELEE KULA KWA AMANI" na sio kwa maslahi ya falimia yoyote. Kama unabisha nitafutie kanisa lolote lili kubwa kama utaona mzee wa kanisa ni muuza mchicha. Cheo chako kanisani kitategemea kitita cha hela kilichoko mfukoni mwako na ndiye utakayekuwa na sauti kanisani.

Wanaitwa mihimili ya kanisa. Wachina wanawapa watoto wao majina ya kichina, wahindi ya kihindi, wajapani ya kijapani lakini usipompa mtoto wako jina la kikoloni basi utaitwa mpagani, neno ambalo nia yake ni kudhalilisha imani za wazazi wetu ili upuuzi wao uendelee kushika mizizi wa kutuibia fikra na mali zetu. Walitutenganisha na wazazi kuwapeleka utumwani bila kujali familia zao zitaishije huko nyuma na leo wachungaji wengine ndio vinara wa kuvuruga familia za watu. Yaleyale. Mvimbishie kichwa mchungaji uone! Kudadeki. Atakuhibiri mpaka masiko yako yang'oke kichwani. Kisa umtii tu. Simtii yoyote!

Kwa leo Ukristo ni kitu kinachosikitisha kukiona!
Acha kupotosha. Ukristo ata wazungu wamepelekewa kama sisi tu. Alafu ukristo halisi ni ukatoliki. Hao matahira wengine ni mazao ya kiburi na ujuaji. Soo wakristo halisi.
 

MAFUNZO YA KANISA


Maana ya neno "Kanisa" ni mkusanyiko wa Wakristo, au khasa ni mapadri ambao wamejipa kazi ya kutengeneza imani na ibada na vile vile kutoa huduma maalumu za kidini kwa kufuata yale yanayoaminiwa kuwa ni mafunzo ya Yesu Kristo. "Kanisa" yaweza kuwa vile vile na maana ya madhehebu fulani ambayo Mkristo anaikubali na kuifuata, kama vile Kanisa la Kikatoliki, la Kianglikana, la Kiluteri n.k. Mbali na kuwa neno "Kanisa" pia lina maana ya kawaida ya kuwa ni jengo la ibada la Wakristo, kama ulivyokuwa Msikiti kwa Waislamu, na Hekalu kwa wengineo.

Takriban makanisa yote, au madhehebu zote za Kikristo, zinashikilia itikadi hizi zifwatazo bila ya wasiwasi wo wote au kutaka kusaili cho chote. Imani kama hizo huitwa "Dogma", yaani imani za kuaminiwa bila ya kusailiwa kuwa zaingia akilini au la:

1. Yupo Mungu Mmoja.

2. Katika Mungu zipo Nafsi tatu, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu. Nafsi hizi tatu zinaitwa Utatu Mtakatifu. Zote Nafsi tatu ni sawa, zote ni za milele, yaani hazina mwanzo wala hazina mwisho. Hizo si miungu mitatu, bali ni Mungu Mmoja.

3. Baba ni Mungu na ndiye Nafsi ya kwanza katika Utatu Mtakatifu.

4. Mwana ni Mungu na ndiye Nafsi ya pili katika Utatu. Yeye ni Yesu Kristo ambaye ni Mungu aliyekuja kwa sura ya mtu. Hakuumbwa, lakini alizaliwa na Bikra Maria yapata karibu miaka elfu mbili iliyopita katika nchi ya Palastina, akasalibiwa, akafa na akafufuka kutoka wafu siku ya tatu. Kifo chake na mateso yake msalabani yalikusudiwa kuwa ni kafara ili dhambi za wanaadamu zisamehewe. Hii ndiyo yaitwa Kafara ya Yesu, na kwa hivyo yeye anaitwa Mwokozi.

5. Roho Mtakatifu ni nafsi ya tatu ya Utatu Mtakatifu. Baada ya kufa kwa Yesu Kristo, Roho Mtakatifu aliwateremkia "Mitume" (wale wamishinari wa mwanzo) wa Yesu Kristo, na huyo Roho anaendelea kuliongoza Kanisa.

6. Kila mtoto wa kibinaadamu anayo dhambi, hiyo inayoitwa Dhambi Ya Asili iliyorithiwa kutokana na uasi wa Adam alipovunja amri ya Mungu kumkataza asile tunda, naye akala yeye na mkewe Hawa.

7. Ubatizo, ibada ya kummichia mtu maji, au kwa mujibu wa baadhi ya madhehebu, kumzamisha mtu katika maji, kuwa ni ishara ya kukubaliwa katika Kanisa, na imani ya Kafara ya Yesu Kristo ni njia pekee ya kuokoka.
Kuna swali nimekuliza zaidi ya mara mia hamsini na nane haujajibu? Kiburi cha kutaka ujibiwe unatoa wapi ? Imetokoea mombasa leo asubuhi hii πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡Hatari sana jiulize kwanini mashoga wamejaa walipojaa waislamu ? Kwa nini ushirikina umejaa walipojaa waislamu ?

Pesa dio kila kitu ndugu yangu.Ndugu yangu najua hapo ulipo ukipata shida ya mgonjwa ghafla hospitalini ndio utajua umuhimu wa pesa ? Utaanza kupigia watu wakuchangie. Nakuhakikishia kama hauna rafiki mkristu mgonjwa wako hatoboi. Utaishiwa kuchangiwa rambi rambi msibani. Sikuombei mabaya lakini kama mpaka leo mwaka 2024 haujui umuhimu wa hela we haujalala bali umekufa.
Hebu angalia mwaka 2018(miaka sita iliyopita) waarabu wanawafanyaje waafrika. πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
1726512344028.png


Unasema umeniuliza mara ya saba angalia huko chini kuna swali mnimekuuliza zaidi ya mara mia na ishirini na saba na haujajibu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ .Wapi imeandikwa kuwa adamu alimuoa Eva akiwa na umri wa mwaka mmoja ? Kumbe na wewe unataka uoe watoto wadogo unajua maana ya pedophile ? Kama Bakwata ni usalama wa taifa unaswalia wapi chooni ? Unasema ni muvi ndugu yangu wanaofanya mahojiano ni wakristu ? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Haya ndiyo mafundisho ya Uislamu ? Tumia quran kumpinga huyu sheikh hapa chini.Maaana muamedi alimuoa Aisha akiwa na miaka sita na akaanza kujamiana nae alipofikisha miaka 9. Naona bado mnaendeleza gurudumu kama zamani. Hebu nifafanulie inakuwaje sheikh anaongea na binti mdogo kumshawishi aolewe ? Basi tumia Quran kumpinga huyu sheikh hapa chini πŸ‘‡ πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Haya ndiyo mafundisho ya Uislamu ?Are you serious ? njoo ulezee kuhusu Bacha Bazi kijana ? Bado haujaelezea kuhusu huu utamaduni na inafanyika wazi wazi.Na Bado tumeongea sana huko nyuma kuhusu Bacha Bazi lakini haujajibu chochote ndugu yangu. Naomba unifafanulie haya mambo hapa chini ni sahihi. Maana haya yanafanyika wazi wazi uarabuni. Na ndio maana ushoga umejaa visiwani kuliko bara. Nasubiri majibu ndugu yangu. Mtoto wa kiume amevalishwa nguo za kike na kucheza kwenye sherehe. Mwenye dau kubwa anamnunua na kuawiti mpaka kifo kiwatenganshe. Nasubiri majibu ndugu yanguπŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡

Vipi kuhusu huyu binti aliyeolewa yeye na binamu yake kwa mzee wa miaka 60. Hawa ni wazungu ? Nayo imeigizwa maana hii ni interview imefanywa na hao hao waaarabu waliotuletea uislamu naomba ujibu ndugu yangu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡


Haya na hii ya binti ambaye wa miaka kumi aliyeolewa na kijana wa miaka 26 nayo ni interview imefanywa na hao hao waaarabu waliotuletea uislamu naomba ujibu ndugu yangu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Huko nyuma ulileta video ya massage ya kijapani ukasema ni ushahidi kuwa kanisa lina fanya mambo ya ajabu hii ni video ya kanisa ?
1726405957833.png


Link ya video kama hapo kwenye picha ni :
View: https://youtu.be/BVmlqagq0HU
Unasema Mapadri hawana hela niambie ni wapi mapadre waliomba serikali iwalipe mishahara kama masheikh wanavyofanya hapa chini ?
1726511210150.png


Nakwambia kama Uislamu ungejenga shule, vyuo, taasisi na mahospitali kama wakatoliki ningehama dini na kuwa muislamu. Mimi sio mjinga ndugu yangu.
Hapo juu umelalamika umeniuliza mara ya sita πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
1726406045147.png


Mbona mimi kuna swali nimekuuliza zaidi ya mara mia haujaleta majibu ? Naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya mia moja na sitini na moja nakuuliza. Unazidi kuonyesha watu uwezo wako wa kufikiri . Huko juu nilikuambia ''usipokuwa makini nitakuuliza zaidi ya mara mia ''. sasa tunaelekea mia mbiliπŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡

Tumeshafikisha mia na moja .Narudia tena kwa mara ya mia moja na sitini na moja "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe kwa ajili ya kukuelimisha
 
Kuna swali nimekuliza zaidi ya mara mia hamsini na nane haujajibu? Kiburi cha kutaka ujibiwe unatoa wapi ? Imetokoea mombasa leo asubuhi hii πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡Hatari sana jiulize kwanini mashoga wamejaa walipojaa waislamu ? Kwa nini ushirikina umejaa walipojaa waislamu ?
View attachment 3104004
Pesa dio kila kitu ndugu yangu.Ndugu yangu najua hapo ulipo ukipata shida ya mgonjwa ghafla hospitalini ndio utajua umuhimu wa pesa ? Utaanza kupigia watu wakuchangie. Nakuhakikishia kama hauna rafiki mkristu mgonjwa wako hatoboi. Utaishiwa kuchangiwa rambi rambi msibani. Sikuombei mabaya lakini kama mpaka leo mwaka 2024 haujui umuhimu wa hela we haujalala bali umekufa.
Hebu angalia mwaka 2018(miaka sita iliyopita) waarabu wanawafanyaje waafrika. πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
1726512344028.png

