Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Ninaona Wanyarwanda mmevamia uzi!Ubo utabiti wago umetubia vikebo gabiiii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninaona Wanyarwanda mmevamia uzi!Ubo utabiti wago umetubia vikebo gabiiii?
We extro wewe acha ulongo. Nilikuona selfika ama sio wewe yule? [emoji12]Sisi tusio mahendisamu tupo chocho tunaparangana maana mionekano yetu ni lazma tupambane sana kuishi.
Awe mzuri na vingine awe navyo, lkn kama kabeba uzuri tu vingine 0 anaachwa mapema sana.Mtoa mada upo sahihi sana ,japo mada yako umeitolea mahali ambapo sio sahihi.
[emoji23][emoji23][emoji23]Handsome mweupe?
vingine kama vip ?Awe mzuri na vingine awe navyo, lkn kama kabeba uzuri tu vingine 0 anaachwa mapema sana.
Aweze kusimamia majukumu yake kama mwanaume.vingine kama vip ?
Apo ata ambao hawna hizo sifa ni wabovu tu na wenye hizo sifa wapo wabovu na wazuri kwenye kusimamia majukumu ,inategemea na malezi wakati mwingne .Aweze kusimamia majukumu yake kama mwanaume.
😁😁😁😁😁😁 kumbe uliniona, nilikuwa tu nakutaniaWe extro wewe acha ulongo. Nilikuona selfika ama sio wewe yule? [emoji12]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariii wizooo ake. Lolacha tu wizo [emoji23][emoji23] nahisi nimebarikiwa [emoji23][emoji23][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji81][emoji81]
Inakutisha vipiii naweee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wizo hiyo id yako inanitishia amani
,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Achana nae huyo kijeba, wivu tu unamsumbua!!
Yaani hata mtu kuitwa wizo inaleta nongwa na wivu jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaa
Haya basi yeye ndio awe wizooo shubaamiitii [emoji33][emoji33][emoji33][emoji33]
Ni mbayaInakutisha vipiii naweee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kumbe uliniona, nilikuwa tu nakutania
Sawa sawa.Apo ata ambao hawna hizo sifa ni wabovu tu na wenye hizo sifa wapo wabovu na wazuri kwenye kusimamia majukumu ,inategemea na malezi wakati mwingne .