Ukristo ni kutukuza utamaduni wa watu weupe, tujitafakari sana

Unapokuwa na wachungaji ambao wana vyeo vya unabii Kama Nabii Tito , Hizo shule si mnaletewa walimu wachungaji wazungu wanaowaharibu wanafunzi Kama ile shule ya kanisa kule Soni.
By the way ile Hospital ya Muhimbili ilijengwa na waislamu
Ukristo ni Ukatoliki na Ulutheri hapa duniani hatuna manabii tuna Wachungaji na Maaskofu. Kuhusu Muhimbili haikujengwa na waislamu. Unasema hivyo kisa kuna wodi inaitwa Sewa Hajj ? Waarabu ,mwisho wao wa kuwasaidia watanzania ni msikiti na maji ya kutawadhia basi. Hakuna zaidi ya hapo.
 

View: https://x.com/ajsteelshow/status/1829187261428314515
 


Umeingia google na ku copy


Ikiwa upo Dar es Salaam nenda munhimbili kaulize historia ya hospitali nani alijenga zaidi ingia hapa JF utasoma zaidi

Historia ya Sewa Haji Paroo (1851-1897), Muasisi wa Hospitali ya Muhimbili
 
..., wachungaji na viongozi wa kidini wamekuwa ni wapigaji wa wananchi tena bila huruma au aibu. Baadae tutakuja kuona wakitosheka kwa kula na kusaza wachungaji ndio watakuwa maraisi wa nchi zetu...
Kwa hiyo hao wachungaji wanaowapiga nao ni wazungu?
 
Kwa hiyo hao wachungaji wanaowapiga nao ni wazungu?

Tanzania​

St Michael's Catholic Boarding School, Soni, Tanzania

Kit Cunningham, a prominent United Kingdom member of the Rosminian order, and three other priests, were exposed as paedophiles after Cunningham's death.

While at Soni, Cunningham committed sexual abuse that made the school, according to one pupil, "a loveless, violent and sad hellhole".

Other pupils recall being photographed naked, hauled out of bed at night to have their genitals fondled, and other sexual abuse

wikipedia
 
Siwezi kupuuza mchango wa wazungu kwa maendeleo hata madogo tuliyo nayo Waafrika, hata kama kuna mambo mengine madogo madogo mabaya waliyofanya. Elimu tulizokuwa nazo za kiafrika zisingewezesha ujenzi wa reli ya kati, shule na vituo vya afya. Kwa waafrika bila kutawaliwa tungeishi hadi leo kama manyani. Liberia ilipata uhuru mapema kabisa karne ya 19, yaani mwaka 1847 lakini hakuna kilichofanywa na waafrika hao wakiwa huru zaidi ya kupigana
 
Kwa hiyo hao wachungaji wanaowapiga nao ni wazungu?
Sio wazungu lkn wanatumia method zilezile za kunyang'anya watu walichonacho tena kwa uroho kwelikweli. Kila mtu analiona hili wala sio rocket science
 
Hii hoja ni ya upande mmoja. Umezengumzia Ukristu na wakoloni, tungefurahi kusikia na dini nyingine hali yake ilivyo. Kuna dini zilikuja na majahazi kazi yao kubwa ikiwa ni biashara ya utumwa. Hata mafundisho yake yanatia shaka, yani unaahidiwa pepo ya mabikra 72 na mito ya pombe. Nadhani kuna haja ya kuchunguza vizuri hizi dini.
 
Umeingia google na ku copy


Ikiwa upo Dar es Salaam nenda munhimbili kaulize historia ya hospitali nani alijenga zaidi ingia hapa JF utasoma zaidi

Historia ya Sewa Haji Paroo (1851-1897), Muasisi wa Hospitali ya Muhimbili
Kwa hiyo Sewa Haji kajenga Muhimbili nzima ? Waarabu ndio wanaoendesha Muhimbili ? We Amka bwana umelala usingizi. Nenda KCMC pale moshi imejengwa na wazungu 100% na inaendeshwa na wazungu mpaka kesho. Kipindi cha Covid kulikuwa na mtambo wa kuzalisha oxygen. Chuo cha SAUT kinaendeshwa na serikali ? Narudia kwa mara ya sita Mwarabu msaada wake mkubwa kwa Afrika ni msikiti na kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia.
 
Kwani France hiyo ni Dini! wewe jinga kweli. Wazungu wengi ni liberals; hata huyo Rais wa Ufaransa Macron ni mliberali, ambao huwa hawapatani na Ukiristo. Ndiyo maana hata ufunguzi wa mashindano ya Olympic kulikuwa na show iliyomdhalilisha Yesu mpaka kanisa likaja juu
 
Hayo utayajuwa wewe na Popo wako mzungu?
 
Wewe jinga la kiislamist halijui kuwa western democracy inatenganisha serikali na dini! Wakati kwenu nyinyi waabudu wa Shetani Allah Quran ndiyo Constitution ya nchi!!
Wametenganisha?? kumbe msumali umekuingia vizuri sana .Hao Si ndio wanaokuandikia Biblia na kukuchagulia wachungaji na kanisa
 
Sidhani Kama hata ulisoma kilichoandikwa pamoja na comments. Hiyo hospitali yako kulikuwa na dental mobile hospitals huku Zanzibar na Pemba. Nyerere alikuja kuxichukuwa akazileta huko Muhimbili.
 
kumbuka si kila anayejiita mkiristo ni mkristo kweli, wengi ni matapeli sana. na wengi hatutumii akili zetu kufikiria tunatumia za wachungaji.
Biblia inasema njia ya kwenda mbinguni ni nyembamba , na waionao ni wachache. maana yake ni kwamba tunahitaji umakini kuijua njia sahihi. imagine mtu anaibuka mtaani kwako anaazisha dhehebu jipya na unamshobokea kisa miujiza
Dhehebu langu la kisabato linasisitiza kutoamini kitu ambacho hakiko kwenye biblia, hivyo kila mtu asome biblia aelewe, hata mchungaji akiongea kitu hakiko sawa unamkatalia

Mathayo 7:3 Ingieni kwa kupitia mlango ulio mwembamba; maana mlango ni mpana, na njia ni pana iendayo upotevuni, nao ni wengi waingiao kwa mlango huo.
14 Bali mlango ni mwembamba, na njia imesonga iendayo uzimani, nao waionao ni wachache.
15 Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali.
16 Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…