View attachment 3103993
Unasema umeniuliza mara ya saba angalia huko chini kuna swali mnimekuuliza zaidi ya mara mia na ishirini na saba na haujajibu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ .Wapi imeandikwa kuwa adamu alimuoa Eva akiwa na umri wa mwaka mmoja ? Kumbe na wewe unataka uoe watoto wadogo unajua maana ya pedophile ? Kama Bakwata ni usalama wa taifa unaswalia wapi chooni ? Unasema ni muvi ndugu yangu wanaofanya mahojiano ni wakristu ? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Haya ndiyo mafundisho ya Uislamu ? Tumia quran kumpinga huyu sheikh hapa chini.Maaana muamedi alimuoa Aisha akiwa na miaka sita na akaanza kujamiana nae alipofikisha miaka 9. Naona bado mnaendeleza gurudumu kama zamani. Hebu nifafanulie inakuwaje sheikh anaongea na binti mdogo kumshawishi aolewe ? Basi tumia Quran kumpinga huyu sheikh hapa chini πŸ‘‡ πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
View attachment 3103994
Haya ndiyo mafundisho ya Uislamu ?Are you serious ? njoo ulezee kuhusu Bacha Bazi kijana ? Bado haujaelezea kuhusu huu utamaduni na inafanyika wazi wazi.Na Bado tumeongea sana huko nyuma kuhusu Bacha Bazi lakini haujajibu chochote ndugu yangu. Naomba unifafanulie haya mambo hapa chini ni sahihi. Maana haya yanafanyika wazi wazi uarabuni. Na ndio maana ushoga umejaa visiwani kuliko bara. Nasubiri majibu ndugu yangu. Mtoto wa kiume amevalishwa nguo za kike na kucheza kwenye sherehe. Mwenye dau kubwa anamnunua na kuawiti mpaka kifo kiwatenganshe. Nasubiri majibu ndugu yanguπŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
View attachment 3103996
Vipi kuhusu huyu binti aliyeolewa yeye na binamu yake kwa mzee wa miaka 60. Hawa ni wazungu ? Nayo imeigizwa maana hii ni interview imefanywa na hao hao waaarabu waliotuletea uislamu naomba ujibu ndugu yangu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
View attachment 3103997

Haya na hii ya binti ambaye wa miaka kumi aliyeolewa na kijana wa miaka 26 nayo ni interview imefanywa na hao hao waaarabu waliotuletea uislamu naomba ujibu ndugu yangu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
View attachment 3103998
Huko nyuma ulileta video ya massage ya kijapani ukasema ni ushahidi kuwa kanisa lina fanya mambo ya ajabu hii ni video ya kanisa ?
1726405957833.png


Link ya video kama hapo kwenye picha ni :
View: https://youtu.be/BVmlqagq0HU
Unasema Mapadri hawana hela niambie ni wapi mapadre waliomba serikali iwalipe mishahara kama masheikh wanavyofanya hapa chini ?
1726511210150.png


Nakwambia kama Uislamu ungejenga shule, vyuo, taasisi na mahospitali kama wakatoliki ningehama dini na kuwa muislamu. Mimi sio mjinga ndugu yangu.
Hapo juu umelalamika umeniuliza mara ya sita πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
1726406045147.png


Mbona mimi kuna swali nimekuuliza zaidi ya mara mia haujaleta majibu ? Naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya mia moja na sitini na moja nakuuliza. Unazidi kuonyesha watu uwezo wako wa kufikiri . Huko juu nilikuambia ''usipokuwa makini nitakuuliza zaidi ya mara mia ''. sasa tunaelekea mia mbiliπŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡

Tumeshafikisha mia na moja .Narudia tena kwa mara ya mia moja na sitini na moja "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe kwa ajili ya kukuelimisha

Kinyume na dhana ya wengi kuwa imani hiyo ilianzishwa na hao waitwao Mitume wa Yesu (yaani wafwasi wake aliowatuma), yajuulikana kuwa ilitungwa baadae sana.

Baadhi ya wataalamu wa Kikristo wanasema ilitungwa mwaka 150 baada ya Kristo, wengine katika karne yane.

Kwa sura hii ilivyo sasa ilianza kutumiwa katika karne ya nane. Katika Kanisa Katoliki Imani ya Mitume husomwa katika ibada za Misa, katika kubatiza, na penginepo. Katika makanisa ya Kiprotestani husomwa katika ibada za Jumaapili.

Aghlabu ya madhehebu za Kikristo zinaikubali imani hii kama hivi ifwatavyo:

Imani ya Mitume

1. Namuamini Mungu Baba Mwenye nguvu zote, Muumba Mbingu na ardhi,

2. Na Yesu Kristo, Mwanawe wa pekee, Bwana wetu,

3. Aliyechukuliwa mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu, akazaliwa na Bikira Maria,

4. Akateseka chini ya Pontias Pilato, akasalibiwa, akafa, na akazikwa;

5. Alishuka Jahannamu; siku ya tatu Alifufuka tena kutoka wafu.

6. Akapaa Mbinguni, ameketi mkono wa kuume wa Mungu, Baba Mwenye nguvu zote;

7. Kutoka huko atakuja kuwahukumu walio hai na wafu;

8. Naamini: Roho Mtakatifu,

9. Kanisa Takatifu Katoliki, ushiriki wa watakatifu,

10. Kusamehewa dhambi,

11. Kufufuka mwili, na

12. Maisha ya milele.


Angalia katika 9 hapo juu, neno "Katoliki" lina maana la wote, yaani Wakristo, sio kwa maana la Kanisa la Roma tu, ambalo ndilo linalotumia jina hilo kwa ukamilifu wake: Kanisa Katoliki la Roma.

Sasa na tuyachungue mafunzo ya Kanisa kwa mujibu wa mwangaza wa maandishi ya Biblia ambayo Kanisa la Kikristo kwa jumla linakubali kuwa ni Neno la Mungu lenye mamlaka yote.
 
Unasema watu wanahamia uislamu hebu angalia hapa chini dini inayoongoza kwa watu. πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ Na hapo bado mnaoa wake waanne na mnazaaa bila mpango. Nani ahamie dini ambayo mungu wao ameshindwa kuwakomboa wapalestinaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
1726945214644.png

Kuna swali nimekuliza zaidi ya mara mia hamsini na nane haujajibu? Kiburi cha kutaka ujibiwe unatoa wapi ? Imetokoea mombasa leo asubuhi hii πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡Hatari sana jiulize kwanini mashoga wamejaa walipojaa waislamu ? Kwa nini ushirikina umejaa walipojaa waislamu ?
View attachment 3103340
Unasema umeniuliza mara ya saba angalia huko chini kuna swali mnimekuuliza zaidi ya mara mia na ishirini na saba na haujajibu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ .Wapi imeandikwa kuwa adamu alimuoa Eva akiwa na umri wa mwaka mmoja ? Kumbe na wewe unataka uoe watoto wadogo unajua maana ya pedophile ? Kama Bakwata ni usalama wa taifa unaswalia wapi chooni ? Unasema ni muvi ndugu yangu wanaofanya mahojiano ni wakristu ? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Haya ndiyo mafundisho ya Uislamu ? Tumia quran kumpinga huyu sheikh hapa chini.Maaana muamedi alimuoa Aisha akiwa na miaka sita na akaanza kujamiana nae alipofikisha miaka 9. Naona bado mnaendeleza gurudumu kama zamani. Hebu nifafanulie inakuwaje sheikh anaongea na binti mdogo kumshawishi aolewe ? Basi tumia Quran kumpinga huyu sheikh hapa chini πŸ‘‡ πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
View attachment 3103341
Haya ndiyo mafundisho ya Uislamu ?Are you serious ? njoo ulezee kuhusu Bacha Bazi kijana ? Bado haujaelezea kuhusu huu utamaduni na inafanyika wazi wazi.Na Bado tumeongea sana huko nyuma kuhusu Bacha Bazi lakini haujajibu chochote ndugu yangu. Naomba unifafanulie haya mambo hapa chini ni sahihi. Maana haya yanafanyika wazi wazi uarabuni. Na ndio maana ushoga umejaa visiwani kuliko bara. Nasubiri majibu ndugu yangu. Mtoto wa kiume amevalishwa nguo za kike na kucheza kwenye sherehe. Mwenye dau kubwa anamnunua na kuawiti mpaka kifo kiwatenganshe. Nasubiri majibu ndugu yanguπŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
View attachment 3103342
Vipi kuhusu huyu binti aliyeolewa yeye na binamu yake kwa mzee wa miaka 60. Hawa ni wazungu ? Nayo imeigizwa maana hii ni interview imefanywa na hao hao waaarabu waliotuletea uislamu naomba ujibu ndugu yangu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
View attachment 3103343
Haya na hii ya binti ambaye wa miaka kumi aliyeolewa na kijana wa miaka 26 nayo ni interview imefanywa na hao hao waaarabu waliotuletea uislamu naomba ujibu ndugu yangu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
View attachment 3103344
Huko nyuma ulileta video ya massage ya kijapani ukasema ni ushahidi kuwa kanisa lina fanya mambo ya ajabu hii ni video ya kanisa ?
1726405957833.png

Link ya video kama hapo kwenye picha ni :
View: https://youtu.be/BVmlqagq0HU
Unasema Mapadri hawana hela niambie ni wapi mapadre waliomba serikali iwalipe mishahara kama masheikh wanavyofanya hapa chini ?
1726511210150.png

Nakwambia kama Uislamu ungejenga shule, vyuo, taasisi na mahospitali kama wakatoliki ningehama dini na kuwa muislamu. Mimi sio mjinga ndugu yangu.
Hapo juu umelalamika umeniuliza mara ya sita πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
1726406045147.png

