Uchaguzi 2020 Ukweli mchungu kwa Lissu, sio kila mtu anaweza kuwa Rais wa JMT

ukabila na udicteta mnauona ufipa pekeyenu tuu?
Chadema kungekuwa na ukabila nyinyi CCM msingekuwa kutwa kuwabambikia kesi kuwapiga risasi mngeacha wananchi waamue wenyewe
 
😁😁😁😁😁😁
 
jipe moyo
Moyo upo acha kuwabambikia kesi acha kumpiga risasi acha kuitumia mahakamaccm vibaya uone moto wa Tundu lisu ndipo utajua kuwa alichokukaririaha cyprian Musiba kilikuwa cha kijinga
 
Mbona hiyo system imemkubali mtu mwovu na katili asie na uwezo wa kuhutubia hata mkutano wa kijiji kwa kiswahi akaeleweka?

System hiyo ingekuwa makini kama usemavyo huyu nduli tusingekewa nae
Point yako ni nini?
tafadhali soma mada na uielewe
 
Naona unatafauta kurushiwa kokoto wewe ; umechoka kuishi kwa amani.
 
subiri Kalagha baho
 
nyie hapo
Heshima hushuka pindi udikiteta uchwara ukishika kasi, mfano kuzuia mikutano ya siasa ni uoga na uonevu heshima inashuka, kuwapiga risasi inashusha heshima zaidi.
 
Naona unatafauta kurushiwa kokoto wewe ; umechoka kuishi kwa amani.
hii posti yako imenilenga mimi?
Bila shaka unajua hakuna shujaa alie hai

shkamoo mzee wangu
 
Zipo wapi trilion 1.5 mlizokwapua hadi kumtoa CAG kafara? Zipo wapi bilion 12 za Ndungai?
 
Heshima hushuka pindi udikiteta uchwara ukishika kasi, mfano kuzuia mikutano ya siasa ni uoga na uonevu heshima inashuka, kuwapiga risasi inashusha heshima zaidi.
asante kwa mchango wako!!
tafadhali tafta mada inayolingana na akili yako
 
Reactions: UCD
Sema umechoka wewe siyo tumechoka!! Acha kutusemea wewe bwana mdogo!
 
CCM hakuna malaika hakuna mwema CCM zipo wapi zile bilion 251 zilipotea wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa?
 
Kwa hiyo ripoti ya makinikia wewe umeona ilikuwa sawa? Pole sana
 
CCM hakuna malaika hakuna mwema CCM zipo wapi zile bilion 251 zilipotea wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa?
unaniuliza mimi au ccm?
 
ukabila na udicteta mnauona ufipa pekeyenu tuu?

Ww kama ww utauonaje wakati unakupa maisha? Kwa taarifa yako hata Iddy Amin pamoja na mauaji yote aliyoyafanya, alikuwa na wapambe kama ww ambao waliona kuwa alikuwa sawa, na walikuwa wanasema kabisa kuwa ananyoosha nchi.
 
asante kwa mchango wako!!
tafadhali tafta mada inayolingana na akili yako
Wewe Mbona ni mbumbumbu juha zuzu unawezaje kujua mada ya Akili wakati Akili huna?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…