Ukweli Mchungu: Rais Samia hupendwi na Wananchi wengi

Ukweli Mchungu: Rais Samia hupendwi na Wananchi wengi

Cheo cha Mkuu wa Nchi ni Cha Kimamlaka, Sikumbuki ni Lini mara ya Mwisho nimevutiwa kusikiliza au kujua Mkuu wa Nchi anahutubia Taifa Letu Takatifu, Bi mkubwa amekuwa too soft afu pia vibaraka Wanaomzunguka wanazidi kumuingiza Chaka tu ili nao wapate pakuanzia, Wengi hawana nia ya Kumuona akifanikiwa kwa sababu nao wanataka kiti chake

Majority ni hao Cabinet secretaries wengi wanataka kiti kikuu afumue aweke Wasaidizi na sio washindani

The Late President wa Kenya Moi aliwahi Kusema The presidency is a jealous Institution
 
Kuna sehemu wananchi umewakosea. Tafakari!

Toka uanze kazi ni mikoa 2 tu sijatembelea nayo ni Kagera na Kigoma. Mikoa mingine yote nimefika na kujaribu kufanya utafiti wa kawaida.

Hali ni mbaya, Siandiki kwa ubaya lakini ndiyo Hali halisi. Wengi wanakuongelea kwenye mtazamo hasi. Hata kwenye mikutano yako ya hadhara, wasaidizi wako wanatumia nguvu kubwa Sana kushawishi watu wajitokeze. Hii si ishara nzuri kwa kiongozi hasa wa level yako.

Niandikaye hapa ni mmoja wa watu tunaopita vijiweni Hadi vijijini. Tunakutana na watu wa kila aina na makundi tofauti na tunabadilishana mawazo. Na huwa hatuachi kuzungumzia viongozi wetu na msitakabali wa nchi yetu. Kwani Tanzania ndiyo mama yetu wa uraia.

Hali ni mbaya. Hali ni mbayaaaa!
Ndugu zetu walio vijijini wengine hata kisomo ni cha Chini lakini kila tukizungumza kwenye simu wanatuuliza " eti tunasikia hata bandari imeenda alijojo" 😭 huwa nasikitika wakiniuliza hivi lakini najiuliza Hadi huko wanajua? Nagundua teknolojia imerahisisha usambaaji wa taarifa.

Sasa wale wanakuzunguka always watakuambia unakubalika lakini kamwe usiwaamini. Wanatumia nguvu kubwa kuwa corrupt mind lakini pamoja na hilo wakitoka wanakuponda mno wananchi.
Sasa hivi waziri mmoja wa afya ametangaza kuanza kwa clinic binafsi katika hospitali za umma. Mapokeo ya hili ni hasi kwa wananchi na joto la jiwe wameanza kulionja. Wanakwenda hospital wanacheleweshwa makusudi ili ifike saa 10 huduma binafsi zianze. Hali ni mbaya.

Kwenye hotuba zako, tofauti na mtangulizi wako, wewe siku hizi hata ukiwa una schedule ya kuhutubia wananchi wengi hawajiandai kusubiri kwa hamu hotuba ya kiongozi wao na hata kujazana kwenye kumbi za starehe kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wako. Nimejaribu kuandika kile nakiona mtaani lakini.

Muda Bado upo kidogo kuelekea 2025 ukiamua kubadilika unaweza, ukiamua kupuuza haya ni Sawa tu.
Lakini kama Hali itakwenda hivi Hadi 2025 mtaleta machafuko baada ya uchaguzi. Hatupendi hayo.

Jamhuri ya muungano wa Tanzania🇹🇿
"Raslimali za nchi ziheshimiwe kwa manufaa ya wote"
Sisi Watumishi wa Umma tunamuelewa saana, madaraja, mishahara, OC zilizoshiba.

Mi shabiki wa Chadema ila Maza namuelewa sana anaganga majeraha ya mtangulizi wake
 
kushinda uchaguzi upinzani ni jambo gumu labda katiba ya hii nchi ibadilishwe baazi ya kanuni za uchaguzi zibadilishwe ,Raisi anamchagua msimamizi mkuu wa uchaguzi unategemea nini hapo?wakurugenzi ndo mabosi wa ichaguzi huko chini kabisa unategemea mtu atashinda?labda waamue tu
Kwahiyo jamaa hawatoboi si kwamba hawapigiwi kura za kutosha bali wanadhoofishwa na system?.Hivi majuzi nae omary mapuri(kada wa ccm) amepewa teuzi huko kwenye system za uchaguzi.
 