Mbona mimi kuna swali nimekuuliza zaidi ya mara mia haujaleta majibu ? Naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya mia moja na hamsini na tisa nakuuliza. Unazidi kuonyesha watu uwezo wako wa kufikiri . Huko juu nilikuambia ''usipokuwa makini nitakuuliza zaidi ya mara mia ''. sasa tunaelekea mia mbiliπŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡

Tumeshafikisha mia na moja .Narudia tena kwa mara ya mia moja na hamsini na tisa "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe kwa ajili ya kukuelimisha



WEWE BAKI NA TAASISI ZAO WAKATI WAZUNGU WENYEWE WANASEMA KATU HAWAWEZI KUIWACHIA AFRIKA IENDELEE ; BAKI NA WAKATOLIKI WAKO



View: https://youtu.be/6WnEKXVaKX8?t=62
 
WEWE BAKI NA TAASISI ZAO WAKATI WAZUNGU WENYEWE WANASEMA KATU HAWAWEZI KUIWACHIA AFRIKA IENDELEE ; BAKI NA WAKATOLIKI WAKO



View: https://youtu.be/6WnEKXVaKX8?t=62

Ndugu yangu wataalamu wote wakubwa katika nchi hii wamesomeshwa na wazungu. Hakuna mtaalamu ambaye ameenda kusoma Uarabuni. Uarabuni cha maana unaweza kusomea ni elimu ya majini na ushirikina. Mimi nipoo ujerumani naxchukua elimu nimekuambia narudi feb 2026. Nakuja kuanzisha kiwanda huko kama hauna kazi nipigie. Nakuahidi sitokubadilisha dini lakini ukikafanya kazi na mimi ndani ya mwaka tu utahama mwenyewe.

Kuna swali nimekuliza zaidi ya mara mia hamsini na nane haujajibu? Kiburi cha kutaka ujibiwe unatoa wapi ? Imetokoea mombasa leo asubuhi hii πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡Hatari sana jiulize kwanini mashoga wamejaa walipojaa waislamu ? Kwa nini ushirikina umejaa walipojaa waislamu ?

Pesa dio kila kitu ndugu yangu.Ndugu yangu najua hapo ulipo ukipata shida ya mgonjwa ghafla hospitalini ndio utajua umuhimu wa pesa ? Utaanza kupigia watu wakuchangie. Nakuhakikishia kama hauna rafiki mkristu mgonjwa wako hatoboi. Utaishiwa kuchangiwa rambi rambi msibani. Sikuombei mabaya lakini kama mpaka leo mwaka 2024 haujui umuhimu wa hela we haujalala bali umekufa.
Hebu angalia mwaka 2018(miaka sita iliyopita) waarabu wanawafanyaje waafrika. πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
1726512344028.png



Unasema umeniuliza mara ya saba angalia huko chini kuna swali mnimekuuliza zaidi ya mara mia na ishirini na saba na haujajibu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ .Wapi imeandikwa kuwa adamu alimuoa Eva akiwa na umri wa mwaka mmoja ? Kumbe na wewe unataka uoe watoto wadogo unajua maana ya pedophile ? Kama Bakwata ni usalama wa taifa unaswalia wapi chooni ? Unasema ni muvi ndugu yangu wanaofanya mahojiano ni wakristu ? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Haya ndiyo mafundisho ya Uislamu ? Tumia quran kumpinga huyu sheikh hapa chini.Maaana muamedi alimuoa Aisha akiwa na miaka sita na akaanza kujamiana nae alipofikisha miaka 9. Naona bado mnaendeleza gurudumu kama zamani. Hebu nifafanulie inakuwaje sheikh anaongea na binti mdogo kumshawishi aolewe ? Basi tumia Quran kumpinga huyu sheikh hapa chini πŸ‘‡ πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Haya ndiyo mafundisho ya Uislamu ?Are you serious ? njoo ulezee kuhusu Bacha Bazi kijana ? Bado haujaelezea kuhusu huu utamaduni na inafanyika wazi wazi.Na Bado tumeongea sana huko nyuma kuhusu Bacha Bazi lakini haujajibu chochote ndugu yangu. Naomba unifafanulie haya mambo hapa chini ni sahihi. Maana haya yanafanyika wazi wazi uarabuni. Na ndio maana ushoga umejaa visiwani kuliko bara. Nasubiri majibu ndugu yangu. Mtoto wa kiume amevalishwa nguo za kike na kucheza kwenye sherehe. Mwenye dau kubwa anamnunua na kuawiti mpaka kifo kiwatenganshe. Nasubiri majibu ndugu yanguπŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡

Vipi kuhusu huyu binti aliyeolewa yeye na binamu yake kwa mzee wa miaka 60. Hawa ni wazungu ? Nayo imeigizwa maana hii ni interview imefanywa na hao hao waaarabu waliotuletea uislamu naomba ujibu ndugu yangu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Haya na hii ya binti ambaye wa miaka kumi aliyeolewa na kijana wa miaka 26 nayo ni interview imefanywa na hao hao waaarabu waliotuletea uislamu naomba ujibu ndugu yangu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡


Huko nyuma ulileta video ya massage ya kijapani ukasema ni ushahidi kuwa kanisa lina fanya mambo ya ajabu hii ni video ya kanisa ?
1726405957833.png



Link ya video kama hapo kwenye picha ni :
View: https://youtu.be/BVmlqagq0HU
Unasema Mapadri hawana hela niambie ni wapi mapadre waliomba serikali iwalipe mishahara kama masheikh wanavyofanya hapa chini ?
1726511210150.png

Nakwambia kama Uislamu ungejenga shule, vyuo, taasisi na mahospitali kama wakatoliki ningehama dini na kuwa muislamu. Mimi sio mjinga ndugu yangu.
Hapo juu umelalamika umeniuliza mara ya sita πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
1726406045147.png

Mbona mimi kuna swali nimekuuliza zaidi ya mara mia haujaleta majibu ? Naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya mia moja na sitini na mbili nakuuliza. Unazidi kuonyesha watu uwezo wako wa kufikiri . Huko juu nilikuambia ''usipokuwa makini nitakuuliza zaidi ya mara mia ''. sasa tunaelekea mia mbiliπŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡

Tumeshafikisha mia na moja .Narudia tena kwa mara ya mia moja na sitini na mbili "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe kwa ajili ya kukuelimisha
 
Kinyume na dhana ya wengi kuwa imani hiyo ilianzishwa na hao waitwao Mitume wa Yesu (yaani wafwasi wake aliowatuma), yajuulikana kuwa ilitungwa baadae sana.

Baadhi ya wataalamu wa Kikristo wanasema ilitungwa mwaka 150 baada ya Kristo, wengine katika karne yane.

Kwa sura hii ilivyo sasa ilianza kutumiwa katika karne ya nane. Katika Kanisa Katoliki Imani ya Mitume husomwa katika ibada za Misa, katika kubatiza, na penginepo. Katika makanisa ya Kiprotestani husomwa katika ibada za Jumaapili.

Aghlabu ya madhehebu za Kikristo zinaikubali imani hii kama hivi ifwatavyo:

Imani ya Mitume

1. Namuamini Mungu Baba Mwenye nguvu zote, Muumba Mbingu na ardhi,

2. Na Yesu Kristo, Mwanawe wa pekee, Bwana wetu,

3. Aliyechukuliwa mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu, akazaliwa na Bikira Maria,

4. Akateseka chini ya Pontias Pilato, akasalibiwa, akafa, na akazikwa;

5. Alishuka Jahannamu; siku ya tatu Alifufuka tena kutoka wafu.

6. Akapaa Mbinguni, ameketi mkono wa kuume wa Mungu, Baba Mwenye nguvu zote;

7. Kutoka huko atakuja kuwahukumu walio hai na wafu;

8. Naamini: Roho Mtakatifu,

9. Kanisa Takatifu Katoliki, ushiriki wa watakatifu,

10. Kusamehewa dhambi,

11. Kufufuka mwili, na

12. Maisha ya milele.


Angalia katika 9 hapo juu, neno "Katoliki" lina maana la wote, yaani Wakristo, sio kwa maana la Kanisa la Roma tu, ambalo ndilo linalotumia jina hilo kwa ukamilifu wake: Kanisa Katoliki la Roma.

Sasa na tuyachungue mafunzo ya Kanisa kwa mujibu wa mwangaza wa maandishi ya Biblia ambayo Kanisa la Kikristo kwa jumla linakubali kuwa ni Neno la Mungu lenye mamlaka yote.
Ndugu yangu Ukristu sikuanzisha mimi wala babu yangu, na Uislamu haujaaanzisha wewe wala babu yako. Hizi dini tumeletewa , na kama tumeletewa tunataakiwa tujiulize. Walioleta dini wanatujali sisi kama binadamu wenzao ama kama watumwa. Maana ukitembea Tanzania nzima unaweza ukadhani waarabu hawana mafuta.Wazungu wamefanya mambo mengi sana mpaka kesho. Hakuna taasisi inayolipa vizuri kumshinda mzungu mpaka serikali haifikiii.

Kuna swali nimekuliza zaidi ya mara mia hamsini na nane haujajibu? Kiburi cha kutaka ujibiwe unatoa wapi ? Imetokoea mombasa leo asubuhi hii πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡Hatari sana jiulize kwanini mashoga wamejaa walipojaa waislamu ? Kwa nini ushirikina umejaa walipojaa waislamu ?


