Ukweli mchungu: Asilimia kubwa ya Wakristu na Waislamu duniani wanafanya ibada ya sanamu bila kujua kama wanafanya ibada ya sanamu

Basi alieandika Biblia ndio atakuwa mwehu kwa sababu kwenye Biblia ndo imeandikwa Mungu huwa hajibu maombi ya watu.
 
Mtoa hoja asikilizwe, kama unachoabudu hakina uwezo wa kukujibu/hakijibu maombi yako, kaa utafakari upya.

Sio wote hapa duniani wanaabudu MUNGU wa kweli pamoja na kwamba asilimia kubwa ya watu duniani wana dini zao wanazozifuata pamoja na MUNGU/mungu wao.

Kama unachoabudu na kuomba kila siku hakijibu maombi yako, moja kwa moja unaabudu sanamu, hivyo acha insanity

LIKUD
 
Aisome Accumen Mo
 
Reactions: K11
Ndugu muandishi nakuombea kizazi chako chote kiteketee na ukigededa uaizalishe ili usiendelee kuongeza vilaza kama Wewe humu duniani

Depal
 
Unataka uthibitisho wa kisicho kuwepo ilhali wewe huwezi kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu unayesema yupo.

Niki kwambia Mimi ni Mungu, Na
uni prove wrong kwamba mimi sio Mungu kwa kumleta huyo Mungu wako wa ukweli unaweza?
 
Mstari gani huo uweke

1. YOHANA 9:31 " Mungu hajibu sala za wenye dhambi"
+
2. WARUMI 3: 23 -26: " Watu wote wametenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu.


=


Mungu hajibu maombi ya mtu yoyote yule kwa sababu watu wote ni watenda dhambi na Mungu huwa hajibu maombi ya watenda dhambi..
 
Huwezi kufanya ibada ambayo haukuinuia na ikawa na matokeo tofauti.Hauwezi kumwambia mtu ameabudu sanamu wakati yeye hajui,hajaiweka akili na imani kwa sanamu.Hayo yatakuwa mawazo ya kulazimisha ya muangaliaji.
 
Hawa ni atheist wanalazimisha watu kufauta mawazo yao ,they are fully doubting themselves

Kiufupi hawajiamini kutwa kukandia dini ,kujiona bora ila wanaongoza kwa kujiua duniani 😅😅
Hujui hata maana ya Atheist.

Mleta mada si Atheist, ni mtu mwenye imani za jadi za kiafrika Uganga na ulozi.

Atheist hana imani wala dini yeyote ile.
 
Je ni mungu yupi wa kweli unaetaka afatwe na anaejibu maombi ya wanadamu. Guide me.
Mungu huyo amendikwa kwenye Biblia kwenye kitabu cha MHUBIRI 10:19.

Suleiman nabii na mtume wa Mungu alie jaaliwa hekima na Mwenyezi Mungu kuliko watu wote duniani ( kwa mujibu wa Biblia ) anasema " PESA HULETA MAJAWABU YA MAMBO YOTE" Elewa neno " MAJAWABU"

Mfalme Suleiman hasemi " Mungu huleta majawabu ya mambo yote ila amesema Pesa ndio huleta majawabu ya mambo yote" .

So kwa mujibu wa mfalme Suleiman pesa ndio Mungu kwa sababu pesa ndio huleta majawabu ya mambo yote..

Bwana Mtumishi, Je Mfalme Suleiman alikosea au yupo sahihi?
 
Insanity ni kile unacho kifanya wewe mkuu. Unamuomba Mungu toka mwaka 94 hupati majibu lakini bado una muomba tu tena kwa njia ile ile huku ukitarajia kupata majibu tofauti.
Neno insanity unajua maana yake ? Umeandika hapo au kingereza kilikuja kwa meli
 
Unathibitisha vipi Mungu wako unaye muabudu wewe ni wa kweli?

Na Mungu anaye abudiwa na watu wengine si Mungu wa kweli?

Unathibitisha vipi Mungu anajibu maombi?

Na unathibitisha vipi Mungu huyo asiye wa kweli hajibu maombi ya hao wanao mwabudu?
Kama unachoabudu na kuomba kila siku hakijibu maombi yako, moja kwa moja unaabudu sanamu, hivyo acha insanity

LIKUD
 
Unathibitisha vipi Mungu wako unaye muabudu wewe ni wa kweli?

Na Mungu anaye abudiwa na watu wengine si Mungu wa kweli?

Unathibitisha vipi Mungu anajibu maombi?

Na unathibitisha vipi Mungu huyo asiye wa kweli hajibu maombi ya hao wanao mwabudu?
Ili kujua kama unachoomba/kuabudu sio sanamu, lazima upate majibu/matokeo ya kile uombacho.

Endapo haupati majibu ila kila siku miaka inaenda unaomba/kuabudu, hapo unaabudu sanamu.

Ili uweze kutambua kama Mungu wako ni sahihi, lazima ajibu maombi na yule asiyejibu maombi jua huyo ni sanamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…