Unaambiwa wale partners wa arab-contractors baada ya kusaini mkataba wachukua wameweka mkataba ( guarantee) bank wamekopa hela kwa ajili ya miradi mingine ya pembeni
Hahaaa! Na wewe umekoleza!!Mtoa mada ushawagombanisha mkulu na Waziri.na kitu ambacho hakikuwa na haja "eti kupanga matokeo mlimani city".
Hata mi huwa nashangaa, sijui ana makabila mangapi, utasikia siyo msukuma ni mhutu wa Burundi, ni muha, ni msubi, ni mhaya, .....Leo kawa Msukuma mbona mnatuchanganya mala ametoka magharibi leo tena Msukuma!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hivi watu wengi wanaandika bila kuujua ukweli.
Ukweli ni kwamba kabla ya mradi wowote mkubwa kutekelezwa lazima kifanyike kitu kinachoitwa Environment Impact Assessment.
/QUOTE]
Sasa tueleze Waganda na Ethiopia wanajenga miradi kama hiyo wao wamekwepaje na Ethiopia ni mrafi mkubwa kuliko wetu. Tuanzie hapo.
Hii kamati iliteuliwa baada ya magufuli kutaka kujenga hilo bwawa , ila baada ya kusoma ripoti yao akaikataa na kuitupilia mbali .
Huo ndio ukweli wenyewe
Nimetumia kikotoo cha IQ kukuelewa. Kama mti ni uhai ni dhambi kuondoa mti bila sababu. Lakini wakanyaga katiba wanatabia yakutojali uhaiMimi nimeosoma ripoti ya WWF kuhusu mradi huu, kama katiba tuu imeweza kukanyangwa na tuko ok kabisa, what is EIA compared?.
Kwenye hili mimi naungana na serikali yetu kuwa Tanzania is a sovereign state, tutaamua mambo yetu wenyewe bila kuingiliwa au kupangiwa na mataifa ya nje.
Natolea mfano wa mradi wa Kamba Samaki, shrimp farming kwenye Rufiji Delta, ulipitishwa vizuri tuu, lakini kabla ya utekelezaji, mashirika ya kimataifa ya mazingira yakaja na EIA nyingine, tukapigwa stop mradi ukafa. Hoja ya wanamazingira ni kilimo kile kingeathiri uoto wa asili wa mikoko.
Ukiangalia cost benefits na value benefits za mradi na faida za mikoko, mikoko are nothing compared.
Kama ulifuatilia issue ya Kihansi Hydro Electric Project, mradi ulichelewa sana kwa hoja ya vyura wa Kihansi hadi Marekani walipokubali kuwa relocate wakahamishwa, mradi ulipokamilika wakarudishwa. Ukiangalia faida za nchi inayohitaji umeme na faida ya vyura ni nothing compared.
Sasa kwenye Stieglers ni vile vile wanataka kutupangia, kule nyuma waliweza kwa sababu fedha walikuwa wanatoa wao. Kwa Stieglers, watakwama kwa sababu this time around fedha ni zetu.
Hili jambo niliisha lizungumza sana humu
Uzalendo wa kweli wa nchi yako ni pamoja na kusupport mipango kamambe
ya maendeleo ya nchi yako hata kama mipango hiyo itasababisha maumivu kwa walio wengi as long as itakuwa na faida kubwa kitaifa huko baadae.
P
Usiseme faida ya vyura ni ndogo, ni viumbe walio na haki ya kuishi katika mazingira yao. Binadamu tunajisahau na kujiona sisi ndiye wenye haki na hii dunia, very wrong.Mimi nimeosoma ripoti ya WWF kuhusu mradi huu, kama katiba tuu imeweza kukanyangwa na tuko ok kabisa, what is EIA compared?.
Kwenye hili mimi naungana na serikali yetu kuwa Tanzania is a sovereign state, tutaamua mambo yetu wenyewe bila kuingiliwa au kupangiwa na mataifa ya nje.
Natolea mfano wa mradi wa Kamba Samaki, shrimp farming kwenye Rufiji Delta, ulipitishwa vizuri tuu, lakini kabla ya utekelezaji, mashirika ya kimataifa ya mazingira yakaja na EIA nyingine, tukapigwa stop mradi ukafa. Hoja ya wanamazingira ni kilimo kile kingeathiri uoto wa asili wa mikoko.
Ukiangalia cost benefits na value benefits za mradi na faida za mikoko, mikoko are nothing compared.
Kama ulifuatilia issue ya Kihansi Hydro Electric Project, mradi ulichelewa sana kwa hoja ya vyura wa Kihansi hadi Marekani walipokubali kuwa relocate wakahamishwa, mradi ulipokamilika wakarudishwa. Ukiangalia faida za nchi inayohitaji umeme na faida ya vyura ni nothing compared.
Sasa kwenye Stieglers ni vile vile wanataka kutupangia, kule nyuma waliweza kwa sababu fedha walikuwa wanatoa wao. Kwa Stieglers, watakwama kwa sababu this time around fedha ni zetu.
Hili jambo niliisha lizungumza sana humu
Uzalendo wa kweli wa nchi yako ni pamoja na kusupport mipango kamambe
ya maendeleo ya nchi yako hata kama mipango hiyo itasababisha maumivu kwa walio wengi as long as itakuwa na faida kubwa kitaifa huko baadae.
P
Hiyo Ripoti ndiyo ile iliyokasema choo kiwe km 10 toka eneo la mradi..! ripoti ya ovyo sana..! Sasa watu watakuwa wanafanya kazi au wanashinda njiani kwenda chooni tuWaziri akakubaliana na ripoti naye akaifoadi ikulu.
Bwana kolichotokea almanusura huyu jamaa apoteze kazi, .
