2025 chama kikimpitisha hao hao wanawake mnaoketi pamoja na kupeana majina ya mchele wataupika na utaula mpaka 2030.Mbona povu mkuu, mi nimesema wanawake wanauita MCHELE SAMIA. .Kosa langu ni lipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2025 chama kikimpitisha hao hao wanawake mnaoketi pamoja na kupeana majina ya mchele wataupika na utaula mpaka 2030.Mbona povu mkuu, mi nimesema wanawake wanauita MCHELE SAMIA. .Kosa langu ni lipi?
CCM itaendelea kukuongoza na ikimpitisha samia 2025 wamama watampitisha kwa kishindo. Hili utalishuhudia TBC au mitandaoni kama jibu la nadharia ulizonazo.Uko sahihi kabisa. Wamama wengi hawamkubali kabisa huyu Rais. Na hata hoja ya kutopendwa nayo ina ukweli ndani yake.
Hakuna kura za bure kuna kura za Watanzania na zitaendelea kuwepo kwa 2025-2030.Maeneo mengi ya vijijini ambako ccm imekuwa ikikusanya kura za bure, kwa sasa hali ni tofauti kabisa. Kuna watu hawataki hata kumsikia, au kumuona kwenye picha. Hii siyo dalili nzuri hata kidogo.
Tanzania inaongozwa na CCM, akijitoa, bado CCM ni ile ile, wembe ni ule ule, kilio kwa wasioitaka ni kile kile.Natamani 2025, angejitoa kwenye mchakato. Ila ndiyo tena. Madaraka yamesha mnogea. Ngoja tuone kitakachotokea.
Hata mimi kwa kweli simpendi kama akiendelea hivi, naomba nisiwe mnafiki.Kuna sehemu wananchi umewakosea. Tafakari!
Toka uanze kazi ni mikoa 2 tu sijatembelea nayo ni Kagera na Kigoma. Mikoa mingine yote nimefika na kujaribu kufanya utafiti wa kawaida.
Hali ni mbaya, Siandiki kwa ubaya lakini ndiyo Hali halisi. Wengi wanakuongelea kwenye mtazamo hasi. Hata kwenye mikutano yako ya hadhara, wasaidizi wako wanatumia nguvu kubwa Sana kushawishi watu wajitokeze. Hii si ishara nzuri kwa kiongozi hasa wa level yako.
Niandikaye hapa ni mmoja wa watu tunaopita vijiweni Hadi vijijini. Tunakutana na watu wa kila aina na makundi tofauti na tunabadilishana mawazo. Na huwa hatuachi kuzungumzia viongozi wetu na msitakabali wa nchi yetu. Kwani Tanzania ndiyo mama yetu wa uraia.
Hali ni mbaya. Hali ni mbayaaaa!
Ndugu zetu walio vijijini wengine hata kisomo ni cha Chini lakini kila tukizungumza kwenye simu wanatuuliza " eti tunasikia hata bandari imeenda alijojo" 😭 huwa nasikitika wakiniuliza hivi lakini najiuliza Hadi huko wanajua? Nagundua teknolojia imerahisisha usambaaji wa taarifa.
Sasa wale wanakuzunguka always watakuambia unakubalika lakini kamwe usiwaamini. Wanatumia nguvu kubwa kuwa corrupt mind lakini pamoja na hilo wakitoka wanakuponda mno wananchi.
Sasa hivi waziri mmoja wa afya ametangaza kuanza kwa clinic binafsi katika hospitali za umma. Mapokeo ya hili ni hasi kwa wananchi na joto la jiwe wameanza kulionja. Wanakwenda hospital wanacheleweshwa makusudi ili ifike saa 10 huduma binafsi zianze. Hali ni mbaya.
Kwenye hotuba zako, tofauti na mtangulizi wako, wewe siku hizi hata ukiwa una schedule ya kuhutubia wananchi wengi hawajiandai kusubiri kwa hamu hotuba ya kiongozi wao na hata kujazana kwenye kumbi za starehe kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wako. Nimejaribu kuandika kile nakiona mtaani lakini.
Muda Bado upo kidogo kuelekea 2025 ukiamua kubadilika unaweza, ukiamua kupuuza haya ni Sawa tu.
Lakini kama Hali itakwenda hivi Hadi 2025 mtaleta machafuko baada ya uchaguzi. Hatupendi hayo.
