Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Kama huwezi changia bora ukae kimya usome maoni ya wenzako.Aisee ndyo nyie tuwaitaji kweny nch zetu syo hawa kama mleta mada ajui power ya 💵 anakurupuka tu ebu mkuu wape elimu hao watt wa mama ezakuwa ajui biashara sasa mmarekan yy kwa waza miaka 400 alaf unakuta mtu kavmbiwa makande anakurupuka kutowa mada ajui hata kwann dollar ipo dunian kote
Unafikiri China anauza Tanzania tu ? Jielimishe uondoe ujingaIndustrial products ya chna iz zakna vunja bei au ip mkuu unazozungumzia ?
Mkuu wewe ndiyo huangalii mambo kitaalamu. Mfano, unafikiri nchi nyingi kuwa na reserve ya dollar ndiko kunafanya dollar iwe sarafu ya dunia, au hayo ni matokeo ya dollar kuwa sarafu ya dunia?Kama unaangalia mambo namna hii, tena kwa kupingana na sababu za kitaalam kabisa, basi una haki ya kuja na conclusion kama uliyoainisha kwenye thread yako.
Unadhani hawana utulivu wa kisiasa? Pengine neno utulivu wa kisiasa ni topic kubwa sana inayohitaji shule. NB: haya mambo ni kama nguzo nyingi zinazoshikilia jumba kubwa kwa juu. Nguzo moja au mbili na hata tatu kuwa weakened hakuwezi kuangusha jumba zima bali kunatoa fursa kwa mwenye nyumba kuimarisha zile nguzo.Namba 3 na 4 kuna mtikisiko mkubwa hapa sikubaliani na wewe kwa sasa.
Namba 1 na 2 kuna uimara
Tafadhali nisome vizuri. Nimesema kuna factors nyingi na hiyo ni mojawapo tu. Hata hizo nilizoorodhesha ni chache sana. Nchi yoyote duniani success huja kwa sababu ya factors nyingi na siyo moja wala mbili wala tatu. Mkuu mbona unakuwa kama CCM wanaopiga porojo kuwa kila rais anayeingia ndiye mwenye ufunguo wa kuleta maendeleo ya nchi? Wamefikia hatua ya kusema baada ya mtume Muhamad na Yesu kushushwa, Samia ndiye anafuatia!Mkuu wewe ndiyo huangalii mambo kitaalamu. Mfano, unafikiri nchi nyingi kuwa na reserve ya dollar ndiko kunafanya dollar iwe sarafu ya dunia, au hayo ni matokeo ya dollar kuwa sarafu ya dunia?
Unafikiri China anauza Tanzania tu ? Jielimishe uondoe ujinga
Mkuu chna n kama kitu anaweza n kuuza bizaa zake Africa ndy soko lake kubwa pamoja naizo kweny strong ya pesa top ten mchna pesa yake ya yuan aipo kama pesa enye nguvu dunianUnafikiri China anauza Tanzania tu ? Jielimishe uondoe ujinga
Na Marekani akitaka mafuta ya SA anunue Kwa Dirhamu. Huo ndio uadilifuUkitka kununua MRI toka USA utatumia pesa ya Saudia? Dola ina nguvu kwa sababu ya industrial productions ambazo zinahitajika duia nzima.
Ndio maana nikikuambia jielimishe. Nini sasa hiki umeandika?!.Mkuu chna n kama kitu anaweza n kuuza bizaa zake Africa ndy soko lake kubwa pamoja naizo kweny strong ya pesa top ten mchna pesa yake ya yuan aipo kama pesa enye nguvu dunian
Si rahisi wala si kitu cha mwaka mmoja or ten years to come. in order uue US dollar kill itegemezi wa dollar europe, sub sahara, south america. And north america.Short story. Nguvu ya Marekani ipo kwenye dollar yake anbayo ndiyo "sarafu ya dunia." Moja ya sababu inayofanya dollar iendelee kuwa sarafu ya dunia ni kutumika kwake kufanyia biashara ya mafuta. Biashara yenye pesa nyingi zaidi duniani.
Mwaka 1974 Marekani na Saudi Arabia(Akiwa mzalishaji mkubwa zaidi wa mafuta) kutumia dollar pekee kama sarafu ya kuuzia mafuta. Badala yake SA atauziwa silaha na kupewa ulinzi. Mkataba huo ulikuwa wa miaka 50. Mwaka huu mwezi wa sita mkataba huo umeisha na Mwanamfalme wa SA bado hajaonyesha nia yoyote ya kusign upya, na hata amekataa mualiko wa kwenda kwenye mkutano wa G7.
