Ukweli kuhusu Vita vya Majimaji

Ukweli kuhusu Vita vya Majimaji

Mbona black arabs wapo mkuu, kama una azam tv anagalia wanasah tv utawaona

Wapo waafrika walioenda huko uarabuni. Kwa kukimbia vita na kuzamia na wamelowea huko karne ya 19 lakini waliochukuliwa kama maswahiba hakuna kizazi chao wanaume walihasiwa na hiyo ndio iliyokuwa VISA ya kuingilia uarabuni.
 
Majeshi yaliyofanya mauaji dhidi ya wazee ni Major Johannes, Captain Mortz Merker, Luteni Spiegel, Staff Sajent Engalnd na wengineo!

Ewe Allah (S.W.T.), Wazidishie adhabu hao madhalimu wa Kijerumani, Amiiyn!

Ahsateni, Nakutakieni siku njema!

Inaonesha kwa imani yako neno "kusamehe" halipo kabisa
 
Pamoja na maelezo yako marefu, mimi ninadhani wewe ndiwe unapotosha historia. unataka kutuaminisha ndivyo sivyo. Hii historia unayo wewe peke yako? Mimi nilikozaliwa na kukulia hapakuwepo dini nyingine wala dhehebu lolote la kikristo zaidi ya Lutheran lakini siwezi kusema kuwa wale waliopigana vita na wajerumani (wakoloni) walikuwa wanapigania Ulutheri wao. Kama unaijua hiyo historia vilivyo, Kinjeketile aliwaaminisha nini wananchi wake na ndio ikawa chanzo cha vita hivyo kuitwa vita vya maji maji. Tujaribu kupunguza uongo unaofanana na ukweli ili tuwasaidie watoto wetu kuijua nchi yao kiusahihi.
 
1,Yesu sio Mungu.
2,Wailamu ni wengi tz historia ilipotoshwa.
3.Wapigania uhuru ni waislamu.
4.Vita ya maji maji haina ukweli.

!!!!!dah,ndugu zangu!

Hivi hizi habari huwa mnazitoa wapi??,

Mfano wewe mleta mada hii hadithi inapatikana kitabu gani??chanzo cha kuaminika tafadhari.
 
Chochote kilichokuwa na mkono wa mungu lazma historia ibaki vzazi vyote tofaut na hapo magumashi
 
Historia zingine lengo lake huwa ni kuleta chuki tu miongoni mwa wana jamii waliostarabika
Mimi nikuombe ndugu yangu albuluushiy kwamba yote yaliyotokea wakati huo ni ya kuhadithiwa tu na hakuna awaye yeyote ambaye yupo hai kwa sasa kuthibitisha maelezo haya. Lakini kubwa kuliko yote historia hii inajenga chuki kati ya uislam na ukristo na na hivyo basi ni vema jambo hili likaachwa lipite kama ambavyo lilikwisha pita.
 
Wajerumani walikuta waislam wote wakisali kiarabu. Waislam waarabu walipokuta walikuta nini?

Unakataa kwamba haikuwa na ushirikina, huyo kinjekitile alivyopotea na baada ya kurudi akasema kapewa na mizimu maji yatakayofanya risasi ziwe maji, alimaanisha mizimu hiyo ndiyo unaiita allah?

Kwa hiyo huyo allah ndiye aliyewaongopea maskini ndugu zetu kwamba wakisema "maji maji", ndiyo risasi zinakuwa maji halafu akakaa kando, na alipoona wameitikia ujinga huo akaingia mitini akawaacha wanamalizika? Kwa maana hiyo huyo allah kama alimtuma kinjekitile kwamba risasi zitakuwa maji waende tu huku ama akizidiwa nguvu na risasi ama akishindwa kuwasaidia, utawaaminishaje watu leo waamini lolote mtakalosema linatoka kwa allah kwamba ni la kweli?

ww mbweha toa hoja sio ujinga hivho unachosema wewe ni tambiko hao walikuwa wanachukua udhu sio kunawa na tunaambiwa kwenye ibada lazima tutawadhe (udhu)vita ni ibada.unaambiwa historia imepotoshwa wewe kama unakaataaa toa unayosema wewe,rozali huwa na msalaba lakini kwenye jumba la makumbusho zimewekwa rozaliambazo hazina msalaba ambazo ni tasbihi
 
1,Yesu sio Mungu.
2,Wailamu ni wengi tz historia ilipotoshwa.
3.Wapigania uhuru ni waislamu.
4.Vita ya maji maji haina ukweli.