Jamhuri ya muungano wa Tanzania🇹🇿
"Raslimali za nchi ziheshimiwe kwa manufaa ya wote"
Hiyo kwenda uwanja wa taifa watu walipewa hadi usafiri wa bure na kuhamasishwa kwenda, na wengine haya maagizo yalitoka wahudhurie, lengo ni kuficha picha hasi ya kuchukukiwa kwake. Watu walikuwa wanalia kwakuwa ni msiba wa kwanza wa rais kufia madarakani hapa nchini, na covarage ya msiba ikiyokuwepo. Watu walikuwa wanajazana kwenye vibanda kusikiliza hotuba zake kwani zilikuwa na mvuto, sana sana watu waliokuwa wanasikiliza ili waone maamuzi ya sifa za kijinga na udhalilishaji wa watu. Ifahamike ilikuwa ni style mpya ya kutawala kwa rais kuonekana kwenye media kila siku. Wangeachwa wale waliokuwa wanashangilia msiba wake ndio ungejua hujui.Umeandika ujinga!
Huyo unae msema watu walikuwa wanajazana kwenye Vibanda kusikilizà hotuba zake. Hadi anakufa watu wamejazana kulia kila Kona. Hadi Leo wanamililia.
we mduanzi nikome peleka zaga zaga zako pemba huko2025 chama kikimpitisha hao hao wanawake mnaoketi pamoja na kupeana majina ya mchele wataupika na utaula mpaka 2030.
Ukweli hata mimi nikisikia wanataka kuweka ujumbe wa Samia nikiwahi nazima redio upite kwanza.Tena aki na mama ndo hawampendi kabisa. Kuna mama mmoja anasikiliza radio one sasa kuna muda wanaweka ujumbe wa Samia Suluhu Hassan utasikia wamama wanakwambia mwenzao "zima kwanza/toatoatoa.../we punguza sauti kwanza/
Umenena vema Uchaguzi umekuwa tu kama ni takwa la kidemokrasia lakini hauna maana halisi ya uchaguziSioni tena wapiga kura wa maana kwenye chaguzi zetu. Watu wengi wamepuuza rasmi chaguzi zetu kutokana na kutoheshimiwa kwa kura zao. Uchaguzi wa 2020 ulikuwa na wapiga kura wachache mno kutokana na mwenendo wa dhalimu kwenye demokrasia yetu kuanzia 2016 na kuendelea.
Kwa uzoefu wangu utawala wa mkapa ndio ulioanza kusomba watu kuwatoa sehemu tofaoti hata mzee nyundo kwenye mikutano yake walikuwa wabasombwa watu bodaboda bajaji watiliwa mafutaKuna sehemu wananchi umewakosea. Tafakari!
Toka uanze kazi ni mikoa 2 tu sijatembelea nayo ni Kagera na Kigoma. Mikoa mingine yote nimefika na kujaribu kufanya utafiti wa kawaida.
Hali ni mbaya, Siandiki kwa ubaya lakini ndiyo Hali halisi. Wengi wanakuongelea kwenye mtazamo hasi. Hata kwenye mikutano yako ya hadhara, wasaidizi wako wanatumia nguvu kubwa Sana kushawishi watu wajitokeze. Hii si ishara nzuri kwa kiongozi hasa wa level yako.
Niandikaye hapa ni mmoja wa watu tunaopita vijiweni Hadi vijijini. Tunakutana na watu wa kila aina na makundi tofauti na tunabadilishana mawazo. Na huwa hatuachi kuzungumzia viongozi wetu na msitakabali wa nchi yetu. Kwani Tanzania ndiyo mama yetu wa uraia.
Hali ni mbaya. Hali ni mbayaaaa!
Ndugu zetu walio vijijini wengine hata kisomo ni cha Chini lakini kila tukizungumza kwenye simu wanatuuliza " eti tunasikia hata bandari imeenda alijojo" [emoji24] huwa nasikitika wakiniuliza hivi lakini najiuliza Hadi huko wanajua? Nagundua teknolojia imerahisisha usambaaji wa taarifa.
Sasa wale wanakuzunguka always watakuambia unakubalika lakini kamwe usiwaamini. Wanatumia nguvu kubwa kuwa corrupt mind lakini pamoja na hilo wakitoka wanakuponda mno wananchi.
Sasa hivi waziri mmoja wa afya ametangaza kuanza kwa clinic binafsi katika hospitali za umma. Mapokeo ya hili ni hasi kwa wananchi na joto la jiwe wameanza kulionja. Wanakwenda hospital wanacheleweshwa makusudi ili ifike saa 10 huduma binafsi zianze. Hali ni mbaya.
