Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa tuache kutukuza utamaduni ulioleta, diesel engine, ndege, meli,gari za umeme, internet, simu, tv, tutukuze uchafu wa kiarab wa kubanduana makalio, na kuoa vitoto vya miaka 9,!Ukristo uliingizwa na wazungu Afrika kwa mara ya kwanza katika karne ya 1 AD Misri na Tunisia na baadae kuenea kaskazini. Karne ya 4 AD Ethiopia iliufanya ukristo hata kuwa dini ya kitaifa chini ya mfalme Ezana kwenye himaya ya Aksumite.
Lakini umeenea zaidi Afrika Chini ya jangwa la Sahara ikiwemo Tanganyika kwenye karne ya 15 chini ya wamisionari waliokuwa wanakuja kututawala, kututumikisha na kutuibia mali zetu ikiwa ni njia nzuri ya kutubadilisha kisiasa, kifikra na kitamaduni( wakati wa ukuaji wa himaya ya kirumi), kuenezwa ktk njia zote zilizokuwa zinafanya biashara pamoja na za watumwa.
Machifu na viongozi wetu walikumbatia ukristo kwa sababu ya kujenga urafiki na wazungu au kwa nguvu lakini lengo la wazungu likiwa ni kutubadilisha tuwe na imani kama yao ili tutawaliwe kirahisi kifikra na kiuchumi, biblia wakiishikilia mkono mmoja lakini bunduki mkono mwingine ukifanya masihara nao aliyefanya masihara na hao watakatifu, basi jua kwako imeenda!
Ambacho hakikubadilika ktk ukristo wa leo ni kutawala na upigaji. Mchungaji yuko juu ya kila mtu na hata juu ya familia za watu. Wakiamua wachungaji baba mwenye familia jua kwako imeenda Utakalolisema kama ushauri kwa mkeo atakuchenjia ndani mpaka utakoma hata kama ukiuliza mbona hela zote za familia unapeleka kanisani. Zitapelekwa, mchungaji ataambiwa unakatalia hela na hakuna kuongea na wewe wiki nzima.
Mahubiri mengine ya kitapeli na yanajulikana kabisa huu ni utapeli lakini inahalalishwa na watu na serikali inakaa kimya kabisa watu wakiibiwa, na hata kuingilia maamuzi ya kiafya katika familia za watu kwa maombi yasiyokuwa na miguu wala mikono. Kwa utawala huu walionao leo wananunuliwa magari ya kifahari, wanalishwa mahotelini kifahari, watoto wao wanasomeshwa shule za maana na wengine wanajengewa nyumba za kifalme kutoka kwa waumini wao ambao wengi hata mlo mmoja kwa siku ni shida.
Ukristo kama ilivyokuwa nia ya wakoloni kuja kutupiga na kuzineemesha kiutajiri nchi za ulaya, leo wakati nchi hizo zimeshakuwa matajiri, wachungaji na viongozi wa kidini wamekuwa ni wapigaji wa wananchi tena bila huruma au aibu. Baadae tutakuja kuona wakitosheka kwa kula na kusaza wachungaji ndio watakuwa maraisi wa nchi zetu baada ya mafisadi kuchoka maana ndio wenye hela.
Kwa hiyo mtu asinidanganye kunisomea kifungu hiki cha neno ktk bibilia kinasema hili au lile. Nawajua.
Mnapambania kutukuza utamaduni wa watu weupe niwaamini ili mnitawale kiuchumi na kifikra.
Na mara nyingi hata serikali nyingi za Africa zunajua tunapigwa, ila wanazisaidia serikali nyingi "KUTUNZA AMANI, ILI MAFISADI NAO WAENDELEE KULA KWA AMANI" na sio kwa maslahi ya falimia yoyote. Kama unabisha nitafutie kanisa lolote lili kubwa kama utaona mzee wa kanisa ni muuza mchicha. Cheo chako kanisani kitategemea kitita cha hela kilichoko mfukoni mwako na ndiye utakayekuwa na sauti kanisani.