Je dollar itaanguka au US atamdhibiti SA kama anbavyo aliwadhibiti wengine waliojaribu kuchallenge dollar yake?
Ni kweli factors zipo nyingi mkuu. Ndiyo maana hata kwenye post yangu nilisema moja ya sababu ni dollar kutumika kununulia mafuta. Pia nimekubaliana na sababu yako ya utulivu wa kisiasa. Ila fahamu kuwa sababu ya kutumika kununua mafuta ni kubwa zaidi. Ndiyo maana dollar inaitwa petrodollar.Tafadhali nisome vizuri. Nimesema kuna factors nyingi na hiyo ni mojawapo tu. Hata hizo nilizoorodhesha ni chache sana. Nchi yoyote duniani success huja kwa sababu ya factors nyingi na siyo moja wala mbili wala tatu. Mkuu mbona unakuwa kama CCM wanaopiga porojo kuwa kila rais anayeingia ndiye mwenye ufunguo wa kuleta maendeleo ya nchi? Wamefikia hatua ya kusema baada ya mtume Muhamad na Yesu kushushwa, Samia ndiye anafuatia!
Uko sahihi, 1. Lakini yeye ana mafuta ya kutosha miaka elfu, ukimwekea sharti hilo anakataa maana dhiram ya SA ataifanyia nini, kununua mafuta tu toka SA?Na Marekani akitaka mafuta ya SA anunue Kwa Dirhamu. Huo ndio uadilifu
US mkidhindwana mwezani anakutafutia zengwe km alivyofanya kwa waarabu wengine km Yemen,Syria,Iran,Iraq moja wapo nikusema unafadhili magaidi and Una siraha za nuklia,hii imewatesa sana waarabu as long as unapingana nae atakuletea zengwe tu hata km itachukua 20yrs lkn utaingia 18 zake tuShort story. Nguvu ya Marekani ipo kwenye dollar yake anbayo ndiyo "sarafu ya dunia." Moja ya sababu inayofanya dollar iendelee kuwa sarafu ya dunia ni kutumika kwake kufanyia biashara ya mafuta. Biashara yenye pesa nyingi zaidi duniani.
Mwaka 1974 Marekani na Saudi Arabia(Akiwa mzalishaji mkubwa zaidi wa mafuta) kutumia dollar pekee kama sarafu ya kuuzia mafuta. Badala yake SA atauziwa silaha na kupewa ulinzi. Mkataba huo ulikuwa wa miaka 50. Mwaka huu mwezi wa sita mkataba huo umeisha na Mwanamfalme wa SA bado hajaonyesha nia yoyote ya kusign upya, na hata amekataa mualiko wa kwenda kwenye mkutano wa G7.
Je dollar itaanguka au US atamdhibiti SA kama anbavyo aliwadhibiti wengine waliojaribu kuchallenge dollar yake?
Sioni facts za maana kwemye hii bandiko lakoSifahamu uelewa wako kuhusu uchumi wa dunia, inaonekana unataka kubishana, nimesema hapo juu, dola itaanguka kwani hakuna kitu kisichokuwa na mwisho hapa duniani.
Ila kwa sasa na kwa baadaye ni ngumu kutokea huu ni ukweli mchungu, huwezi kusema dunia itaachana na dola hata kwa miaka 50 ijayo, au wewe kwa kutumia akili yako unaliona hilo??
Walijaribu Mjapani, Mwingereza, Mchina na EU walikutana na ugumu coz ya uchumi wa kushikamanishwa na dola.
Kasome kwa nini world reserve currency iwe dola na siyo sarafu nyingine pamoja na manyanyaso yote dunia inayoyapata.
Ukweli mchungu: Dunia inahiitaji sana dola kwa sasa kuliko dola inavyohiitaji dunia!
Nb: Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha, itakuja kuanguka ni suala la wakati na tunahitaji kuvumilia!
Us.a akiwa industrial power si tutauziwa tooth pick kwa shilingi 10000 kwao ikiwa kama 3.5 usd .ashukuriwe mchina kwa sis dunia ya tatuIndustrial products hazipatikani U.S.A pekee kwanza U.S.A sio industrial powerhouse kwa sasa duniani hiyo nafasi imechukuliwa na China miaka mingi iliyopita labda ulete sababu tofauti na hii.
Haya mambo ya uchumi ni tofauti kabisa na mafundisho ya madrassat, kwa mfano Tanzania inataka kununua mafuta Saudi Arabia watapataje Rial ya kununulia hayo mafuta.SA aache ujinga auze bidhaa ya mafuta Kwa sarafu yake