Ukweli mchungu: " Dunia ya sasa haimpendi baba bora/mume bora. Hizi ndio adhabu ambazo dunia itakupa kwa " kosa" la kuwa baba/ mume bora

Ukweli mchungu: " Dunia ya sasa haimpendi baba bora/mume bora. Hizi ndio adhabu ambazo dunia itakupa kwa " kosa" la kuwa baba/ mume bora

Mwisho wa siku haya yanabaki kuwa maoni yako kwasababu binadamu hatufanani,wengine tulijaribu kuwa bad boys tulijikuta tunaharibu na kufanya nyumba chungu,tatizo lenu mnataka kuendekeza mfumo dume kitu ambacho mnasahau ni kuwa mambo yamebadirika mfumo huo haufanyi kazi ipasavyo miaka hii,wanaume wenzangu tukumbuke wanawake nao ni binadamu kasoro tu hapo kati kuna maumbile mawili tofauti, sasa wewe jifanye una mtreat kama mnyama utegemee akutendee unayotaka,mtaishia kusema kataa ndoa.
Kwani kuna sehemu mtoa mada kasema tuwa treat?
Samahani kama nimekukwaza kwa kukuuliza mkuu
 
mkuu umeandika nondo tupu hakika olmost 92% ni hali iliyopo na tunaexpirience sana katika maisha yetu ya kila siku kwenye hii safari ya mahusano.
binafsi nishapitia mahusiano kibao sana hapa katikati baada ya kuachana na mke wangu nilie dumu nae kwa muda wa miaka 5(no marriage).amepata ndoa tangu mwaka jana na anaishi na mume wake,lakini nikimuhitaji nampata namtumia vilivyo anarudi kwake.mume wake yuko mkoani huko ni soldier.

nasupport hoja mkuu never trust a woman never never,never got marriage coz ni mtego huo na kifungo kwetu sisi wanaume.
Yani inashangaza sana kwahiyo wewe unayemshawishi huna makosa ila yeye anayekubali ndio ana makosa, kuna wanaume sijui reasoning yenu ikoje asee kwanini hicho kitendo mfanye wote halafu mmoja ndio awe na makosa, wewe kama kweli unapenda hayo maadili ungeachana naye vinginevyo msilalamike sababu wa kwanza kuyavunja hayo maadili ni nyie
 
Hujawahi ishi nchi za ulaya ambazo mwanamke amepewa full mandate na sheria ina mlinda hata kwenye makosa.

Nakwambia hivi ni hatari sana.

Nchi kama Ujerumani na USA ukimpiga mwanamke hata kofi akaita polisi umekwisha...

Mwanamke akipewa uhuru hamna rangi utaacha kuona.
Mkuu mbona umekazania Ulaya na USA wakati wewe ni mwafrika kwani umelazimishwa uoe huko, na kumbe mnajua kwamba kwenye shida ni huko kwa wazungu sasa mbona mnainclude wanawake wote hadi wa kiafrika wakati mnajua kabisa wanawake wa huku sheria haziwalindi na bado mnawaonea, umesema kwamba kwa afrika oppressers wengi ni wanaume sasa mbona bado hata wanaume wa huku nao wanalalamika
 
Kuna mtu kaandika matumizi ya mafuta ya karafuu alafu kafuta uzi. Naomba aandike tena, nina maswali ya kumuuliza.
 
Sawa unaweza Pinga hukatazwi. But ni ukweli hata wanawake wenyewe wanakubaliana nao huu.Anzia shule tu enzi za nyuma kidogo tunasoma wakubwa primary wasichana wengi walikuwa wanapenda mivulana mitukutu na inawabadirisha Kila Leo na wanajijua!! O level Hali kadharika Hadi chuo njoo mtaani vilevile like linalo sema vibaya na jamii ndo linagonga Kila aina ya demu hapo kitaa!!
Lkn uwe msabato tu utaishia akucheat tu na upole wako
Tusiache kuwagongelea misumali ni watamu sna hawa viumbe😋😋😋😋
 
Ni kweli kabisa, yaani usawa upo kwenye mamlaka tu, ila kwenye majukumu wanataka yote abebe mwanaume, how? Kama ni. 50 kwa 50, basi kuanzia kujemga nyumba, ada za watoto, gharama za matumizi nyumbani nk. tutoe 50/ 50, sio natoa 100% halafu unataka tuwe na haki sawa, no way!! Na hapo nado nalipa house girl wa kulea watoto aliozaa yeye ili aweza kwenda kazini..

