Hapa duniani hakuna watu wnaatukana kuliko wana lumumba ukiwemo na wewe hapoH
Pia ujue huyo wa kijijini hajui maana ya uhuru wa kutukana, bali anajua watu lazima waheshimu viongozi,
Kwa hiyyo uhuru wenu wa kutukana haumsaidii, kwa sababu hajawahi kuzuiwa kufanya mambo yake huko kijijini,
bali alichoona ni kwamba kuna hospitali na maji umeme na elimu bure vimesogezwa kwake karibu.
Kwa hiyo atampigia mtu aliyemsogezea huduma.
Makundi yote yatampigia kura JPM. Vijana, Kinamama, Kinababa, Walemavu na Wazee. Hawa wote maisha yao yameguswa na JPM katika za sekta za Afya, Elimu, Uchumi n.k. kundi ambalo linaweza lisipige kura ni lile la vijana wavuta bangi wa ufipa.Mkuu hivi ni kundi lipi kwenye jamii linaweza mpigia kura jiwe?
Jiandaeni kurudi kwenu BurundiLisu hapati asilimia zaidi ya 20
Umeonaeeeeee? Na hao hao mataga walio kuwa wanamtukana matusi kibao lowasa leo hii ndiyo wanamramba miguuHiyo ya kwako, na magufuri aliaminisha lowasa fisadi mpaka akamtengenezea mahakama ya mafisadi lkn sasa hv karudi, kampokea na wanakunywa wote kahawa imekaaje hiyo?
Lissu ndiyo rais wako wa awamu ya 6 maana watanzania woote wamesha amua hivyo. Kama hutaki kuongozwa na mh Lissu rudi kwenu Burundi.Lissu akipata japo %5 ya kura zote basi ashukuru Mungu,hii nchi haiwezi ikakabidhiwa kwa watu wenye malengo binafsi,lissu huyu ni rais wa mitandaoni,na kama kura zungalipigwa mitandaoni jamaa angekuwa president lakini sasa uhalisia haiko hivyo,
Huku kijijini hakuna anayemjua lissu zaidi ni kuwa waanamini lissu ni ghaidi hivyo wananchi wanahofu kubwa huenda ughaidi ukatamalaki Tanzania sababu ya huyu lissu
Lissu hajawahi kuwa na hatouiwa mnafiki maana unafiki umejaa ccm.Magufu/ri ni mnafki, hence lisu nae alitufanyia unafki
Wananchi wa Tanzania hawaitaki ccm na wamesha amua hivyo.Wananchi wa Tz hiihii ama Kenya ?? Acha tujionee mambo kama ya siku ya Mange Kimambi day
Shida sio kuamua shida vitendo kuonyesha wameamua acha uchaguzi unakuja tuoneWananchi wa Tanzania hawaitaki ccm na wamesha amua hivyo.
Naomba baada ya matokeo ya uchaguzi uje na uzi mwingine tupate maoni yako.Amani iwe nanyi wadau na kwa wakazi wa Dar poleni na Tetemeko
Niende kwenye mada!
Ni ukweli ulio wazi kuwa John Pombe Magufuli hawezi shinda uchaguzi wa mwaka huu na hizi ndizo sababu
1. Kuna mgawanyiko mkubwa sana ndani ya CCM
Najua CCM sasaivi wanajaribu kuwaita makada wao nguli ambao waliumizwa na magufuli Kama Kinana, Nape na Makamba wakiamini hawa wanaweza kurudisha hali ya CCM kikampeni ila ukweli ni kuwa hapana it’s too late. Kwa CCM wengi wana amini kuwa mwenyekiti wao ni mtu wa visasi na kutumia tu watu kwa faida zake hivyo wengi wanaamini kuwa hata hawa wakirudi hawatarudi kwa moyo mweupe. CCM wengi wanevunjika moyo na hawana raha na Magufuli. Suala la Kikwete kuonekana hivi karibuni akitoa tathimini ambazo zinaonekana kabisa ni tofauti na nyimbo anazoimba magufuli limewafanya watu wengi waone dhahili kuwa CCM sio moja!
Kwenye hili maneno ya Mzee Butiku kwa vyombo vya dola kuhusu uchaguzi wa mwaka huu aliyoyatoa kwenye kikao cha NCCR yananifanya ku conclude kuwa hata class ya wazee nyeti wa nchi hii wamesha endorse mabadiliko yatakayofanyika nchini hapo October kupitia sanduku la kura.
2.Lissu kutokuwa na makandokando!
