Ukweli kuhusu Wakatoliki kutokuabudu sanamu zilizopo makanisani

Huwezi kujibu hoja zote za wapotoshaji.
 
Kama unatumaini KRISTO hilo ndo neno kuuu shikilia hapo hapo usiache.
Ila nilichongamua Hadi Sasa hujajua siku ambayo huyo kristo alifufuka ikiijua basi hesabu zako zitakaa vizuri sana. Umebarikiwa na naomba ubarikiwe sana
Amina mkuu 🙏
 
Timiza kwanza mengine Hilo la jmosi sijui jpili achananalo.
 
Kanisa pa Mungu ,ni kanisa la SDA, kanisan pekee Ulimwengun linalofata maelekezo ya Mungu nasio wanadamu
Mtafuteni ile kweli ambayo ni kristo, hayupo kweny makanisa bali ijueni injil ya ufalme wa MUNGU na kumkiri Kristo ni mwana wa MUNGU nae alikufa cku ya tatu akafufuka!! Hata YESU aliwakataa mafarisayo na wakuu wa makuhani ambao ni washika sabato ya bwana na kuwaita ni wanafiki!!
 
Mbona ni kweli ninyi ni waabudu sanamu na watu wanajua,mnajibu nini.

Hivi unajua wakati wa Dhiki Kuu Nabii wa uongo ambaye atapewa mamlaka na Mnyama kutoka baharini(ambaye ni papal establisment), atachonga sanamu ili wasiomcha MUNGU waiabudu? So you people are idol worshipers,na uovu wenu huo mtauendeleza hata in the last days,during the Great Tribulation,so hatushangai.
 
Tumsifu Yesu Kristu.!
 
Biblia n Moja, hapana biblia ya mromani Wala msabato. Kutoka 20:01 linamuelekeza mwanadam kutokuabudu miungu, msalaba na Sanam ya bikra maria ni Moja wapo
Kanunue Biblia Ya bookshop za RC utagundua hakuna biblia Moja....... RC hatuabudu msalaba wala bikira maria Tunaheshimu tuu the same way Muslims wanamuheshimu mtume pamoja na nyota na mbalamwezi.....
 
Kanunue Biblia Ya bookshop za RC utagundua hakuna biblia Moja....... RC hatuabudu msalaba wala bikira maria Tunaheshimu tuu the same way Muslims wanamuheshimu mtume pamoja na nyota na mbalamwezi.....
Biblia hyohyo kafungue kitabu Cha Luca 24:01 kama Iko tofauti upge picha hapa tuone
 
Acha ubishi... Yesu mwenyewe anajiita Bwana wa Sabato.

Mungu mwenyewe ni msabato.


Yesu Maisha yake yoteee alitunza Sabato .


Wewe ni nani??.
 
Acha ubishi... Yesu mwenyewe anajiita Bwana wa Sabato.

Mungu mwenyewe ni msabato.


Yesu Maisha yake yoteee alitunza Sabato .


Wewe ni nani??.
Kheeee, hii kali!! Haya saw!! NB: ni heri yao waiishio amri ya bwana. But hakuna njia yoyote ya dini ya kuupata ufalme wa MUNGU zaid ya kristo. Pia Kristo alikuja dunian c kuleta dini bali waliopotea ili wafanye toba. So dini ni mpango wa mwanadam!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…