Beijing ilikuwa mkakati wa shetani kuvuruga taasisi ya familia..
Mkuu mbona hujamaliza kutaja majukumu malizia na kupika, kuosha vyombo, kufua, kusafisha nyumba, kulea watoto nk nayo inabidi mfanye wote pasu kwa pasu, na kama hamuwezi basi mkae mkijua hiyo ndio sababu kubwa, inayowafanya wanawake pia washindwe kusaidia majukumu yenu pasu kwa pasu
 
Tikiti maji
Tangawizi ni vyakula pendwa kama unataka kuwa mzuri kwenye hiyo sector
Ila pia
Wakati unaipiga usiweke hisia kari sana kwenye tendo

kwa upande wako
Ila kwangu ni hivyo!
Me huwa naweka hisia kali mpaka udenda unachuruzika napoona mbususu ikiwa imetuna kwenye mapaja meupe yaliyojaa juu kukiwa na kishundu kama mitungi ya maji😋😋😋
 
Baba bora ni nani? Baba bora ni yule anae wapenda, watunza na kuwajali watoto wake.

Mume bora ni nani? Mume bora ni yule anae mpenda na kumjali mke wake na familia yake kwa ujumla.

Je dunia inampenda baba bora/mume bora?

The evidence says NO.

Experience inaonyesha kwamba mwanaume ukijaribu kuwa mume bora au baba bora basi dunia itampa adhabu kwa " kosa" la kuwa mume /baba bora.

Zifuatazo ni baadhi ya adhabu ambazo dunia humpa baba/mume bora.

1. Kudhauriwa na mtu ambae ana stahili kukuheshimu/ kudharauliwa sehemu ambayo una stahili kuheshimiwa

Mtu wa kwanza atakae kudhaurau ni mwanamke ambae uta propose kumuoa. The moment umeanza kusuggest wazo la kumuoa ndio the moment atalapo anza kukudharau na siku mtakayo funga ndoa ndio siku atakayo kudharau zaidi . Kwenye ndoa ndio dharau zitakuwa pro max( hii mnaita mwanamke kutoa makucha yake baada ya kuingia kwenye ndoa)

Kwanini anakudharau;

1. Anakudharau kwa sababu she think you are a nice guy. Women don't like nice guys. Women don't respect nice guys. Because to them a nice guy means a foolish guy. Asking for her hand in marriage is you playing a nice guy card . And you being nice to her is the same as you being a foolish guy. Wanawake wanajuaga mwanaume wa ukweli hawezi kutaka kuoa mwanamke. Wazo la kutaka kuoa mwanamke haliwezi kukaa kwa mwanaume halisi. For a real man the idea of wanting to get married is a crazy idea.

Kwa wanawake walio wengi, mwanaume wa ukweli ni yule anae jua kila kitu kuhusu wanawake . Na mwanaume anae jua kila kitu kuhusu wanawake ni yule anae jua kwamba hajui chochote kuhusu wanawake. KWA sababu hii basi mwanaume huyu wa ukweli hawezi kutaka kuoa mwanamke kwa sababu hawezi kuoa kitu ambacho hakijui vizuri. Misahafu inajua vizuri kuhusu ukweli huu ndio maana imeshauriwa kwamba mwanaume akipandwa na " kichaa" cha kutaka kuoa basi aozeshwe mke mara moja kabla " kichaa" hakijashuka akaghairi.

