Continental Ground
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 1,907
- 3,895
Promo kubwa ..shoo kiazi .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Kweli ulikuwa na akili timamu Juzi!!Mimi mtanganyika nina akili timamu na ninamkubali
Chagua CCM dumisha muungano.we mduanzi nikome peleka zaga zaga zako pemba huko
Hiyo ametumia kipimo kipi kujua chuki zake wote tunazo?
SawaNikimpenda mimi inatosha mkuu
Muache Mama
Ameingia kihalali mkuu, hajajiingiza kwa nguvu uongozini....Utampendaje mtu ambaye hajachaguliwa na wananchi?yeye amepata urais kwa njia haramu,hivyo hawezi kupendwa.kingine ambacho ni kikubwa zaidi ni ulegelege wa kusimamia rasilimali za nchi.yeye kila kitu ni kusaini tu hata vitu vya hovyo kabisa.mfano mkataba wa uuzwaji wa bandari
Too late!!Chawa hawapendi taarifa kama hizi. Watakushukia kama mwewe!!
Kimsingi hali imekuwa mbaya mno kuliko wakati wowote. Sasa hivi hata kwenye TV watu hawataki kabisa kusikia hotuba ya mama.
Kwangu mimi Rais Samia ni kiongozi mzuri sana na ninampenda. Tumeona mengi anatenda vizuri. Lakini uungwana ni pamoja na kuujua ukweli na kuufanyia kazi.
Chawa wamesababisha fedheha kwa kiongozi wetu. Njia pekee na muhimu mama awapige chini hawa chawa na wasaidizi wanaomzubaisha ili waibe
Mkuu awamu ya 5 kulikuwa na Bata? Au umesahau ile kauli mbiu ya Hapa kazi tu! Nakumbusha tu mkuu si kwa ubayaWanaomchukia Rais SSH ni wale waliozoea zile bata za awamu ya tano. Wale waliokuwa wanaongea lugha yao ya asili katika vikao vya halmashauri hapa nchini.
Walizoea kujiona wao ndio watawala wa milele kwa kutegemea wingi wa watu wa kabila lao. Kifo cha kabla cha mpendwa JPM kikawafanya wakaanza kujihisi kama yatima aliyepoteza wazazi wote wawili.
Hizi nongwa zote wanazoendeleza sababu ni kuhisi mirija yao kukatwa. Na Samia amekua akitumia akili sana kuhakikisha daraja la busisi linamalizika kwa wakati na amezianzisha siasa za uchifu huko kanda ya ziwa makusudi kabisa ili kuwaonyesha hao waungwana kwamba hawajapoteza kila kitu.
Ni aina fulani ya kuwapa faraja hivyo hizi nongwa zote zinazoendelea chanzo chake ni hiyo vita ya siri inayoanzia kwa wale wafuasi wa hayati JPM.
Wanatamani sana wamlaumu Mungu lakini mioyo yao inafahamu kuwa hiyo ni dhambi kubwa.
Mwaka huu utajua hujuiTatizo lake ni kukopa na kupeleka mikopo yote kwa wala urojo, halafu ili kulipa madeni anaiuza Tanganyika, shida ipo hapo.
Jana niliposti hoja kama hii:Kuna sehemu wananchi umewakosea. Tafakari!
Toka uanze kazi ni mikoa 2 tu sijatembelea nayo ni Kagera na Kigoma. Mikoa mingine yote nimefika na kujaribu kufanya utafiti wa kawaida.
Hali ni mbaya, Siandiki kwa ubaya lakini ndiyo Hali halisi. Wengi wanakuongelea kwenye mtazamo hasi. Hata kwenye mikutano yako ya hadhara, wasaidizi wako wanatumia nguvu kubwa Sana kushawishi watu wajitokeze. Hii si ishara nzuri kwa kiongozi hasa wa level yako.
Niandikaye hapa ni mmoja wa watu tunaopita vijiweni Hadi vijijini. Tunakutana na watu wa kila aina na makundi tofauti na tunabadilishana mawazo. Na huwa hatuachi kuzungumzia viongozi wetu na msitakabali wa nchi yetu. Kwani Tanzania ndiyo mama yetu wa uraia.
Hali ni mbaya. Hali ni mbayaaaa!
Ndugu zetu walio vijijini wengine hata kisomo ni cha Chini lakini kila tukizungumza kwenye simu wanatuuliza " eti tunasikia hata bandari imeenda alijojo" 😭 huwa nasikitika wakiniuliza hivi lakini najiuliza Hadi huko wanajua? Nagundua teknolojia imerahisisha usambaaji wa taarifa.
Sasa wale wanakuzunguka always watakuambia unakubalika lakini kamwe usiwaamini. Wanatumia nguvu kubwa kuwa corrupt mind lakini pamoja na hilo wakitoka wanakuponda mno wananchi.
Sasa hivi waziri mmoja wa afya ametangaza kuanza kwa clinic binafsi katika hospitali za umma. Mapokeo ya hili ni hasi kwa wananchi na joto la jiwe wameanza kulionja. Wanakwenda hospital wanacheleweshwa makusudi ili ifike saa 10 huduma binafsi zianze. Hali ni mbaya.
Kwenye hotuba zako, tofauti na mtangulizi wako, wewe siku hizi hata ukiwa una schedule ya kuhutubia wananchi wengi hawajiandai kusubiri kwa hamu hotuba ya kiongozi wao na hata kujazana kwenye kumbi za starehe kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wako. Nimejaribu kuandika kile nakiona mtaani lakini.
Muda Bado upo kidogo kuelekea 2025 ukiamua kubadilika unaweza, ukiamua kupuuza haya ni Sawa tu.
Lakini kama Hali itakwenda hivi Hadi 2025 mtaleta machafuko baada ya uchaguzi. Hatupendi hayo.
Jamhuri ya muungano wa Tanzania🇹🇿
"Raslimali za nchi ziheshimiwe kwa manufaa ya wote"