Ukweli kuhusu Israel, Waarabu, na Ibrahim

Ukweli kuhusu Israel, Waarabu, na Ibrahim

Wakafanyishwa kazi. Baadaye ndipo Musa akazaliwa ndani ya ardhi ya Kiarabu. Akapewa jukumu la kuwatoa Israel kutoka hapo Misri kwenda kwao. Wakati huo ndio ambao nao Waarabu walikuwa wamejinyakulia nchi, tena walikuwa ni watu wakubwa kimuonekano.
Misri ilikuwa ardhi ya kiarabu ?
 
Musa akaanza mchakato wa kuwatoa Israel Uarabuni na kuwapelekea Israel. Waliishi Misri kwa miaka 400. Wakaondoka na kwenda Misri, na walitumia miaka 40.
Wewe ni mlokole ?
 
Tupeane elimu kidogo, kuna watu wanachanganya mambo. Hapa tufundishane jambo moja. Kitu cha kwanza kabisa watu wanachokichanganya ni kuhusu Ibrahim, wengi wanasema Ibrahim alikuwa Mwarabu, ndugu yangu, nikwambie tu kwamba jamaa hakuwa Mwarabu.

Ibrahim baada ya kuzaa na kijakazi ambaye alikuwa Mwarabu, inamaanisha damu yake ilichanganyika na ya Kiarabu na ndiyo maana tunasema Ishmael ni baba wa Waarabu kwa sababu mama yake alikuwa Mwarabu.

Nchi za Kiarabu ambazo zipo kwenye umoja ni hizi, Algeria, Bahrain, Iraq, Jordan, Kuwait, Djibout, Saudi Arabia, Tunisia, United Arab Emirates, Yemen, Somalia, Sudan, Syria, Comoros, Misri, Maurtania, Qatar na Palestina.

Kwa nini Waarabu wanamchukia Israel? Ni kwa sababu si Mwarabu mwenzao. Na hao ndiyo wa kizazi cha Ibrahim. Kwa hiyo kama ulikuwa unahisi Ibrahim alikuwa Mwarabu, futa hiyo akilini mwako.

Hata Iran sio Waarabu, najua wengine mtakuwa hamlijui hili kwa undani. Miongoni mwa nchi za Kiarabu, Iran hayupo kwa sababu yeye si Mwarabu.

So Israel na Waarabu ni baba mmoja ila mama tofauti. Ibrahim alizaa na Muisrael mwenzake kwa kipindi hicho ilikuwa bado haijaitwa Israel na mtoto wake kuitwa Isaka ila yule aliyezaa na kijakazi ambaye ni Mwarabu anaitwa Ishmael. Tatizo kubwa la vita baina ya Mwarabu na Israel ni hapa.

Kama Israel angekuwa Mwarabu, leo usingesikia vita vinavyoendelea huko. Na mara zote Israel anawaambiaga kwamba nchi zote za Uarabuni ni mali ya Israel na ndiyo maana kila anapokwenda kupiga, anachukua ardhi na kutanua nchi yake.

Israel walipewa nchi ndogo sana wakae baada ya kutawanywa na Adolf Hitler, baada ya kuanza kurudi, wakaitaka nchi yao, lakini kwa bahati mbaya waliwaona Waarabu washajigawia ardhi yao. Walichokifanya ni kuanza kupigana nao.

Kama unakumbuka Umoja wa Mataifa uliingilia kati, ulichukizwa na kitendo cha Israel kuwapiga Waarabu, walichokifanya, wakawapelekea Biblia ambayo kwa nyuma kuna ramani ya Israel tangu enzi za Musa. Wakawaonyesha na kuwaambia kwamba nchi zote za Uarabuni ni Israel, tutakapokuwa wengi, tutaendelea kupiga na kuirudisha nchi yetu.

So jua hili. Ibrahim hakuwa Mwarabu. Musa hakuwa Mwarabu. Suleimani mtoto wa Daudi na baba yake huyo hawakuwa Waarabu. Ni Waisrael ambao bado wanaendelea kupigana na Waarabu ili wachukue nchi yao iliyowafanya waondoke Misri.

Uzao wa Ibrahim ndiyo uliomleta Yusufu ambaye akawachukua Waisrael kwenda kuishi Misri. Maisha yalikuwa ya raha sana, watu waliionjoi maisha lakini baada ya mfalme huyo kufa, ndipo akaja mfalme mwingine ambaye sasa hakuwataka Waisrael, akawafanya watumwa wake.