So mwanaume unapo mwambia mwanamke unataka kumuoa anakudharau sana kwa sababu anakuona wewe ni mwanaume ambae hawajui wanawake vizuri na hujui unacho kifanya. Atakuwa na wewe kwa sababu maisha yake yanakuhitaji wewe kwa wakati huo lakini hawezi kukuheshimu. Mbaya zaidi iwe wewe mwenyewe ndio uwe umeleta wazo la ndoa na sio yeye tena kwa kukuroga na kukusumbua kwa muda mrefu .

Anakudharau kwa sababu hujamkuta akiwa bikira. Anakushangaa wewe ni mjinga kiasi gani hata uende kumuoa yeye ilihali umemkuta tayari ameshatumika. Mwanamke huyu atawaheshimu zaidi wale walio pita nae na kutembea nae kuliko wewe ambae umemuoa kabisa. Tena kama ulimkuta ana mtoto ( single mother) then ukamuoa basi ndio atakudharau mara kumi zaidi kwamba u mjinga wa wapi wewe unaenda kuoa mwanamke aliezalishwa na mwanaume mwingine na.kumuacha ila wewe ndio umemuona mke huyo.Ndio maana wanaume wengi wanao toka na single mothers wakiamini single mothers watawaheshimu huwa wanaishia kuwa disappointed na kuanza kuwaponda single mothers. Hii ni kwa sababu single mothers sio wajinga . Hata wao wanajua mwanaume wa ukweli hawezi kudili na single mothers wakati vigoli wamejaa tele. Wanajua something is missing in you ndio maana umeangukia kwao.

Anakudharau kwa kuwa ana mwanaume zaidi ya mmoja ila katika wote wewe ndio umekuwa foolish enough kufunga nae ndoa.

Umeshawahi kuambiwa na mwanamke ambae umeingia nae kwenye mahusiano " umebadilika kwa kuwa umesha kipata unacho kitaka?" Kama bado hujawahi basi tambua kwamba something is missing in you. Kama mwanamke hajaona kitu hiki kwako basi wewe una mapungufu katika uanaume wako kwa sababu ukiwa mwanaume ulie kamilika lazima uta onyesha hali ya kumkinai mwanamke ambae umesha sex nae hata awe mzuri namna gani. Wanawake wanajua vizuri kuhusu ukweli huu ndio maana ukienda kununua mwanamke wale wanao jiuza anataka umpe hela yake kwanza ndo atoe utelezi kwa sababu anajua ukisha kojoa tu thamani yake kwako itashuka na utakuwa mgumu kutoa hela.

Vivyo hivyo ndivyo wanawake wanavyo tuchukulia kwenye mahusiano. Wanajua sisi huwa tunawashusha thamani tukishawavua Chupi. Wewe unae muongezea thamani baada ya kumvua Chupi " kwa kumuoa kabisa " lazima akudharau sana kwa sababu anakuona sio mwanaume ulie kamilika.

Umeshawahi jiuliza kwanini wanawake walio olewa wanawapenda wanaume wanao tembea na wake za watu? KWA sababu wana amini wanaume wa ukweli ni waharibifu by nature, wanawachukulia wanawake kama chombo cha starehe na hawa amini katika ndoa. Wao wenyewe hawawezi kuoa wala hawaiheshimu ndoa ndio maana wanaona poa kutembea na wake za watu kwa sababu to them ndoa ni upuuzi fulani hivi... wanawake wanataka KUKUTANA na mwanaume mwenye mindset kama hii kwa sababu wana amini huyo ndio mwanaume halisi.

All women love bad guys hata wamama huwapenda zaidi watoto wao wa kiume watukutu kuliko wale ambao sio watukutu.

