Ukweli kuhusu Mradi wa NSSF wa Dege Beach Kigamboni

Looks like Gazeti la mwananchi wana ajenda zao na Nssf na Dr Dau...kwann hawaelezi ukweli?
 
Land for Equity (Ardhi Kwa Hisa) na Mradi wa NSSF Dege Beach Kigamboni.
Mkuu Bishoo Likubwa, next time uki copy na ku paste, toa haki kwa aliyeandika ambako umenyofoa hivyo hivyo ilivyo, huu mtindo wa vichwa maji,au madebe matupu kupiga kelele nyingi kwa ku copy na ku paste madini ya watu wengine ili nao waonekana ni vichwa, ni wizi tuu, hivyo hayo ni majizi tuu kama majizi mengine yoyote hata kama wizi huo umefanywa humu humu jf!.

Mwenye haki na bandiko hili ni
Ukweli kuhusu Mradi wa NSSF wa Dege Beach Kigamboni | Page 4 ...

Lijitu likubwa zima, lina kwiba kwa kucopy na kupaste kila kitu vile vile kilivyo kutoka humu humu jf, bila aibu, tena mchana kweupe, huu sio just wizi wa kawaida, nadhani kuna elements za sanity!.

NB. Naunga mkono headline.

Paskali
 
Hatuwez kuwaacha mkipotosha sasa

Ukweli uelezwe jamii ijue
Hapana, Mimi sijapotosha ila Mimi ni mtazamaji tu, kama unataka ukweli uelezwe Jamii ijue sidhani kama Wewe ndio the right person wa kueleza huo ukweli, nimesema sidhani! Kwahio kwa kuwa Huna hata Legal Authority ya kuuleza ukweli ndio maana nikasema asante kwa taarifa ndefu na nzuri nani nimejifunza jambo ila tusubiri kwenye Legal Authority wakishafanya uchunguzi si ukweli utajulikana?

Usitumie nguvu nyingi namna hii Mpwa. Kweli itatuweka guru, itachelewa tu lakini itafika.
 
 
wewe unakanusha hiyo ripoti ukiwa kama nani labda?
 
Watu wamepiga pesa kirahisi rahisi tu,
800 * 3500 = 2.3tr wakati thamani ya ardhi ya soko ni
25 * 3500= 87bn, huu ni wizi mkubwa zaidi ya Escrow, Richmond na takataka nyingine. Ona aibu THE BIG SHOW hata Allah haruhusu huu utapeli.
 
Nasubiri kwa ham kusoma Jinsi Paskal Mayala atakavyokuja kumjibia na kumtetea huyu Mkurugezi mpya
Mkuu,
Samvulachole
bado nakusubiria kwenye haya, ile twende kidogo kidogo.

Paskali
 
Eti NSSF wamepewa bure, hakuna ardhi ya bure wadanganyeni mtakaowapata.
 
Magazeti yafanye utafiti wa kutosha kabla ya kuandika kwenye magazeti yao.
 
Wamiliki wa Azimio ni Nani? Je hakuna inside dealings hapo kweli
 
Dah....Mkuu umekuja thread mbili yote sababu umesikia Nssf inawezekana Dau hajui utamu wa pesa au alikuwa anakushilikisha kazi zote za Nssf
 
UNAMJUA AKBAR?
 
Looks like Gazeti la mwananchi wana ajenda zao na Nssf na Dr Dau...kwann hawaelezi ukweli?
Gazeti haliandiki habari zake kwa kusakura Bali toka ktk source ambazo ni purified,sasa kulauimu gazeti badala ya CAG ni upunguani
 
Watu wamepiga pesa kirahisi rahisi tu,
800 * 3500 = 2.3tr wakati thamani ya ardhi ya soko ni
25 * 3500= 87bn, huu ni wizi mkubwa zaidi ya Escrow, Richmond na takataka nyingine. Ona aibu THE BIG SHOW hata Allah haruhusu huu utapeli.
Unahitaji roho ngumu sana kuiba namna hii, sidhani kama hii ni kweli
 
Magazeti yafanye utafiti wa kutosha kabla ya kuandika kwenye magazeti yao.
Utafiti uliofanywa na Ernst and Young's kwa makubaliano na CAG,na taarifa zinazosambaa ni za CAG magazeti ni WAKALA tu wa kutuhabarisha,hii kitu ishatua bungeni syo siri tena,itajadiliwa at the same time vijana wa kazi wakifukunyua zaidi ili balozi awajibishwe,sasa kulaumu magazeti ni utaahira
 
Hatuwez kuwaacha mkipotosha sasa

Ukweli uelezwe jamii ijue
Ni kitu gani kimepotoshwa mkuu , usipindishe ukweli , hiyo ndo hali halisi na kumbuka kuwa kwa sababu ya ufisadi huo kuna wakati mlishindwa kulipa mafao hadi wanachama wakawaita watu wa ITV I think 2014 habari ilitoka ktk jiji letu saa 12 jioni,sasa we jipumzikie dau ashughulikiwe wewe hatakuhusu maada wewe ni sawa na chawa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…