Kwenye hotuba zako, tofauti na mtangulizi wako, wewe siku hizi hata ukiwa una schedule ya kuhutubia wananchi wengi hawajiandai kusubiri kwa hamu hotuba ya kiongozi wao na hata kujazana kwenye kumbi za starehe kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wako. Nimejaribu kuandika kile nakiona mtaani lakini.
Muda Bado upo kidogo kuelekea 2025 ukiamua kubadilika unaweza, ukiamua kupuuza haya ni Sawa tu.
Lakini kama Hali itakwenda hivi Hadi 2025 mtaleta machafuko baada ya uchaguzi. Hatupendi hayo.
Jamhuri ya muungano wa Tanzania[emoji1241]
"Raslimali za nchi ziheshimiwe kwa manufaa ya wote"
Kelele za chura azizuii ng,ombe kunywa maji,bora kupata akili ikakosa mali leo unamchukia samia unaipenda ccm na huyo mbunge wako samia uongozi wake utakoma na utabaki na salakasi za ccm tu watu kama nyiyi ndio msio faa msio jua chanzo cha haya yoteSamia ameharibu hakuna mtanganyika mwenye akili timamu mwenye kutamani kumuona, achilia mbali hata kumsikia..
Ni wajinga wachache kama wewe ndio wanaomuona shujaa wao, kwasababu ndie amewageuza watumwa ndani ya mipaka ya nchi yenu.
Jana tu jioni, nimekaa na jamaa zangu wanaendesha carry, gari ndogo za kusafirisha mizigo, sikuamini maneno waliyokuwa wakiyatoa pale kijiweni kwao..
Ikabidi niwatazame mara mbili mbili, maneno makali waliyokuwa wakiyatoa dhidi ya huyo mwanamke siwezi kuyaandika hapa, chawa amini nakwambia, watanganyika wote unaowaona hawana tena imani na Samia..
Mungu hapangiwi uwenda wewe leo ukafukiwa yeye akazidi kuponda marahaBora Mungu ampende zaidi tubaki na bandari zetu
Mkuu tulishamsikia Borntown akijidai mbele ya wavaa kijani wenzake kuwa 2025 atakuwa ni mama tu,eti hakuna mtu maarufu nchi hii kama first lady. Sasa kama mwenye nchi na mwenye chama kasema sisi ni nani hadi tukatae sisi ni mazombie tu mkuu huwezi fananisha na majirani zetu wa Malawi,Zambia na hata Kenya.jamaa wamesha jimilikisha nchii hii yao kama kaya yao binafsi.Kuna sehemu wananchi umewakosea. Tafakari!
Toka uanze kazi ni mikoa 2 tu sijatembelea nayo ni Kagera na Kigoma. Mikoa mingine yote nimefika na kujaribu kufanya utafiti wa kawaida.
Hali ni mbaya, Siandiki kwa ubaya lakini ndiyo Hali halisi. Wengi wanakuongelea kwenye mtazamo hasi. Hata kwenye mikutano yako ya hadhara, wasaidizi wako wanatumia nguvu kubwa Sana kushawishi watu wajitokeze. Hii si ishara nzuri kwa kiongozi hasa wa level yako.
Niandikaye hapa ni mmoja wa watu tunaopita vijiweni Hadi vijijini. Tunakutana na watu wa kila aina na makundi tofauti na tunabadilishana mawazo. Na huwa hatuachi kuzungumzia viongozi wetu na msitakabali wa nchi yetu. Kwani Tanzania ndiyo mama yetu wa uraia.
Hali ni mbaya. Hali ni mbayaaaa!
Ndugu zetu walio vijijini wengine hata kisomo ni cha Chini lakini kila tukizungumza kwenye simu wanatuuliza " eti tunasikia hata bandari imeenda alijojo" 😭 huwa nasikitika wakiniuliza hivi lakini najiuliza Hadi huko wanajua? Nagundua teknolojia imerahisisha usambaaji wa taarifa.
Sasa wale wanakuzunguka always watakuambia unakubalika lakini kamwe usiwaamini. Wanatumia nguvu kubwa kuwa corrupt mind lakini pamoja na hilo wakitoka wanakuponda mno wananchi.
Sasa hivi waziri mmoja wa afya ametangaza kuanza kwa clinic binafsi katika hospitali za umma. Mapokeo ya hili ni hasi kwa wananchi na joto la jiwe wameanza kulionja. Wanakwenda hospital wanacheleweshwa makusudi ili ifike saa 10 huduma binafsi zianze. Hali ni mbaya.