A woman will only stay loyal in a relationship where:

1. She knows that she can be easily replaced by another woman who is more beautiful than her.

2. Her man can break up with her at any time if she dare messing up with him.

Hivi vitu havipatikani mwenye ndoa hasa hasa ndoa ya kizungu. Ndoa ya kizungu inampa mwanamke guarangww na " guarantee " kwa mwanamke kwenye mahusiano ni adui wa uhusiano huo. Kwenye mahusiano mwanamke anatakiwa kuwa na wasiwasi muda wote. Wasiwasi wa kuachwa. Wasiwasi wa kuibiwa mume etc. Akivikosa hivi vitu kwako ataenda kuvitafuta kwa mwanaume mwingine kwa sababu asipo vipata atajiona kama vile hayupo na mwanaume.

Adhabu ya pili itakuja hivi punde
Huu Uzi utakuwa Bora kwa muda mrefu. Umeongea kweli kabisa na mwisho wa siku nice guys, wanakuwa wabaya sana sababu ya matendo ya wamama. Wanaume wasiposhtuka wanapata msongo wa mawazo.
 
SIKUBALIANI NA HOJA HII.
Watu mnatiana ujinga sana. Mnalishana sumu sana. Ukisoma maoni ya walio wengi utaona lawama nyingi wanapewa wanawake, maneno ya chuki na kejeli wanapewa wanawake, na wengi wanaotoa maoni wana mtazamo hasi sana juu ya wanawake. Wengi wanaonekana waliumia kwenye mahusiano au wanaendelea kuumia kwenye mahusiano lakini kwa mtazamo wao wanawake ndio chanzo cha matatizo na wao ndio wenye makosa. Wengi wanatoa uzoefu wao binafsi au mifano yao binafsi kama hukumu au hitimisho kwamba wanawake ni wabaya, hii si sahihi. Hebu tujiulize, hivi wanaume hawana makosa kwenye uhusiano? Kwa hiyo shida zote zinazotokea kwenye mahusiano wewe mwanaume huna mchango kwenye shida hizo? Yaani wewe ni malaika na msafi ila mwanamke ndiye siku zote mkosaji? Si kweli! Changamoto kubwa ninayoiona hapa ni wanaume wengi hasa vijana KUKOSA UELEWA NA MAARIFA, kuhusu masuala ya mahusiano na kumwelewa mwanamke. Mahusiano ni sanaa ambayo lazima ujifunze jinsi ya kukabiliana nayo kila siku. Kukosa kwako uelewa na maarifa kusiwe kisingizio kwamba mwanamke ni mtu mbaya. Yaani, huwezi kulaumu gari lenye changamoto za kiufundi kwasababu wewe inakusumbua kuliendesha au hujui jinsi ya kulitengeneza, hapo tatizo si gari, tatizo ni WEWE usiye na maarifa.

Wanawake ni viumbe bora sana kuweza kuwepo hapa duniani, swali ni kwamba UNAWAELEWA? Ndoa ni jambo jema sana kuwahi kutokea hapa duniani, kuna faida nyingi sana raha za kuwa kwenye ndoa, tatizo UNA UELEWA? UNA MAARIFA? Kukosa kwako maarifa na uelewa kuhusu wanawake haimaanishi kwamba wanawake ni wabaya, au uwachukie wanawake, jipe muda JIFUNZE ili uwaelewe na uendelee kufurahia maisha yako wewe na wanawake.

Wanawake wapo, na wataendelea kuwepo, wewe mwanaume huna namna bali ni kuwa mpole jifunze jinsi ya kuishi naye mwanamke na maisha yaendelee.

Kama hamjui ombeni msaada mpate maarifa na uelewa kuhusu wanawake badala ya kulialia tu.
 
