Ukweli mchungu: " Dunia ya sasa haimpendi baba bora/mume bora. Hizi ndio adhabu ambazo dunia itakupa kwa " kosa" la kuwa baba/ mume bora

Ukweli mchungu: " Dunia ya sasa haimpendi baba bora/mume bora. Hizi ndio adhabu ambazo dunia itakupa kwa " kosa" la kuwa baba/ mume bora

Kataa ndoa vs kubali ndoa
4-2
Livescore
Hapana Ni
4 - 3
Nakwambia hivi, Kataa ndoa karibu tunatwaa ubingwa humu jukwaani.

JF Champions League🏆

Kataa ndoa: 4 Vs Kubali ndoa: 0
Nawahurumia Sana vijana wadogo mnaochotwa na mkumbo wa kataa ndoa. Kwa kua mmekubali kua "Sehem ya mwanzo ya mabadiriko" basi hamna budi kuumia Sana.
 
Baba bora ni nani? Baba bora ni yule anae wapenda, watunza na kuwajali watoto wake.

Mume bora ni nani? Mume bora ni yule anae mpenda na kumjali mke wake na familia yake kwa ujumla.

Je dunia inampenda baba bora/mume bora?

The evidence says NO.

Experience inaonyesha kwamba mwanaume ukijaribu kuwa mume bora au baba bora basi dunia itampa adhabu kwa " kosa" la kuwa mume /baba bora.

Zifuatazo ni baadhi ya adhabu ambazo dunia humpa baba/mume bora.

1. Kudhauriwa na mtu ambae ana stahili kukuheshimu/ kudharauliwa sehemu ambayo una stahili kuheshimiwa

Mtu wa kwanza atakae kudhaurau ni mwanamke ambae uta propose kumuoa. The moment umeanza kusuggest wazo la kumuoa ndio the moment atalapo anza kukudharau na siku mtakayo funga ndoa ndio siku atakayo kudharau zaidi . Kwenye ndoa ndio dharau zitakuwa pro max( hii mnaita mwanamke kutoa makucha yake baada ya kuingia kwenye ndoa)

Kwanini anakudharau;

1. Anakudharau kwa sababu she think you are a nice guy. Women don't like nice guys. Women don't respect nice guys. Because to them a nice guy means a foolish guy. Asking for her hand in marriage is you playing a nice guy card . And you being nice to her is the same as you being a foolish guy. Wanawake wanajuaga mwanaume wa ukweli hawezi kutaka kuoa mwanamke. Wazo la kutaka kuoa mwanamke haliwezi kukaa kwa mwanaume halisi. For a real man the idea of wanting to get married is a crazy idea.

Kwa wanawake walio wengi, mwanaume wa ukweli ni yule anae jua kila kitu kuhusu wanawake . Na mwanaume anae jua kila kitu kuhusu wanawake ni yule anae jua kwamba hajui chochote kuhusu wanawake. KWA sababu hii basi mwanaume huyu wa ukweli hawezi kutaka kuoa mwanamke kwa sababu hawezi kuoa kitu ambacho hakijui vizuri. Misahafu inajua vizuri kuhusu ukweli huu ndio maana imeshauriwa kwamba mwanaume akipandwa na " kichaa" cha kutaka kuoa basi aozeshwe mke mara moja kabla " kichaa" hakijashuka akaghairi.

So mwanaume unapo mwambia mwanamke unataka kumuoa anakudharau sana kwa sababu anakuona wewe ni mwanaume ambae hawajui wanawake vizuri na hujui unacho kifanya. Atakuwa na wewe kwa sababu maisha yake yanakuhitaji wewe kwa wakati huo lakini hawezi kukuheshimu. Mbaya zaidi iwe wewe mwenyewe ndio uwe umeleta wazo la ndoa na sio yeye tena kwa kukuroga na kukusumbua kwa muda mrefu .

