mahatmaxlla
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 896
- 1,435
na iwe kama ulivyosema mkuuGharama zote za kuufanyia lamination uzi huu zitakua juu yangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na iwe kama ulivyosema mkuuGharama zote za kuufanyia lamination uzi huu zitakua juu yangu.
Sijawahi soma comment yako ambayo haina neno 'Uislam'Huyo anaepeleka pochi polisi hajaufata Uislam.
Hiyo Kiislam inaitwa "luqatah" na ina namna zake zimeainishwa kikamilifu na muda wake maalum wa kukaa nazo kabla hazijawa zako.
Ukimuona Muislam anapeleka mali ya kuokota polisi huyi ni mtenda mema asiyeelewa hukumu zake.
Ndiyo maana Uislam unasisitiza "soma". Usiifate jamii ukadhani kuwa ipo sawa kwa kila walifanyalo.
Ikibidi iwe hakuna kufanya mijadala kabisa. Kufa kiume.kuwa tough kwenye mijadala yenu fulani sio kila kitu akisema unakubali tu na kuna namna ya kuikubali michango yake ya kimawazo
Mpaka sasa ubaoni
Dakika ya 85
Kataa ndoa goal tano kubali ndoa goal 2
Mashabiki wa kubali ndoa hasa wanawake wameondoka wote uwanjani
Sahihi 100%Huyo anaepeleka pochi polisi hajaufata Uislam.
Hiyo Kiislam inaitwa "luqatah" na ina namna zake zimeainishwa kikamilifu na muda wake maalum wa kukaa nazo kabla hazijawa zako.
Ukimuona Muislam anapeleka mali ya kuokota polisi huyi ni mtenda mema asiyeelewa hukumu zake.
Ndiyo maana Uislam unasisitiza "soma". Usiifate jamii ukadhani kuwa ipo sawa kwa kila walifanyalo.
Hata Biblia Paulo alizungumza kuhusu mipaka ya mume na mke.
Uislam ni mfumo kamili maisha, sasa vipi mambo ya kimaisha utanitenganisha nao?Sijawahi soma comment yako ambayo haina neno 'Uislam'
Hao wanachangia tu ila wapo wanawake ambao wanajiheshimu na wakiwa kwenye mahusiano wanamthamini mwenzao.Hii nadhani ni true. Mimi pia nimeiangalia kwa angle nyingine. It is either wachangiaji wengi humu bado ni "wavulana" wengi hawana ndoa; au ni wanaume ambao waliwahi kupata masahibu katika mahusiano; au wanafuata tu mkumbo ili naye aonekane amechangia kuponda wanawake. Last but not least, hizi nyuzi za kuponda wanawake zimekuwa nyingi sana huku JF, je, ni kampeni kuwa wanawake HAWAHITAJIKI TENA hapa duniani? Je, ni mkakati wa kueneza mahusiano kati ya wanaume kwa wanaume? Msinipige mawe tu jamani sina nia mbaya!🏃🏃🏃🏃🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️.
Mmezidi mno mpaka inaonekana mnamkosoa Mungu kuumba hiki kiumbe kinaitwa mwanamke na kukileta hapa duniani.
nimeruka na cha asubuhi nikaoga sasa niko mwepesidronedrake anamalizia cha usiku chap atakuja.
Unabaki nayo kama ni muaminifu, kama unajiona hauna uaminifu unaipeleka kwa kadhi, pasipo na kadhi unaipeleka kwa Imam msikitini na unapeleka matangazo sehemu husika. Kama ikipita mwaka mmoja hajatokea mwenye nayo basi hiyo inakuwa ni haki yako na hata akitokea mwenyewe baada ya hapo hana haki ya kukudai.So Mkuu kwa mfano hiyo pochi we ukiiokota utapeleka? Au utasubiri watangaze walioiokota?
Mkuu unaufahamu uwiano wa idadi ya wanaume na wanawakeDawa ya mwananke ni mwananke.
Kwa waislamu hii ni advantage hasa unapotaka kuoa basi piga ndoa mbili Kwa pamoja na harusi Moja.
Yaani ndege wawili jiwe Moja.
Kama Bado mambo SI mazuri weka msimamo wako mapema Kwamba utaongeza mke inshaAllah na kama akikataa basi piga chini huyo ,na hii ni Kwa masingle mother na hata kama hajazaa.
Kwa idadi ya wanawake walivyo wengi ni ajabu kuona mwanaume anateseka na mke mmoja.
Tutafute pesa Ili tusileteane dharau.
Ningekujibu vzur tuu, lakini huu uzi hauhusiani na hayo mambo.Uislam ni mfumo kamili maisha, sasa vipi mambo yua kimaisha utanitenganisha nao?
Wewe unaishi maisha yako kwa mfumo upi?
[emoji1787][emoji1787]Hili bandiko liwe na kipengele chake spesho katika katiba ijayo
Sijabadilisha uzi, nimejibu kwa mujibu wa maisha ya Muislam, wewe unaweza kuweka kuweka kwa mujibu wa maisha yako.Ningekujibu vzur tuu, lakini huu uzi hauhusiani na hayo mambo.
Kwan we lazima kubadilisha kila uzi uwe wa majadiliano ya dini? Acha hayo mambo mama.
Kama huna cha kuchangia ukiachana na kuleta topic za kidini, soma tuu comments alaf pita kushoto.