Kwenye hotuba zako, tofauti na mtangulizi wako, wewe siku hizi hata ukiwa una schedule ya kuhutubia wananchi wengi hawajiandai kusubiri kwa hamu hotuba ya kiongozi wao na hata kujazana kwenye kumbi za starehe kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wako. Nimejaribu kuandika kile nakiona mtaani lakini.
Muda Bado upo kidogo kuelekea 2025 ukiamua kubadilika unaweza, ukiamua kupuuza haya ni Sawa tu.
Lakini kama Hali itakwenda hivi Hadi 2025 mtaleta machafuko baada ya uchaguzi. Hatupendi hayo.
Jamhuri ya muungano wa Tanzania🇹🇿
"Raslimali za nchi ziheshimiwe kwa manufaa ya wote"
ashakuambia yeye ni mtu wa field Tanzania hatuna documented detailKwa hiyo sisi tunaempenda sio wananchi wengi?
Hizo takwimu zako umezitoa kwa mizimu gani?
we mbwa una kitu kinakuwasha, umejaa uongo na uzushi wa kipumbavu, nani alikutuma huko kote na umetumia gharama za nani. Subiri uchaguzi mkuu 2025 omba uzima.Kuna sehemu wananchi umewakosea. Tafakari!
Toka uanze kazi ni mikoa 2 tu sijatembelea nayo ni Kagera na Kigoma. Mikoa mingine yote nimefika na kujaribu kufanya utafiti wa kawaida.
Hali ni mbaya, Siandiki kwa ubaya lakini ndiyo Hali halisi. Wengi wanakuongelea kwenye mtazamo hasi. Hata kwenye mikutano yako ya hadhara, wasaidizi wako wanatumia nguvu kubwa Sana kushawishi watu wajitokeze. Hii si ishara nzuri kwa kiongozi hasa wa level yako.
Niandikaye hapa ni mmoja wa watu tunaopita vijiweni Hadi vijijini. Tunakutana na watu wa kila aina na makundi tofauti na tunabadilishana mawazo. Na huwa hatuachi kuzungumzia viongozi wetu na msitakabali wa nchi yetu. Kwani Tanzania ndiyo mama yetu wa uraia.
Hali ni mbaya. Hali ni mbayaaaa!
Ndugu zetu walio vijijini wengine hata kisomo ni cha Chini lakini kila tukizungumza kwenye simu wanatuuliza " eti tunasikia hata bandari imeenda alijojo" 😭 huwa nasikitika wakiniuliza hivi lakini najiuliza Hadi huko wanajua? Nagundua teknolojia imerahisisha usambaaji wa taarifa.
Sasa wale wanakuzunguka always watakuambia unakubalika lakini kamwe usiwaamini. Wanatumia nguvu kubwa kuwa corrupt mind lakini pamoja na hilo wakitoka wanakuponda mno wananchi.
Sasa hivi waziri mmoja wa afya ametangaza kuanza kwa clinic binafsi katika hospitali za umma. Mapokeo ya hili ni hasi kwa wananchi na joto la jiwe wameanza kulionja. Wanakwenda hospital wanacheleweshwa makusudi ili ifike saa 10 huduma binafsi zianze. Hali ni mbaya.
Kwenye hotuba zako, tofauti na mtangulizi wako, wewe siku hizi hata ukiwa una schedule ya kuhutubia wananchi wengi hawajiandai kusubiri kwa hamu hotuba ya kiongozi wao na hata kujazana kwenye kumbi za starehe kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wako. Nimejaribu kuandika kile nakiona mtaani lakini.
Muda Bado upo kidogo kuelekea 2025 ukiamua kubadilika unaweza, ukiamua kupuuza haya ni Sawa tu.
Lakini kama Hali itakwenda hivi Hadi 2025 mtaleta machafuko baada ya uchaguzi. Hatupendi hayo.
Jamhuri ya muungano wa Tanzania🇹🇿
"Raslimali za nchi ziheshimiwe kwa manufaa ya wote"
Acha uwongo wako huo, kanda ya ziwa wanawake ndio wenye nguvu, waganga wa kienyeji karibu wote ni wanawake na wana nguvu ajabu ktk koo zao. Hiyo kanda yako sijui ni ipi. Hangaya ni jina la kiume? Mbona alikuwaga chifu wa wasukuma, acheni uzandiki wenu. Mama tunampenda tena sana labda nyie mashogaHuku kanda ya ziwa angelijuwa mwanamke hatakiwi kuwa kiongozi.