Anakudharau kwa sababu hujamkuta akiwa bikira. Anakushangaa wewe ni mjinga kiasi gani hata uende kumuoa yeye ilihali umemkuta tayari ameshatumika. Mwanamke huyu atawaheshimu zaidi wale walio pita nae na kutembea nae kuliko wewe ambae umemuoa kabisa. Tena kama ulimkuta ana mtoto ( single mother) then ukamuoa basi ndio atakudharau mara kumi zaidi kwamba u mjinga wa wapi wewe unaenda kuoa mwanamke aliezalishwa na mwanaume mwingine na.kumuacha ila wewe ndio umemuona mke huyo.Ndio maana wanaume wengi wanao toka na single mothers wakiamini single mothers watawaheshimu huwa wanaishia kuwa disappointed na kuanza kuwaponda single mothers. Hii ni kwa sababu single mothers sio wajinga . Hata wao wanajua mwanaume wa ukweli hawezi kudili na single mothers wakati vigoli wamejaa tele. Wanajua something is missing in you ndio maana umeangukia kwao.

Anakudharau kwa kuwa ana mwanaume zaidi ya mmoja ila katika wote wewe ndio umekuwa foolish enough kufunga nae ndoa.

Umeshawahi kuambiwa na mwanamke ambae umeingia nae kwenye mahusiano " umebadilika kwa kuwa umesha kipata unacho kitaka?" Kama bado hujawahi basi tambua kwamba something is missing in you. Kama mwanamke hajaona kitu hiki kwako basi wewe una mapungufu katika uanaume wako kwa sababu ukiwa mwanaume ulie kamilika lazima uta onyesha hali ya kumkinai mwanamke ambae umesha sex nae hata awe mzuri namna gani. Wanawake wanajua vizuri kuhusu ukweli huu ndio maana ukienda kununua mwanamke wale wanao jiuza anataka umpe hela yake kwanza ndo atoe utelezi kwa sababu anajua ukisha kojoa tu thamani yake kwako itashuka na utakuwa mgumu kutoa hela.

Vivyo hivyo ndivyo wanawake wanavyo tuchukulia kwenye mahusiano. Wanajua sisi huwa tunawashusha thamani tukishawavua Chupi. Wewe unae muongezea thamani baada ya kumvua Chupi " kwa kumuoa kabisa " lazima akudharau sana kwa sababu anakuona sio mwanaume ulie kamilika.

Umeshawahi jiuliza kwanini wanawake walio olewa wanawapenda wanaume wanao tembea na wake za watu? KWA sababu wana amini wanaume wa ukweli ni waharibifu by nature, wanawachukulia wanawake kama chombo cha starehe na hawa amini katika ndoa. Wao wenyewe hawawezi kuoa wala hawaiheshimu ndoa ndio maana wanaona poa kutembea na wake za watu kwa sababu to them ndoa ni upuuzi fulani hivi... wanawake wanataka KUKUTANA na mwanaume mwenye mindset kama hii kwa sababu wana amini huyo ndio mwanaume halisi.

All women love bad guys hata wamama huwapenda zaidi watoto wao wa kiume watukutu kuliko wale ambao sio watukutu.

A woman will only stay loyal in a relationship where:

1. She knows that she can be easily replaced by another woman who is more beautiful than her.

2. Her man can break up with her at any time if she dare messing up with him.

Hivi vitu havipatikani mwenye ndoa hasa hasa ndoa ya kizungu. Ndoa ya kizungu inampa mwanamke guarangww na " guarantee " kwa mwanamke kwenye mahusiano ni adui wa uhusiano huo. Kwenye mahusiano mwanamke anatakiwa kuwa na wasiwasi muda wote. Wasiwasi wa kuachwa. Wasiwasi wa kuibiwa mume etc. Akivikosa hivi vitu kwako ataenda kuvitafuta kwa mwanaume mwingine kwa sababu asipo vipata atajiona kama vile hayupo na mwanaume.

