ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Sasa ni hivi Anaepanga nani awe Rais ni Mungu Kwa michakato iwayo yeyote Kwa sababu maalumu na hata kutoka inakuwa hivyo..Umeandika ujinga!
Huyo unae msema watu walikuwa wanajazana kwenye Vibanda kusikilizà hotuba zake. Hadi anakufa watu wamejazana kulia kila Kona. Hadi Leo wanamililia.
Acha uwongo wako huo, kanda ya ziwa wanawake ndio wenye nguvu, waganga wa kienyeji karibu wote ni wanawake na wana nguvu ajabu ktk koo zao. Hiyo kanda yako sijui ni ipi. Hangaya ni jina la kiume? Mbona alikuwaga chifu wa wasukuma, acheni uzandiki wenu. Mama tunampenda tena sana labda nyie mashoga
Raisi wa matajiri ,na asiejali chochote kuhusu wananchi wake ,it's too late watu walimwsmbia kitambu yeye akaendelea kuwakumbatia akina mwingulu nape na JanuaryKuna sehemu wananchi umewakosea. Tafakari!
Toka uanze kazi ni mikoa 2 tu sijatembelea nayo ni Kagera na Kigoma. Mikoa mingine yote nimefika na kujaribu kufanya utafiti wa kawaida.
Hali ni mbaya, Siandiki kwa ubaya lakini ndiyo Hali halisi. Wengi wanakuongelea kwenye mtazamo hasi. Hata kwenye mikutano yako ya hadhara, wasaidizi wako wanatumia nguvu kubwa Sana kushawishi watu wajitokeze. Hii si ishara nzuri kwa kiongozi hasa wa level yako.
Niandikaye hapa ni mmoja wa watu tunaopita vijiweni Hadi vijijini. Tunakutana na watu wa kila aina na makundi tofauti na tunabadilishana mawazo. Na huwa hatuachi kuzungumzia viongozi wetu na msitakabali wa nchi yetu. Kwani Tanzania ndiyo mama yetu wa uraia.
Hali ni mbaya. Hali ni mbayaaaa!
Ndugu zetu walio vijijini wengine hata kisomo ni cha Chini lakini kila tukizungumza kwenye simu wanatuuliza " eti tunasikia hata bandari imeenda alijojo" [emoji24] huwa nasikitika wakiniuliza hivi lakini najiuliza Hadi huko wanajua? Nagundua teknolojia imerahisisha usambaaji wa taarifa.
Sasa wale wanakuzunguka always watakuambia unakubalika lakini kamwe usiwaamini. Wanatumia nguvu kubwa kuwa corrupt mind lakini pamoja na hilo wakitoka wanakuponda mno wananchi.
Sasa hivi waziri mmoja wa afya ametangaza kuanza kwa clinic binafsi katika hospitali za umma. Mapokeo ya hili ni hasi kwa wananchi na joto la jiwe wameanza kulionja. Wanakwenda hospital wanacheleweshwa makusudi ili ifike saa 10 huduma binafsi zianze. Hali ni mbaya.
Kwenye hotuba zako, tofauti na mtangulizi wako, wewe siku hizi hata ukiwa una schedule ya kuhutubia wananchi wengi hawajiandai kusubiri kwa hamu hotuba ya kiongozi wao na hata kujazana kwenye kumbi za starehe kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wako. Nimejaribu kuandika kile nakiona mtaani lakini.
Muda Bado upo kidogo kuelekea 2025 ukiamua kubadilika unaweza, ukiamua kupuuza haya ni Sawa tu.
Lakini kama Hali itakwenda hivi Hadi 2025 mtaleta machafuko baada ya uchaguzi. Hatupendi hayo.
Jamhuri ya muungano wa Tanzania[emoji1241]
"Raslimali za nchi ziheshimiwe kwa manufaa ya wote"
Achana na Sweeping statements zako hizo kutafuta kiki utafiti umeufanya lini na wapiKuna sehemu wananchi umewakosea. Tafakari!
Toka uanze kazi ni mikoa 2 tu sijatembelea nayo ni Kagera na Kigoma. Mikoa mingine yote nimefika na kujaribu kufanya utafiti wa kawaida.