Pesa dio kila kitu ndugu yangu.Ndugu yangu najua hapo ulipo ukipata shida ya mgonjwa ghafla hospitalini ndio utajua umuhimu wa pesa ? Utaanza kupigia watu wakuchangie. Nakuhakikishia kama hauna rafiki mkristu mgonjwa wako hatoboi. Utaishiwa kuchangiwa rambi rambi msibani. Sikuombei mabaya lakini kama mpaka leo mwaka 2024 haujui umuhimu wa hela we haujalala bali umekufa.
Hebu angalia mwaka 2018(miaka sita iliyopita) waarabu wanawafanyaje waafrika. πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
1726512344028.png

Unasema umeniuliza mara ya saba angalia huko chini kuna swali mnimekuuliza zaidi ya mara mia na ishirini na saba na haujajibu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ .Wapi imeandikwa kuwa adamu alimuoa Eva akiwa na umri wa mwaka mmoja ? Kumbe na wewe unataka uoe watoto wadogo unajua maana ya pedophile ? Kama Bakwata ni usalama wa taifa unaswalia wapi chooni ? Unasema ni muvi ndugu yangu wanaofanya mahojiano ni wakristu ? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Haya ndiyo mafundisho ya Uislamu ? Tumia quran kumpinga huyu sheikh hapa chini.Maaana muamedi alimuoa Aisha akiwa na miaka sita na akaanza kujamiana nae alipofikisha miaka 9. Naona bado mnaendeleza gurudumu kama zamani. Hebu nifafanulie inakuwaje sheikh anaongea na binti mdogo kumshawishi aolewe ? Basi tumia Quran kumpinga huyu sheikh hapa chini πŸ‘‡ πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡


Haya ndiyo mafundisho ya Uislamu ?Are you serious ? njoo ulezee kuhusu Bacha Bazi kijana ? Bado haujaelezea kuhusu huu utamaduni na inafanyika wazi wazi.Na Bado tumeongea sana huko nyuma kuhusu Bacha Bazi lakini haujajibu chochote ndugu yangu. Naomba unifafanulie haya mambo hapa chini ni sahihi. Maana haya yanafanyika wazi wazi uarabuni. Na ndio maana ushoga umejaa visiwani kuliko bara. Nasubiri majibu ndugu yangu. Mtoto wa kiume amevalishwa nguo za kike na kucheza kwenye sherehe. Mwenye dau kubwa anamnunua na kuawiti mpaka kifo kiwatenganshe. Nasubiri majibu ndugu yanguπŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡


Vipi kuhusu huyu binti aliyeolewa yeye na binamu yake kwa mzee wa miaka 60. Hawa ni wazungu ? Nayo imeigizwa maana hii ni interview imefanywa na hao hao waaarabu waliotuletea uislamu naomba ujibu ndugu yangu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡


Haya na hii ya binti ambaye wa miaka kumi aliyeolewa na kijana wa miaka 26 nayo ni interview imefanywa na hao hao waaarabu waliotuletea uislamu naomba ujibu ndugu yangu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡


Huko nyuma ulileta video ya massage ya kijapani ukasema ni ushahidi kuwa kanisa lina fanya mambo ya ajabu hii ni video ya kanisa ?
1726405957833.png


Link ya video kama hapo kwenye picha ni :
View: https://youtu.be/BVmlqagq0HU
Unasema Mapadri hawana hela niambie ni wapi mapadre waliomba serikali iwalipe mishahara kama masheikh wanavyofanya hapa chini ?
1726511210150.png


Nakwambia kama Uislamu ungejenga shule, vyuo, taasisi na mahospitali kama wakatoliki ningehama dini na kuwa muislamu. Mimi sio mjinga ndugu yangu.
Hapo juu umelalamika umeniuliza mara ya sita πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
1726406045147.png


Mbona mimi kuna swali nimekuuliza zaidi ya mara mia haujaleta majibu ? Naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya mia moja na sitini na tatu nakuuliza. Unazidi kuonyesha watu uwezo wako wa kufikiri . Huko juu nilikuambia ''usipokuwa makini nitakuuliza zaidi ya mara mia ''. sasa tunaelekea mia mbiliπŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡

Tumeshafikisha mia na moja .Narudia tena kwa mara ya mia moja na sitini na tatu "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe kwa ajili ya kukuelimisha


Quote Reply
Report Edit Delete
 
Ndugu yangu Ukristu sikuanzisha mimi wala babu yangu, na Uislamu haujaaanzisha wewe wala babu yako. Hizi dini tumeletewa , na kama tumeletewa tunataakiwa tujiulize. Walioleta dini wanatujali sisi kama binadamu wenzao ama kama watumwa. Maana ukitembea Tanzania nzima unaweza ukadhani waarabu hawana mafuta.Wazungu wamefanya mambo mengi sana mpaka kesho. Hakuna taasisi inayolipa vizuri kumshinda mzungu mpaka serikali haifikiii.

Kuna swali nimekuliza zaidi ya mara mia hamsini na nane haujajibu? Kiburi cha kutaka ujibiwe unatoa wapi ? Imetokoea mombasa leo asubuhi hii πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡Hatari sana jiulize kwanini mashoga wamejaa walipojaa waislamu ? Kwa nini ushirikina umejaa walipojaa waislamu ?
View attachment 3105700

Pesa dio kila kitu ndugu yangu.Ndugu yangu najua hapo ulipo ukipata shida ya mgonjwa ghafla hospitalini ndio utajua umuhimu wa pesa ? Utaanza kupigia watu wakuchangie. Nakuhakikishia kama hauna rafiki mkristu mgonjwa wako hatoboi. Utaishiwa kuchangiwa rambi rambi msibani. Sikuombei mabaya lakini kama mpaka leo mwaka 2024 haujui umuhimu wa hela we haujalala bali umekufa.
Hebu angalia mwaka 2018(miaka sita iliyopita) waarabu wanawafanyaje waafrika. πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
1726512344028.png

View attachment 3105701Unasema umeniuliza mara ya saba angalia huko chini kuna swali mnimekuuliza zaidi ya mara mia na ishirini na saba na haujajibu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ .Wapi imeandikwa kuwa adamu alimuoa Eva akiwa na umri wa mwaka mmoja ? Kumbe na wewe unataka uoe watoto wadogo unajua maana ya pedophile ? Kama Bakwata ni usalama wa taifa unaswalia wapi chooni ? Unasema ni muvi ndugu yangu wanaofanya mahojiano ni wakristu ? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Haya ndiyo mafundisho ya Uislamu ? Tumia quran kumpinga huyu sheikh hapa chini.Maaana muamedi alimuoa Aisha akiwa na miaka sita na akaanza kujamiana nae alipofikisha miaka 9. Naona bado mnaendeleza gurudumu kama zamani. Hebu nifafanulie inakuwaje sheikh anaongea na binti mdogo kumshawishi aolewe ? Basi tumia Quran kumpinga huyu sheikh hapa chini πŸ‘‡ πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
View attachment 3105703

Haya ndiyo mafundisho ya Uislamu ?Are you serious ? njoo ulezee kuhusu Bacha Bazi kijana ? Bado haujaelezea kuhusu huu utamaduni na inafanyika wazi wazi.Na Bado tumeongea sana huko nyuma kuhusu Bacha Bazi lakini haujajibu chochote ndugu yangu. Naomba unifafanulie haya mambo hapa chini ni sahihi. Maana haya yanafanyika wazi wazi uarabuni. Na ndio maana ushoga umejaa visiwani kuliko bara. Nasubiri majibu ndugu yangu. Mtoto wa kiume amevalishwa nguo za kike na kucheza kwenye sherehe. Mwenye dau kubwa anamnunua na kuawiti mpaka kifo kiwatenganshe. Nasubiri majibu ndugu yanguπŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
View attachment 3105704

Vipi kuhusu huyu binti aliyeolewa yeye na binamu yake kwa mzee wa miaka 60. Hawa ni wazungu ? Nayo imeigizwa maana hii ni interview imefanywa na hao hao waaarabu waliotuletea uislamu naomba ujibu ndugu yangu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
View attachment 3105706

Haya na hii ya binti ambaye wa miaka kumi aliyeolewa na kijana wa miaka 26 nayo ni interview imefanywa na hao hao waaarabu waliotuletea uislamu naomba ujibu ndugu yangu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
View attachment 3105707

Huko nyuma ulileta video ya massage ya kijapani ukasema ni ushahidi kuwa kanisa lina fanya mambo ya ajabu hii ni video ya kanisa ?
1726405957833.png


Link ya video kama hapo kwenye picha ni :
View: https://youtu.be/BVmlqagq0HU
Unasema Mapadri hawana hela niambie ni wapi mapadre waliomba serikali iwalipe mishahara kama masheikh wanavyofanya hapa chini ?
1726511210150.png


Nakwambia kama Uislamu ungejenga shule, vyuo, taasisi na mahospitali kama wakatoliki ningehama dini na kuwa muislamu. Mimi sio mjinga ndugu yangu.
Hapo juu umelalamika umeniuliza mara ya sita πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
1726406045147.png


Mbona mimi kuna swali nimekuuliza zaidi ya mara mia haujaleta majibu ? Naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya mia moja na sitini na tatu nakuuliza. Unazidi kuonyesha watu uwezo wako wa kufikiri . Huko juu nilikuambia ''usipokuwa makini nitakuuliza zaidi ya mara mia ''. sasa tunaelekea mia mbiliπŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡

Tumeshafikisha mia na moja .Narudia tena kwa mara ya mia moja na sitini na tatu "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe kwa ajili ya kukuelimisha


Quote Reply
Report Edit Delete


Mzungu anakuthibitishia hapa kuwa atahakikisha kuwa hamuendelei wewe unawasifia ????


BIBLIA​

Hili neno Biblia ni neno la Kigiriki, na maana yake ni "vitabu". Basi Biblia ni mkusanyiko wa vitabu vingi ambavyo ndio vinafanya msingi wa imani ya Kikristo.

Inakubaliwa kuwa vitabu hivi vimeandikwa na watu wengi mbali mbali, wajuulikanao na wasiojuulikana.

Lakini hao waandishi wanaaminiwa kuwa walipata ufunuo kutokana na Mwenyezi Mungu, na wameandika walivyoandika chini ya uangalizi na uwongozi wa Mwenyezi Mungu; kwa hivyo Biblia inaambiwa kuwa ni Neno la Mungu.

