Ukweli mchungu: Asilimia kubwa ya Wakristu na Waislamu duniani wanafanya ibada ya sanamu bila kujua kama wanafanya ibada ya sanamu

Ukweli mchungu: Asilimia kubwa ya Wakristu na Waislamu duniani wanafanya ibada ya sanamu bila kujua kama wanafanya ibada ya sanamu

Basi alieandika Biblia ndio atakuwa mwehu kwa sababu kwenye Biblia ndo imeandikwa Mungu huwa hajibu maombi ya watu.
We mwehu sema baadhi sio wote ulihoji watu wote wa dini dunia nzima kufikia hiyo conclusion kuwa watu wote wa dini wanaomba Mungu miaka yote na hawapati majibu mwehu wewe

Wahi hospitali ya vichaa mirembe update tiba mapema muda si mrefu utatupa nguo na kutembea uchi barabarani ,kichaa kinakunyemelea
 
Mtoa hoja asikilizwe, kama unachoabudu hakina uwezo wa kukujibu/hakijibu maombi yako, kaa utafakari upya.

Sio wote hapa duniani wanaabudu MUNGU wa kweli pamoja na kwamba asilimia kubwa ya watu duniani wana dini zao wanazozifuata pamoja na MUNGU/mungu wao.

Kama unachoabudu na kuomba kila siku hakijibu maombi yako, moja kwa moja unaabudu sanamu, hivyo acha insanity

LIKUD
 
Mtoa hoja asikilizwe, kama unachoabudu hakina uwezo wa kukujibu/hakijibu maombi yako, kaa utafakari upya.

Sio wote hapa duniani wanaabudu MUNGU wa kweli pamoja na kwamba asilimia kubwa ya watu duniani wana dini zao wanazozifuata pamoja na MUNGU/mungu wao.

Kama unachoabudu na kuomba kila siku hakijibu maombi yako, moja kwa moja unaabudu sanamu, hivyo acha insanity

LIKUD
Aisome Accumen Mo
 
  • Thanks
Reactions: K11
Hata wewe msabato unae waponda wakatoliki, kwa mantiki ya uzi huu, wewe pia unafanya ibada ya sanamu.


Kwani ibada ya sanamu nini?

Umewahi kusikia mashabiki wa mpira wanasema " kwenye timu hii golini kuna sanamu?" Je unadhani maana yake huwaga ni nini ?

Maana yake ni kwamba kwenye timu hiyo golini kuna kipa ambae hatimizi majukumu yake kama kipa. Kipa kazi yake ni kuokoa mipira yote inayo elekezwa golini kwake. Ila kama kipa huyu hadaki magoli yanafungwa tu haokoi wala nini basi watu watasema golini kuna sanamu.

Ni sawa na wanapo sema " Huyu jamaa ni baba au sanamu la baba?" Wana maanisha ni baba ambae hatimizi majukumu yake.


Vivyo hivyo kwa habari ya ibada ya sanamu.

Ibada ya sanamu ni nini sasa?

Ibada ya sanamu ni ibada yoyote ile ambayo Mungu/muungu anae ombwa hatoi majibu.

Ibrahimu alivyo yaharibu masanamu ya mababu zake alifanya hivyo sio kwa sababu yale walikuwa ni masanamu la hasha ila alifanya hivyo kwa sababu masanamu yale yalikuwa hayatoi majibu ya maombi ndio maana akaenda kuyacharaza mapanga kwa Hasira.


Kama masanamu yale ya
miungu ya mababu zake yangekuwa yanatoa majibu basi Ibrahim asinge thubutu hata kunyoosha mkono wake kuyakata. Yani asinge thubutu hata kujifanya kama anajikuna..


Wakristu na waislamu na ibada ya sanamu.

Ukweli ni kwamba Asilimia kubwa ya wakristu na waislamu wengi duniani hufanya ibada za sanamu. Kwa sababu hufanya ibada zisizo na majibu. Sanamu lina masikio lakini halijibu na lina macho lakini halioni. Vivyo hivyo Mungu ( wa wakristu na waislamu) anasikia maombi yote wanayo muomba watu wake lakini huwaga hajibu na ana ona mambo yote mabaya wanayo tendewa watu wake lakini haintervene. Anayaacha yaendelee kutokea hivyo hivyo licha ya yeye kuwa na uwezo wa kuyazuia yasitokee.

Ndio maana kwa wakristu na waislamu mtu akifanya maombi halafu yakajibiwa majibu hayo huitwa muujiza. Muujiza ni jambo ambalo sio la kawaida. Yesu alipo tembea juu ya maji uliitwa muujiza kwa sababu sio kawaida kwa mtu kutembea juu ya maji.

So maombi yanayo jibiwa na Mungu wa wakristu na waislamu huwaga yanaitwa muujiza kwa sababu sio kawaida Mungu kujibu maombi..

Hata wakristu na waislamu ndani ya nafsi zao huwaga wanajua kabisa kwamba Mungu huwaga hajibu maombi yao. Ndio maana wengi wao huenda kwa waganga kutafuta majibu ya maombi yao.

Wakristu na waislamu wana amini Mungu anayaona zaidi madhambi yao kuliko maombi yao. Ndio maana mkristu au muislamu akitenda dhambi anakuwa na uhakika kabisa Mungu kamuona na anakuwa na ile kitu inaitwa Guilty conscious kwa sababu anajua Mungu kamuona . Lakini akifanya maombi yake anakuwa hana imani kama Mungu kayasikia na kwamba atamjibu.

