Ukristo ni kutukuza utamaduni wa watu weupe, tujitafakari sana

Ukristo ni kutukuza utamaduni wa watu weupe, tujitafakari sana

Sawa, Sasa jibu swali

Unasema unasali kwa kiswahili hiyo sala ni sala gani na unamfuata nani ??? Nani alikuambia usali kwa kiswahili au ni huyo mzungu wa Roma ??

Kwani Mungu ni nani ??? Huyo mungu wako wapi Alikuambia usali kwa kiswahili ?
Wewe niambie Mungu gani ambaye anataka Uswali kwa Kiarabu tu na anakupangia uvae mavazi ya uarabuni tu ? Jiulize ndugu yangu kwa nini mnalazimishwa kuhiji Uarabuni ? Mbona mpaka kesho mnaswali kwa kiarabu misikitini unadhani ni jambo la kawaida ? Unajua biblia ya kwanza iiandikwa katika lugha gani ? Amka ndugu yangu Naomba nikuulize kati ya Vatican na Saudia Arabia nani ana hela ?Maana Vatican ni nchi dogo sana kulinganisha na Saudi arabia. Lakini Wameanzisha taasisi nyingi sana kuliko hao unaowaamini. Na kama dini yenu ipo vizuri kwa nini Marekani ana kambi zaidi tano Saudia. Cha kuongezea naomba ujiulize Saudi Arabia kwa nini hawasaidiii wa-palestina kuikomboa ardhi yao ? Waarabu wanabaguana wao kwa wao kwa nini wakujali wewe Mwafrika ?

Naona umeleta Hoja ya biashara haramu naomba unitajie wakristo kumi tu waliokamatwa na tuhuma za dawa za kulevya Uwanja wa ndege.Ukinitajia nakubali kushindwa na kuacha ubishani. Amka ndugu yangu bado mmelala. Hata Rais tuliyenaye anaonesha jinsi gani mmelala. Hivi unajua Heroin inatoka wapi ? Unajua Asili ya matajiri wa Tanga, Unguja , Mombasa inatoka katika biashara gani ?

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya Arobaini na mbili : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.
 
Siabudu dini za wakoloni hata Moja ,una akili finyu sana ndio maana unaona kuwa kwako Kwa hao mabwana zako ni mafanikio
Ndugu yangu Mimi nilikuwa kama wewe leo leo wazungu wananiheshimu na kuniletea kahawa kwa sababu wao walikataa shule. Nenda Uarabuni uone kama muarabu atakuheshimu kwa taaluma yako. Ninakuja Tanzania Februari 2025 naomba tuonane nikuoneshe faida ya Kanisa Katoliki katika maisha yangu. Nimetoka Continental Ingolstadt leo nipo BMW Munchen. Mimi nipo kimaslahi ndio maana nasema kama Wakatoliki wangeishia kujenga makanisa tu ningehama ukristu na kumkana Roho Mtakatifu.
 
Ndugu yangu Mimi nilikuwa kama wewe leo leo wazungu wananiheshimu na kuniletea kawahawa kwa sababu wao walikataa shule. Nenda Uarabuni uone kama muarabu atakuheshimu kwa taaluma yako. Ninakuja Tanzania Februari 2025 naomba tuonane nikuoneshe faida ya Kanisa Katoliki katika maisha yangu. Nimetoka Continental Ingolstadt leo nipo BMW Munchen. Mimi nipo kimaslahi ndio maana nasema kama Wakatoliki wangeishia kujenga makanisa tu ningehama ukristu na kumkana Roho Mtakatifu.
Kupenyezwa kwenye mfumo wa kusaidia ukoloni mamboleo na kueneza utamaduni wa wakoloni itaachaje Sasa kunufaika? Mbona ahata kina Mabutu walikuwa wananyenyekewa Kwa vile tuu wame surrender Rasilimali za Conho huko Kwa Wazungu?

Yaani wewe huelewi nini labda? Wakoloni hawakuwa na vibalaka wa kiafrika walionufaika binafsi kama unavyonufaika wewe?

Narudia tena kusema Ukristo na Uislamu ni dini za kishenzi za wageni
 
Kupenyezwa kwenye mfumo wa kusaidia ukoloni mamboleo na kueneza utamaduni wa wakoloni itaachaje Sasa kunufaika? Mbona ahata kina Mabutu walikuwa wananyenyekewa Kwa vile tuu wame surrender Rasilimali za Conho huko Kwa Wazungu?

Yaani wewe huelewi nini labda? Wakoloni hawakuwa na vibalaka wa kiafrika walionufaika binafsi kama unavyonufaika wewe?

