Ukweli Mchungu: Rais Samia hupendwi na Wananchi wengi

Mnasema hapendwi lakini utashangaa 2025 kuna watu kibao watampa kura zao kwa kuwa na mahaba na chama bila kuangalia utendaji wake pia kuna ambao hawatampa kura pengine hawa wanaweza kuwa wengi lakini kwa kuwa haya ma CCM ni majizi mazoefu ya kura utashangaa amepata kura za kutosha lakini za mchongo
 
sisi tunampenda mnooo. kafanya mengi ndani ya mda mfupi wafanyakazi wengi tunampenda katutoa kwenye minyororo ya ukandamizwaji ya magufuli
Huku niliko pia tunampenda sana tu, tena saaaaaanaaa!
Akichukiwa na nyumbu wachache kuna shisa gani kwani?!!!

Mama analeta mabadiliko makubwa ya kiuchumi........hayo lazima kuna kuna walinda legacy kadhaa hawapendi kuyaona wala kuyasikia; kutoka kwao, lazima tutasikia kila aina ya uongo kama huu
 
Toka pande za R.CHUGA namkubali Mama kinoma noma
Kairudisha Arusha kwenye kiti chake cha ufalme baada ccm ya kina siambiliki kuondoka.
 
Uenda hakuwekwa na wananchi,raisi akifia madarakani Kama Sio miezi 6 kuelekea uchaguzi mkuu.
Uchaguzi ufanyike wananchi waweke chaguo lao.
Uraia Sio zawadi ya kupewa apewae hana uchungu.
 
Kwani lini kura za halali ziliwahi kupigwa nchi hii?
 
Wafanyakazi wengi wa bandarini na maagent wa mizigo hawampendi anataka kuondoka na ulaji wao.
 
Huo ni mtazamo wako....suala la mkataba wa bandari kuwa wazi ni Moja ya sifa kuu ya kiongozi anayeshirikisha wananchi wake.

Ulitaka mkataba uwe wa Siri kama ule wa kununua ndege? Tena kipengele Cha usiri tuliweka sisi! Ukiondoa hizo ndege kupigwa double price pia tumeshalipa fedha nyingi za fidia kutokana na maamuzi ya hovyo ya kuvunja mikataba
 
Nikimpenda amimi inatosha mkuu

Muache Mama
Ukiona watu wanamzungumzia Rais wewe unazungumzia Mama tayari ujue tayari mnazungumzia watu wawili tofauti.
Huyu anazungumzia kiongozi wa nchi ambaye anachaguliwa, anafukuzwa pia, anapingwa, anapinduliwa kwa nguvu na mengine mengi lakini Mama hachaguliwi, hapingwi na hafukuzwi umama wake.
We baki na mama yako sisi acha tumkosoe Rais
 
KAMA NI HIVYO BORA KUINGIA GHARAMA ZA KUMCHAGUA RAISI TENA PUNDE MUNGU AMPENDAPO ZAIDI MLIYEMCHAGUA KULIKO MTU KURITHI URAIS MAANA MRITHI HUWA HANA UCHUNGU KULINDA MALI NA WATU ALIZORITHI/ ALIOWARITHI NA HUWA HAJALI.
 
Sawa hapendwi, kwa hiyo.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…