CCM wanapata shida sana kutafuta hoja ya kumpigia Lissu. Hayuko kwenye ufisadi, hayuko kwenye uzembe wala hayuko kwenye ujanja ujanja. Track record ya Lissu kuwahenyesha CCM kuanzia bungeni hadi nje ya bunge inambeba sana Lissu. Mbaya zaidi ni tukio la kujaribu kumuua. Watanzania wengi wanajua ni mwenyekiti wa CCM ndiye ambaye yuko behind jaribio la mauaji la Lissu
3. Wapiga kura wa Mwaka huu 2020!
Kiuhalisia wapiga kura wengi wa mwaka huu ni vijana wa miaka ya themanini nwishoni na tisini. Alafu kuna kundi la vijana wa 2000. Haya makundi ni makundi yenye kiu ya mabadiriko, ni makundi ya kizazi cha internet ambacho kinajua mengi na kuona mengi. Mizani hiki sio loyal kwa CCM tofauti na kizazi cha 60’s na 70’s.
4. Makosa ya wazi ya magufuli- Magufuli kafanya makosa mengi ya wazi, kubambikia watu wanaompinga kesi na kuwaonea Mf viongozi wa upinzani, msanii idris, mwandishi erick kabendera na vijana mdude nyangari na kina tito magoti.
Magufuli katoa matamko yaliyosababisha maisha ya watu kuathilika kiuchumi kama tamko la kuzuia uagizwaji wa sukari jambo lililopelekea bei ya sukari kupanda maradufu
Kwa wakulima Pia Kuna maamuzi ya serikali yaliyoharibu biashara za wakulima na kuwa let was shida Mf Korosho, mbaazi na hata mahindi bila kusahau mazao mengine ya biashara
Kwa wafanyakazi ndo usiseme. Hawa hawaongei ila wote moyoni wanasema wana jambo Lao nae na hiyo itakuwa ni October 2020
Kwa wafanyabiashara hawa ndo wengi wana amini kuwa magufuli amekuja kuwatesa. Wengi wanaona kama snawadhulumu hasa wakiona wanavyofirisiwa na kufungiwa biashara na TRA.
Mwisho kabisa ni kwa vijana graduate- hawa ni kundi kubwa lililoachwa bila ajira. Sekta binafsi iliwaajiri wengi sana kipindi cha awamu ya nne ila kwa mkwamo kwenye awamu hii ya tano wengi wamepoteza kazi na wengine ndo hawajapata kabisa kazi.
kuna mengine mengi kama mafao ya wastaafu ila itoshe tu kusema kuwa Kuna uwezekano wa asilimia 98 kuwa kuna historia itakayitikisha Ardhi ya Africa Mashariki inaenda kuandikwa October mwaka huu!!
Karibu Ikulu( Magogoni na Chamwino) Tundu Antipas Lissu!
Kitendo cha Lisu kumpigia kampeni fisadi Lowasa tunakiitaje ?Lissu hajawahi kuwa na hatouiwa mnafiki maana unafiki umejaa ccm.
Hata wakati watu wanahamasishana mtandaoni kumpokea Lissu mlisema hivohivo..lakini kilichotokea hamkuamini..Nguvu ya umma nyuma ya keyboard/keypad!
Kiukweli upinzani ukijipanga vizuri unatoboa. Kuna kundi la wafanyabiashara wanavyosumbuliwa na mfumo wa kodi , wafanyakazi wa serikali ambao kwa miaka mitano hawajui nyongeza ya mshahara au kupandishwa madaraja, kuna waliolizwa na korosho zao, wanafunzi wa vyuo mikopo haieleweki, kuna wastaafu hawajapewa pesa zao kwa miaka sasa, kuna kanda zimegabuguliwa kwa makusudi, CCM yenyewe ina mipasuko, ajira kwa vijana hakuna . Upinzani ukifanyia kazi hizi hoja, naamini zinawagusa watanzania wengi na hivyo kwenye uchaguzi kazi itakuwa ni pevu haswa. Shida ya upinzani ni kuwa hata watu wakisema wampe TL uraisi, mawaziri watakuwa ni wapi??Amani iwe nanyi wadau na kwa wakazi wa Dar poleni na Tetemeko
Niende kwenye mada!
Ni ukweli ulio wazi kuwa John Pombe Magufuli hawezi shinda uchaguzi wa mwaka huu na hizi ndizo sababu
1. Kuna mgawanyiko mkubwa sana ndani ya CCM
Najua CCM sasaivi wanajaribu kuwaita makada wao nguli ambao waliumizwa na magufuli Kama Kinana, Nape na Makamba wakiamini hawa wanaweza kurudisha hali ya CCM kikampeni ila ukweli ni kuwa hapana it’s too late. Kwa CCM wengi wana amini kuwa mwenyekiti wao ni mtu wa visasi na kutumia tu watu kwa faida zake hivyo wengi wanaamini kuwa hata hawa wakirudi hawatarudi kwa moyo mweupe. CCM wengi wanevunjika moyo na hawana raha na Magufuli. Suala la Kikwete kuonekana hivi karibuni akitoa tathimini ambazo zinaonekana kabisa ni tofauti na nyimbo anazoimba magufuli limewafanya watu wengi waone dhahili kuwa CCM sio moja!