Ukweli ni kwamba jiwe alimuita akamtukana sana kwanini amekubaliana na ushauri wa hao maprofesa na kisha akamtupia ripoti yake .
Isingekuwa aibu ya jiwe akifahamu jinsi January alivyomfanyia figisufigisu ya kutengeneza matokeo yaliyomsaidia kumuweka madarakani pale mlimani city huyu january alikuwa afukuziwe mbali.
Sasa twende kwenye hoja, kwa nini serikali yetu inakataa repoti ya timu ya iliyoiunda na kuilipa ifanye kazi na wao wakafanya na wakashauri.
Mbona Serikali hiii hii haitoi vibali vya kuendeleza miradi ambayo environment impact assessment zimeshauri kwamb arhari za mradi ni hasi.
Kuna msemo wa kiingereza unaoheshimika sana unaosema "no research no right to speak"
Research imefanyika imeeleza mradi ni mbaya kwenye mazingira watu bila hata kufanya research nyingine wanakurupuka kuukataa ushauri wa wataalamu.
Tusiwalaumu sijui bunge la ujerumani , mimi binafsi siungi mkono kupangiwa mambo yetu na hao wajerunani.
Ukweli ni kwamba mradi huu ulikataliwa kwanza na timu yetu sisi wenyewe watanzania iliyohusisha maprofesa wataalamu ambao mwisho wa siku kama kawaida ya jiwe ukitoa mapendekezo tofauti na mtazamo wake unaitwa sio mzalendo au sijui umetumwa na mabepari.
Aina hii ya uongozi ya kukataa mapendekezo ya wataalamu ni mojawapo ya element za utawala wa kidikteta.
That being the case, let's all live a holistic lives, every living organisms have the right to life. Tuwe vegetarians, tunaokula mboga mboga, fruitarians tunaokula matunda na breathtarians tunaokula hewa. Kila kiumbe chenye damu pia kina roho, hata kuku, mbuzi, ng'ombe wana roho na wana haki ya kuishi.Usiseme faida ya vyura ni ndogo, ni viumbe walio na haki ya kuishi katika mazingira yao. Binadamu tunajisahau na kujiona sisi ndiye wenye haki na hii dunia, very wrong.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimeosoma ripoti ya WWF kuhusu mradi huu, kama katiba tuu imeweza kukanyangwa na tuko ok kabisa, what is EIA compared?.
Hizi ni sentensi mbili kinzani yaani kama kuna ulazima wa kukanyaga Katiba ili kufanyika jambo la kizalendo basi ikanyagwe tu.Uzalendo wa kweli wa nchi yako ni pamoja na kusupport mipango kamambe
ya maendeleo ya nchi yako hata kama mipango hiyo itasababisha maumivu kwa walio wengi as long as itakuwa na faida kubwa kitaifa huko baadae.
P
Ni hivi watu wengi wanaandika bila kuujua ukweli.
Ukweli ni kwamba kabla ya mradi wowote mkubwa kutekelezwa lazima kifanyike kitu kinachoitwa Environment Impact Assessment.
Ukweli ni kwamba serikali iliunda team iliyojumuisha maprofesa nguli kufanya Environment Impact Assessment ambapo serikali yetu iliwalipa fedha kufanya kazi hiyo.
Ukweli ni kwamba team hiyo ilifanya kazi hiyo na kuandika ripoti yake ambayo ilieleza kwamba madhara ya kwnye mazingira kama mradi huu ukitekelezwa yatakuwa makubwa sana hivyo wakashauri mradi huu usitekelezwe na wakashauri serikali ijikite kwenye kuzalisha umeme kwa kutumia gesi ambayo inapatikana mtwara kwani uzalishaji wa umeme kwa kutumia umeme hautakuwa na madhara kwenye mazingira kama mradi wa stiglers gorge.
Sasa bana ripoti hii iliwasilishwa kwanza wizara inayohusika na mazingira ya bwana January.
Waziri akakubaliana na ripoti naye akaifoadi ikulu.
Bwana kolichotokea almanusura huyu jamaa apoteze kazi, .
Ukweli ni kwamba jiwe alimuita akamtukana sana kwanini amekubaliana na ushauri wa hao maprofesa na kisha akamtupia ripoti yake .
Isingekuwa aibu ya jiwe akifahamu jinsi January alivyomfanyia figisufigisu ya kutengeneza matokeo yaliyomsaidia kumuweka madarakani pale mlimani city huyu january alikuwa afukuziwe mbali.
Sasa twende kwenye hoja, kwa nini serikali yetu inakataa repoti ya timu ya iliyoiunda na kuilipa ifanye kazi na wao wakafanya na wakashauri.
Mbona Serikali hiii hii haitoi vibali vya kuendeleza miradi ambayo environment impact assessment zimeshauri kwamb arhari za mradi ni hasi.
Kuna msemo wa kiingereza unaoheshimika sana unaosema "no research no right to speak"
Research imefanyika imeeleza mradi ni mbaya kwenye mazingira watu bila hata kufanya research nyingine wanakurupuka kuukataa ushauri wa wataalamu.
Tusiwalaumu sijui bunge la ujerumani , mimi binafsi siungi mkono kupangiwa mambo yetu na hao wajerunani.
Ukweli ni kwamba mradi huu ulikataliwa kwanza na timu yetu sisi wenyewe watanzania iliyohusisha maprofesa wataalamu ambao mwisho wa siku kama kawaida ya jiwe ukitoa mapendekezo tofauti na mtazamo wake unaitwa sio mzalendo au sijui umetumwa na mabepari.
Aina hii ya uongozi ya kukataa mapendekezo ya wataalamu ni mojawapo ya element za utawala wa kidikteta.