Icadon tarehe 12 January 1968 Kambona alipewa nafasi hiyo.. akagwaya. Aliporudi nyumbani alipewa nafasi ya kufanya hivyo jangwani akapiga porojo na akaaondoka kama aliyenyeshewa mvua..
....for gods sake let the guy REST IN PEACE!!
acha hiyo aje kujisafisha wakati ndugu na jamaa zake wapo kizuizini! arudi hajipendi?
jangwani angejisafisha nini? wakati tayari damage ishafanywa kwa zaidi ya miaka ishirini (watu kuanzia wapo vichekechea hadi wanafanya kazi wamelishwa dozi ya umalaya na ubaya wa kambona) halafu unataka ajisafishe kwa siku moja kweli angeweza?
acha hiyo aje kujisafisha wakati ndugu na jamaa zake wapo kizuizini! arudi hajipendi?
jangwani angejisafisha nini? wakati tayari damage ishafanywa kwa zaidi ya miaka ishirini (watu kuanzia wapo vichekechea hadi wanafanya kazi wamelishwa dozi ya umalaya na ubaya wa kambona) halafu unataka ajisafishe kwa siku moja kweli angeweza?
Hayo ya nafasi ya kurudi ilikuwa danganya toto tu. I'm glad he didn't fall for it. Angerudi tu angeswekwa Ukonga.
I can't claim what you allude to me, I am a simple farmer. A villain he was, wasn't he? on the energy drink part lazima nikupe credit aidha una undugu na Shehe Yahya Bin Hussein au unafahamiana na Ms. Cleo..
acha hiyo aje kujisafisha wakati ndugu na jamaa zake wapo kizuizini! arudi hajipendi?
jangwani angejisafisha nini? wakati tayari damage ishafanywa kwa zaidi ya miaka ishirini (watu kuanzia wapo vichekechea hadi wanafanya kazi wamelishwa dozi ya umalaya na ubaya wa kambona) halafu unataka ajisafishe kwa siku moja kweli angeweza?
I have no affiliations with Ms. Cleo...she's in your neck of the woods...
And no, an EMPHATIC NO. Kambona was not a villain. Your man and his propaganda machine made him appear that way. Forcing little innocent kids to recite verses that trashed him...talk about kuishiwa hoja!!!
kama alikuwa sahihi aliogopa nini kwenda na kuwa shujaa wa kisiasa Tanzania? Mbona kina Mandela walienda kifungoni? Si kina Mtikila wameenda kifungoni hawa, ndio maana MwK anamuita muoga!
I have no affiliations with Ms. Cleo...she's in your neck of the woods...
And no, an EMPHATIC NO. Kambona was not a villain. Your man and his propaganda machine made him appear that way. Forcing little innocent kids to recite verses that trashed him...talk about kuishiwa hoja!!!
I can't claim what you allude to me, I am a simple farmer. A villain he was, wasn't he? on the energy drink part lazima nikupe credit aidha una undugu na Shehe Yahya Bin Hussein au unafahamiana na Ms. Cleo..
hahahah.. history will be the best judge hero, he was not!
Nyani,
Kwa tuliosoma nyakati za Mwinyi, hakuna mtu aliyelazimisha watu ku-recite chochote kama story nazosikia hapa kuwa wakati wa Mwl watu walilazimishwa (inatisha kusikia kuwa Mwl alikuwa all over kuanzia Kilimanjaro hadi Lindi).
Nikiwa shuleni, kulikuwa na usemi wa kutokuwa waoga kama Kambona na hakuna mtu aliyelazimisha hili kusemwa. Kumbuka kuwa vitabu vya siasa na uraia vilimtaja Kambona kama mmoja waanzilishi wa TANZU.
Kambona alivyorudi na kuahidi kusema mengi jangwani, nilimpa nafasi ila akaipoteza mwenyewe kwa ku-bluff.
Wasn't he tried in absentia and found not guilty? And still that didn't mean jack...he was probably gonna get harassed anyway....
Halafu haya ya uwoga....mbona dikteta wako naye alienda kujificha jeshi lilipoasi...? He was a coward and a chicken on top of that too!!!
Kweli kabisa,
Nyerere alivyokimbia kujificha wakati jeshi linaasi huo ni uoga kama vile Kichaka alivyojificha kwenye ndege siku ile ya jumanne asubuhi (wengine wanasema hii ni procedure).
Kinachomtofautisha Nyerere na Kambona hapa ni kuwa Nyerere alirudi na akaface wabaya wake ila Kambona akakimbia like a baby na hakusikika tena (talking 'bout a ballzless guy).
Hatukulazimishwa kwa vile kulikuwa na New Sherriff in town...la sivyo na wewe ungekuwa mahiri wa kutunga ngonjera sasa hivi....kwikwikwiiiiii
la kwake halikuwa la life and death bwana hapa ndipo mnapotengeneza myth ya Kambona! Nyerere aliposhitakiwa na Wakoloni na kufikishwa mahakamani what did he do?
Kambona alivyokuwa kijana
Siku aliyorudi Tanzania akiwa na Binti yake Neema.
Hii ya jangwani naikumbuka maana vijana wa zamani walikuwa na hamu ya kumsikia atasema nini kuhusu Mwalimu(rip) na nini hasa alichokuwa anafanya baada ya kukaa uhamishoni miaka yote hiyo.
Picha kwa Hisani ya MIchuzi
Kwi kwi kwi kwi,
NO,
Huu ni ushahidi kuwa Mwl Hakulazimisha chochote maana Mwl sio Omnipotent wa kuwa every where at the same time. Sidhani kuwa kulikuwa na technologia yoyote ya Mwl kumonitor kuwa nchi nzima watu wanalazimishwa kumsema vibaya Kambona.
Kambona amesemwa vibaya hata baada ya Nyerere kustaafu. Shuleni Kambona ilikuwa ni reference ya weakness and cowardnessness.
Poor guy, I feel sorry for the ballzless guy now! RIP Kambona