Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Kanisa pa Mungu ,ni kanisa la SDA, kanisan pekee Ulimwengun linalofata maelekezo ya Mungu nasio wanadamuUkijibizana na kichaa, na wewe utaonekana ni kichaa. Ajifunze kwa Kakobe ambaye alijitahidi kushindana na Kanisa la Mungu; akaishia tu kuangukia pua.
Huwezi kujibu hoja zote za wapotoshaji.Nimekuwa namsikiliza mhubiri mmoja nadhani ni msabato. Kila mara anarejea juu ya makanisa, anayosema ni waabudu Sanamu na wanaosali jumapili (akiita siku ya jua) badala ya sabato. Nadhani ni wakati muafaka wa kumjibu. Uongo ukirudiwa mara kwa mara wasikilizaji wanaweza kudhani ndiyo ukweli. Wajuzi wa mafundisho ya RC ni wakati sasa wa kujibu
Amina mkuu 🙏Kama unatumaini KRISTO hilo ndo neno kuuu shikilia hapo hapo usiache.
Ila nilichongamua Hadi Sasa hujajua siku ambayo huyo kristo alifufuka ikiijua basi hesabu zako zitakaa vizuri sana. Umebarikiwa na naomba ubarikiwe sana
Mtafuteni ile kweli ambayo ni kristo, hayupo kweny makanisa bali ijueni injil ya ufalme wa MUNGU na kumkiri Kristo ni mwana wa MUNGU nae alikufa cku ya tatu akafufuka!! Hata YESU aliwakataa mafarisayo na wakuu wa makuhani ambao ni washika sabato ya bwana na kuwaita ni wanafiki!!Kanisa pa Mungu ,ni kanisa la SDA, kanisan pekee Ulimwengun linalofata maelekezo ya Mungu nasio wanadamu
Unatambua yesu alifufuka siku ya ngap ya juma?Ijumaa, jmos, jpili j3
Mbona ni kweli ninyi ni waabudu sanamu na watu wanajua,mnajibu nini.Nimekuwa namsikiliza mhubiri mmoja nadhani ni msabato. Kila mara anarejea juu ya makanisa, anayosema ni waabudu Sanamu na wanaosali jumapili (akiita siku ya jua) badala ya sabato. Nadhani ni wakati muafaka wa kumjibu. Uongo ukirudiwa mara kwa mara wasikilizaji wanaweza kudhani ndiyo ukweli. Wajuzi wa mafundisho ya RC ni wakati sasa wa kujibu
Tumsifu Yesu Kristu.!Kuna wakati, nilipokuwa nimemaliza masomo yangu ya kidato cha 6, ikiwa ni pamoja na masomo ya biblia, nilialikwa kwenye mkutano wa wasabato. Nilienda huko nikiwa sijui kuwa ningepewa nafasi ya kuongea.
Cha ajabu, nikawekwa kama mtu wa kujibu maswali waliyokuwa wakiyaelekeza kwa Kanisa Katoliki. Nilijibu, kwa kadiri Roho alivyoniongoza.
Wote wakawa kimya kabisa. Nilishangaa mwishowe kufuatwa na viongozi wao kuwa eti wananiomba nijiunge nao na kisha niwe mchungaji wa Kanisa lao. Nilishangaa sana, nikawauliza kuwa tangu mwanzo wamelituhumu Kanisa Katoliki kuwa limepotoka, inakuwaje tena mimi Mkatoliki naweza kuwa kiongozi wao? Hawakuwa na jibu.
Nilivyomaliza masomo yangu ya shahada ya pili, nilipofika Dar, nikaalikwa na jamaa mmoja, aliwahi kuwa mtu mkubwa kwenye ngazi ya kitaifa kwenye Serikali. Yeye ni muislam. Nikaitikia mwaliko, nikaenda. Kufika huko nikashangaa walikuwa wamejaa wasomi wa dini ya Kiislam. Pekee yangu nilitengewe kiti, huku wao wote wakiwa wameketi kwenye majamvi. Nikaanza kuulizwa mambo ya Ukristo. Sikuwa nimejipanga kwa hilo. Lakini kwa utulivu niliwajibu kadiri nilivyoweza, hata wakaishiwa swali lolote.