Narudia tena kusema Ukristo na Uislamu ni dini za kishenzi za wageni
Mobutu alikuwa mjinga kwa sababu alipendelea ndugu zake na kujijali mwenyewe.Mimi kuna watu nimewasaidia kuliko ndugu zangu. Kwa sababu nimesaidiwa na watu ambao sio ndugu zangu. Wamenisaidia kutokana na uwezo wangu na ndio maana ninasaidia watu kutokana na uwezo wao na sio kabila, dini wala mazingira waliyotokea. Naongea kutokana na uhalisia kuna watu nimewasaidia wakafanikiwa wakahamisha makazi Ulaya na kwenda Uarabuni lakini baada ya kuishi huko wamerudi nipo nao Ujerumani. Walitaka hadi kuhama dini nikawauliza watoto utawaambia nini ? Mpaka kesho ni waislamu jina na ninakula nao kitimoto na kupiga nao Gambe.

Wazungu wana utu na katika kazi na ajira kwa hali ya leo . Vijana wao hawataki kusoma, ukikazana na elimu huku unaishi kama mfalme. Maana serikali yao inawabeba na wasipofanya kazi wanalipwa. Wakenya wamejaa huku kwa sababu Baba wao wa Taifa aliona mbali. Ujamaa ulishakufa kutoka miaka ya 90. Ubepari hauna mlengo unafuata maslahi. Marekani alifungua viwanda China kwa sababu ya maslahi na si uzalendo. Ninakuhakikishia ukikomaa na kuwa competent haijalishi dini, tamaduni na asili yako watakuheshimu tu. Hiyo ndiyo faida ya ubepari ndugu yangu. Ujamaa ulishakufa toka miaka ya tisini.
 
Hakuna Bora,hao wote ni washenzi tuu
Unavyosema hakuna bora nakushangaa maana kuna hospitali, shule na Vyuo vimeanzishwa na kanisa na vimezalisha wahitimu wakubwa mbali mbali. Mimi mwenyewe bila kanisa nisingefika hapa nilipo ndugu yangu. Mimi nitaendelea kutetea wazungu maana wana mchango mkubwa katika maisha yangu. Ninasaidia watu bila kujali dini,tamaduni au asili kwa sababu nimesaidiwa bila kujali hilo.
 
Unavyosema hakuna bora nakushangaa maana kuna hospitali, shule na Vyuo vimeanzishwa na kanisa na vimezalisha wahitimu wakubwa mbali mbali. Mimi mwenyewe bila kanisa nisingefika hapa nilipo ndugu yangu. Mimi nitaendelea kutetea wazungu maana wana mchango mkubwa katika maisha yangu. Ninasaidia watu bila kujali dini,tamaduni au asili kwa sababu nimesaidiwa bila kujali hilo.
Kwani kabla ya dini zenu tulikiwa hatuna tiba? Wewe ndio nakushangaa kuwa brainwashed
 
Kwani kabla ya dini zenu tulikiwa hatuna tiba? Wewe ndio nakushangaa kuwa brainwashed
Ishu ni pesa na kusimama katika jamii jombaa. Mimi sikutegemea nitakuwa katika team ya Production System and Logistics ya BMW . Pesa ndio kila kitu, huko Kenya kuna waislamu wanabadili hadi majina kupata fiursa. Uislamu ni ujamaa ndugu yangu na Ukristu ndio Ubepari ulionifikisha hapa. Amka ndugu yangu mimi ninashangaa watu wanakazania Simba na Yanga. Michezo na Burudani inaendeshwa na matangazo. Matangazo yanaendeshwa kwa sababu ya nguvu ya ununuzi (purchasing power). Nguvu ya ununuzi(purchasing power) inaendeshwa na idadi ya watu wenye Disposable income. Disposable income inaendeshwa na watu wenye ajira zinazolipa vizuri. Naendelea kukazania katika Mwarabu na Mzungu yupi ametoa ajira zinazolipa vizuri ? Mimi nashangaa kuona nchi kama Tanzania tunakazana kununua magoli ya simba na yanga, Kizimkazi festival, kusafirisha wasanii Korea. Huko kunatakiwa kuja mwishoni. Tunachokipoitia sasa hivi wazungu walikipitia. Kuna kipindi Ulaya mwanasanaa na mwanamuziki ilibidi wawe na kazi ya ziada ili mkono uende kinywani. Amka ndugu yangu kufanikiwa ni kujiangalia tulipo na kuiga wazungu walifanya nini walipokuwa na hali kama tuliyonayo sasa hivi.
 
