Ukweli kuhusu Wakatoliki kutokuabudu sanamu zilizopo makanisani

K
Kuna namna waeza tupa ushahid juu ya hili? Pia kama ni hivyo inamaana sote tunaabud cku ambazo ni mapokeo ya wanadam? Kama ndivyo je kuna mweny haki wa kumwambia mwenzake sabato ni cku flan?
Kalenda hii tunayoitumia inaitwa Gregorian calendar, waislamu Wana kalenda yao kila Jamii Ina kalenda yao, majira na nyakati zilibadilika
 
K
Kalenda hii tunayoitumia inaitwa Gregorian calendar, waislamu Wana kalenda yao kila Jamii Ina kalenda yao, majira na nyakati zilibadilika
Kwa minajili hiyo hakuna mwenye haki wa kumkosoa mwingine kua cku ya sabato ni ni cku flan!! Kwamaana sote twafate taratibu za kibinadan.
 
Mkuu kuna member humu juzi alisema Mungu ni shetani.!!!?
Ni watu tu wameukinai wema wa Mungu na maarifa aliyowapa wanafikia mahali wanavuka mipaka.

Ni hatari sana.
 
Soma Luka 23 kuanzia fungu la 50, soma Kwa makini ili uelewe siku ya Saba ni ipi na siku ya kwanza ya juma ni ipi Kwa mjibu wa biblia.

Soma Luka 23 kuanzia fungu la 50, soma Kwa makini ili uelewe siku ya Saba ni ipi na siku ya kwanza ya juma ni ipi Kwa mjibu wa biblia.
Luka 23:50 unazungumzia juu ya Yusuf mtu wa arimathaya kwenda kuuomba mwili wa kristo ili akauhifadhi. Na umezumgumzia juu ya maandalio ya siku ya sabato only that haijsema Sabato ni jmos au jpili. Nnachotaka mimi nipewe aya inayosema siku ya sabato ni juma flan. Pia unajua ni nan alizipa majina hizi siku tulizonazo? Ukitambua hilo bas jua siku ya sabato wanadam ndio tumejipangia iwe lini!! Na hakuna mwenye mamlaka ya kumkosoa mwingine kwa kuifanya sabato iwe cku flan.
 
Mnaabudu sanamu ya Maria na Yesu
Wakati Amri ya Kwanza imekataa hilo swala

Kama hamuoni yatosha mkaamua kuifuta hiyo amri
Amri yetu ya kwanza inasema msiabudu Miungu Mingine ....... if ya kwenu inasema msiabudu sanamu well msiabudu tuu hatuwaangilii
 
Na yeye atueleze why waliandamana hadi airpot kulazimisha waende ughaibuni kwa mserereko!
Kwa mujibu wa mafundisho ya Wasabato mwafrika mweusi haruhusiwi kwenda kuhubiri kwa wazungu ulaya ila wao wazungu ni ruksa kuja kuhubiri kwa waafrika😀😀😀ndiomana hao Wasabato wanaojiita Wasabato masalia walitaka kuipindisha hiyo sheria ndani ya Wasabato
 
Ukibishana na mjinga wenye busara watashindwa kupambanua mjinga ni yupi.Hapa mweledi ni Bora akawahubiria wafuasi wake badala ya kurusha madongo Kwa wahumini wasiokuwa wa dhehebu lake.
 
Soma biblia Luka 23:50 na kuendelea, soma Kwa makini. Biblia inasema yesu alifufuka cku ya kwanza ya juma.
Ambayo Kwa lunar calendar sio jumapili, fatilia PDF uone vizuri.
Wayahudi wa zamani hawakutumia Gregorian calendar walitumia lunar calendar,hakuna neno "Sunday" kwenye lunar calendar. Walitumia mwezi kama saa ya kujua siku, miezi na miaka
Imeandikwa
Zaburi 81:3
[3]Pigeni panda mwandamo wa mwezi,
Wakati wa mbalamwezi, sikukuu yetu.
Blow up the trumpet in the new moon, in the time appointed, on our solemn feast day.
 