HAKUNA KIPINDI AMBACHO AKINAMAMA WENYE UELEWA WANAFAIDIKA KAMA KIPINDI HIKI MIKOPO IMERAHISISHWA KWELI,LABDA HILO LIMAMA ULILOLIOJI NI LENYE CHUKI YAKE NA MUMEWE LINAIWEKA KWENYE UMMA,ALL BRIGHTY WOMEN LOVE MAMA SAMIAH,MAJINGA NA YASIYOJUA KUTUMIA FURSA ZILIZOPO NI SHIDA KWAO.
Mikopo kwa akina mama alisitisha kitambo tu! Na hata kama atakuwa ameirejesha kinya kimya, bado utokaji wake umejaa urasimu wa kutisha.

Wamama mtaani wanahangaika na mikopo ya vicoba, na pia ile ya moto kutoka Loan sharks! Kwa hiyo nilichokisema kina ukweli ndani yake.
 
Tena aki na mama ndo hawampendi kabisa. Kuna mama mmoja anasikiliza radio one sasa kuna muda wanaweka ujumbe wa Samia Suluhu Hassan utasikia wamama wanakwambia mwenzao "zima kwanza/toatoatoa.../we punguza sauti kwanza/
Hii ni kweli,Mimi naishi Mwanza,Wamama hawampendi Samia!
 
Kuna sehemu wananchi umewakosea. Tafakari!

Toka uanze kazi ni mikoa 2 tu sijatembelea nayo ni Kagera na Kigoma. Mikoa mingine yote nimefika na kujaribu kufanya utafiti wa kawaida.

Hali ni mbaya, Siandiki kwa ubaya lakini ndiyo Hali halisi. Wengi wanakuongelea kwenye mtazamo hasi. Hata kwenye mikutano yako ya hadhara, wasaidizi wako wanatumia nguvu kubwa Sana kushawishi watu wajitokeze. Hii si ishara nzuri kwa kiongozi hasa wa level yako.

Niandikaye hapa ni mmoja wa watu tunaopita vijiweni Hadi vijijini. Tunakutana na watu wa kila aina na makundi tofauti na tunabadilishana mawazo. Na huwa hatuachi kuzungumzia viongozi wetu na msitakabali wa nchi yetu. Kwani Tanzania ndiyo mama yetu wa uraia.

Hali ni mbaya. Hali ni mbayaaaa!
Ndugu zetu walio vijijini wengine hata kisomo ni cha Chini lakini kila tukizungumza kwenye simu wanatuuliza " eti tunasikia hata bandari imeenda alijojo" 😭 huwa nasikitika wakiniuliza hivi lakini najiuliza Hadi huko wanajua? Nagundua teknolojia imerahisisha usambaaji wa taarifa.

Sasa wale wanakuzunguka always watakuambia unakubalika lakini kamwe usiwaamini. Wanatumia nguvu kubwa kuwa corrupt mind lakini pamoja na hilo wakitoka wanakuponda mno wananchi.
Sasa hivi waziri mmoja wa afya ametangaza kuanza kwa clinic binafsi katika hospitali za umma. Mapokeo ya hili ni hasi kwa wananchi na joto la jiwe wameanza kulionja. Wanakwenda hospital wanacheleweshwa makusudi ili ifike saa 10 huduma binafsi zianze. Hali ni mbaya.

Kwenye hotuba zako, tofauti na mtangulizi wako, wewe siku hizi hata ukiwa una schedule ya kuhutubia wananchi wengi hawajiandai kusubiri kwa hamu hotuba ya kiongozi wao na hata kujazana kwenye kumbi za starehe kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wako. Nimejaribu kuandika kile nakiona mtaani lakini.

Muda Bado upo kidogo kuelekea 2025 ukiamua kubadilika unaweza, ukiamua kupuuza haya ni Sawa tu.
Lakini kama Hali itakwenda hivi Hadi 2025 mtaleta machafuko baada ya uchaguzi. Hatupendi hayo.

Jamhuri ya muungano wa Tanzania🇹🇿
"Raslimali za nchi ziheshimiwe kwa manufaa ya wote"
Wanaomchukia Rais SSH ni wale waliozoea zile bata za awamu ya tano. Wale waliokuwa wanaongea lugha yao ya asili katika vikao vya halmashauri hapa nchini.

Walizoea kujiona wao ndio watawala wa milele kwa kutegemea wingi wa watu wa kabila lao. Kifo cha kabla cha mpendwa JPM kikawafanya wakaanza kujihisi kama yatima aliyepoteza wazazi wote wawili.

Hizi nongwa zote wanazoendeleza sababu ni kuhisi mirija yao kukatwa. Na Samia amekua akitumia akili sana kuhakikisha daraja la busisi linamalizika kwa wakati na amezianzisha siasa za uchifu huko kanda ya ziwa makusudi kabisa ili kuwaonyesha hao waungwana kwamba hawajapoteza kila kitu.

Ni aina fulani ya kuwapa faraja hivyo hizi nongwa zote zinazoendelea chanzo chake ni hiyo vita ya siri inayoanzia kwa wale wafuasi wa hayati JPM.

