Huu ni wakati wa sisi watu weusi (Africans) kufikiria mara mbili mbili jinsi ya kuenenda na dini tulizoletewa badala ya kupingana kwa ajili yake.Mimi ni mlutheran , lakini watu kupingana na taasisi ya ukatoliki yenye zaidi ya miaka 2000+ ni ujinga kwa haya madhehebu ambayo hayana hata 300 years.. ni sawasawa na kujilisha upepo halafu sijawahi bahatika kusikia kiongozi wa katolik anatoka hewani na kuanza kujibishana na Hawa wenye dini zao. Hata ibada za katolik ni nadra sana kukuta wanapondea dini za wengine.
Dini zote zilikuwa/zina na lengo moja dhidi wafuasi wake nalo ni kuwaondolea fikra za udadisi ili wafuate kama kondoo.