Ishu ni pesa na kusimama katika jamii jombaa. Mimi sikutegemea nitakuwa katika team ya Production System and Logistics ya BMW . Pesa ndio kila kitu, huko Kenya kuna waislamu wanabadili hadi majina kupata fiursa. Uislamu ni ujamaa ndugu yangu na Ukristu ndio Ubepari ulionifikisha hapa. Amka ndugu yangu mimi ninashangaa watu wanakazania Simba na Yanga. Michezo na Burudani inaendeshwa na matangazo. Matangazo yanaendeshwa kwa sababu ya nguvu ya ununuzi (purchasing power). Nguvu ya ununuzi(purchasing power) inaendeshwa na idadi ya watu wenye Disposable income. Disposable income inaendeshwa na watu wenye ajira zinazolipa vizuri. Naendelea kukazania katika Mwarabu na Mzungu yupi ametoa ajira zinazolipa vizuri ? Mimi nashangaa kuona nchi kama Tanzania tunakazana kununua magoli ya simba na yanga, Kizimkazi festival, kusafirisha wasanii Korea. Huko kunatakiwa kuja mwishoni. Tunachokipoitia sasa hivi wazungu walikipitia. Kuna kipindi Ulaya mwanasanaa na mwanamuziki ilibidi wawe na kazi ya ziada ili mkono uende kinywani. Amka ndugu yangu kufanikiwa ni kujiangalia tulipo na kuiga wazungu walifanya nini walipokuwa na hali kama tuliyonayo sasa hivi.
Kwani wote waliyopata fursa hizo walikuwa na dini zenu hizo? Huko unafika Kwa sababu ya akili sio dini zenu.
 
Kwani wote waliyopata fursa hizo walikuwa na dini zenu hizo? Huko unafika Kwa sababu ya akili sio dini zenu.
Ndugu yangu Jana Jumapiliwajerumani wameanza ku-deport waarabu wa Syria na Afghanistan . Hii yote kwa sababu wanang'ang'ania mambo yasiyo na ustaarabu. Watu wanakuja ujerumani badala ya kusoma wanakazania kazi za Supermarkzt na Udereva. Hawataki kufanya kazi. Amka ndugu yangu huoni kama dini yenu ina matatizo. Uarabuni kuna mafuta lakini mpaka kesho wameshindwa kumsaidia mpalestina amfukuze Muisraeli ? Unajua kuna nchi za kiatrabu hazitaki wakimbizi kutoka palestina ? Bado na mafuta waliyonayo waarabu taasisi zinaziofanya tafiti Tanzania kama AMREF na ICAP zinafadhiliwa na wazungu haujiulizi ?

Nimefika huku kwa sababu ya Kanisa Katoliki ningekuwa muislamu ningekuwa kutwa nabishana kuhusu Simba na Yanga nasubiri kuitwa kwa ajili ya chakula nyumbani. Ningekuwa kijiweni tu nakazana na wanawake na kusubiri Ramadhan nialikwe Iftar na Eid el Adha nipewe nyama ya Ngamia.
 
Ndugu yangu Jana Jumapiliwajerumani wameanza ku-deport waarabu wa Syria na Afghanistan . Hii yote kwa sababu wanang'ang'ania mambo yasiyo na ustaarabu. Watu wanakuja ujerumani badala ya kusoma wanakazania kazi za Supermarkzt na Udereva. Hawataki kufanya kazi. Amka ndugu yangu huoni kama dini yenu ina matatizo. Uarabuni kuna mafuta lakini mpaka kesho wameshindwa kumsaidia mpalestina amfukuze Muisrraeli ? Unajua kuna nchi za kiatrabu hazitakiwakimbizi kutoka palestina ? Bado na mafuta waliyonayo waarabu taasisi zinaziofanya tafiti Tanzania kama AMREF na ICAP zinafadhiliwa na wazungu haujiulizi ?
Hizo kazi zinahitaji uwe muislamu au mkristo?
 
That is nonsense.Unaweza fanya yote hayo mahala popote Duniani bila kuhitaji hizo dini zenu labda kama unaisha boxer za papa au shehe
Anayehitajika ni Mkristo maana muislamu hawezi kupata elimu inayohitajika, wanakazana na madrasa. Elimu dunia sio muhimu.
 