Biblia ya Wakatoliki, lakini, kidogo inakhitalifiana na ya Waprotestani. Ya Wakatoliki ina vitabu 73, na ya Waprotestani ina vitabu 66.

Kwa jumla Biblia imegawika sehemu mbili kubwa, Agano la Kale na Agano Jipya. Agano la Kale ni vitabu vyote vilivyoandikwa kabla ya kutokea Yesu Kristo.

Vitabu hivi vinaeleza tangu mwanzo wa kuumbwa ulimwengu, na Adamu na Hawa, historia (taarikh) ya wanaadamu na khasa ya Wana wa Israili, sharia alizopewa Musa na Mwenyezi Mungu, vita vya Mayahudi na jirani zao, mafunzo ya manabii kadhaa wa kadhaa katika Bani Israili yaliyotokana na Mwenyezi Mungu. Isipokuwa kwa baadhi ya vitabu ambavyo hawavikubali hili liitwalo Agano la Kale, kwa jumla, ndio liliokuwa Biblia na mpaka hivi sasa ndio Biblia ya Mayahudi.

Mayahudi hawaikubali kabisa sehemu ya pili iitwayo Agano Jipya inayokubaliwa na Wakristo.

Agano Jipya ni ile sehemu ya Biblia iliyoandikwa baada ya Yesu Kristo. Sehemu hiyo inakusanya Injili nne.

Hizi ziitwazo Injili ziliomo katika Biblia ni vitabu vinavyosimulia maisha ya Yesu Kristo na mafunzo yake.

Katika Agano Jipya kipo kitabu kinachoitwa Matendo ya Mitume, kinachoeleza khabari za wanafunzi wake Yesu aliowatuma kwenda tangaza dini. Pia kipo kitabu kinacho itwa "Ufunuo" chenye kueleza mambo ya ajabu ajabu ambayo yasimuliwa kuwa Yohana alifunuliwa akayaona. Hali kadhaalika zimo barua kadhaa wa kadhaa, nyingi zao ni za Paulo, walizopelekewa watu fulani fulani kuwafunza mambo ya dini.

Hizi barua za Paulo, Myahudi aliyetanasari, zinategemewa sana na Wakristo, na ndio msingi wa imani na itikadi zao, hata wengi wapo wanaosema kuwa huu Ukristo tuuonao sasa kwa hakika uliasisiwa na Paulo.

Vitabu viliomo katika Agano la Kale kama vilivyo hivi sasa labda viliandikwa baada ya kurejea Mayahudi kutoka utumwani Babilionia, yaani baada ya mwaka 536 kabla ya Kristo.

Na vitabu vya Agano Jipya vilikusanywa na kukubaliwa na wakuu wa Kanisa katika karne ya nne baada ya Kristo (kiasi 367 A.D.) Injili nne ziliomo katika Agano Jipya, yaani ya Mathayo, ya Marko, ya Luka na ya Yohana, ndizo zilizoteuliwa na kukubaliwa na wakuu wa Kanisa kutokana na Injili nyingi sana ambazo zimekataliwa.

Neno "Injili" ni neno la Kigiriki, na maana yake ni "Khabari Njema", kwa kuwa Yesu alikuwa akisema kuwa analeta Khabari Njema, yaani Bishara. Vitabu ambavyo vingeweza kuwa ni sehemu ya Biblia, na kwa hakika vikawa vinakubaliwa kwanza na pengine mpaka sasa na baadhi ya madhehebu za Kikristo, vinaitwa "Apokrifa", yaani "vilivyofichwa".

Sisi tunaposema Biblia tunakusudia vitabu vinavyotambuliwa na madhehebu kuu za Kikristo kuwa ndivyo Neno la Mungu tu.
 
Mzungu anakuthibitishia hapa kuwa atahakikisha kuwa hamuendelei wewe unawasifia ????


BIBLIA​

Hili neno Biblia ni neno la Kigiriki, na maana yake ni "vitabu". Basi Biblia ni mkusanyiko wa vitabu vingi ambavyo ndio vinafanya msingi wa imani ya Kikristo.

Inakubaliwa kuwa vitabu hivi vimeandikwa na watu wengi mbali mbali, wajuulikanao na wasiojuulikana.

Lakini hao waandishi wanaaminiwa kuwa walipata ufunuo kutokana na Mwenyezi Mungu, na wameandika walivyoandika chini ya uangalizi na uwongozi wa Mwenyezi Mungu; kwa hivyo Biblia inaambiwa kuwa ni Neno la Mungu.

Biblia ya Wakatoliki, lakini, kidogo inakhitalifiana na ya Waprotestani. Ya Wakatoliki ina vitabu 73, na ya Waprotestani ina vitabu 66.

Kwa jumla Biblia imegawika sehemu mbili kubwa, Agano la Kale na Agano Jipya. Agano la Kale ni vitabu vyote vilivyoandikwa kabla ya kutokea Yesu Kristo.

Vitabu hivi vinaeleza tangu mwanzo wa kuumbwa ulimwengu, na Adamu na Hawa, historia (taarikh) ya wanaadamu na khasa ya Wana wa Israili, sharia alizopewa Musa na Mwenyezi Mungu, vita vya Mayahudi na jirani zao, mafunzo ya manabii kadhaa wa kadhaa katika Bani Israili yaliyotokana na Mwenyezi Mungu. Isipokuwa kwa baadhi ya vitabu ambavyo hawavikubali hili liitwalo Agano la Kale, kwa jumla, ndio liliokuwa Biblia na mpaka hivi sasa ndio Biblia ya Mayahudi.

Mayahudi hawaikubali kabisa sehemu ya pili iitwayo Agano Jipya inayokubaliwa na Wakristo.

Agano Jipya ni ile sehemu ya Biblia iliyoandikwa baada ya Yesu Kristo. Sehemu hiyo inakusanya Injili nne.

Hizi ziitwazo Injili ziliomo katika Biblia ni vitabu vinavyosimulia maisha ya Yesu Kristo na mafunzo yake.

Katika Agano Jipya kipo kitabu kinachoitwa Matendo ya Mitume, kinachoeleza khabari za wanafunzi wake Yesu aliowatuma kwenda tangaza dini. Pia kipo kitabu kinacho itwa "Ufunuo" chenye kueleza mambo ya ajabu ajabu ambayo yasimuliwa kuwa Yohana alifunuliwa akayaona. Hali kadhaalika zimo barua kadhaa wa kadhaa, nyingi zao ni za Paulo, walizopelekewa watu fulani fulani kuwafunza mambo ya dini.

Hizi barua za Paulo, Myahudi aliyetanasari, zinategemewa sana na Wakristo, na ndio msingi wa imani na itikadi zao, hata wengi wapo wanaosema kuwa huu Ukristo tuuonao sasa kwa hakika uliasisiwa na Paulo.

Vitabu viliomo katika Agano la Kale kama vilivyo hivi sasa labda viliandikwa baada ya kurejea Mayahudi kutoka utumwani Babilionia, yaani baada ya mwaka 536 kabla ya Kristo.

Na vitabu vya Agano Jipya vilikusanywa na kukubaliwa na wakuu wa Kanisa katika karne ya nne baada ya Kristo (kiasi 367 A.D.) Injili nne ziliomo katika Agano Jipya, yaani ya Mathayo, ya Marko, ya Luka na ya Yohana, ndizo zilizoteuliwa na kukubaliwa na wakuu wa Kanisa kutokana na Injili nyingi sana ambazo zimekataliwa.

Neno "Injili" ni neno la Kigiriki, na maana yake ni "Khabari Njema", kwa kuwa Yesu alikuwa akisema kuwa analeta Khabari Njema, yaani Bishara. Vitabu ambavyo vingeweza kuwa ni sehemu ya Biblia, na kwa hakika vikawa vinakubaliwa kwanza na pengine mpaka sasa na baadhi ya madhehebu za Kikristo, vinaitwa "Apokrifa", yaani "vilivyofichwa".

Sisi tunaposema Biblia tunakusudia vitabu vinavyotambuliwa na madhehebu kuu za Kikristo kuwa ndivyo Neno la Mungu tu.
Unasema Mzungu anataka tusiendelee wakati hela zake ndio zinaendesha nchi πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ .Ndugu yangu Ukristu sikuanzisha mimi wala babu yangu, na Uislamu haujaaanzisha wewe wala babu yako. Hizi dini tumeletewa , na kama tumeletewa tunataakiwa tujiulize. Walioleta dini wanatujali sisi kama binadamu wenzao ama kama watumwa. Maana ukitembea Tanzania nzima unaweza ukadhani waarabu hawana mafuta.Wazungu wamefanya mambo mengi sana mpaka kesho. Hakuna taasisi inayolipa vizuri kumshinda mzungu mpaka serikali haifikiii.

Kuna swali nimekuliza zaidi ya mara mia hamsini na nane haujajibu? Kiburi cha kutaka ujibiwe unatoa wapi ? Imetokoea mombasa leo asubuhi hii πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡Hatari sana jiulize kwanini mashoga wamejaa walipojaa waislamu ? Kwa nini ushirikina umejaa walipojaa waislamu ?