Wanaitwa mihimili ya kanisa. Wachina wanawapa watoto wao majina ya kichina, wahindi ya kihindi, wajapani ya kijapani lakini usipompa mtoto wako jina la kikoloni basi utaitwa mpagani, neno ambalo nia yake ni kudhalilisha imani za wazazi wetu ili upuuzi wao uendelee kushika mizizi wa kutuibia fikra na mali zetu. Walitutenganisha na wazazi kuwapeleka utumwani bila kujali familia zao zitaishije huko nyuma na leo wachungaji wengine ndio vinara wa kuvuruga familia za watu. Yaleyale. Mvimbishie kichwa mchungaji uone! Kudadeki. Atakuhibiri mpaka masiko yako yang'oke kichwani. Kisa umtii tu. Simtii yoyote!
Kwa leo Ukristo ni kitu kinachosikitisha kukiona!
Uislamu hautambui mambo ya majini , sema unatakiwa kumpa mtoto wako jina lenye maana nzuri , majina kama Tabu , masambuko , shida sio mazuri .
Nyie wapakwa mafuta ni lazima ukibatizwa upewa christian name , ipo shida .
Miongoni mwa vitu ambavyo mzungu alituletea (tamaduni zake) ni hivi hapa, na tujitafakari kama tunaweza kuviepuka kabla ya hata kuuzungumzia huo ukristo.Ukristo uliingizwa na wazungu Afrika kwa mara ya kwanza katika karne ya 1 AD Misri na Tunisia na baadae kuenea kaskazini. Karne ya 4 AD Ethiopia iliufanya ukristo hata kuwa dini ya kitaifa chini ya mfalme Ezana kwenye himaya ya Aksumite.
Lakini umeenea zaidi Afrika Chini ya jangwa la Sahara ikiwemo Tanganyika kwenye karne ya 15 chini ya wamisionari waliokuwa wanakuja kututawala, kututumikisha na kutuibia mali zetu ikiwa ni njia nzuri ya kutubadilisha kisiasa, kifikra na kitamaduni( wakati wa ukuaji wa himaya ya kirumi), kuenezwa ktk njia zote zilizokuwa zinafanya biashara pamoja na za watumwa.
Machifu na viongozi wetu walikumbatia ukristo kwa sababu ya kujenga urafiki na wazungu au kwa nguvu lakini lengo la wazungu likiwa ni kutubadilisha tuwe na imani kama yao ili tutawaliwe kirahisi kifikra na kiuchumi, biblia wakiishikilia mkono mmoja lakini bunduki mkono mwingine ukifanya masihara nao aliyefanya masihara na hao watakatifu, basi jua kwako imeenda!
Ambacho hakikubadilika ktk ukristo wa leo ni kutawala na upigaji. Mchungaji yuko juu ya kila mtu na hata juu ya familia za watu. Wakiamua wachungaji baba mwenye familia jua kwako imeenda Utakalolisema kama ushauri kwa mkeo atakuchenjia ndani mpaka utakoma hata kama ukiuliza mbona hela zote za familia unapeleka kanisani. Zitapelekwa, mchungaji ataambiwa unakatalia hela na hakuna kuongea na wewe wiki nzima.
Mahubiri mengine ya kitapeli na yanajulikana kabisa huu ni utapeli lakini inahalalishwa na watu na serikali inakaa kimya kabisa watu wakiibiwa, na hata kuingilia maamuzi ya kiafya katika familia za watu kwa maombi yasiyokuwa na miguu wala mikono. Kwa utawala huu walionao leo wananunuliwa magari ya kifahari, wanalishwa mahotelini kifahari, watoto wao wanasomeshwa shule za maana na wengine wanajengewa nyumba za kifalme kutoka kwa waumini wao ambao wengi hata mlo mmoja kwa siku ni shida.
Ukristo kama ilivyokuwa nia ya wakoloni kuja kutupiga na kuzineemesha kiutajiri nchi za ulaya, leo wakati nchi hizo zimeshakuwa matajiri, wachungaji na viongozi wa kidini wamekuwa ni wapigaji wa wananchi tena bila huruma au aibu. Baadae tutakuja kuona wakitosheka kwa kula na kusaza wachungaji ndio watakuwa maraisi wa nchi zetu baada ya mafisadi kuchoka maana ndio wenye hela.
Kwa hiyo mtu asinidanganye kunisomea kifungu hiki cha neno ktk bibilia kinasema hili au lile. Nawajua.
Mnapambania kutukuza utamaduni wa watu weupe niwaamini ili mnitawale kiuchumi na kifikra.