Wakafanyishwa kazi. Baadaye ndipo Musa akazaliwa ndani ya ardhi ya Kiarabu. Akapewa jukumu la kuwatoa Israel kutoka hapo Misri kwenda kwao. Wakati huo ndio ambao nao Waarabu walikuwa wamejinyakulia nchi, tena walikuwa ni watu wakubwa kimuonekano.

Musa akaanza mchakato wa kuwatoa Israel Uarabuni na kuwapelekea Israel. Waliishi Misri kwa miaka 400. Wakaondoka na kwenda Misri, na walitumia miaka 40.

Musa hakuingia Israel, alikufa jangwani na Mungu kumzika. Wale waliofanikiwa kuingia huko Israel ndio walioendelea kuipambania ardhi yao mpaka leo hii.

Hapa kuna jambo moja.

Vita ya Israel na Waarabu itapamba moto hapo baadaye. Itapigwa vita kali sana. Sasa kwa kuwa Israel ataonekana kuwa kiburi na mwenye nguvu sana, dunia nzima itaanza kumcharaza. Huyu Marekani anayeonekana kuwa karibu na Israel naye atamgeuka, kila nchi duniani itamgeuka na kumpiga.

Mwisho wa siku baada ya kuona wanapigwa sana, watakimbilia mpaka kwenye mlima ule aliopaa Yesu, wataomboleza na kulia, hapo ndipo Yesu atashuka kuimaliza vita hiyo, na huo ndiyo utakuwa mwisho wa kila kitu.
Wewe ni mlokole ?
 
HOW TO ESTABLISH HISTORICAL TRUTH?
7
only serious method of investigation to authenticate an ancient narrative cannot
be based on archaeology but only from an accurate chronology (based on
absolute dates) combined with historical evidence. Finkelstein says that the
geographical place-names in Biblical accounts are reliable for the 7th & 6th
centuries BCE, but not for earlier times, showing that the biblical text cannot be
regarded as a “history” of those earlier times, as a result of which the narratives
of Abraham would be myths. However, if we use a chronology based on
absolute dates (it was the purpose of my PhD dissertation), combined with
ancient witnesses as well as historical writings, we can reach historical conclusion
 
Waamini ila wajue hizo hazina tofauti na hadithi za Sungura na fisi.

Hata mimi huwa naenda kanisani, ila kwa lengo la kusocialize. Huwa nacheka sana nikiona watu wakisomeana habari za akina Ibrahim Wayahudi kutoka middle East, wakati wao ni akina mwakipesile, Masanja na Shemdoe weusiii tiii kutokea mpitimbi.

Kuna mambo duniani yanafurahisha sana.
Mbona wewe ni mjinga kuliko hao. Acha kwenda kanisani kama unaona wana hadithiana habari za sungura na fisi
 
Misri ilikuwa ardhi ya kiarabu ?
Hahaaaaaaa, Muhaya unatudanganya bwana. Hao waarabu hapo Misri na nchi jirani za afrika Magharibi walikuja majuzi tu kipindi cha utawala wa Ottoman Empire.

Hariri hakuwa mwarabu, Hariri alikuw mmisri wa kale mwenye asili ya Afrika. Ngozi nyeusi mkuu. Ebu fuatilia uzi humu unaoeleza hilo ikihusisha pia ushahid toka michoro ya Mafarao kwenye Pyramid za Giza pia hao mummies wanaofukuliwa sasa wanaoonekana wakiwa na ngozi nyeusi.
 
Sasa uelewi nini baba mmoja mama tofauti... Si Ibrahim anawatoto wawili mmoja ambae alienda kuoa uarabuni, ismail alienda kuoa uarabuni... Hivyo vizazi vyao babu yao ni Ibrahim... Sasa uelewi nini
Nimekuuliza umeoa ? Sio hiki ulicho andika
 
Wewe dish lako litakuwa limeyumba... Na kwambia ufanye utafiti kuuliza iran ni jamii gani hapo mtaani kwenu unaanza kuleta ujinga hapa...

Wewe si hapo juu umekataa kuwa hakuna watu wanaosema iran ni waarabu... Nami Nimekwambia watu wengi udhani iran ni waarabu basi kudhibitisha ilo fanya utafiti hapo mtaani kwenu
Ndio nimekuambia kuwa kwenye ukoo wako wamesema kuwa waajemi ni waarabu ?
 
Back
Top Bottom