Ni picha tu kwamba hali halisi ya wanawake wengi sio wote kwa wanaume zao . So ni tahadhari kama zingine tu haswa kwa wale wanaume anatongezea ndoa anafikiri atapendwa
 
SIKUBALIANI NA HOJA HII.
Watu mnatiana ujinga sana. Mnalishana sumu sana. Ukisoma maoni ya walio wengi utaona lawama nyingi wanapewa wanawake, maneno ya chuki na kejeli wanapewa wanawake, na wengi wanaotoa maoni wana mtazamo hasi sana juu ya wanawake. Wengi wanaonekana waliumia kwenye mahusiano au wanaendelea kuumia kwenye mahusiano lakini kwa mtazamo wao wanawake ndio chanzo cha matatizo na wao ndio wenye makosa. Wengi wanatoa uzoefu wao binafsi au mifano yao binafsi kama hukumu au hitimisho kwamba wanawake ni wabaya, hii si sahihi. Hebu tujiulize, hivi wanaume hawana makosa kwenye uhusiano? Kwa hiyo shida zote zinazotokea kwenye mahusiano wewe mwanaume huna mchango kwenye shida hizo? Yaani wewe ni malaika na msafi ila mwanamke ndiye siku zote mkosaji? Si kweli! Changamoto kubwa ninayoiona hapa ni wanaume wengi hasa vijana KUKOSA UELEWA NA MAARIFA, kuhusu masuala ya mahusiano na kumwelewa mwanamke. Mahusiano ni sanaa ambayo lazima ujifunze jinsi ya kukabiliana nayo kila siku. Kukosa kwako uelewa na maarifa kusiwe kisingizio kwamba mwanamke ni mtu mbaya. Yaani, huwezi kulaumu gari lenye changamoto za kiufundi kwasababu wewe inakusumbua kuliendesha au hujui jinsi ya kulitengeneza, hapo tatizo si gari, tatizo ni WEWE usiye na maarifa.

Wanawake ni viumbe bora sana kuweza kuwepo hapa duniani, swali ni kwamba UNAWAELEWA? Ndoa ni jambo jema sana kuwahi kutokea hapa duniani, kuna faida nyingi sana raha za kuwa kwenye ndoa, tatizo UNA UELEWA? UNA MAARIFA? Kukosa kwako maarifa na uelewa kuhusu wanawake haimaanishi kwamba wanawake ni wabaya, au uwachukie wanawake, jipe muda JIFUNZE ili uwaelewe na uendelee kufurahia maisha yako wewe na wanawake.

Wanawake wapo, na wataendelea kuwepo, wewe mwanaume huna namna bali ni kuwa mpole jifunze jinsi ya kuishi naye mwanamke na maisha yaendelee.

Kama hamjui ombeni msaada mpate maarifa na uelewa kuhusu wanawake badala ya kulialia tu.
Tufundishe.
 
Naam hii Ni 100%
Atakaepinga akapinge mahakamani.
Kumpa nafasi mwanamke hata kama ni kiduchu namna Gani basi hiyo nafasi huitumia kuliko kawaida. Nina single mother hapa Kila Leo ananiambia nimuoe Namwangalia namchekelea tu.Anasema anatamani mzazi mwenzake afe kabisa maana hampendi kabisa kabisa ...siku chache zimepita tulikosana nae kisa Sina wazo la kumuoa nashangaa majuzi ananitafta Tena Tena analia nimsamehe.kichumi yupo vzr tu lkn kuhusu ndoa labda aniloge ..#Ni wakala NMB,CRDB,MPESA NK
Nakushauri usikubali kuoa mwanamke anae force ndoa hiyo ni behind your full consent, Wewe unajiona muda bado na kuna vitu unatafakari lakini yeye anataka umuoe kwa lazima ana force aiseeeehhh hizo ndoa hazidumu na zinapitia migogoro mingi sana, ndoa ya kibali ni hile mwanaume uamue mwenyewe sio ya kulazimishwa na mtarajiwa au wazazi
 
Baba bora ni nani? Baba bora ni yule anae wapenda, watunza na kuwajali watoto wake.

Mume bora ni nani? Mume bora ni yule anae mpenda na kumjali mke wake na familia yake kwa ujumla.

Je dunia inampenda baba bora/mume bora?

The evidence says NO.