Na mara nyingi hata serikali nyingi za Africa zunajua tunapigwa, ila wanazisaidia serikali nyingi "KUTUNZA AMANI, ILI MAFISADI NAO WAENDELEE KULA KWA AMANI" na sio kwa maslahi ya falimia yoyote. Kama unabisha nitafutie kanisa lolote lili kubwa kama utaona mzee wa kanisa ni muuza mchicha. Cheo chako kanisani kitategemea kitita cha hela kilichoko mfukoni mwako na ndiye utakayekuwa na sauti kanisani.
Wanaitwa mihimili ya kanisa. Wachina wanawapa watoto wao majina ya kichina, wahindi ya kihindi, wajapani ya kijapani lakini usipompa mtoto wako jina la kikoloni basi utaitwa mpagani, neno ambalo nia yake ni kudhalilisha imani za wazazi wetu ili upuuzi wao uendelee kushika mizizi wa kutuibia fikra na mali zetu. Walitutenganisha na wazazi kuwapeleka utumwani bila kujali familia zao zitaishije huko nyuma na leo wachungaji wengine ndio vinara wa kuvuruga familia za watu. Yaleyale. Mvimbishie kichwa mchungaji uone! Kudadeki. Atakuhibiri mpaka masiko yako yang'oke kichwani. Kisa umtii tu. Simtii yoyote!
Kwa leo Ukristo ni kitu kinachosikitisha kukiona!
Na kuchukua mali zetu kujijenga. Tukabaki na vyooMiongoni mwa vitu ambavyo mzungu alituletea (tamaduni zake) ni hivi hapa, na tujitafakari kama tunaweza kuviepuka kabla ya hata kuuzungumzia huo ukristo.
1. Kuvaa nguo
2. Kuvaa viatu
3. Kutumia vyoo
4. Kutawaza na maji/kupangusa au kujifuta kwa karatasi laini (tissue) baada ya kwenda haja kubwa.
5. Usafi (kunawa mikono kabla ya kula au baada ya kutoka chooni)
6. Kutumia sabuni
7. Kusoma na kuandika (kwenda shule, chuo)
8. Kulala kwenye vitanda na magodoro
9. Kupanda baiskeli, pikipiki, gari, ndege
10. Kujenga na kuishi kwenye nyumba za bati, matofali, maghorofa
11. Kutumia umeme, saa, redio, simu, TV, Komputa
12. Mitandao ya kijamii na internet (Whatsapp, Twitter, Facebook, instagram, JF)
13. Kupika kwa kutumia majiko ya gesi na umeme.
14. Kuchemsha maji ya kunywa au kutumia maji ya chupa.
15. Kwenda hospitali tukiumwa.
Yeah sure, wakachukua mali zetu wakajijenga tukabaki na vyoo. PoaMiongoni mwa vitu ambavyo mzungu alituletea (tamaduni zake) ni hivi hapa, na tujitafakari kama tunaweza kuviepuka kabla ya hata kuuzungumzia huo ukristo.
1. Kuvaa nguo
2. Kuvaa viatu
3. Kutumia vyoo
4. Kutawaza na maji/kupangusa au kujifuta kwa karatasi laini (tissue) baada ya kwenda haja kubwa.
5. Usafi (kunawa mikono kabla ya kula au baada ya kutoka chooni)
6. Kutumia sabuni
7. Kusoma na kuandika (kwenda shule, chuo)
8. Kulala kwenye vitanda na magodoro
9. Kupanda baiskeli, pikipiki, gari, ndege
10. Kujenga na kuishi kwenye nyumba za bati, matofali, maghorofa
11. Kutumia umeme, saa, redio, simu, TV, Komputa
12. Mitandao ya kijamii na internet (Whatsapp, Twitter, Facebook, instagram, JF)
13. Kupika kwa kutumia majiko ya gesi na umeme.
14. Kuchemsha maji ya kunywa au kutumia maji ya chupa.
15. Kwenda hospitali tukiumwa.
Miongoni mwa vitu ambavyo mzungu alituletea (tamaduni zake) ni hivi hapa, na tujitafakari kama tunaweza kuviepuka kabla ya hata kuuzungumzia huo ukristo.