Adhabu ya pili itakuja hivi punde
Mkuu, umeongea kila kitu kuhusu wanawake..Wakipendwa hawapendeki[emoji23], usipowapenda wanapenda[emoji23]...Sema ndo ile ulichonacho unakiona cha nini! Ambacho hauna unakitamani(ukikipata unakiona tena cha nini!)[emoji23]
 
mkuu umeandika nondo tupu hakika olmost 92% ni hali iliyopo na tunaexpirience sana katika maisha yetu ya kila siku kwenye hii safari ya mahusano.
binafsi nishapitia mahusiano kibao sana hapa katikati baada ya kuachana na mke wangu nilie dumu nae kwa muda wa miaka 5(no marriage).amepata ndoa tangu mwaka jana na anaishi na mume wake,lakini nikimuhitaji nampata namtumia vilivyo anarudi kwake.mume wake yuko mkoani huko ni soldier.

nasupport hoja mkuu never trust a woman never never,never got marriage coz ni mtego huo na kifungo kwetu sisi wanaume.
Mkuu angalia usije potezwa marinda.

Una furahi kula ex wako, mke wa mjeda?

Siku uki shikwa huyo ex wako atakuruka futi mia mbili...

Atadai hakujui kabisa kwamba ulimfosi na ukambaka, wakati alikupa mwenyewe.
 
Daah, my thoughts exactly !! [emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji28]

Nina mke huu mwaka wa 7, na watoto watatu juu, ila i will never give her a guarantee ya ndoa kanisani, never, i always keep her on edge, kwamba akizingua anakwenda na maji...
Hahhahaahha...usimfanyie hivyo mtoto wa watu mkuu, wengine wastaarabu.
 
Mwisho wa siku haya yanabaki kuwa maoni yako kwasababu binadamu hatufanani,wengine tulijaribu kuwa bad boys tulijikuta tunaharibu na kufanya nyumba chungu,tatizo lenu mnataka kuendekeza mfumo dume kitu ambacho mnasahau ni kuwa mambo yamebadirika mfumo huo haufanyi kazi ipasavyo miaka hii,wanaume wenzangu tukumbuke wanawake nao ni binadamu kasoro tu hapo kati kuna maumbile mawili tofauti, sasa wewe jifanye una mtreat kama mnyama utegemee akutendee unayotaka,mtaishia kusema kataa ndoa.
Hujawahi ishi nchi za ulaya ambazo mwanamke amepewa full mandate na sheria ina mlinda hata kwenye makosa.

Nakwambia hivi ni hatari sana.

Nchi kama Ujerumani na USA ukimpiga mwanamke hata kofi akaita polisi umekwisha...

Mwanamke akipewa uhuru hamna rangi utaacha kuona.
 
Dah!...unatutisha kiongozi

Hutishwi!! Mwanamke kabla hajaingia kwenye mahusiano atakuambia anahitaji gentleman (love and care)! Believe me ukiishi kwa kumpa mwanamke love and care wewe ndiyo utakuwa unalia daily!!

Mwanamke anahitaji kashkash, mikwara kidogo, sauti nzito kidogo, matukio kidogo japo asipate ushahidi wa 100% ila awe na uhakika nikizingua nasepa!!

Itaishi kwa raha na heshima siku zote!! Kukuthibitishia hili angalia ndoa zenye makashkash huwa zinadumu sana, halafu zile ndoa za kufunguliana milango ya magari na kupeana mabusu hadharani huwa!! Zinapotelea kusiko eleweka!!
 
Hii nadhani ni true. Mimi pia nimeiangalia kwa angle nyingine. It is either wachangiaji wengi humu bado ni "wavulana" wengi hawana ndoa; au ni wanaume ambao waliwahi kupata masahibu katika mahusiano; au wanafuata tu mkumbo ili naye aonekane amechangia kuponda wanawake. Last but not least, hizi nyuzi za kuponda wanawake zimekuwa nyingi sana huku JF, je, ni kampeni kuwa wanawake HAWAHITAJIKI TENA hapa duniani? Je, ni mkakati wa kueneza mahusiano kati ya wanaume kwa wanaume? Msinipige mawe tu jamani sina nia mbaya!🏃🏃🏃🏃🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️.

