Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Unadhani wasipoanzisha hisia chokonozi watafanya nini zaidi, watu.wamejikita kujadili mambo yasiyo na msingi kwa kujifanya wanafia dini zao huku wakiangamia kwa ujinga........badala ya kuhangaika na maisha angalau watoto wao wawe na nafuu kwa elimu Bado wanajirudisha kulelule eti tulinyimwa elimu..........napendekeza pia tusome biashara ya utumwa iliua waafrika wengi mno! kukomeshwa kwake iliathiri sana maslahi ya waarabu- mababu zetu wameuliwa sana wakati huo na kupunguza kasi ya maendeleo ya waafrika- wazungu wakasitisha hili zoezi kwa vita pia- ku conclude wazungu(wakristo) ni wabaya na waarabu(islam) ni wema ni kama kuendeleza ligi- bora tumepata uhuru wetu- dini tuweke kando japo ni ngumu- upotoshaji upo kila upande; tuishi kwa amani tuache kuanzisha hisia chokonozi
Mkuu Unadhani wasipoanzisha hisia chokonozi watafanya nini zaidi, watu.wamejikita kujadili mambo yasiyo na msingi kwa kujifanya wanafia dini zao huku wakiangamia kwa ujinga........badala ya kuhangaika na maisha angalau watoto wao wawe na nafuu kwa elimu Bado wanajirudisha kulelule eti tulinyimwa elimu..........
Lengo hasa la hii post ni nn? maana ukisoma kila wakat linarudiwa neno Uislam as if waarabu waarabu walikua wazawa, tofauti na dini waliacha maendeleo gan?
Lengo hasa la hii post ni nn? maana ukisoma kila wakat linarudiwa neno Uislam as if waarabu waarabu walikua wazawa, tofauti na dini waliacha maendeleo gan?
ww mbweha toa hoja sio ujinga hivho unachosema wewe ni tambiko hao walikuwa wanachukua udhu sio kunawa na tunaambiwa kwenye ibada lazima tutawadhe (udhu)vita ni ibada.unaambiwa historia imepotoshwa wewe kama unakaataaa toa unayosema wewe,rozali huwa na msalaba lakini kwenye jumba la makumbusho zimewekwa rozaliambazo hazina msalaba ambazo ni tasbihi
umefanya vizuri kutuletea hii historia lakin hauko fair ingebidi utuletee na jinsi waarabu walivyoanza kuingia kwetu na kuteka maeneo ya kilwa nk. kumbuka waarabu, wajerumani nk wote ni wavamizi. mm nawakubali wajerumani kwa sababu walikuwa wachapakaz na wametuachia reli, bandari nk. ila sioni tunachoweza kujivunia toka kwa waarabu zaidi ya utamaduni wao na utumwa. samahan kama nimekukwaza
Can you give us the statistics of how many wazungu were in those countries you mentioned, where are now originaly they were plenty of African slaves? And can you give the population count of Arabs in those countries where is what you claim there are many arabs but African slaves were killed?
For instance. Wazungu and Africans of Trinidad and Tobago and Arabsa and Africans of Oman, your newly politically acquired Bogeyman.
Jamaa kapiga porojo na hadithi halafu anaita historia. Historia ili iwe credible lazima kuwe na source. Tena vyanzo vijumuishe primary and secondary zionyeshwe kwenye footnote ili ku-authenticate reliability and validity. Hizi footnotes lazima zionyeshe wapi source inapatikana, zimetokea wapi na lini lilipatikana. Weye unabwabwaja kama chiriku halafu unaita eti ni historia.
Swali chokonozi....
Kwa nini hakuna "Black Arabs"