1. Kuvaa nguo
2. Kuvaa viatu
3. Kutumia vyoo
4. Kutawaza na maji/kupangusa au kujifuta kwa karatasi laini (tissue) baada ya kwenda haja kubwa.
5. Usafi (kunawa mikono kabla ya kula au baada ya kutoka chooni)
6. Kutumia sabuni
7. Kusoma na kuandika (kwenda shule, chuo)
8. Kulala kwenye vitanda na magodoro
9. Kupanda baiskeli, pikipiki, gari, ndege
10. Kujenga na kuishi kwenye nyumba za bati, matofali, maghorofa
11. Kutumia umeme, saa, redio, simu, TV, Komputa
12. Mitandao ya kijamii na internet (Whatsapp, Twitter, Facebook, instagram, JF)
13. Kupika kwa kutumia majiko ya gesi na umeme.
14. Kuchemsha maji ya kunywa au kutumia maji ya chupa.
15. Kwenda hospitali tukiumwa.
Nakaanga kitimoto hapa.Akijibu nistue.Na uislamu je
Kwani Lumumba yeye anasemaje kuhusu ukristo?Where are you professor Patrick Lumumba of Kenya, I want to hear something from you about "Christianity ". Africa, if you want to wake up, listen to him.
Asante!Haya ni mambo mazuri sana. Jamii moja ikifanikisha kuifundisha jamii nyingine ni jambo bora zaidi. Maana ni ustaarabu unaomfaa mwanadamu. Lakini ikifikia hatua ya watu kuyaingiza mambo haya kwenye dini, na kuanza kuwafundisha wengine kuwa usipofuata haya huendi mbinguni. Huo ni ulaghai.
Mchaga akisema kwa kujiamini "Yesu Maria na Yosefu" humuambii kitu. Sio Josefu ni Yosefu.
Ukristo uliingizwa na wazungu Afrika kwa mara ya kwanza katika karne ya 1 AD Misri na Tunisia na baadae kuenea kaskazini. Karne ya 4 AD Ethiopia iliufanya ukristo hata kuwa dini ya kitaifa chini ya mfalme Ezana kwenye himaya ya Aksumite.
Lakini umeenea zaidi Afrika Chini ya jangwa la Sahara ikiwemo Tanganyika kwenye karne ya 15 chini ya wamisionari waliokuwa wanakuja kututawala, kututumikisha na kutuibia mali zetu ikiwa ni njia nzuri ya kutubadilisha kisiasa, kifikra na kitamaduni( wakati wa ukuaji wa himaya ya kirumi), kuenezwa ktk njia zote zilizokuwa zinafanya biashara pamoja na za watumwa.
Machifu na viongozi wetu walikumbatia ukristo kwa sababu ya kujenga urafiki na wazungu au kwa nguvu lakini lengo la wazungu likiwa ni kutubadilisha tuwe na imani kama yao ili tutawaliwe kirahisi kifikra na kiuchumi, biblia wakiishikilia mkono mmoja lakini bunduki mkono mwingine ukifanya masihara nao aliyefanya masihara na hao watakatifu, basi jua kwako imeenda!
Ambacho hakikubadilika ktk ukristo wa leo ni kutawala na upigaji. Mchungaji yuko juu ya kila mtu na hata juu ya familia za watu. Wakiamua wachungaji baba mwenye familia jua kwako imeenda Utakalolisema kama ushauri kwa mkeo atakuchenjia ndani mpaka utakoma hata kama ukiuliza mbona hela zote za familia unapeleka kanisani. Zitapelekwa, mchungaji ataambiwa unakatalia hela na hakuna kuongea na wewe wiki nzima.
Mahubiri mengine ya kitapeli na yanajulikana kabisa huu ni utapeli lakini inahalalishwa na watu na serikali inakaa kimya kabisa watu wakiibiwa, na hata kuingilia maamuzi ya kiafya katika familia za watu kwa maombi yasiyokuwa na miguu wala mikono. Kwa utawala huu walionao leo wananunuliwa magari ya kifahari, wanalishwa mahotelini kifahari, watoto wao wanasomeshwa shule za maana na wengine wanajengewa nyumba za kifalme kutoka kwa waumini wao ambao wengi hata mlo mmoja kwa siku ni shida.