Pesa dio kila kitu ndugu yangu.Ndugu yangu najua hapo ulipo ukipata shida ya mgonjwa ghafla hospitalini ndio utajua umuhimu wa pesa ? Utaanza kupigia watu wakuchangie. Nakuhakikishia kama hauna rafiki mkristu mgonjwa wako hatoboi. Utaishiwa kuchangiwa rambi rambi msibani. Sikuombei mabaya lakini kama mpaka leo mwaka 2024 haujui umuhimu wa hela we haujalala bali umekufa.
Hebu angalia mwaka 2018(miaka sita iliyopita) waarabu wanawafanyaje waafrika. πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
1726512344028.png


Unasema umeniuliza mara ya saba angalia huko chini kuna swali mnimekuuliza zaidi ya mara mia na ishirini na saba na haujajibu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ .Wapi imeandikwa kuwa adamu alimuoa Eva akiwa na umri wa mwaka mmoja ? Kumbe na wewe unataka uoe watoto wadogo unajua maana ya pedophile ? Kama Bakwata ni usalama wa taifa unaswalia wapi chooni ? Unasema ni muvi ndugu yangu wanaofanya mahojiano ni wakristu ? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Haya ndiyo mafundisho ya Uislamu ? Tumia quran kumpinga huyu sheikh hapa chini.Maaana muamedi alimuoa Aisha akiwa na miaka sita na akaanza kujamiana nae alipofikisha miaka 9. Naona bado mnaendeleza gurudumu kama zamani. Hebu nifafanulie inakuwaje sheikh anaongea na binti mdogo kumshawishi aolewe ? Basi tumia Quran kumpinga huyu sheikh hapa chini πŸ‘‡ πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Haya ndiyo mafundisho ya Uislamu ?Are you serious ? njoo ulezee kuhusu Bacha Bazi kijana ? Bado haujaelezea kuhusu huu utamaduni na inafanyika wazi wazi.Na Bado tumeongea sana huko nyuma kuhusu Bacha Bazi lakini haujajibu chochote ndugu yangu. Naomba unifafanulie haya mambo hapa chini ni sahihi. Maana haya yanafanyika wazi wazi uarabuni. Na ndio maana ushoga umejaa visiwani kuliko bara. Nasubiri majibu ndugu yangu. Mtoto wa kiume amevalishwa nguo za kike na kucheza kwenye sherehe. Mwenye dau kubwa anamnunua na kuawiti mpaka kifo kiwatenganshe. Nasubiri majibu ndugu yanguπŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡

Vipi kuhusu huyu binti aliyeolewa yeye na binamu yake kwa mzee wa miaka 60. Hawa ni wazungu ? Nayo imeigizwa maana hii ni interview imefanywa na hao hao waaarabu waliotuletea uislamu naomba ujibu ndugu yangu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Haya na hii ya binti ambaye wa miaka kumi aliyeolewa na kijana wa miaka 26 nayo ni interview imefanywa na hao hao waaarabu waliotuletea uislamu naomba ujibu ndugu yangu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Huko nyuma ulileta video ya massage ya kijapani ukasema ni ushahidi kuwa kanisa lina fanya mambo ya ajabu hii ni video ya kanisa ?
1726405957833.png



Link ya video kama hapo kwenye picha ni :
View: https://youtu.be/BVmlqagq0HU
Unasema Mapadri hawana hela niambie ni wapi mapadre waliomba serikali iwalipe mishahara kama masheikh wanavyofanya hapa chini ?
1726511210150.png

Nakwambia kama Uislamu ungejenga shule, vyuo, taasisi na mahospitali kama wakatoliki ningehama dini na kuwa muislamu. Mimi sio mjinga ndugu yangu.
Hapo juu umelalamika umeniuliza mara ya sita πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
1726406045147.png

Mbona mimi kuna swali nimekuuliza zaidi ya mara mia haujaleta majibu ? Naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya mia moja na sitini na nne nakuuliza. Unazidi kuonyesha watu uwezo wako wa kufikiri . Huko juu nilikuambia ''usipokuwa makini nitakuuliza zaidi ya mara mia ''. sasa tunaelekea mia mbiliπŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡

Tumeshafikisha mia na moja .Narudia tena kwa mara ya mia moja na sitini na nne "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe kwa ajili ya kukuelimisha
 
@ Madwari Madwari


Wazungu wanakuambia hawawaruhusu kuendelea na watahakikisha mnakuwa masikini wewe unawapakazia , tukuelewe vipi, Halafu unalalamika ukiumwa lazima uwe na pesa au uchangiwe , sasa msaada wa mzungu upo wapi hapo na hiyo taasisi yako ??


View: https://youtu.be/6WnEKXVaKX8?t=62

Unasema Mzungu anataka tusiendelee wakati hela zake ndio zinaendesha nchi πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ .Ndugu yangu Ukristu sikuanzisha mimi wala babu yangu, na Uislamu haujaaanzisha wewe wala babu yako. Hizi dini tumeletewa , na kama tumeletewa tunataakiwa tujiulize. Walioleta dini wanatujali sisi kama binadamu wenzao ama kama watumwa. Maana ukitembea Tanzania nzima unaweza ukadhani waarabu hawana mafuta.Wazungu wamefanya mambo mengi sana mpaka kesho. Hakuna taasisi inayolipa vizuri kumshinda mzungu mpaka serikali haifikiii.

Kuna swali nimekuliza zaidi ya mara mia hamsini na nane haujajibu? Kiburi cha kutaka ujibiwe unatoa wapi ? Imetokoea mombasa leo asubuhi hii πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡Hatari sana jiulize kwanini mashoga wamejaa walipojaa waislamu ? Kwa nini ushirikina umejaa walipojaa waislamu ?
View attachment 3106147
Pesa dio kila kitu ndugu yangu.Ndugu yangu najua hapo ulipo ukipata shida ya mgonjwa ghafla hospitalini ndio utajua umuhimu wa pesa ? Utaanza kupigia watu wakuchangie. Nakuhakikishia kama hauna rafiki mkristu mgonjwa wako hatoboi. Utaishiwa kuchangiwa rambi rambi msibani. Sikuombei mabaya lakini kama mpaka leo mwaka 2024 haujui umuhimu wa hela we haujalala bali umekufa.
Hebu angalia mwaka 2018(miaka sita iliyopita) waarabu wanawafanyaje waafrika. πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
1726512344028.png

View attachment 3106148
Unasema umeniuliza mara ya saba angalia huko chini kuna swali mnimekuuliza zaidi ya mara mia na ishirini na saba na haujajibu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ .Wapi imeandikwa kuwa adamu alimuoa Eva akiwa na umri wa mwaka mmoja ? Kumbe na wewe unataka uoe watoto wadogo unajua maana ya pedophile ? Kama Bakwata ni usalama wa taifa unaswalia wapi chooni ? Unasema ni muvi ndugu yangu wanaofanya mahojiano ni wakristu ? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Haya ndiyo mafundisho ya Uislamu ? Tumia quran kumpinga huyu sheikh hapa chini.Maaana muamedi alimuoa Aisha akiwa na miaka sita na akaanza kujamiana nae alipofikisha miaka 9. Naona bado mnaendeleza gurudumu kama zamani. Hebu nifafanulie inakuwaje sheikh anaongea na binti mdogo kumshawishi aolewe ? Basi tumia Quran kumpinga huyu sheikh hapa chini πŸ‘‡ πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
View attachment 3106149
Haya ndiyo mafundisho ya Uislamu ?Are you serious ? njoo ulezee kuhusu Bacha Bazi kijana ? Bado haujaelezea kuhusu huu utamaduni na inafanyika wazi wazi.Na Bado tumeongea sana huko nyuma kuhusu Bacha Bazi lakini haujajibu chochote ndugu yangu. Naomba unifafanulie haya mambo hapa chini ni sahihi. Maana haya yanafanyika wazi wazi uarabuni. Na ndio maana ushoga umejaa visiwani kuliko bara. Nasubiri majibu ndugu yangu. Mtoto wa kiume amevalishwa nguo za kike na kucheza kwenye sherehe. Mwenye dau kubwa anamnunua na kuawiti mpaka kifo kiwatenganshe. Nasubiri majibu ndugu yanguπŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
View attachment 3106150
Vipi kuhusu huyu binti aliyeolewa yeye na binamu yake kwa mzee wa miaka 60. Hawa ni wazungu ? Nayo imeigizwa maana hii ni interview imefanywa na hao hao waaarabu waliotuletea uislamu naomba ujibu ndugu yangu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
View attachment 3106151
Haya na hii ya binti ambaye wa miaka kumi aliyeolewa na kijana wa miaka 26 nayo ni interview imefanywa na hao hao waaarabu waliotuletea uislamu naomba ujibu ndugu yangu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
View attachment 3106152
Huko nyuma ulileta video ya massage ya kijapani ukasema ni ushahidi kuwa kanisa lina fanya mambo ya ajabu hii ni video ya kanisa ?
1726405957833.png



Link ya video kama hapo kwenye picha ni :
View: https://youtu.be/BVmlqagq0HU
Unasema Mapadri hawana hela niambie ni wapi mapadre waliomba serikali iwalipe mishahara kama masheikh wanavyofanya hapa chini ?
1726511210150.png

Nakwambia kama Uislamu ungejenga shule, vyuo, taasisi na mahospitali kama wakatoliki ningehama dini na kuwa muislamu. Mimi sio mjinga ndugu yangu.
Hapo juu umelalamika umeniuliza mara ya sita πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
1726406045147.png

Mbona mimi kuna swali nimekuuliza zaidi ya mara mia haujaleta majibu ? Naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya mia moja na sitini na tano nakuuliza. Unazidi kuonyesha watu uwezo wako wa kufikiri . Huko juu nilikuambia ''usipokuwa makini nitakuuliza zaidi ya mara mia ''. sasa tunaelekea mia mbiliπŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡

Tumeshafikisha mia na moja .Narudia tena kwa mara ya mia moja na sitini na tano "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe kwa ajili ya kukuelimisha
 
Unasema Mzungu anataka tusiendelee wakati hela zake ndio zinaendesha nchi πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ .Ndugu yangu Ukristu sikuanzisha mimi wala babu yangu, na Uislamu haujaaanzisha wewe wala babu yako. Hizi dini tumeletewa , na kama tumeletewa tunataakiwa tujiulize. Walioleta dini wanatujali sisi kama binadamu wenzao ama kama watumwa. Maana ukitembea Tanzania nzima unaweza ukadhani waarabu hawana mafuta.Wazungu wamefanya mambo mengi sana mpaka kesho. Hakuna taasisi inayolipa vizuri kumshinda mzungu mpaka serikali haifikiii.