Experience inaonyesha kwamba mwanaume ukijaribu kuwa mume bora au baba bora basi dunia itampa adhabu kwa " kosa" la kuwa mume /baba bora.

Zifuatazo ni baadhi ya adhabu ambazo dunia humpa baba/mume bora.

1. Kudhauriwa na mtu ambae ana stahili kukuheshimu/ kudharauliwa sehemu ambayo una stahili kuheshimiwa

Mtu wa kwanza atakae kudhaurau ni mwanamke ambae uta propose kumuoa. The moment umeanza kusuggest wazo la kumuoa ndio the moment atalapo anza kukudharau na siku mtakayo funga ndoa ndio siku atakayo kudharau zaidi . Kwenye ndoa ndio dharau zitakuwa pro max( hii mnaita mwanamke kutoa makucha yake baada ya kuingia kwenye ndoa)

Kwanini anakudharau;

1. Anakudharau kwa sababu she think you are a nice guy. Women don't like nice guys. Women don't respect nice guys. Because to them a nice guy means a foolish guy. Asking for her hand in marriage is you playing a nice guy card . And you being nice to her is the same as you being a foolish guy. Wanawake wanajuaga mwanaume wa ukweli hawezi kutaka kuoa mwanamke. Wazo la kutaka kuoa mwanamke haliwezi kukaa kwa mwanaume halisi. For a real man the idea of wanting to get married is a crazy idea.

Kwa wanawake walio wengi, mwanaume wa ukweli ni yule anae jua kila kitu kuhusu wanawake . Na mwanaume anae jua kila kitu kuhusu wanawake ni yule anae jua kwamba hajui chochote kuhusu wanawake. KWA sababu hii basi mwanaume huyu wa ukweli hawezi kutaka kuoa mwanamke kwa sababu hawezi kuoa kitu ambacho hakijui vizuri. Misahafu inajua vizuri kuhusu ukweli huu ndio maana imeshauriwa kwamba mwanaume akipandwa na " kichaa" cha kutaka kuoa basi aozeshwe mke mara moja kabla " kichaa" hakijashuka akaghairi.

So mwanaume unapo mwambia mwanamke unataka kumuoa anakudharau sana kwa sababu anakuona wewe ni mwanaume ambae hawajui wanawake vizuri na hujui unacho kifanya. Atakuwa na wewe kwa sababu maisha yake yanakuhitaji wewe kwa wakati huo lakini hawezi kukuheshimu. Mbaya zaidi iwe wewe mwenyewe ndio uwe umeleta wazo la ndoa na sio yeye tena kwa kukuroga na kukusumbua kwa muda mrefu .

Anakudharau kwa sababu hujamkuta akiwa bikira. Anakushangaa wewe ni mjinga kiasi gani hata uende kumuoa yeye ilihali umemkuta tayari ameshatumika. Mwanamke huyu atawaheshimu zaidi wale walio pita nae na kutembea nae kuliko wewe ambae umemuoa kabisa. Tena kama ulimkuta ana mtoto ( single mother) then ukamuoa basi ndio atakudharau mara kumi zaidi kwamba u mjinga wa wapi wewe unaenda kuoa mwanamke aliezalishwa na mwanaume mwingine na.kumuacha ila wewe ndio umemuona mke huyo.Ndio maana wanaume wengi wanao toka na single mothers wakiamini single mothers watawaheshimu huwa wanaishia kuwa disappointed na kuanza kuwaponda single mothers. Hii ni kwa sababu single mothers sio wajinga . Hata wao wanajua mwanaume wa ukweli hawezi kudili na single mothers wakati vigoli wamejaa tele. Wanajua something is missing in you ndio maana umeangukia kwao.

Anakudharau kwa kuwa ana mwanaume zaidi ya mmoja ila katika wote wewe ndio umekuwa foolish enough kufunga nae ndoa.

