Ukweli mchungu kuhusiana na mradi wa Stiegler's Gorge

China na marekani wanazalisha hewa chafu inasafishwa huku na south america kwasababu ndiko kwenye miti. Lakini mataifa hayo ndo yenye uchumi imara. Bora na sisi tuchafue mwishowasiku tutajua tunaishi vipi. Hatuwezi kuwa omba omba milele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bei ya gas unajuwa wewe. Gharama ya kuzalisha umeme na maji Vs Gas Bora maji. Kutumia gas ni kujitengenezea mazingira ya unasikini kwa taifa letu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
La msingi hapa ni umuhimu wa EIA kabla na baada ya JPM. Kwa spidi ya JPM ya utekelezaji wa mradi huu sidhani kama hilo kwake lilikuwa muhimu.
Hili ndilo tatizo kubwa sana la Magufuli. Kupuuza taratibu na sheria. Hili linamharibia sana hata katika kupanga na kufanya mambo mazuri. Yeye hawezi kuwa mjuaji wa kila kitu. Hili ni tatizo baya sana kwa upande wake.
 
Ujerumani, Uingereza, Marekani, Japan, n.k., walichafua sana mazingira halafu wakasafisha. Kwa nini na sisi tusiweze kufanya hata nusu yauchafuaji waliofanya wao ili tujikwamue na hii hali ya umaskini? "Environmental Remediation Technology" sasa hivi imeendelea zaidi ya wakati huo walipokuwa wanachafua. Sisi tutaitumia.
 
Ni watz hawa Hawa waliouvuruga mradi wa gesi hadi usikidhi mahitaji.Leo hii watz hawa msiojua kusimamia mambo mnataka kuteketeza eneo la ukubwa wa Dar ili kuanzisha mradi mpya!
Mimi naomba muanzishe mradi wa kubadili vichwa vyenu kwanza halafu mrudi kwenye gesi mkarekebishe uozo mlioufanya kabla ya kunishawishi kuteketeza mamilioni ya miti na viumbe wanaotegemea ikolojia yake.
I can't buy that!
 
 
Mi binafsi siamini kama mradi huu utafanikiwa,majumbani na viwandani tu umeme shida vipi huu wa treni.
 
Pascal,

Ebu fanya research ni kwa nini viwanda vya korosho vilivyojengwa wakati wa Hayati Mwalimu Nyerere kule Mtwara, Lindi n.k. vilishindwa kufanya kazi wakati tunavianzisha kama taifa. Na unajua ni kwanini nchi yetu ilifutiwa madeni wakati wa Mkapa? Kalagabao!
 
Mradi huu unasemekana unaharibu Mazingira kuharibu mazingira na kuharibu Viumbe hai.

Mradi huu UNESCO wamezungumzia na wanajua unaharibu sana, ndiyo maana hata tenda ya ujenzi makampuni makubwa yalihofu sana, yakashindwa na mwishowe kampuni ya ARAB COntractors ambayo ni WASTAAFU WA JESHI huko Misri wakaamua kuchukua,.

hii kazi itawagharimu sana, Na huyu mkuu wetu wa nchi anatupeleka shimoni
 
Acha kupotosha watu wewe. Uharibifu gani wa mazingira uliofanywa pale.
Kemea hao ndugu zako wanaokata magogo hapo kijijini kwako kwa kuchoma mkaaa.
Kwa kifupi hakuna best project anayoifanya Magu Kama hiyo. Kati ya zote hiyo kwangu it's number one
 
Tatizo wabongo wengi mnadandia Mambo kwa miheuko.
Wakati dunia inaubwa sehemu kubwa ya makazi yetu yalikuwa ni misitu waishiyo wanyama. Hao uko majuu washamaliza mapori yote, wanaongoza kwa air pollution. Wamefyeka misitu kikubwa ili waweke makazi ya watu. Leo hii sisi kufanya hili la kimaendeleo limekuwa nongwa?
 
Huo mradi kwa taarifa yako utawasaidia sana hata hao wanyama waishiyo hapo. Kutajengwa bwawa kubwa ambalo maji hayatakuwa yanaisha na ule uhaba wa maji kwa wanyama kipindi Cha kiangazi kikali utakuwa haupo.
 
Unajua kuwa mto Rufiji ulisababisha mafuriko huko LINDI kwa sababu ya deforestation iliyofanyika kwenye hiyo project.
Acha kupotosha watu wewe. Uharibifu gani wa mazingira uliofanywa pale.
Kemea hao ndugu zako wanaokata magogo hapo kijijini kwako kwa kuchoma mkaaa.
Kwa kifupi hakuna best project anayoifanya Magu Kama hiyo. Kati ya zote hiyo kwangu it's number one
WANAOJUA ZAIDI KARIBUNI KWA MJADALA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…