Hii elimu aliwahi nipa mtu mmoja kwa urefu sana nikabisha next time kuna mtu akanipa humu humu nikafatilia nikaanza kuielewa hadi walivyokuwa wana hesabu nikagundua mengi sana.
Wengi hawafahamu na kudanganywa na Waadventista wasabato na wayahudi wa Sasa wa kule Middle East ambao asilimia kubwa walikuwa assimilated Jews.
Na inashangaza Wasabato kupingana na Wakatoliki na wanatumia kalenda ileile ya Papa Gregory kuthibitisha mambo Yao badala ya kwenda kwenye Lunar calendar, Kalenda ya Mungu wa kweli.
 
Katekism hajasema hivyo. Katekism inamuagiza kila mmoja akamtangaze Kristo.

 

Nakuelewa kwa kiasi fulani. Lkn lazima nichimbe kwa undani kama kosa la kutotii sabato pekee ndilo lililoleta kuvutana na wayahudi.
 

Pale mnapoenda kuziinamia na kuzibusu sanamu kwenye majengo yenu ya ibada, ndiyo shida inapoanzia.
 
Kwanza ungeuliza kwa nini kwenye mkutano au mahakama unaonyesha heshima kwa kuinama kama wakatoliki,
Pili jiulize kwa nini kila nembo ya hospitali ina sanamu ya nyokaView attachment 2582168

Lkn si unajua kwamba baada ya kuona wameanza kumuabudu akaambiwa amtoe. Lkn hata maiti yake Musa alipokufa, haikuzikwa kama kawaida. Kuzuia watu wasiabudu kaburi lake.
 
Shukrani sana kwa elimu mkuu
 
Chief, nakubaliana nawe. Ila Kuna mafundisho yao mengine wanaamini siku ya mwisho kanisa la roman catholic wataungana na USA kuwatesa wasabato kwa kuwalazimisha kusali jumapili. Msingi. Wa mafundisho yao nikulishambulia kanisa katoliki
Nimewahi kusikia hayo mafundisho, yao, halafu nashangaa na waumini wao wanaamini. Mara waseme namba 666 au 616 iliyokuwa ikimaanisha mfalme Kaisar Nero, kuwa eti ni papa.

Nadhani wanazidi kulichokonoa Kanisa Katoliki baada ya kuona huo unabii wao wa Kanisa Katoliki kuwalazimisha kusali Jumapili, hautimii.

Walisema mwisho wa Dunia utakuwa mwaka 1844, haikuwa.

Wamesema Kanisa Katoliki litawalazimisha wasabato kusali Jumapili, haijatokea na hata dalili tu hazipo.

Mungu atazidi kuwaumbua wenye mafundisho ya uwongo siku zote.
 
Niwaombe sana, wewe mleta mada na wachangiaji baadhi.... Muachane na hii mada chonganishi katika masuala ya dini ambayo ninyi wote mnaonekana kutoijua kwa undani wake. Waachieni Wanazuoni/ wasomi wa biblia (Maaskofu na Wachungaji) ambao wanafundisha waumini wao makanisani kwa upendo na upole. Zaidi sana someni biblia na muende kwenye Ibada mara kwa mara huko mtakutana na ROHO wa Mungu atakayewafundisha kuijua kweli nayo kweli itawaweka huru.
 
Nakuelewa kwa kiasi fulani. Lkn lazima nichimbe kwa undani kama kosa la kutotii sabato pekee ndilo lililoleta kuvutana na wayahudi.
Nakutakia shule njema. Kutotii sheria za siku ya Sabato ndiyo ulikuwa mwanzo wa Yesu kukataliwa na Mafarisayo, Wanasheria na Makuhani.

The growing rejection of the Pharisees, who earlier had been friendly to Jesus, becomes apparent in this chapter. First, there are three incidents relating to the Sabbath, in which Jesus is accused of breaking the Mosaic law (Mt 12:1-21); second, Jesus’ power is attributed to the devil (vv. 22-37); third, the Pharisees demand a sign other than miracles (vv. 38-50).

The opening incident tells how the disciples, walking through the green fields on the Sabbath, began to pluck ears of grain and eat them because they were hungry. Mark 2:23-28 and Luke 6:1-5 also record the story. The Pharisees, on the alert for any ground of accusation of Jesus and His disciples, immediately accused them of doing that which is not lawful to do on the Sabbath. As Morgan points out, the hostility of the Pharisees began when Christ forgave sin (Mt 9:1-8), was increased by Jesus’ associating with publicans and sinners (vv. 9-13), and now is inflamed by Christ’s ignoring their petty rules about the Sabbath.57
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…