Umeshawahi kuambiwa na mwanamke ambae umeingia nae kwenye mahusiano " umebadilika kwa kuwa umesha kipata unacho kitaka?" Kama bado hujawahi basi tambua kwamba something is missing in you. Kama mwanamke hajaona kitu hiki kwako basi wewe una mapungufu katika uanaume wako kwa sababu ukiwa mwanaume ulie kamilika lazima uta onyesha hali ya kumkinai mwanamke ambae umesha sex nae hata awe mzuri namna gani. Wanawake wanajua vizuri kuhusu ukweli huu ndio maana ukienda kununua mwanamke wale wanao jiuza anataka umpe hela yake kwanza ndo atoe utelezi kwa sababu anajua ukisha kojoa tu thamani yake kwako itashuka na utakuwa mgumu kutoa hela.

Vivyo hivyo ndivyo wanawake wanavyo tuchukulia kwenye mahusiano. Wanajua sisi huwa tunawashusha thamani tukishawavua Chupi. Wewe unae muongezea thamani baada ya kumvua Chupi " kwa kumuoa kabisa " lazima akudharau sana kwa sababu anakuona sio mwanaume ulie kamilika.

Umeshawahi jiuliza kwanini wanawake walio olewa wanawapenda wanaume wanao tembea na wake za watu? KWA sababu wana amini wanaume wa ukweli ni waharibifu by nature, wanawachukulia wanawake kama chombo cha starehe na hawa amini katika ndoa. Wao wenyewe hawawezi kuoa wala hawaiheshimu ndoa ndio maana wanaona poa kutembea na wake za watu kwa sababu to them ndoa ni upuuzi fulani hivi... wanawake wanataka KUKUTANA na mwanaume mwenye mindset kama hii kwa sababu wana amini huyo ndio mwanaume halisi.

All women love bad guys hata wamama huwapenda zaidi watoto wao wa kiume watukutu kuliko wale ambao sio watukutu.

A woman will only stay loyal in a relationship where:

1. She knows that she can be easily replaced by another woman who is more beautiful than her.

2. Her man can break up with her at any time if she dare messing up with him.

Hivi vitu havipatikani mwenye ndoa hasa hasa ndoa ya kizungu. Ndoa ya kizungu inampa mwanamke guarangww na " guarantee " kwa mwanamke kwenye mahusiano ni adui wa uhusiano huo. Kwenye mahusiano mwanamke anatakiwa kuwa na wasiwasi muda wote. Wasiwasi wa kuachwa. Wasiwasi wa kuibiwa mume etc. Akivikosa hivi vitu kwako ataenda kuvitafuta kwa mwanaume mwingine kwa sababu asipo vipata atajiona kama vile hayupo na mwanaume.

Adhabu ya pili itakuja hivi punde
Mkuu chukua maua yako 🌹💐🏵🥀 umeandika point sana.
Na imenigusa kiasi chake coz nimepitia hayo
 
Kwa asili dunia iliumbwa kwa ajili ya wanaume. Na ni mwanaume ndiye mwenye jukumu na mamlaka ya kuitawala.

Ili kuitawala dunia na vyote vilivyomo ni lazima kutambua mamlaka hii ya asili tuliyopewa na kisha kujua namna ya kuitumia.

Comment nyingi zina-discourage ndoa na mahusiano ya kudumu. Hili linadhihirisha ukubwa wa ombwe na tisho la kutoweka kwa mamlaka asili ya kiume.

Mwanaume ukitumia akili na mamlaka yako vilivyo, mwanamke ataenenda chini ya misingi utakayomwekea. Ndo maana misahafu inasisitiza umuhimu wa kuishi nao kwa akili. Badala ya kuambukizana ujinga wa "kupeleka moto na kuwabwaga" tuwekeze kwenye kupeana maarifa na akili ya kuishi nao.

Hizi porojo za kuwakomoa, sijui hit and run, ni dhana za kichovu zinazoonesha immaturity na wala si uanaume.

Kushindwa kum-handle mwanamke ni kielelezo cha mwanzo wa kushindwa kujitawala. Ukishindwa kumtawala mwanamke kuna mengi hutaweza kuyatawala.