Kuna swali nimekuliza zaidi ya mara mia hamsini na nane haujajibu? Kiburi cha kutaka ujibiwe unatoa wapi ? Imetokoea mombasa leo asubuhi hii πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡Hatari sana jiulize kwanini mashoga wamejaa walipojaa waislamu ? Kwa nini ushirikina umejaa walipojaa waislamu ?
View attachment 3106147
Pesa dio kila kitu ndugu yangu.Ndugu yangu najua hapo ulipo ukipata shida ya mgonjwa ghafla hospitalini ndio utajua umuhimu wa pesa ? Utaanza kupigia watu wakuchangie. Nakuhakikishia kama hauna rafiki mkristu mgonjwa wako hatoboi. Utaishiwa kuchangiwa rambi rambi msibani. Sikuombei mabaya lakini kama mpaka leo mwaka 2024 haujui umuhimu wa hela we haujalala bali umekufa.
Hebu angalia mwaka 2018(miaka sita iliyopita) waarabu wanawafanyaje waafrika. πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
1726512344028.png

View attachment 3106148
Unasema umeniuliza mara ya saba angalia huko chini kuna swali mnimekuuliza zaidi ya mara mia na ishirini na saba na haujajibu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ .Wapi imeandikwa kuwa adamu alimuoa Eva akiwa na umri wa mwaka mmoja ? Kumbe na wewe unataka uoe watoto wadogo unajua maana ya pedophile ? Kama Bakwata ni usalama wa taifa unaswalia wapi chooni ? Unasema ni muvi ndugu yangu wanaofanya mahojiano ni wakristu ? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Haya ndiyo mafundisho ya Uislamu ? Tumia quran kumpinga huyu sheikh hapa chini.Maaana muamedi alimuoa Aisha akiwa na miaka sita na akaanza kujamiana nae alipofikisha miaka 9. Naona bado mnaendeleza gurudumu kama zamani. Hebu nifafanulie inakuwaje sheikh anaongea na binti mdogo kumshawishi aolewe ? Basi tumia Quran kumpinga huyu sheikh hapa chini πŸ‘‡ πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
View attachment 3106149
Haya ndiyo mafundisho ya Uislamu ?Are you serious ? njoo ulezee kuhusu Bacha Bazi kijana ? Bado haujaelezea kuhusu huu utamaduni na inafanyika wazi wazi.Na Bado tumeongea sana huko nyuma kuhusu Bacha Bazi lakini haujajibu chochote ndugu yangu. Naomba unifafanulie haya mambo hapa chini ni sahihi. Maana haya yanafanyika wazi wazi uarabuni. Na ndio maana ushoga umejaa visiwani kuliko bara. Nasubiri majibu ndugu yangu. Mtoto wa kiume amevalishwa nguo za kike na kucheza kwenye sherehe. Mwenye dau kubwa anamnunua na kuawiti mpaka kifo kiwatenganshe. Nasubiri majibu ndugu yanguπŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
View attachment 3106150
Vipi kuhusu huyu binti aliyeolewa yeye na binamu yake kwa mzee wa miaka 60. Hawa ni wazungu ? Nayo imeigizwa maana hii ni interview imefanywa na hao hao waaarabu waliotuletea uislamu naomba ujibu ndugu yangu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
View attachment 3106151
Haya na hii ya binti ambaye wa miaka kumi aliyeolewa na kijana wa miaka 26 nayo ni interview imefanywa na hao hao waaarabu waliotuletea uislamu naomba ujibu ndugu yangu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
View attachment 3106152
Huko nyuma ulileta video ya massage ya kijapani ukasema ni ushahidi kuwa kanisa lina fanya mambo ya ajabu hii ni video ya kanisa ?
1726405957833.png



Link ya video kama hapo kwenye picha ni :
View: https://youtu.be/BVmlqagq0HU
Unasema Mapadri hawana hela niambie ni wapi mapadre waliomba serikali iwalipe mishahara kama masheikh wanavyofanya hapa chini ?
1726511210150.png

Nakwambia kama Uislamu ungejenga shule, vyuo, taasisi na mahospitali kama wakatoliki ningehama dini na kuwa muislamu. Mimi sio mjinga ndugu yangu.
Hapo juu umelalamika umeniuliza mara ya sita πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
1726406045147.png

Mbona mimi kuna swali nimekuuliza zaidi ya mara mia haujaleta majibu ? Naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya mia moja na sitini na tano nakuuliza. Unazidi kuonyesha watu uwezo wako wa kufikiri . Huko juu nilikuambia ''usipokuwa makini nitakuuliza zaidi ya mara mia ''. sasa tunaelekea mia mbiliπŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡

Tumeshafikisha mia na moja .Narudia tena kwa mara ya mia moja na sitini na tano "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe kwa ajili ya kukuelimisha

sisemi mimi , au hujamsikia hapo , wanasema wenyewe hao unaowaabudu wazungu



View: https://youtu.be/6WnEKXVaKX8?t=337
 

Madwari Madwari

DHAMBI YA ASILI​

Katika Agano la Kale kitabu cha kwanza, kinachoitwa Mwanzo, imo hadithi ya kuumbwa mtu na kuanguka kwake. Hivyo ndivyo inavyosimuliwa alivyoanguka Adam kutokana na kukosa neema:

Bwana Mungu akamtwaa huyo mtu, akamweka katika bustani ya Edeni, ailime na kuitunza. Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula, walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.

Mwanzo 2.15-17

Juu ya hivyo lakini Adam kwa kushawishiwa na mkewe, Hawa, aliasi amri ya Mungu na akala matunda ya mti wa ujuzi aliyokatazwa. Mungu akawalaani wote wawili:

Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala. Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako; michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni; kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, na mavumbini utarudi.

Mwanzo 3.16-19

Kwa ajili ya dhambi yao hiyo, Kanisa linasema, Adamu na Hawa wakakosa neema ya kutakaswa, haki ya kuwapo Mbinguni na vile vipawa vyao mahsusi; ndio ikawa waweza kufa, kuteseka, na kuwa na matamanio makubwa kutenda maovu na wakafukuzwa kutoka bustani ya Paradisio (Firdausi).

Kwa sababu ya dhambi ya Adamu wanaadamu wote wakizaliwa wanakosa neema ya utakaso na wanarithi adhabu yake.

Hii ndiyo inayoitwa dhambi ya asili.
 

Madwari Madwari



Thiologia, yaani ilimu ya Ungu, ya Mtakatifu Paulo iliikuza hiyo imani ya Dhambi ya Asili kuthibitisha imani nyengine, yaani imani ya kuokoka kwa kifo cha Yesu msalabani.

Katika barua yake aliyowapelekea Warumi Paulo aliandika hivi:

Kwa hiyo, kama kwa mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, na kwa dhambi hiyo mauti; na hivyo mauti ikawafikia watu wote kwa sababu wote wamefanya dhambi; maana kabla ya sheria dhambi ilikuwamo ulimwenguni, lakini dhambi haihesabiwi isipokuwapo sheria; walakini mauti ilitawala tangu Adamu mpaka Musa, nayo iliwatawala hata wao wasiofanya dhambi ifananayo na kosa la Adamu, aliye mfano wake yeye atakayekuja. Lakini karama ile haikuwa kama lile kosa; kwa maana ikiwa kwa kukosa kwake yule mmoja wengi walikufa, zaidi sana neema ya Mungu, na kipawa kilicho neema yake mwanadamu mmoja Yesu Kristo kimezidi kwa ajili ya wale wengi.

Warumi 5.12-15

Pia vile vile Paulo aliwaandikia Wakorintho:

Kwa kuwa kama katika Adamu wote wanakufa, kadhaalika na katika Kristo wote watahuishwa.

1 Wakorintho 15.22

Paulo anakusudia kusema kuwa wanaadamu wote, wameingia makosani kwa vile Adam alivyovunja amri ya Mwenyezi Mungu, ndio maana ya kufa kwao; mpaka kufa na kufufuka kwa Yesu Kristo ndiko kumeleta uhai kwa wenye kumuamini kuwa yeye ni Mwana wa Mungu aliyekuja duniani kwa ajili ya kuwaokoa walimwengu kwa kuteswa na kutundikwa msalabani na kufa na kuingia Jahannam na kisha kufufuka na kupaa mbinguni.

Haya ni mafunzo ambayo Paulo amejaribu kufunza katika barua zake.

Lakini imani aliyofunza Paulo ya Dhambi ya Asili ya kurithiwa inapingwa na vifungu vingine kutokana na Biblia.

Katika Kumbukumbu la Torati, kwa mfano (na hicho ni katika vitabu vitano vinavyohisabiwa kuwa ndiyo Torati inayoaminiwa na Mayahudi na Wakristo) Musa anasema:

Mababa wasiuawe kwa ajili ya watoto wao, wala watoto wasiuwawe kwa ajili ya baba zao; kila mtu na auawe kwa ajili ya dhambi yake mwenyewe.

Kumbukumbu 24.16

Hali kadhaalika tunasoma neno la Mungu katika kitabu cha Yeremia:

Siku zile, hawatasema tena, Baba za watu wamekula zabibu kali, na meno ya watoto wao yametiwa ganzi. Bali kila mtu atakufa kwa sababu ya uovu wake mwenyewe; kila mtu alaye zabibu kali, meno yake yatatiwa ganzi.

Yeremia 31.29-30

Tena Neno la Mungu linaendelea kusema katika kitabu cha Ezekieli kwa uwazi zaidi:

Lakini ninyi mwasema, Kwani yule mwana asiuchukue uovu wa baba yake?

Yule mwana atakapofanya yaliyo halali na haki, na kuzishika amri zangu na kuzitenda, hakika ataishi. Roho itendayo dhambi, ndiyo itayokufa; mwana hatauchukua uovu wa baba yake, wala baba hatauchukua uovu wa mwanawe; haki yake mwenye haki itakuwa juu yake, na uovu wake mwenye uovu utakuwa juu yake.

