Ukweli kuhusu tabia za wanaume washindao katika mitandao ya kijamii

Ukweli kuhusu tabia za wanaume washindao katika mitandao ya kijamii

Hakuna kitu ambacho watu wengi wakiwemo wanawake wanakichukia kama kuambiwa yeye ni malaya au mbayaa

Niliwahi mwambia binti mmoja kuwa mbona wewe ni mbayaaaa sanaaa weeh huwezi amini alinichukia mpaka leo hii🤣🤣🤣😥😥😥
Mkuu naleft uzi 🙌
 
Acha kumkufuru Mungu aliyetuumba wanadamu

Mungu my ass.

Siwezi kumkufuru Mungu ambaye hayupo.

You are boring me to death already.

I can't entertain you.

Straight to my ignore list.

Kuanzia hapa sitaona unachoandika.
 
Back
Top Bottom