Haijawahi kutokea dunia nzima ikawa na watu wenye tabia, matamanio na hulka za aina moja. Binadamu wote tuna character tofauti kutokana na effect ya mazingira ya zamani na sasa.

Wapo wanawake wajinga na vile vile wapo wanaojitambua. Ni kama ilivyo kwa wanaume, wapo wanaume wanaojielewa na kujiamini, wapo waoga na wasioweza kujisimamia, kuna wanaume machawa mpaka machoko kama akina Lokole, lakini wote hawa ni wanaume. Vipi kama wanawake wakituhukumu wanaume wote kwa kumtumia Mwijaku kama sample study, itakuwa sawa?

Badala ya kupandikiza chuki na uoga dhidi ya wanawake, tupeane maarifa namna ya kumtambua na kumpata mwanamke bora (kwasababu wapo).

Mwisho wa siku lazima tuzaane na kuijaza dunia. Na kupata kizazi bora cha kesho tunahitaji familia madhubuti chini ya baba na mama wanaojitambua.
 
SIKUBALIANI NA HOJA HII.
Watu mnatiana ujinga sana. Mnalishana sumu sana. Ukisoma maoni ya walio wengi utaona lawama nyingi wanapewa wanawake, maneno ya chuki na kejeli wanapewa wanawake, na wengi wanaotoa maoni wana mtazamo hasi sana juu ya wanawake. Wengi wanaonekana waliumia kwenye mahusiano au wanaendelea kuumia kwenye mahusiano lakini kwa mtazamo wao wanawake ndio chanzo cha matatizo na wao ndio wenye makosa. Wengi wanatoa uzoefu wao binafsi au mifano yao binafsi kama hukumu au hitimisho kwamba wanawake ni wabaya, hii si sahihi. Hebu tujiulize, hivi wanaume hawana makosa kwenye uhusiano? Kwa hiyo shida zote zinazotokea kwenye mahusiano wewe mwanaume huna mchango kwenye shida hizo? Yaani wewe ni malaika na msafi ila mwanamke ndiye siku zote mkosaji? Si kweli! Changamoto kubwa ninayoiona hapa ni wanaume wengi hasa vijana KUKOSA UELEWA NA MAARIFA, kuhusu masuala ya mahusiano na kumwelewa mwanamke. Mahusiano ni sanaa ambayo lazima ujifunze jinsi ya kukabiliana nayo kila siku. Kukosa kwako uelewa na maarifa kusiwe kisingizio kwamba mwanamke ni mtu mbaya. Yaani, huwezi kulaumu gari lenye changamoto za kiufundi kwasababu wewe inakusumbua kuliendesha au hujui jinsi ya kulitengeneza, hapo tatizo si gari, tatizo ni WEWE usiye na maarifa.

Wanawake ni viumbe bora sana kuweza kuwepo hapa duniani, swali ni kwamba UNAWAELEWA? Ndoa ni jambo jema sana kuwahi kutokea hapa duniani, kuna faida nyingi sana raha za kuwa kwenye ndoa, tatizo UNA UELEWA? UNA MAARIFA? Kukosa kwako maarifa na uelewa kuhusu wanawake haimaanishi kwamba wanawake ni wabaya, au uwachukie wanawake, jipe muda JIFUNZE ili uwaelewe na uendelee kufurahia maisha yako wewe na wanawake.

Wanawake wapo, na wataendelea kuwepo, wewe mwanaume huna namna bali ni kuwa mpole jifunze jinsi ya kuishi naye mwanamke na maisha yaendelee.

Kama hamjui ombeni msaada mpate maarifa na uelewa kuhusu wanawake badala ya kulialia tu.
Vitabu vinasema vitimbi vyao ni vikubwa sasa wewe ukisema unawajua sana basi ujue pia visa vyao ni vingi.
Ila best of men are the best to his women.
 
Back
Top Bottom