Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Kwa hiyo waarabu kuichukia Israel ni kutokana na sio mwenzao ?! Aisee.Kwa nini Waarabu wanamchukia Israel? Ni kwa sababu si Mwarabu mwenzao. Na hao ndiyo wa kizazi cha Ibrahim. Kwa hiyo kama ulikuwa unahisi Ibrahim alikuwa Mwarabu, futa hiyo akilini mwako.
Nani hao wanasema Iran ni waarabu au unataka kuhararisha ujinga wako ?Hata Iran sio Waarabu, najua wengine mtakuwa hamlijui hili kwa undani. Miongoni mwa nchi za Kiarabu, Iran hayupo kwa sababu yeye si Mwarabu.
Wapo. Wewe ulitaka wasiamini ?Hivi kuna mtu bado anaamini hizi hadithi za waarabu, wazungu na wayahudi?
Aiseeh! nini hiki ?!.So Israel na Waarabu ni baba mmoja ila mama tofauti. Ibrahim alizaa na Muisrael mwenzake kwa kipindi hicho ilikuwa bado haijaitwa Israel na mtoto wake kuitwa Isaka ila yule aliyezaa na kijakazi ambaye ni Mwarabu anaitwa Ishmael. Tatizo kubwa la vita baina ya Mwarabu na Israel ni hapa.
Hapo mtaani kwenu fanya utafiti, tafuta picha ya mtu kutoka Iran alafu waonyeshe ukiwauliza huyu ni muarabu au si muarabu... Asilimia kubwa watakuambia ni muarabu... Sasa unashindwa kuelewa nini kuwa wapo wanaojua kuwa iran ni waarabu... Acha ubishi kijanaNani hao wanasema Iran ni waarabu au unataka kuhararisha ujinga wako ?
Wewe ni mkristo ?Kama Israel angekuwa Mwarabu, leo usingesikia vita vinavyoendelea huko. Na mara zote Israel anawaambiaga kwamba nchi zote za Uarabuni ni mali ya Israel na ndiyo maana kila anapokwenda kupiga, anachukua ardhi na kutanua nchi yake.
Kwa hiyo wewe kwenye ukoo wako uliwapa picha ya waajemi wakasema waarabu ?Hapo mtaani kwenu fanya utafiti, tafuta picha ya mtu kutoka Iran alafu waonyeshe ukiwauliza huyu ni muarabu au si muarabu... Asilimia kubwa watakuambia ni muarabu... Sasa unashindwa kuelewa nini kuwa wapo wanaojua kuwa iran ni waarabu... Acha ubishi kijana
Iran sio waarabu ni waajemi (Persian). Ni watu intelligent zaidi ya waarabu.Hapo mtaani kwenu fanya utafiti, tafuta picha ya mtu kutoka Iran alafu waonyeshe ukiwauliza huyu ni muarabu au si muarabu... Asilimia kubwa watakuambia ni muarabu... Sasa unashindwa kuelewa nini kuwa wapo wanaojua kuwa iran ni waarabu... Acha ubishi kijana
Walipewa na nani ?Israel walipewa nchi ndogo sana wakae baada ya kutawanywa na Adolf Hitler, baada ya kuanza kurudi, wakaitaka nchi yao, lakini kwa bahati mbaya waliwaona Waarabu washajigawia ardhi yao. Walichokifanya ni kuanza kupigana nao.
Una miaka mingapi ? Na umeoa ?Kama unakumbuka Umoja wa Mataifa uliingilia kati, ulichukizwa na kitendo cha Israel kuwapiga Waarabu, walichokifanya, wakawapelekea Biblia ambayo kwa nyuma kuna ramani ya Israel tangu enzi za Musa. Wakawaonyesha na kuwaambia kwamba nchi zote za Uarabuni ni Israel, tutakapokuwa wengi, tutaendelea kupiga na kuirudisha nchi yetu.
Ni sahihi jamaa kaandika blah blah tu.Bado haupo sahihi kwasababu mjakazi ambaye Ibrahim alizaa nae alikuwa Mmisri na wamisri wa nyakati hizo walikuwa ni weusi kwahiyo hawakuwa Waarabu Historia hii tuliyo nayo imepikwa kuficha jambo.
Neno Israel limeanza kutumika kipindi gani ?So jua hili. Ibrahim hakuwa Mwarabu. Musa hakuwa Mwarabu. Suleimani mtoto wa Daudi na baba yake huyo hawakuwa Waarabu. Ni Waisrael ambao bado wanaendelea kupigana na Waarabu ili wachukue nchi yao iliyowafanya waondoke Misri.
Sio kweli bro,,asili ya Abraham ni Paran,,hivyo hata ur alihamia tu,,ndo maana alipotaka kuhama,alihama kwanza hadi kwao paran,kabla hajashuka uelekeo wa caanan,,Huna akili, wewe peke yake ndio hujui kama wamisri walikuwa weusi(cushites)..
The ancient Egypt ambayo kwa wakati huo ikiitwa Memphis ilikaliwa na watu weusi na baadae, Alexander the Great mfalme wa Macedonia ya zamani alivamia na kuifanya Memphis kuwa jimbo lake na akaanzisha makao makuu yake mjini Alexandria
Hawa waarabu unaowaona walivamia Misri miaka ya 600 AD kipindi cha uongozi wa Khalidun Khalifa ambaye alimtuma kamanda wake Amr Ibn Al as ndio akafanikidha kuiteka Misri sasa baada ya hapo ndio watu weusi wakaanza kuwakimbia waarabu na kuja kusini mwa Mto Nile hasa maeneo ya Sufan, tafuta maarifa acha kujiropokea
Again nimekuona tena huna akili uliposema Ibrahim ni Muisrael(yaani hapa hujui hata maana ya Israel)
Ibrahim alitokea eneo la Uru ya ukaldayo eneo ambalo kwa sasa linaitwa IRAQ(nchi ya kiarabu) na kuhamia Canaan(Israel ya sasa).
Hahaaa, Muhaya anatudanganya mchana kweupeeeeAiseeh! nini hiki ?!.
Umeoa ?
Wewe dish lako litakuwa limeyumba... Na kwambia ufanye utafiti kuuliza iran ni jamii gani hapo mtaani kwenu unaanza kuleta ujinga hapa...Kwa hiyo wewe kwenye ukoo wako uliwapa picha ya waajemi wakasema waarabu ?