Ndio maana hata kwenye Uzi wangu huu wakristu na waislamu watakuja ku comment hapa kwamba Mungu ataniadhibu kwa kuwa ninakufuru ila ningeandika Uzi nikisema nataka nifunge nimuombe Mungu awafanye watu wote duniani waache dhambi basi wakristu na waislamu hao watakuja kunidhihaki hapa kwa sababu wanajua Mungu hatonijibu kwa maana wanajua Mungu huwa hajibu maombi ya watu...

Bahati nzuri vitabu vya dini zote mbili vimeshaweka wazi kabisa kwamba Mungu huwa hajibu maombi ya watu..


Tufanye nini sasa ee rabbi? Vunja masanamu( Vunja connection na Mungu asie jibu maombi yako na anza sasa kumtafuta Mungu mwenye kujibu maombi yako. Acha ibada ya sanamu sasa)
Ndugu muandishi nakuombea kizazi chako chote kiteketee na ukigededa uaizalishe ili usiendelee kuongeza vilaza kama Wewe humu duniani

Depal
 
Ungeishia kwenye maelezo yako ya mwanzo ningekujibu hoja with vividly. Ila kwa hichi ulichoandika hapa inaonyesha hunanuwezo wa kuhimili majibu yangu.

Wewe ndie umetoa mawazo ya kufikirika kama abunuwasi, mimi bado sijasema chochote zaidi ya kukutaka uthibitishe kauli yako, umeshaji defend kwa kuwa huna hoja.
Unataka uthibitisho wa kisicho kuwepo ilhali wewe huwezi kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu unayesema yupo.

Niki kwambia Mimi ni Mungu, Na
uni prove wrong kwamba mimi sio Mungu kwa kumleta huyo Mungu wako wa ukweli unaweza?
 
Mstari gani huo uweke

1. YOHANA 9:31 " Mungu hajibu sala za wenye dhambi"
+
2. WARUMI 3: 23 -26: " Watu wote wametenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu.


=


Mungu hajibu maombi ya mtu yoyote yule kwa sababu watu wote ni watenda dhambi na Mungu huwa hajibu maombi ya watenda dhambi..
 
Huwezi kufanya ibada ambayo haukuinuia na ikawa na matokeo tofauti.Hauwezi kumwambia mtu ameabudu sanamu wakati yeye hajui,hajaiweka akili na imani kwa sanamu.Hayo yatakuwa mawazo ya kulazimisha ya muangaliaji.
 
Hawa ni atheist wanalazimisha watu kufauta mawazo yao ,they are fully doubting themselves

Kiufupi hawajiamini kutwa kukandia dini ,kujiona bora ila wanaongoza kwa kujiua duniani 😅😅
Hujui hata maana ya Atheist.

Mleta mada si Atheist, ni mtu mwenye imani za jadi za kiafrika Uganga na ulozi.

Atheist hana imani wala dini yeyote ile.
 
Je ni mungu yupi wa kweli unaetaka afatwe na anaejibu maombi ya wanadamu. Guide me.
Mungu huyo amendikwa kwenye Biblia kwenye kitabu cha MHUBIRI 10:19.

Suleiman nabii na mtume wa Mungu alie jaaliwa hekima na Mwenyezi Mungu kuliko watu wote duniani ( kwa mujibu wa Biblia ) anasema " PESA HULETA MAJAWABU YA MAMBO YOTE" Elewa neno " MAJAWABU"

Mfalme Suleiman hasemi " Mungu huleta majawabu ya mambo yote ila amesema Pesa ndio huleta majawabu ya mambo yote" .

So kwa mujibu wa mfalme Suleiman pesa ndio Mungu kwa sababu pesa ndio huleta majawabu ya mambo yote..

Bwana Mtumishi, Je Mfalme Suleiman alikosea au yupo sahihi?
 
Insanity ni kile unacho kifanya wewe mkuu. Unamuomba Mungu toka mwaka 94 hupati majibu lakini bado una muomba tu tena kwa njia ile ile huku ukitarajia kupata majibu tofauti.
Neno insanity unajua maana yake ? Umeandika hapo au kingereza kilikuja kwa meli
 
Mtoa hoja asikilizwe, kama unachoabudu hakina uwezo wa kukujibu/hakijibu maombi yako, kaa utafakari upya.

Sio wote hapa duniani wanaabudu MUNGU wa kweli pamoja na kwamba asilimia kubwa ya watu duniani wana dini zao wanazozifuata pamoja na MUNGU/mungu wao.
Unathibitisha vipi Mungu wako unaye muabudu wewe ni wa kweli?

Na Mungu anaye abudiwa na watu wengine si Mungu wa kweli?

Unathibitisha vipi Mungu anajibu maombi?

Na unathibitisha vipi Mungu huyo asiye wa kweli hajibu maombi ya hao wanao mwabudu?
Kama unachoabudu na kuomba kila siku hakijibu maombi yako, moja kwa moja unaabudu sanamu, hivyo acha insanity

LIKUD
 
Unathibitisha vipi Mungu wako unaye muabudu wewe ni wa kweli?

Na Mungu anaye abudiwa na watu wengine si Mungu wa kweli?

Unathibitisha vipi Mungu anajibu maombi?

Na unathibitisha vipi Mungu huyo asiye wa kweli hajibu maombi ya hao wanao mwabudu?
Ili kujua kama unachoomba/kuabudu sio sanamu, lazima upate majibu/matokeo ya kile uombacho.

Endapo haupati majibu ila kila siku miaka inaenda unaomba/kuabudu, hapo unaabudu sanamu.

Ili uweze kutambua kama Mungu wako ni sahihi, lazima ajibu maombi na yule asiyejibu maombi jua huyo ni sanamu.
 
Back
Top Bottom