Nilitafakari sana kwa nini niliitwa mimi, lakini baadaye nilikuja kutambua kuwa kuna ndugu zangu, nao walikuwa wasomi wazuri kwenye elimu ya Dunia, lakini hawakuwa vizuri sana kwenye mafundisho ya kiimani. Na kuna watu walitaka kuwabadilisha wale ndugu zangu kwenda uislam, na ikaelezwa kwamba kikwazo ilikuwa mimi. Hivyo wakinibadilisha mimi, basi wale wengine watanifuata.
Nashukuru mpaka leo wote tupo katika imani yetu.
Na neno la mwisho nililowaambia wale wasomi wa dini ya Kiislam ni kwamba sisi katika Ukristo tunaamini sana katika neema. Na neema hiyo inaweza kumwangukia yeyote, na ukashangaa aliyekuwa imamu au hata mpagani, siku nyingine anaweza kuja kuwa mkristo, tena kukuzidi hata wewe uliyedhania unaujua zaidi ukristo, akawa mwalimu wako.
Kwa hiyo usighadhabike Kanisa likinenewa vibaya. Kristo pamoja na ukuu wote, na mamlaka yote, alidhalilishwa, alitukanwa, alipigwa, alivuliwa nguo, alitemewa mate, hakuhangaika na waliomtendea hayo. Alipofufuka neno lake la kwanza lilikuwa Shalom, yaani muwe na amani, nimekamilisha, msiwe na mashaka. Mkristo unatakiwa kuyaiga maisha ya Kristo. Hatushindani katika kumjua au kumwabudu Mungu. Hata anayetusi, ujue Mungu ameruhusu, asipotaka, hawezi hata kuupanua mdomo wake.
Kanunue Biblia Ya bookshop za RC utagundua hakuna biblia Moja....... RC hatuabudu msalaba wala bikira maria Tunaheshimu tuu the same way Muslims wanamuheshimu mtume pamoja na nyota na mbalamwezi.....Biblia n Moja, hapana biblia ya mromani Wala msabato. Kutoka 20:01 linamuelekeza mwanadam kutokuabudu miungu, msalaba na Sanam ya bikra maria ni Moja wapo
Nakazia....Hana hadhi ya kujibiwa
Ya tatu!Unatambua yesu alifufuka siku ya ngap ya juma?
Hii chai umeweka chumvi badala ya sukari mkuuKuna wakati hata kumtaja Yesu walikuwa wanaona shida. Na huwa hawapendi kuitwa wakristo.
Happy Easter dearNakazia....
Biblia hyohyo kafungue kitabu Cha Luca 24:01 kama Iko tofauti upge picha hapa tuoneKanunue Biblia Ya bookshop za RC utagundua hakuna biblia Moja....... RC hatuabudu msalaba wala bikira maria Tunaheshimu tuu the same way Muslims wanamuheshimu mtume pamoja na nyota na mbalamwezi.....
Acha ubishi... Yesu mwenyewe anajiita Bwana wa Sabato.Mtafuteni ile kweli ambayo ni kristo, hayupo kweny makanisa bali ijueni injil ya ufalme wa MUNGU na kumkiri Kristo ni mwana wa MUNGU nae alikufa cku ya tatu akafufuka!! Hata YESU aliwakataa mafarisayo na wakuu wa makuhani ambao ni washika sabato ya bwana na kuwaita ni wanafiki!!
Hapana, soma hapaYa tatu!
Thank you dear, happy Easter to you too😘Happy Easter dear
Thank you dear 🥰Thank you dear, happy Easter to you too😘
Karibu mbege
Kheeee, hii kali!! Haya saw!! NB: ni heri yao waiishio amri ya bwana. But hakuna njia yoyote ya dini ya kuupata ufalme wa MUNGU zaid ya kristo. Pia Kristo alikuja dunian c kuleta dini bali waliopotea ili wafanye toba. So dini ni mpango wa mwanadam!Acha ubishi... Yesu mwenyewe anajiita Bwana wa Sabato.
Mungu mwenyewe ni msabato.
Yesu Maisha yake yoteee alitunza Sabato .
Wewe ni nani??.
Nimealikwa na wachaga hapa hapa mjini, tamu hiyoo😋Thank you dear 🥰
Mbege unainywea wapi leo au umeenda moshi?