Ezekieli 18.19-20

Hayo tuliyoyanukulu kutokana na vitabu vya Yeremia na Ezekieli ni maneno ya Bwana Mungu, na yale yaliyotoka katika kitabu cha Kumbukumbu la Torati ni maneno ya Musa, ambaye alileta sharia itokayo kwa Bwana Mungu na ambayo Yesu alisema kuwa yeye hakuja kuitengua hata nukta moja bali amekuja kuitimiza tu.

Ni wazi kabisa kuwa nadhariya ya Paulo ya dhambi ya asili ya kurithiwa inagongana na neno la Mungu kama lilivyo katika Biblia.
 

Madwari Madwari



Thiologia, yaani ilimu ya Ungu, ya Mtakatifu Paulo iliikuza hiyo imani ya Dhambi ya Asili kuthibitisha imani nyengine, yaani imani ya kuokoka kwa kifo cha Yesu msalabani.

Katika barua yake aliyowapelekea Warumi Paulo aliandika hivi:

Kwa hiyo, kama kwa mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, na kwa dhambi hiyo mauti; na hivyo mauti ikawafikia watu wote kwa sababu wote wamefanya dhambi; maana kabla ya sheria dhambi ilikuwamo ulimwenguni, lakini dhambi haihesabiwi isipokuwapo sheria; walakini mauti ilitawala tangu Adamu mpaka Musa, nayo iliwatawala hata wao wasiofanya dhambi ifananayo na kosa la Adamu, aliye mfano wake yeye atakayekuja. Lakini karama ile haikuwa kama lile kosa; kwa maana ikiwa kwa kukosa kwake yule mmoja wengi walikufa, zaidi sana neema ya Mungu, na kipawa kilicho neema yake mwanadamu mmoja Yesu Kristo kimezidi kwa ajili ya wale wengi.

Warumi 5.12-15

Pia vile vile Paulo aliwaandikia Wakorintho:

Kwa kuwa kama katika Adamu wote wanakufa, kadhaalika na katika Kristo wote watahuishwa.

1 Wakorintho 15.22

Paulo anakusudia kusema kuwa wanaadamu wote, wameingia makosani kwa vile Adam alivyovunja amri ya Mwenyezi Mungu, ndio maana ya kufa kwao; mpaka kufa na kufufuka kwa Yesu Kristo ndiko kumeleta uhai kwa wenye kumuamini kuwa yeye ni Mwana wa Mungu aliyekuja duniani kwa ajili ya kuwaokoa walimwengu kwa kuteswa na kutundikwa msalabani na kufa na kuingia Jahannam na kisha kufufuka na kupaa mbinguni.

Haya ni mafunzo ambayo Paulo amejaribu kufunza katika barua zake.

Lakini imani aliyofunza Paulo ya Dhambi ya Asili ya kurithiwa inapingwa na vifungu vingine kutokana na Biblia.

Katika Kumbukumbu la Torati, kwa mfano (na hicho ni katika vitabu vitano vinavyohisabiwa kuwa ndiyo Torati inayoaminiwa na Mayahudi na Wakristo) Musa anasema:

Mababa wasiuawe kwa ajili ya watoto wao, wala watoto wasiuwawe kwa ajili ya baba zao; kila mtu na auawe kwa ajili ya dhambi yake mwenyewe.

Kumbukumbu 24.16

Hali kadhaalika tunasoma neno la Mungu katika kitabu cha Yeremia:

Siku zile, hawatasema tena, Baba za watu wamekula zabibu kali, na meno ya watoto wao yametiwa ganzi. Bali kila mtu atakufa kwa sababu ya uovu wake mwenyewe; kila mtu alaye zabibu kali, meno yake yatatiwa ganzi.

Yeremia 31.29-30

Tena Neno la Mungu linaendelea kusema katika kitabu cha Ezekieli kwa uwazi zaidi:

Lakini ninyi mwasema, Kwani yule mwana asiuchukue uovu wa baba yake?

Yule mwana atakapofanya yaliyo halali na haki, na kuzishika amri zangu na kuzitenda, hakika ataishi. Roho itendayo dhambi, ndiyo itayokufa; mwana hatauchukua uovu wa baba yake, wala baba hatauchukua uovu wa mwanawe; haki yake mwenye haki itakuwa juu yake, na uovu wake mwenye uovu utakuwa juu yake.

Ezekieli 18.19-20

Hayo tuliyoyanukulu kutokana na vitabu vya Yeremia na Ezekieli ni maneno ya Bwana Mungu, na yale yaliyotoka katika kitabu cha Kumbukumbu la Torati ni maneno ya Musa, ambaye alileta sharia itokayo kwa Bwana Mungu na ambayo Yesu alisema kuwa yeye hakuja kuitengua hata nukta moja bali amekuja kuitimiza tu.

Ni wazi kabisa kuwa nadhariya ya Paulo ya dhambi ya asili ya kurithiwa inagongana na neno la Mungu kama lilivyo katika Biblia.
Ndugu yangu Ukristu sikuanzisha mimi wala babu yangu, na Uislamu haujaaanzisha wewe wala babu yako. Hizi dini tumeletewa , na kama tumeletewa tunataakiwa tujiulize. Walioleta dini wanatujali sisi kama binadamu wenzao ama kama watumwa. Maana ukitembea Tanzania nzima unaweza ukadhani waarabu hawana mafuta.Wazungu wamefanya mambo mengi sana mpaka kesho. Hakuna taasisi inayolipa vizuri kumshinda mzungu mpaka serikali haifikiii.
Kuna swali nimekuliza zaidi ya mara mia hamsini na nane haujajibu? Kiburi cha kutaka ujibiwe unatoa wapi ? Imetokoea mombasa leo asubuhi hii πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡Hatari sana jiulize kwanini mashoga wamejaa walipojaa waislamu ? Kwa nini ushirikina umejaa walipojaa waislamu ?

Pesa dio kila kitu ndugu yangu.Ndugu yangu najua hapo ulipo ukipata shida ya mgonjwa ghafla hospitalini ndio utajua umuhimu wa pesa ? Utaanza kupigia watu wakuchangie. Nakuhakikishia kama hauna rafiki mkristu mgonjwa wako hatoboi. Utaishiwa kuchangiwa rambi rambi msibani. Sikuombei mabaya lakini kama mpaka leo mwaka 2024 haujui umuhimu wa hela we haujalala bali umekufa.
Hebu angalia mwaka 2018(miaka sita iliyopita) waarabu wanawafanyaje waafrika. πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
1726512344028.png



Unasema umeniuliza mara ya saba angalia huko chini kuna swali mnimekuuliza zaidi ya mara mia na ishirini na saba na haujajibu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ .Wapi imeandikwa kuwa adamu alimuoa Eva akiwa na umri wa mwaka mmoja ? Kumbe na wewe unataka uoe watoto wadogo unajua maana ya pedophile ? Kama Bakwata ni usalama wa taifa unaswalia wapi chooni ? Unasema ni muvi ndugu yangu wanaofanya mahojiano ni wakristu ? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Haya ndiyo mafundisho ya Uislamu ? Tumia quran kumpinga huyu sheikh hapa chini.Maaana muamedi alimuoa Aisha akiwa na miaka sita na akaanza kujamiana nae alipofikisha miaka 9. Naona bado mnaendeleza gurudumu kama zamani. Hebu nifafanulie inakuwaje sheikh anaongea na binti mdogo kumshawishi aolewe ? Basi tumia Quran kumpinga huyu sheikh hapa chini πŸ‘‡ πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Haya ndiyo mafundisho ya Uislamu ?Are you serious ? njoo ulezee kuhusu Bacha Bazi kijana ? Bado haujaelezea kuhusu huu utamaduni na inafanyika wazi wazi.Na Bado tumeongea sana huko nyuma kuhusu Bacha Bazi lakini haujajibu chochote ndugu yangu. Naomba unifafanulie haya mambo hapa chini ni sahihi. Maana haya yanafanyika wazi wazi uarabuni. Na ndio maana ushoga umejaa visiwani kuliko bara. Nasubiri majibu ndugu yangu. Mtoto wa kiume amevalishwa nguo za kike na kucheza kwenye sherehe. Mwenye dau kubwa anamnunua na kuawiti mpaka kifo kiwatenganshe. Nasubiri majibu ndugu yanguπŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡

Vipi kuhusu huyu binti aliyeolewa yeye na binamu yake kwa mzee wa miaka 60. Hawa ni wazungu ? Nayo imeigizwa maana hii ni interview imefanywa na hao hao waaarabu waliotuletea uislamu naomba ujibu ndugu yangu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Haya na hii ya binti ambaye wa miaka kumi aliyeolewa na kijana wa miaka 26 nayo ni interview imefanywa na hao hao waaarabu waliotuletea uislamu naomba ujibu ndugu yangu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Huko nyuma ulileta video ya massage ya kijapani ukasema ni ushahidi kuwa kanisa lina fanya mambo ya ajabu hii ni video ya kanisa ?
1726405957833.png

Link ya video kama hapo kwenye picha ni :
View: https://youtu.be/BVmlqagq0HU
Unasema Mapadri hawana hela niambie ni wapi mapadre waliomba serikali iwalipe mishahara kama masheikh wanavyofanya hapa chini ?
1726511210150.png

Nakwambia kama Uislamu ungejenga shule, vyuo, taasisi na mahospitali kama wakatoliki ningehama dini na kuwa muislamu. Mimi sio mjinga ndugu yangu.
Hapo juu umelalamika umeniuliza mara ya sita πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡
1726406045147.png


Mbona mimi kuna swali nimekuuliza zaidi ya mara mia haujaleta majibu ? Naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya mia moja na sitini na sita nakuuliza. Unazidi kuonyesha watu uwezo wako wa kufikiri . Huko juu nilikuambia ''usipokuwa makini nitakuuliza zaidi ya mara mia ''. sasa tunaelekea mia mbiliπŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡

Tumeshafikisha mia na moja .Narudia tena kwa mara ya mia moja na sitini na sita "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe kwa ajili ya kukuelimisha
 
Back
Top Bottom