Tupende kusoma na kutafta historia ya mambo kabla ya kuanza kuongea pumba itatusaidia sana kutokuonekana wajinga
🇪🇹 wana biblia yao ambayo imeandikwa zaman sana kbla ata ya hebre bible( biblia ya wayahudi) so kwa maana iyo ukristo umekuepo ethiopia 🇪🇹 kabla ya wazungu
 
Wewe niambie Mungu gani ambaye anataka Uswali kwa Kiarabu tu na anakupangia uvae mavazi ya uarabuni tu ? Jiulize ndugu yangu kwa nini mnalazimishwa kuhiji Uarabuni ? Mbona mpaka kesho mnaswali kwa kiarabu misikitini unadhani ni jambo la kawaida ? Unajua biblia ya kwanza iiandikwa katika lugha gani ? Amka ndugu yangu Naomba nikuulize kati ya Vatican na Saudia Arabia nani ana hela ?Maana Vatican ni nchi dogo sana kulinganisha na Saudi arabia. Lakini Wameanzisha taasisi nyingi sana kuliko hao unaowaamini. Na kama dini yenu ipo vizuri kwa nini Marekani ana kambi zaidi tano Saudia. Cha kuongezea naomba ujiulize Saudi Arabia kwa nini hawasaidiii wa-palestina kuikomboa ardhi yao ? Waarabu wanabaguana wao kwa wao kwa nini wakujali wewe Mwafrika ?

Naona umeleta Hoja ya biashara haramu naomba unitajie wakristo kumi tu waliokamatwa na tuhuma za dawa za kulevya Uwanja wa ndege.Ukinitajia nakubali kushindwa na kuacha ubishani. Amka ndugu yangu bado mmelala. Hata Rais tuliyenaye anaonesha jinsi gani mmelala. Hivi unajua Heroin inatoka wapi ? Unajua Asili ya matajiri wa Tanga, Unguja , Mombasa inatoka katika biashara gani ?

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya Arobaini na mbili : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.

Mbona unakimbia maswali ? Jibu maswali ndio uulize maswali, nauliza tena

Sawa, Sasa jibu swali

Unasema unasali kwa kiswahili hiyo sala ni sala gani na unamfuata nani ??? Nani alikuambia usali kwa kiswahili au ni huyo mzungu wa Roma ??

Kwani Mungu ni nani ??? Huyo mungu wako wapi Alikuambia usali kwa kiswahili
 
Katika mambo ninajutia ni kuwapa wananngu majina ya wazungu na waarabu,but nina mpango wa kwenda kuyabadili.
Hili nilishtukia mapema. Katoto kangu nikakapa la kwetu kabisa.
Nipo kwenye utafiti wa mchakato na mahitaji, nataka kubadili langu, niachane na majina ya wazungu kabisa.
 
Mbona unakimbia maswali ? Jibu maswali ndio uulize maswali, nauliza tena

Sawa, Sasa jibu swali

Unasema unasali kwa kiswahili hiyo sala ni sala gani na unamfuata nani ??? Nani alikuambia usali kwa kiswahili au ni huyo mzungu wa Roma ??

Kwani Mungu ni nani ??? Huyo mungu wako wapi Alikuambia usali kwa kiswahili
Mimi na wewe nani ana kimbia swali. Nimekuuliza zaidi ya mara arobaini unitajie taasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu TANZANIA naona upo kimya. Huku Misa nzima inaendeshwa kwa kiswahili. Mimi ninayesali kwa kiswahili na wewe unaswali kwa kiarabu nani anaendeshwa kama kondoo ? Mungu yupi ni watu wote anayetaka kila mtu asali katika lugha yake au ambayo anataka dunia nzima itumie lugha na utamaduni wa jamii moja ? Nisamehe sana ndugu yangu lakini ninakutakia mema ninataka uamke. Naomba aliyeanzisha uzi aje maana unazidi kuonyesha Umma uwezo wako wa kufikiri. Naomba jibu la swali langu hapa chini.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya Arobaini na tatu : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.
 
Mimi na wewe nani ana kimbia swali. Nimekuuliza zaidi ya mara arobaini unitajie taasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu TANZANIA naona upo kimya. Huku Misa nzima inaendeshwa kwa kiswahili. Mimi ninayesali kwa kiswahili na wewe unaswali kwa kiarabu nani anaendeshwa kama kondoo ? Mungu yupi ni watu wote anayetaka kila mtu asali katika lugha yake au ambayo anataka dunia nzima itumie lugha na utamaduni wa jamii moja ? Nisamehe sana ndugu yangu lakini ninakutakia mema ninataka uamke. Naomba aliyeanzisha uzi aje maana unazidi kuonyesha Umma uwezo wako wa kufikiri. Naomba jibu la swali langu hapa chini.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya Arobaini na tatu : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.

Nilijuwa hutojibu kwani hapo ndipo majibu ya maswali yako yote yanapotoka lakini unakimbia

Nakuuliza tena

Sawa, Sasa jibu swali

Unasema unasali kwa kiswahili hiyo sala ni sala gani na unamfuata nani ??? Nani alikuambia usali kwa kiswahili au ni huyo mzungu wa Roma ??

Kwani Mungu ni nani ??? Huyo mungu wako wapi Alikuambia usali kwa kiswahil
 
Back
Top Bottom