Wanatamani sana wamlaumu Mungu lakini mioyo yao inafahamu kuwa hiyo ni dhambi kubwa.
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kupendwa na kuwa na wasiwasi naye.

SSH anapendwa ila watu wana wasiwasi kuwa anaingizwa Mkenge. Yeye ni bendera fata upepo. Mamlaka yanaonekana pale ambapo unakaa kwenye nafasi yako kwa uimara na uthabiti.
Nini kinafanya apendwe ni aina ya uongozi wake au anapendwa tu yeye kama yeye kama ilivyo kwa Kikwete?
 
Kuna sehemu wananchi umewakosea. Tafakari!

Toka uanze kazi ni mikoa 2 tu sijatembelea nayo ni Kagera na Kigoma. Mikoa mingine yote nimefika na kujaribu kufanya utafiti wa kawaida.

Hali ni mbaya, Siandiki kwa ubaya lakini ndiyo Hali halisi. Wengi wanakuongelea kwenye mtazamo hasi. Hata kwenye mikutano yako ya hadhara, wasaidizi wako wanatumia nguvu kubwa Sana kushawishi watu wajitokeze. Hii si ishara nzuri kwa kiongozi hasa wa level yako.

Niandikaye hapa ni mmoja wa watu tunaopita vijiweni Hadi vijijini. Tunakutana na watu wa kila aina na makundi tofauti na tunabadilishana mawazo. Na huwa hatuachi kuzungumzia viongozi wetu na msitakabali wa nchi yetu. Kwani Tanzania ndiyo mama yetu wa uraia.

Hali ni mbaya. Hali ni mbayaaaa!
Ndugu zetu walio vijijini wengine hata kisomo ni cha Chini lakini kila tukizungumza kwenye simu wanatuuliza " eti tunasikia hata bandari imeenda alijojo" [emoji24] huwa nasikitika wakiniuliza hivi lakini najiuliza Hadi huko wanajua? Nagundua teknolojia imerahisisha usambaaji wa taarifa.

Sasa wale wanakuzunguka always watakuambia unakubalika lakini kamwe usiwaamini. Wanatumia nguvu kubwa kuwa corrupt mind lakini pamoja na hilo wakitoka wanakuponda mno wananchi.
Sasa hivi waziri mmoja wa afya ametangaza kuanza kwa clinic binafsi katika hospitali za umma. Mapokeo ya hili ni hasi kwa wananchi na joto la jiwe wameanza kulionja. Wanakwenda hospital wanacheleweshwa makusudi ili ifike saa 10 huduma binafsi zianze. Hali ni mbaya.

Kwenye hotuba zako, tofauti na mtangulizi wako, wewe siku hizi hata ukiwa una schedule ya kuhutubia wananchi wengi hawajiandai kusubiri kwa hamu hotuba ya kiongozi wao na hata kujazana kwenye kumbi za starehe kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wako. Nimejaribu kuandika kile nakiona mtaani lakini.

Muda Bado upo kidogo kuelekea 2025 ukiamua kubadilika unaweza, ukiamua kupuuza haya ni Sawa tu.
Lakini kama Hali itakwenda hivi Hadi 2025 mtaleta machafuko baada ya uchaguzi. Hatupendi hayo.

Jamhuri ya muungano wa Tanzania[emoji1241]
"Raslimali za nchi ziheshimiwe kwa manufaa ya wote"
Usimuamshe aliyelala
 
Tena aki na mama ndo hawampendi kabisa. Kuna mama mmoja anasikiliza radio one sasa kuna muda wanaweka ujumbe wa Samia Suluhu Hassan utasikia wamama wanakwambia mwenzao "zima kwanza/toatoatoa.../we punguza sauti kwanza/
Weeeeeee !!!
 
Mikopo kwa akina mama alisitisha kitambo tu! Na hata kama atakuwa ameirejesha kinya kimya, bado utokaji wake umejaa urasimu wa kutisha.

Wamama mtaani wanahangaika na mikopo ya vicoba, na pia ile ya moto kutoka Loan sharks! Kwa hiyo nilichokisema kina ukweli ndani yake.
Iko mimama huwa inajitesa yenyewe na sijui hats huwa na akili gani ? Vicoba imekuwa kama lifestyle yao unakuta anacheza vikoba kwa miaka 20 mfululizo Nyumba hana gari hana kula ya shida kila Sikh mbiombio😁😁😁
 
Ukiona watu wanamzungumzia Rais wewe unazungumzia Mama tayari ujue tayari mnazungumzia watu wawili tofauti.
Huyu anazungumzia kiongozi wa nchi ambaye anachaguliwa, anafukuzwa pia, anapingwa, anapinduliwa kwa nguvu na mengine mengi lakini Mama hachaguliwi, hapingwi na hafukuzwi umama wake.
We baki na mama yako sisi acha tumkosoe Rais
I say what I say
 
Back
Top Bottom