Hali ni mbaya, Siandiki kwa ubaya lakini ndiyo Hali halisi. Wengi wanakuongelea kwenye mtazamo hasi. Hata kwenye mikutano yako ya hadhara, wasaidizi wako wanatumia nguvu kubwa Sana kushawishi watu wajitokeze. Hii si ishara nzuri kwa kiongozi hasa wa level yako.
Niandikaye hapa ni mmoja wa watu tunaopita vijiweni Hadi vijijini. Tunakutana na watu wa kila aina na makundi tofauti na tunabadilishana mawazo. Na huwa hatuachi kuzungumzia viongozi wetu na msitakabali wa nchi yetu. Kwani Tanzania ndiyo mama yetu wa uraia.
Hali ni mbaya. Hali ni mbayaaaa!
Ndugu zetu walio vijijini wengine hata kisomo ni cha Chini lakini kila tukizungumza kwenye simu wanatuuliza " eti tunasikia hata bandari imeenda alijojo" [emoji24] huwa nasikitika wakiniuliza hivi lakini najiuliza Hadi huko wanajua? Nagundua teknolojia imerahisisha usambaaji wa taarifa.
Sasa wale wanakuzunguka always watakuambia unakubalika lakini kamwe usiwaamini. Wanatumia nguvu kubwa kuwa corrupt mind lakini pamoja na hilo wakitoka wanakuponda mno wananchi.
Sasa hivi waziri mmoja wa afya ametangaza kuanza kwa clinic binafsi katika hospitali za umma. Mapokeo ya hili ni hasi kwa wananchi na joto la jiwe wameanza kulionja. Wanakwenda hospital wanacheleweshwa makusudi ili ifike saa 10 huduma binafsi zianze. Hali ni mbaya.
Kwenye hotuba zako, tofauti na mtangulizi wako, wewe siku hizi hata ukiwa una schedule ya kuhutubia wananchi wengi hawajiandai kusubiri kwa hamu hotuba ya kiongozi wao na hata kujazana kwenye kumbi za starehe kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wako. Nimejaribu kuandika kile nakiona mtaani lakini.
Muda Bado upo kidogo kuelekea 2025 ukiamua kubadilika unaweza, ukiamua kupuuza haya ni Sawa tu.
Lakini kama Hali itakwenda hivi Hadi 2025 mtaleta machafuko baada ya uchaguzi. Hatupendi hayo.
Jamhuri ya muungano wa Tanzania[emoji1241]
"Raslimali za nchi ziheshimiwe kwa manufaa ya wote"
Hakuna chama mbadala kinachojielewaMnasema hapendwi lakini utashangaa 2025 kuna watu kibao watampa kura zao kwa kuwa na mahaba na chama bila kuangalia utendaji wake pia kuna ambao hawatampa kura pengine hawa wanaweza kuwa wengi lakini kwa kuwa haya ma CCM ni majizi mazoefu ya kura utashangaa amepata kura za kutosha lakini za mchongo
Wakristo pekee asilimia chache ndo mna chuki zenu na raisKuna sehemu wananchi umewakosea. Tafakari!
Toka uanze kazi ni mikoa 2 tu sijatembelea nayo ni Kagera na Kigoma. Mikoa mingine yote nimefika na kujaribu kufanya utafiti wa kawaida.
Hali ni mbaya, Siandiki kwa ubaya lakini ndiyo Hali halisi. Wengi wanakuongelea kwenye mtazamo hasi. Hata kwenye mikutano yako ya hadhara, wasaidizi wako wanatumia nguvu kubwa Sana kushawishi watu wajitokeze. Hii si ishara nzuri kwa kiongozi hasa wa level yako.
Niandikaye hapa ni mmoja wa watu tunaopita vijiweni Hadi vijijini. Tunakutana na watu wa kila aina na makundi tofauti na tunabadilishana mawazo. Na huwa hatuachi kuzungumzia viongozi wetu na msitakabali wa nchi yetu. Kwani Tanzania ndiyo mama yetu wa uraia.
Hali ni mbaya. Hali ni mbayaaaa!
Ndugu zetu walio vijijini wengine hata kisomo ni cha Chini lakini kila tukizungumza kwenye simu wanatuuliza " eti tunasikia hata bandari imeenda alijojo" 😭 huwa nasikitika wakiniuliza hivi lakini najiuliza Hadi huko wanajua? Nagundua teknolojia imerahisisha usambaaji wa taarifa.
