The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Ukiangalia mashindano ya mapinduzi yanayoendelea,nimebaini wachezaji wengi wa Visiwani Wana vipaji.
Mechi za KMKM na Mlandege zina vijana wadogo lakini wako aggressive Sana. Kiukweli Zanzibar kungekuwa na udhamini kama Bara, timu zao zingekuwa mbali sana.
Akina Yanga na Simba huko Bara ni kubebwa tu ndio washinde. sasa Waamuzi wa Kombe la mapinduzi wamekataa huo upuuzi.
Hongera Sana watu wa Zanzibar.
Mechi za KMKM na Mlandege zina vijana wadogo lakini wako aggressive Sana. Kiukweli Zanzibar kungekuwa na udhamini kama Bara, timu zao zingekuwa mbali sana.
Akina Yanga na Simba huko Bara ni kubebwa tu ndio washinde. sasa Waamuzi wa Kombe la mapinduzi wamekataa huo upuuzi.
Hongera Sana watu wa Zanzibar.