Wajerumani walikuta waislam wote wakisali kiarabu. Waislam waarabu walipokuta walikuta nini?
Unakataa kwamba haikuwa na ushirikina, huyo kinjekitile alivyopotea na baada ya kurudi akasema kapewa na mizimu maji yatakayofanya risasi ziwe maji, alimaanisha mizimu hiyo ndiyo unaiita allah?
Kwa hiyo huyo allah ndiye aliyewaongopea maskini ndugu zetu kwamba wakisema "maji maji", ndiyo risasi zinakuwa maji halafu akakaa kando, na alipoona wameitikia ujinga huo akaingia mitini akawaacha wanamalizika? Kwa maana hiyo huyo allah kama alimtuma kinjekitile kwamba risasi zitakuwa maji waende tu huku ama akizidiwa nguvu na risasi ama akishindwa kuwasaidia, utawaaminishaje watu leo waamini lolote mtakalosema linatoka kwa allah kwamba ni la kweli?