!!!!!dah,ndugu zangu!

Hivi hizi habari huwa mnazitoa wapi??,

Mfano wewe mleta mada hii hadithi inapatikana kitabu gani??chanzo cha kuaminika tafadhari.

tafadhari= tafadhali
 
Hii ndiyo elimu waliyokuachia waarabu mliokuwa mnaendesha noa maisha bila shida!. Elimu ya matusi. nakupa pole na allah wako. Hisotoria imepotoshwa, kwa nini iliitwa vita ya maji maji? Hii ya kwako imeandikwa wapi? kwenye quarani? Sasa wewe na allah, mohamed nani kiiongozi cha mwanzake? allal alisahau kuandika akaishia mitini akiogopa risasi za wajerumani?

Hujajibu, hao waarabu wafundisha matusi, walianza tu kuota huko songea ama walikuja? Walipokuja walikuta binadamu au wao na allah na wewe ndiyo mkaumba dunia ya hapo songea na kuanzisha kizazi chenu ambacho sasa unalilia kwamba kilibadilishwa na wajerumani?

Unapotukana, kumbuka allah atakukimbia maana ni mwoga wa matatizo. Aliwaambia mchukue maji halafu baadaye alipoona risasi zinarindima akasahau ahadi aliyokuwa amewapa wewe na waarabu, akaingia mitini mkabaki peke yenu. Shauri lako!


ww mbweha toa hoja sio ujinga hivho unachosema wewe ni tambiko hao walikuwa wanachukua udhu sio kunawa na tunaambiwa kwenye ibada lazima tutawadhe (udhu)vita ni ibada.unaambiwa historia imepotoshwa wewe kama unakaataaa toa unayosema wewe,rozali huwa na msalaba lakini kwenye jumba la makumbusho zimewekwa rozaliambazo hazina msalaba ambazo ni tasbihi
 
napendekeza pia tusome biashara ya utumwa iliua waafrika wengi mno! kukomeshwa kwake iliathiri sana maslahi ya waarabu- mababu zetu wameuliwa sana wakati huo na kupunguza kasi ya maendeleo ya waafrika- wazungu wakasitisha hili zoezi kwa vita pia- ku conclude wazungu(wakristo) ni wabaya na waarabu(islam) ni wema ni kama kuendeleza ligi- bora tumepata uhuru wetu- dini tuweke kando japo ni ngumu- upotoshaji upo kila upande; tuishi kwa amani tuache kuanzisha hisia chokonozi
 
Hii ungemwandikia rais wako aliyesema wajeruman waliisaidia tanganyika.
 
Kwa hiyo unataka kutuambia Quran imefundisha vita kwa kutumia mbinu ya maji kama sio kwanini tusiite vita vya imani za kishirikina.Unajua ndugu yangu ugonjwa wa kufuata hadithi za Mohamed Said kumeharibu akili za watanzania wengi sana hasa wakaazi wa Pwani ya Tanzania na maeneo ya Kariako.
 
Haya tumekusikia vita vya majimaji vilikuwa vita baina ya waislam na wakristo wajeruman.
Waislam ndio wengi Tanzania,
Waislama wana akili sana...........

Blah blah blah.....
 
So! What should we? Yaani nikifahamu kuwa ni mizee ya kiislam ilipigana vita, kwa hiyo! Mada yako ungeipeleka kwa bokoharamu, alkaida, alshababu, au katika misikiti yenu. Nonsense!
 
umefanya vizuri kutuletea hii historia lakin hauko fair ingebidi utuletee na jinsi waarabu walivyoanza kuingia kwetu na kuteka maeneo ya kilwa nk. kumbuka waarabu, wajerumani nk wote ni wavamizi. mm nawakubali wajerumani kwa sababu walikuwa wachapakaz na wametuachia reli, bandari nk. ila sioni tunachoweza kujivunia toka kwa waarabu zaidi ya utamaduni wao na utumwa. samahan kama nimekukwaza
 
Back
Top Bottom