Ukristo kama ilivyokuwa nia ya wakoloni kuja kutupiga na kuzineemesha kiutajiri nchi za ulaya, leo wakati nchi hizo zimeshakuwa matajiri, wachungaji na viongozi wa kidini wamekuwa ni wapigaji wa wananchi tena bila huruma au aibu. Baadae tutakuja kuona wakitosheka kwa kula na kusaza wachungaji ndio watakuwa maraisi wa nchi zetu baada ya mafisadi kuchoka maana ndio wenye hela.
Kwa hiyo mtu asinidanganye kunisomea kifungu hiki cha neno ktk bibilia kinasema hili au lile. Nawajua.
Mnapambania kutukuza utamaduni wa watu weupe niwaamini ili mnitawale kiuchumi na kifikra.
Na mara nyingi hata serikali nyingi za Africa zunajua tunapigwa, ila wanazisaidia serikali nyingi "KUTUNZA AMANI, ILI MAFISADI NAO WAENDELEE KULA KWA AMANI" na sio kwa maslahi ya falimia yoyote. Kama unabisha nitafutie kanisa lolote lili kubwa kama utaona mzee wa kanisa ni muuza mchicha. Cheo chako kanisani kitategemea kitita cha hela kilichoko mfukoni mwako na ndiye utakayekuwa na sauti kanisani.
Wanaitwa mihimili ya kanisa. Wachina wanawapa watoto wao majina ya kichina, wahindi ya kihindi, wajapani ya kijapani lakini usipompa mtoto wako jina la kikoloni basi utaitwa mpagani, neno ambalo nia yake ni kudhalilisha imani za wazazi wetu ili upuuzi wao uendelee kushika mizizi wa kutuibia fikra na mali zetu. Walitutenganisha na wazazi kuwapeleka utumwani bila kujali familia zao zitaishije huko nyuma na leo wachungaji wengine ndio vinara wa kuvuruga familia za watu. Yaleyale. Mvimbishie kichwa mchungaji uone! Kudadeki. Atakuhibiri mpaka masiko yako yang'oke kichwani. Kisa umtii tu. Simtii yoyote!
Kwa leo Ukristo ni kitu kinachosikitisha kukiona!
Mtindiga anaitwa John Peter Paul or Mohammed Ally Hussein. Two faces of the same coin.
Mtu mweupe na mwarabu nani bora. Maana kuna mmoja anaishia kujenga misikiti akijitahidi ataweka kisima cha maji kwa ajili ya kutawadha. Lakini kuna mwingine amejenga mashule, mahospitali na vyuo nchini kwetu. Nasubiri Jibu ndugu yangu ?
Hatari kuliko ni huyo ambaye kwao ushoga umezoeleka na ubakaji wa mabinti wadogo. Katafute maana ya Bacha_bazi. Hii imezoeleka sana uarabuni na ndio maana Zanzibar ushoga umejaa sana kuliko Bara. Kwa kifupi huko uarabuni koo zenye hadhi ya chini watoto wadogo wa kiume wananunuliwa na kulawitiwa na watu wa koo za juu. Sasa kama mwarabu anamtreat mwarabu mwenzake namna hij wewe ni nani ? Kuna hospitali, shule, chuo au taasisi kubwa inayoemdeshwa na mwarabu hapa Tanzania ? Ila Taasisi za kikristo zipo kibao kuanzia KCMC, Bugando, SAUT nk. Amka Sheikh wangu usiridhike na kujengewa misikiti na kuletewa maji ya kutawadhia.Aliye hatari zaidi ni huyu aliyekuandikia mpaka biblia ya ushoga na kuruhu ushoga makanisani
Hatari kuliko ni huyo ambaye kwao ushoga umezoeleka na ubakaji wa mabinti wadogo. Katafute maana ya Bacha_bazi. Hii imezoeleka sana uarabuni na ndio maana Zanzibar ushoga umejaa sana kuliko Bara. Kwa kifupi huko uarabuni koo zenye hadhi ya chini watoto wadogo wa kiume wananunuliwa na kulawitiwa na watu wa koo za juu. Sasa kama mwarabu anamtreat mwarabu mwenzake namna hij wewe ni nani ? Kuna hospitali, shule, chuo au taasisi kubwa inayoemdeshwa na mwarabu hapa Tanzania ? Ila Taasisi za kikristo zipo kibao kuanzia KCMC, Bugando, SAUT nk. Amka Sheikh wangu usiridhike na kujengewa misikiti na kuletewa maji ya kutawadhia.