FACTSFIRST
Senior Member
- Dec 6, 2019
- 191
- 290
Kosa lake kubwa lililo mwaribia lissu kuwa Rais wa Tanzania matamshi yake wakati wa mchanga wa dhahabu wa Makenikia , kuunga mkono wazungu wachukue Madini yetu na kusema tusipowapa tutanyolewa kwa chupa , ilo tu linatosha kufuta kwenye ramani ya urais ktk historia ya Maisha yake. kumpa ukuu wa wilaya na ubunge nikosa kubwa tunataka Rais atakae tetea raslimali za nchi yetu . kwa ili tu lissu hafai kuwa Rais wa Tanzania atauza raslimali zetu zote kwa wazungu.
Nonsense!