Ukweli kuhusu Kanisa Katoliki kuanzisha Dini ya Kiislamu

Data kutokana na sensa ya Uk zinasema wakirsto wanaoyngua kwa kiasi kikubwa huku wengi wao wanageukia kuwa Atheist na wengine Waislamu .
 
Una una uhakika na hiyo mikataba au ni maneno na chuki zako tu ulizopandikizwa?

Fikria nje ya box
Si HADITHI ni HAKIKA.

Tunaye Roho mtakatifu, Roho wa YESU ndani yetu anayeyathibitisha hayo.

Hadi Popee wote tangu wa kwanza, hayupo aliyeenda Mbinguni hata mmoja baada ya kufa, wote wapo kuzimu ilipo mikataba Yao,

Sasa kama viongozi wenu wanaripiti pale, vipi kuhusu wafuasi?

Watu Hawa wanawapeleka maelfu Kila siku kuzimu wanapokufa Kwa kuabudu katika nyumba hizo zenye IBADA za masanamu ya shetani.
 
Kumtahadharisha Kondoo anayeelekea kutumbukia shimoni bila kujua Si KUMHUKUMU Bali ni kumualkert aamue na kugeuza direction.
Ndugu umeanza kugeuka maandishi yako mwenyewe.
Je haya si maneno yako?
HAKIKA Jehanum inawahusu

Sisi sote tumeokolewa kwa neema na imani ya Kristo (si imani yetu), hivyo si mkatoliki, mwislamu wala mtu wa aina yoyote ile bali tu wamoja katika kristo.
Haina haja ya kumuona huyu wala yule haifai bali tuishi kwa upendo na kusaidiana na Yesu atafanya makao ndani yetu.

Amini kuwa Yesu akikaa ndani yako halitakutoka neno lolote la hukumu wala ubaya hautakuwa pamoja nawe.
 
🤣🤣 Pole sana mkuu. Hiki ulicho andika ni takataka
 
Sijawahi kuona hoja nyepesi na za kipuuzi kama hii la dai la kuwa Ukatili kuzalisha uislamu.

Uzi wako una chai nyingi kiasi ambacho hata nashinda nianze na hoja na kuona uzi wenyewe ni upuuzi moja kwa moja.

Ukisoma kwa umakini uislamu historia yake Pamoja na Qu'ran kwa ujumla hitimisho linakuja kuwa haiwi kwa uislamu , Qu'ran Pamoja na utume wa Mtume Muhammad (upon him be peace and blessings of Allah) utoke kwa mwengine isipokuwa Allah Mola mlezi wa ulimwengu wote.
 
Unatafsiri vibaya NEEMA,

Neema ni kukataa UOVU na dhambi. Neema ipi inakupa ruhusa ya kuabudu sanamu?

Neema ipi inakupa ruhusa ya kuzini Kwa utashi wako na kuamini utaokolewa Kwa neema?

Neema ipi iliyokuruhusu kusali Kwa Rozali au Msaafu ambazo ni IBADA za mashetani?

Ndomana nakwambia, Ukimwamini Yesu na kumpokea Roho MTAKATIFU, lazima atakutoa usiabudu katika nyumba hizo.
 
🤣🤣 Pole sana mkuu. Hiki ulicho andika ni takataka
Tangu mwanzo Waliookoka na kujazwa Roho Mtakatifu, Walio Raia wa Mbinguni huonekana VICHAA.

Yesu alisema, kama Ulimwengu umenikataa Mimi, lazima utawakataa nanyi pia. Tuliona mitume wakiteswa na kuuwawa na watu wa DINI kama ninyi.

Nakuombea Yesu akutane nawe kama alivyokutana na Paulo Ili uijue Neema Hasa ni NINI.

Amen
 
Neema ni nini?
 
Hebu tueleze ndugu neema ni nini? Naweza kuelewa kupitia wewe
 
Neema ni nini?
Sipo kubishana nawe,

Ukitaka kujua naongea Kweli au la, ingia kwenye maombi, Muulize Mungu akuthibitishie niliyokwambia ikiwa ni Kweli au la, utajibiwa.

Amen
 
Uislam umeanza mwaka gani?
St. Ignatius kaanzisha shirika La Jesuit mwaka gani?
 
YANI HAKUNA KITU UTANIAMBIA NIKATOKA KWENYE KANISA MOJA TAKATIFU LA MITUME. HAKUNA. Hizo story za abunuasi za wasabato nimeshazisikia tangu mdogo nikaziamini ila kuja kufatilia vizuri ni uzushi mwingi. Kwanza kinawauma nini sisi tukifanya yetu? Hatujawalazimisha, kutwa kuwashwawashwa na wakatoliki. Hovyo na vikanisa vya uchochoroni vya kuanzishwa na manabii feki.
 
Data kutokana na sensa ya Uk zinasema wakirsto wanaoyngua kwa kiasi kikubwa huku wengi wao wanageukia kuwa Atheist na wengine Waislamu .
Yes lakini Bado Muslim population inaongezeka ulaya kutokana na kukimbia vita za huko uarabuni na pia kuzaliana kuliko white families.

Yaani wanaosilimu sio wengi kulinganisha na immigrants pamoja na population growth rate.
 
Kuna comment umenijibu kuwa nimeandika takataka,

So Si lazima uipate neema hiyo kupitia Mimi, utaipata kupitia wengine Mungu akipenda uipate.
Uvumilivu ni tunda la roho mtakatifu. Pasipo na uvumilivu roho hayupo.

Kumbuka ukijibu si kwa ajili yangu tu, bali ni kwa ajili ya wana Jf na kizazi kijacho
 
Dah kila nilipokuwa nasoma nimejikuta nasahau nilipotoka panasemaje,, ndefu sana mkuu.
 
Yesu hakuacha DINI yoyote.

Yesu aliacha IMANI na KANISA ambalo ni mtu aaminiye.

Wasabato pia wamekwama na Yao, hawamwamini Roho MTAKATIFU na hawaamini miujiza.

Bila Roho MTAKATIFU, Roho wa YESU, huwezi kumpendeza Mungu.

Njia ya Mbinguni ni nyemvamba na imesonga miiba, lakini njia ielekeayo upotevuni na kuzimu ni Pana sana, fikiri madhehebu na DINI hizo kubwa zimewafunga wangapi?

Mungu atusaidie kupita njia nyemvamba ielekeayo Mbinguni.

Amen
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Au sio.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chanzo kimoja kinasema au sio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…