Mmezidi mno mpaka inaonekana mnamkosoa Mungu kuumba hiki kiumbe kinaitwa mwanamke na kukileta hapa duniani.
Mkuu MUNGU hakosolewi!!
Tena hata usimuingize hapa

Feminist-super woman
Na tule tuvikundi twao ndio shida ilipo
Wale wamefanya mwanamke asahau wajibu wake na sio mungu

Zamani ndoa zilidumu sana
Mambo haya hayakuepo
Je wale wa zamani waliumbwa na naniu
Ila kuna videmu vingine vikijua kua wwe hutowi pesa yako hadi ugonge,lazima kalazimishe kukuletea mbunye ugonge alafu ukatowe na mshiko,wanawake wanauza k kwa style nyingi sana! Mwanamke ndiyo Msanii no moja kwenye Mapenzi!!
umemaliza mkuu
 
Hapana Ni
4 - 3

Nawahurumia Sana vijana wadogo mnaochotwa na mkumbo wa kataa ndoa. Kwa kua mmekubali kua "Sehem ya mwanzo ya mabadiriko" basi hamna budi kuumia Sana.
Una elewa maana ya ndoa?

Kuishi na mwanamke si lazima ufunge naye ndoa.

Kataa ndoa si kukataa wanawake, Ni kukataa kufunga ndoa na mwanamke.

Watu wameishi, wanaishi na wake bila ndoa vizuri tu.

Ukisha funga ndoa unapoteza mamlaka yako kama mwanaume maana sheria ina mlinda mwanamke kwa lolote.
 
Baba bora ni nani? Baba bora ni yule anae wapenda, watunza na kuwajali watoto wake.

Mume bora ni nani? Mume bora ni yule anae mpenda na kumjali mke wake na familia yake kwa ujumla.

Je dunia inampenda baba bora/mume bora?

The evidence says NO.

Experience inaonyesha kwamba mwanaume ukijaribu kuwa mume bora au baba bora basi dunia itampa adhabu kwa " kosa" la kuwa mume /baba bora.

Zifuatazo ni baadhi ya adhabu ambazo dunia humpa baba/mume bora.

1. Kudhauriwa na mtu ambae ana stahili kukuheshimu/ kudharauliwa sehemu ambayo una stahili kuheshimiwa

Mtu wa kwanza atakae kudhaurau ni mwanamke ambae uta propose kumuoa. The moment umeanza kusuggest wazo la kumuoa ndio the moment atalapo anza kukudharau na siku mtakayo funga ndoa ndio siku atakayo kudharau zaidi . Kwenye ndoa ndio dharau zitakuwa pro max( hii mnaita mwanamke kutoa makucha yake baada ya kuingia kwenye ndoa)

Kwanini anakudharau;

1. Anakudharau kwa sababu she think you are a nice guy. Women don't like nice guys. Women don't respect nice guys. Because to them a nice guy means a foolish guy. Asking for her hand in marriage is you playing a nice guy card . And you being nice to her is the same as you being a foolish guy. Wanawake wanajuaga mwanaume wa ukweli hawezi kutaka kuoa mwanamke. Wazo la kutaka kuoa mwanamke haliwezi kukaa kwa mwanaume halisi. For a real man the idea of wanting to get married is a crazy idea.

Kwa wanawake walio wengi, mwanaume wa ukweli ni yule anae jua kila kitu kuhusu wanawake . Na mwanaume anae jua kila kitu kuhusu wanawake ni yule anae jua kwamba hajui chochote kuhusu wanawake. KWA sababu hii basi mwanaume huyu wa ukweli hawezi kutaka kuoa mwanamke kwa sababu hawezi kuoa kitu ambacho hakijui vizuri. Misahafu inajua vizuri kuhusu ukweli huu ndio maana imeshauriwa kwamba mwanaume akipandwa na " kichaa" cha kutaka kuoa basi aozeshwe mke mara moja kabla " kichaa" hakijashuka akaghairi.