Kwenye hili maneno ya Mzee Butiku kwa vyombo vya dola kuhusu uchaguzi wa mwaka huu aliyoyatoa kwenye kikao cha NCCR yananifanya ku conclude kuwa hata class ya wazee nyeti wa nchi hii wamesha endorse mabadiliko yatakayofanyika nchini hapo October kupitia sanduku la kura.
2.Lissu kutokuwa na makandokando!
CCM wanapata shida sana kutafuta hoja ya kumpigia Lissu. Hayuko kwenye ufisadi, hayuko kwenye uzembe wala hayuko kwenye ujanja ujanja. Track record ya Lissu kuwahenyesha CCM kuanzia bungeni hadi nje ya bunge inambeba sana Lissu. Mbaya zaidi ni tukio la kujaribu kumuua. Watanzania wengi wanajua ni mwenyekiti wa CCM ndiye ambaye yuko behind jaribio la mauaji la Lissu
3. Wapiga kura wa Mwaka huu 2020!
Kiuhalisia wapiga kura wengi wa mwaka huu ni vijana wa miaka ya themanini nwishoni na tisini. Alafu kuna kundi la vijana wa 2000. Haya makundi ni makundi yenye kiu ya mabadiriko, ni makundi ya kizazi cha internet ambacho kinajua mengi na kuona mengi. Mizani hiki sio loyal kwa CCM tofauti na kizazi cha 60’s na 70’s.
4. Makosa ya wazi ya magufuli- Magufuli kafanya makosa mengi ya wazi, kubambikia watu wanaompinga kesi na kuwaonea Mf viongozi wa upinzani, msanii idris, mwandishi erick kabendera na vijana mdude nyangari na kina tito magoti.
Magufuli katoa matamko yaliyosababisha maisha ya watu kuathilika kiuchumi kama tamko la kuzuia uagizwaji wa sukari jambo lililopelekea bei ya sukari kupanda maradufu
Kwa wakulima Pia Kuna maamuzi ya serikali yaliyoharibu biashara za wakulima na kuwa let was shida Mf Korosho, mbaazi na hata mahindi bila kusahau mazao mengine ya biashara
Kwa wafanyakazi ndo usiseme. Hawa hawaongei ila wote moyoni wanasema wana jambo Lao nae na hiyo itakuwa ni October 2020
Kwa wafanyabiashara hawa ndo wengi wana amini kuwa magufuli amekuja kuwatesa. Wengi wanaona kama snawadhulumu hasa wakiona wanavyofirisiwa na kufungiwa biashara na TRA.
Mwisho kabisa ni kwa vijana graduate- hawa ni kundi kubwa lililoachwa bila ajira. Sekta binafsi iliwaajiri wengi sana kipindi cha awamu ya nne ila kwa mkwamo kwenye awamu hii ya tano wengi wamepoteza kazi na wengine ndo hawajapata kabisa kazi.
kuna mengine mengi kama mafao ya wastaafu ila itoshe tu kusema kuwa Kuna uwezekano wa asilimia 98 kuwa kuna historia itakayitikisha Ardhi ya Africa Mashariki inaenda kuandikwa October mwaka huu!!
Karibu Ikulu( Magogoni na Chamwino) Tundu Antipas Lissu!
Ni kwamba system ya utawala ni corrupt, hata wewe ukiwapo humo na ukakubali basi lazima nawe uwe kama wao! Yaani kwa kutoka umepata "escape velocity" inayokuwezesha kuwa salama, ukiamua!!Mh Lisu aliwahi kutuaminisha Lowasa ni fisadi lakini 2015, akampigia kampeni lowasa, imekaaje hiyo ?
Sasa wewe endelea kuota!Jiandaeni kurudi kwenu Burundi
Propaganda.Ni kwamba system ya utawala ni corrupt, hata wewe ukiwapo humo na ukakubali basi lazima nawe uwe kama wao! Yaani kwa kutoka umepata "escape velocity" inayokuwezesha kuwa salama, ukiamua!!
Mh Lisu aliwahi kutuaminisha Lowasa ni fisadi lakini 2015, akampigia kampeni lowasa, imekaaje hiyo ?