Sasa wale wanakuzunguka always watakuambia unakubalika lakini kamwe usiwaamini. Wanatumia nguvu kubwa kuwa corrupt mind lakini pamoja na hilo wakitoka wanakuponda mno wananchi.
Sasa hivi waziri mmoja wa afya ametangaza kuanza kwa clinic binafsi katika hospitali za umma. Mapokeo ya hili ni hasi kwa wananchi na joto la jiwe wameanza kulionja. Wanakwenda hospital wanacheleweshwa makusudi ili ifike saa 10 huduma binafsi zianze. Hali ni mbaya.
Kwenye hotuba zako, tofauti na mtangulizi wako, wewe siku hizi hata ukiwa una schedule ya kuhutubia wananchi wengi hawajiandai kusubiri kwa hamu hotuba ya kiongozi wao na hata kujazana kwenye kumbi za starehe kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wako. Nimejaribu kuandika kile nakiona mtaani lakini.
Muda Bado upo kidogo kuelekea 2025 ukiamua kubadilika unaweza, ukiamua kupuuza haya ni Sawa tu.
Lakini kama Hali itakwenda hivi Hadi 2025 mtaleta machafuko baada ya uchaguzi. Hatupendi hayo.
Jamhuri ya muungano wa Tanzania🇹🇿
"Raslimali za nchi ziheshimiwe kwa manufaa ya wote"
Wagalatia mtakufa kwa chukiKweli kabisa. Hana mvuto hata akigombania na Lipumba hawezi shinda
Wanangu na wajukuu wamepata ajira awamu hii, Askari wamepanda vyeo awamu hii, magufuli alibana yote hayo yule dikteta kkiichhaa,Samia Hadi 2040Huku niliko pia tunampenda sana tu, tena saaaaaanaaa!
Akichukiwa na nyumbu wachache kuna shisa gani kwani?!!!
Mama analeta mabadiliko makubwa ya kiuchumi........hayo lazima kuna kuna walinda legacy kadhaa hawapendi kuyaona wala kuyasikia; kutoka kwao, lazima tutasikia kila aina ya uongo kama huu
Sasa katika free and fair election Samia anaweza mshida Lissu? kwa kipi,hoja? uelewa wa mambo?[emoji16]Kwanza sio lazima wengi wampende,wenye akili wachache wakimpenda inatosha sana..
Pili inajulikana mazingira ya mfumo dume hapa Tanzania,upande anaotokea,dini yake na jinsia ni sababu kubwa.
Pia ni athari za propaganda za Jiwe kwenye jamii Bado zipo ila ukweli mwingine mchungu ni kwamba Rais Samia ndio amefanya mambo makubwa kuliko Marais wenu wote mnaowajua ukimtoa Nyerere.
Mwisho kupendwa au kutopendwa ni subjective,Kwa mfano ccm inaenda na Samia wanaoitwa Watzn watamchagua nani? Lisu au?
Haaa ati ata Mdede anaweza mshindaKweli kabisa. Hana mvuto hata akigombania na Lipumba hawezi shinda
uko si mmempa na uchief kabisa HANGAYAHuku kanda ya ziwa angelijuwa mwanamke hatakiwi kuwa kiongozi.
MwanzaUnatokea mkoa gani?
Mimi mjinga Tena??mbona nimekuletea Uzi mzuri tuSamia ameharibu hakuna mtanganyika mwenye akili timamu mwenye kutamani kumuona, achilia mbali hata kumsikia..
Ni wajinga wachache kama wewe ndio wanaomuona shujaa wao, kwasababu ndie amewageuza watumwa ndani ya mipaka ya nchi yenu.
Jana tu jioni, nimekaa na jamaa zangu wanaendesha carry, gari ndogo za kusafirisha mizigo, sikuamini maneno waliyokuwa wakiyatoa pale kijiweni kwao..
Ikabidi niwatazame mara mbili mbili, maneno makali waliyokuwa wakiyatoa dhidi ya huyo mwanamke siwezi kuyaandika hapa, chawa amini nakwambia, watanganyika wote unaowaona hawana tena imani na Samia..
Upo sahihiNa huu ndio ukweli.
Wanaoenda kwenye mikutano wengi wanakusanywa na RCs,DCs,Wabunge n.k tena kwa pesa ndefu.
Mama amekosa mvuto.