So mwanaume unapo mwambia mwanamke unataka kumuoa anakudharau sana kwa sababu anakuona wewe ni mwanaume ambae hawajui wanawake vizuri na hujui unacho kifanya. Atakuwa na wewe kwa sababu maisha yake yanakuhitaji wewe kwa wakati huo lakini hawezi kukuheshimu. Mbaya zaidi iwe wewe mwenyewe ndio uwe umeleta wazo la ndoa na sio yeye tena kwa kukuroga na kukusumbua kwa muda mrefu .

Anakudharau kwa sababu hujamkuta akiwa bikira. Anakushangaa wewe ni mjinga kiasi gani hata uende kumuoa yeye ilihali umemkuta tayari ameshatumika. Mwanamke huyu atawaheshimu zaidi wale walio pita nae na kutembea nae kuliko wewe ambae umemuoa kabisa. Tena kama ulimkuta ana mtoto ( single mother) then ukamuoa basi ndio atakudharau mara kumi zaidi kwamba u mjinga wa wapi wewe unaenda kuoa mwanamke aliezalishwa na mwanaume mwingine na.kumuacha ila wewe ndio umemuona mke huyo.Ndio maana wanaume wengi wanao toka na single mothers wakiamini single mothers watawaheshimu huwa wanaishia kuwa disappointed na kuanza kuwaponda single mothers. Hii ni kwa sababu single mothers sio wajinga . Hata wao wanajua mwanaume wa ukweli hawezi kudili na single mothers wakati vigoli wamejaa tele. Wanajua something is missing in you ndio maana umeangukia kwao.

Anakudharau kwa kuwa ana mwanaume zaidi ya mmoja ila katika wote wewe ndio umekuwa foolish enough kufunga nae ndoa.

Umeshawahi kuambiwa na mwanamke ambae umeingia nae kwenye mahusiano " umebadilika kwa kuwa umesha kipata unacho kitaka?" Kama bado hujawahi basi tambua kwamba something is missing in you. Kama mwanamke hajaona kitu hiki kwako basi wewe una mapungufu katika uanaume wako kwa sababu ukiwa mwanaume ulie kamilika lazima uta onyesha hali ya kumkinai mwanamke ambae umesha sex nae hata awe mzuri namna gani. Wanawake wanajua vizuri kuhusu ukweli huu ndio maana ukienda kununua mwanamke wale wanao jiuza anataka umpe hela yake kwanza ndo atoe utelezi kwa sababu anajua ukisha kojoa tu thamani yake kwako itashuka na utakuwa mgumu kutoa hela.

Vivyo hivyo ndivyo wanawake wanavyo tuchukulia kwenye mahusiano. Wanajua sisi huwa tunawashusha thamani tukishawavua Chupi. Wewe unae muongezea thamani baada ya kumvua Chupi " kwa kumuoa kabisa " lazima akudharau sana kwa sababu anakuona sio mwanaume ulie kamilika.

Umeshawahi jiuliza kwanini wanawake walio olewa wanawapenda wanaume wanao tembea na wake za watu? KWA sababu wana amini wanaume wa ukweli ni waharibifu by nature, wanawachukulia wanawake kama chombo cha starehe na hawa amini katika ndoa. Wao wenyewe hawawezi kuoa wala hawaiheshimu ndoa ndio maana wanaona poa kutembea na wake za watu kwa sababu to them ndoa ni upuuzi fulani hivi... wanawake wanataka KUKUTANA na mwanaume mwenye mindset kama hii kwa sababu wana amini huyo ndio mwanaume halisi.

All women love bad guys hata wamama huwapenda zaidi watoto wao wa kiume watukutu kuliko wale ambao sio watukutu.

