Ukweli ni kwamba Billnass ni chaguo la pili la Nandy baada ya Ruge Mutahaba kufariki

Wanasema kufa kufana, adui muombee njaa. Bill Nenga baada ya vifo vya Godziller na Ruge, mwamba nadhani alienda kuchekea chooni.
 
Utaandamana kweli wewe? Au atafutwe mwingine?
 
Utakuwa papai. Olewa wewe. Eti unaona "Aibu" kwahiyo unaangalia chini ukiwaona, aisee
 
Dada acha wivu wa kijinga... tafta hela... I gia hata kwenye vikoba kama wenzio
 
wewe hii inakuhusu nini?
 
Kwahiyo ulitaka kusemaje? Kwamba mtu akifiriwa na mpenzi wake asipate mpenzi mwingine au? Ebu jieleze vizuri Dogo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…