The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Umeelewa nilichoandika? Nimesema kungekuwa na uwekezaji kama Bara, Zanzibar kuna wachezaji wazuri zaidi.Umekaa kwenu huko kwenye tv umeangalia wanavyozisumbua Simba na kidimbwi basi umeona wana talent 🤔
Hizohizo zinafumuliwa kila mwaka kwenye mashindano ya kimataifa yani huwa haziendi mahala
hata zenji kimitoto wanapiga halafu wanashushia na urojo
Kwanini hakuna uwekezaji?Umeelewa nilichoandika? Nimesema kungekuwa na uwekezaji kama Bara , Zanzibar kuna wachezaji wazuri zaidi.
Afu wewe toka upewe za uso kwenye kutetea Mwanza ulikimbia .
Umetumwa na mabeberu kutuchafua.hata zenji kimitoto wanapiga halafu wanashushia na urojo
Hauko serious wewe.Umeelewa nilichoandika? Nimesema kungekuwa na uwekezaji kama Bara , Zanzibar kuna wachezaji wazuri zaidi.
Ohoooo! Kumbe na wewe ni walewale mtu mfupi alafu unakuwa mweusi tii watu wa Njombe huko akili mtoe wapiAfu wewe toka upewe za uso kwenye kutetea Mwanza ulikimbia .
Mkuu Kipanga hii Lugha yako INA ukakasi na ni ya kibaguzi. Moderator naomba mwongozo wako
Tanganyika ni nchi kubwa sana ambayo laiti kama nayo ingelikuwa na uwekezaji mzuri na kuibua vipajji basi ujur kuna watu wanapiga mpira huko mikoani huwezi amini.Ukiangalia mashindano ya mapinduzi yanayoendelea,nimebaini wachezaji wengi wa Visiwani Wana vipaji.
Mechi za kmkm na Mlandege zina vijana wadogo lakini wako aggressive Sana.Kiukweli Zanzibar kungekuwa na udhamini kama Bara,timu zao zingekuwa mbali sana.
Akina Yanga na Simba huko Bara ni kubebwa tuu ndio washinde,sasa Waamuzi wa Kombe la mapinduzi wamekataa huo upuuzi.
Hongera Sana watu wa Zanzibar.
Hujatembea huku bara kijana,zungika kila mkoa uangalie timu ambazo hazijapata nafasi ya kuonekana ndio utagundua kwamba kila sehemu kuna vipajiUkiangalia mashindano ya mapinduzi yanayoendelea,nimebaini wachezaji wengi wa Visiwani Wana vipaji.
Watu wa Kanda ya Ziwa can't think properly coz Utakuwa una mojawapo ya saratani hizi hapaHauko serious wewe.
Ohoooo! Kumbe na wewe ni walewale mtu mfupi alafu unakuwa mweusi tii watu wa Njombe huko akili mtoe wapi
Kwani kiti moto ina shida gani?
Huna akili timamu? Mbona unajichanganya,Kwanza Zanzibar ni Nchi ndogo yenye hadhi ya Mkoa 😂😂😂 ,kuna Nchi yenye hadhi ya Mkoa?.Tanganyika ni nchi kubwa sana ambayo laiti kama nayo ingelikuwa na uwekezaji mzuri na kuibua vipajji basi ujur kuna watu wanapiga mpira huko mikoani huwezi amini.
Zanzibar ni nchi ndogo asana yenye hadhi ya kimkoa tu kwa hapa tanganyika so haiingii akilini kwamba kuwe na vipaji viiiingi kule hapa tanganyika ambapo kuna watu wengi sana kulikk zenjj.
Hujatembea huku bara kijana,zungika kila mkoa uangalie timu ambazo hazijapata nafasi ya kuonekana ndio utagundua kwamba kila sehemu kuna vipaji
Sifa za kijinga zinawasumbua hawaHuu sasa ni utoto. Kombe lenu wazanzibar halafu finally zinacheza timu za Tanganyika na bado mnajiona mnavipaji. Pumbavu zako.
Utoto gani kwani hujaona vijana wa ndani walivyowafinyaSifa za kijinga zinawasumbua hawa
Mkuu unasema Yanga na Simba bara wanabebwa tu na waamuzi, na waamuzi wa Zanzibar wamekataa huo upuuzi ilhali hao hao Simba na Yanga ndio zimefuzu, tofautisha vipaji na kukamiaUkiangalia mashindano ya mapinduzi yanayoendelea,nimebaini wachezaji wengi wa Visiwani Wana vipaji.
Mechi za kmkm na Mlandege zina vijana wadogo lakini wako aggressive Sana.Kiukweli Zanzibar kungekuwa na udhamini kama Bara,timu zao zingekuwa mbali sana.
Akina Yanga na Simba huko Bara ni kubebwa tuu ndio washinde,sasa Waamuzi wa Kombe la mapinduzi wamekataa huo upuuzi.
Hongera Sana watu wa Zanzibar.
Inafanya muwe mafisadi na wenye roho mbayaKwani kiti moto ina shida gani?