A woman will only stay loyal in a relationship where:

1. She knows that she can be easily replaced by another woman who is more beautiful than her.

2. Her man can break up with her at any time if she dare messing up with him.

Hivi vitu havipatikani mwenye ndoa hasa hasa ndoa ya kizungu. Ndoa ya kizungu inampa mwanamke guarangww na " guarantee " kwa mwanamke kwenye mahusiano ni adui wa uhusiano huo. Kwenye mahusiano mwanamke anatakiwa kuwa na wasiwasi muda wote. Wasiwasi wa kuachwa. Wasiwasi wa kuibiwa mume etc. Akivikosa hivi vitu kwako ataenda kuvitafuta kwa mwanaume mwingine kwa sababu asipo vipata atajiona kama vile hayupo na mwanaume.

Adhabu ya pili itakuja hivi punde
Ahsante sana kutukana vizazi vya babu zangu, babu zako na babu za kila mtu humu kwasababu hawakuwa wanaume halisi kwasababu waliamua kuoa.

Ukichana na hilo, vingine vyote ulivosema naunga mkono hoja.
 
Mkuu angalia usije potezwa marinda.

Una furahi kula ex wako, mke wa mjeda?

Siku uki shikwa huyo ex wako atakuruka futi mia mbili...

Atadai hakujui kabisa kwamba ulimfosi na ukambaka, wakati alikupa mwenyewe.
mkuu kuna wanawake wasumbufu sana.ila okay anyway nimeacha mkuu sababu bado nayapenda marinda yangu.
 
Hujawahi ishi nchi za ulaya ambazo mwanamke amepewa full mandate na sheria ina mlinda hata kwenye makosa.

Nakwambia hivi ni hatari sana.

Nchi kama Ujerumani na USA ukimpiga mwanamke hata kofi akaita polisi umekwisha...

Mwanamke akipewa uhuru hamna rangi utaacha kuona.
Achana na nchi za ulaya sisi tupo bongo bwana,niambie wewe mfumo dume ni suluhisho la ndoa?
 
Tatizo katika nyakati hizi mambo yamekuwa kama ilivyo tabiriwa na mitume na manabii kwamba nyakati za mwisho watu watakengeuka na kutofuata tena maagizo ya Mungu. Siku hizi wanao fuata maagizo ya Mungu ndio wanao onekana wajinga na dunia hii iliyo jaa ushetani ina waadhibu kwa kosa hilo la kufuata mambo ya Mungu. Hata mwanaume anae jaribu kuwa baba/bora anafuata maelekezo ya muumba lakini mwisho wa siku anakuwa punished kwa sababu hiyo..

Sasa hivi ukiokota pochi yenye milioni moja ukaenda kuripoti polisi kwamba umeokota pochi yenye kitambulisho na milioni moja, polisi wenyewe kwanza wanakupiga makofi na kukuweka ndani kabisa na mwenye pochi akija anakuongezea na kesi nyingine anasema pochi iliibiwa kwenye gari pamoja na laptop kwa hiyo useme na laptop ipo wapi...
Huyo anaepeleka pochi polisi hajaufata Uislam.

Hiyo Kiislam inaitwa "luqatah" na ina namna zake zimeainishwa kikamilifu na muda wake maalum wa kukaa nazo kabla hazijawa zako.

Ukimuona Muislam anapeleka mali ya kuokota polisi huyo ni mtenda mema asiyeelewa hukumu zake Kiislam.

Ndiyo maana Uislam unasisitiza "soma". Usiifate jamii ukadhani kuwa ipo sawa kwa kila walifanyalo.
 
Huyo anaepeleka pochi polisi hajaufata Uislam.

Hiyo Kiislam inaitwa "luqatah" na ina namna zake zimeainishwa kikamilifu na muda wake maalum wa kukaa nazo kabla hazijawa zako.

Ukimuona Muislam anapeleka mali ya kuokota polisi huyi ni mtenda mema asiyeelewa hukumu zake.

Ndiyo maana Uislam unasisitiza "soma". Usiifate jamii ukadhani kuwa ipo sawa kwa kila walifanyalo.
So Mkuu kwa mfano hiyo pochi we ukiiokota utapeleka? Au utasubiri watangaze walioiokota?
 
Back
Top Bottom