William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Kuhusu mutiny ya 1964 natamani mtu kama Kawawa angeandika memoirs zake kuhusu Kasheshe hilo. Niliwahi kumwuliza Mzee Bomani yeye alikuwa wapi wakati wa mutiny akaniambia alikuwa mmoja wa mawaziri waliopigwa makofi na 'afande', wakati wanamtafuta Nyerere. Wakati huo Mzee Bomani akiishi katika nyumba ile ya waziri karibu na Ikulu.Sasa ilikuwaje Kambona peke yake aliweza kuwasiliana na mutineers bila kupigwa makofi, sijui. Lakini ninachoamini, kama wangejua Nyerere alipokuwa, tungekuwa na kiongozi mwingine hapo 1964.
Mkuu Jasusi,
Darasa zito hili, binafsi I am not a fan wa Kambona, isipokuwa ninaheshimu mchango wake mzito katika kuzaliwa kwa taifa letu, na pia mawazo yake kuhusiana na mwendo ambao ungekuwa ni mwema kwa taifa letu kuliko ule wa ujamaa tulioufuata, kwa sababu ninaona kuwa yeye Kambona then alikuwa na vision ya mwelekeo unaofaa kwa taifa letu kuliko wa Mwalimu, by the fact kwamba leo wapinzani wanaimba wimbo ule ule wa Kambona, then, meaning kwamba tungeujaribu japo kidogo huenda tungekuwa na mtizamo tofauti kicuhumi leo,
Kwa nini Kambona, alikimbia? Maisha yangu yote nikiwa mdogo kupitia elimu ya bongo, nilifundishwa mengi mabaya kuhusiana na Kambona, lakini ninaamini kuwa only one hoja sticks, nayo ni yeye kukimbia Azimio La Arusha, hilo ndilo tulilokuwa tukifundishwa kama hoja ya msingi ya kukimbia kwake, unless kuna sababu nyingine, basi isemwe hapa tule education,
Kuhusu ile mutiny, I smell rat kuhusiana na role ya Kambona, kama ulivyosema ni kweli kabisa, Bomani alikuwa akiishi nyumba ya kwenye kona kuelekea Hospital ya Ocean Road, upande wa kulia alikuwa Jamal, upande wa kushoto alikuwa Mark Bomani (AG), usoni alikuwa Lusinde, kushoto kwake alikuwa Mwakawago, na kulia kwa Lusinde alikuwa Kawawa, ndio unaingia Ikulu kwa pembeni, siku ile ya noma Kambona alikuwa invisible, hawa wanajeshi waliziba njia zote zinazoingia na kutoka eneo hilo, lakini mkuu aliweza kupita kati yao na kuingia Ikulu, baadaye kutoka na kurudi tena, na hatimaye kuanza kuongea na wanajeshi, mpaka kuwashawishi waweke silaha chini, all this time mawaziri na viongozi wote waliokuwa wakiishi eneo hilo, yaani P. Bomani, M. Bomani, Mwakawago, Jamal, Msuya, Kawawa, Dr. Chiduo(ambaye naye alikuwa akiishi eneo hilo), na Mzee Kitenge (aliyekuwa bosi wa Relwe) wote walikuwa mikononi mwa wanajeshi hao, na baadaye waliachiwa kutokana na amri ya Kambona, ambaye baadaye aliapa kuwa alikuwa hajui kuwa walikamatwa, that is a joke kwa Kambona side, ukweli ni kwamba he had a hand on the whole situation, maana jinsi alivyoenda na kurudi kwenye situation nzima, I do not know,
Lakini haibadilishi jinsia kuwa mawazo yake kuhusiana na mwelekeo wa nchi yalipaswa kupewa uzito na Mwalimu, kwenye kuyapuuza na kufikia kukimbia kwake, tulipoteza kichwa kikali kwa sababu binafsi ninaon kuwa sasa hivi tunahangaikia yale yale aliyoyasema then, na pia haibadili ukweli kuwa tuna uchumi uliokwama, na hatujui la kufanya ni kwa sababu msingi iliyopandwa mapema ulikuwa ni wa wasi wasi, na hiyo lawama hakuna wa kumpa zaidi ya Baba wa Taifa letu, haimfanyi Kambona kuwa malaika katika conduct zake na mawazo yake, the matter of fact alinikatisha tamaa kabisa pale siku ile Jangwani, aliposema uongo tena mchana kweupeee!
Ahsante Wakuu!
Mkuu Jasusi,
Darasa zito hili, binafsi I am not a fan wa Kambona, isipokuwa ninaheshimu mchango wake mzito katika kuzaliwa kwa taifa letu, na pia mawazo yake kuhusiana na mwendo ambao ungekuwa ni mwema kwa taifa letu kuliko ule wa ujamaa tulioufuata, kwa sababu ninaona kuwa yeye Kambona then alikuwa na vision ya mwelekeo unaofaa kwa taifa letu kuliko wa Mwalimu, by the fact kwamba leo wapinzani wanaimba wimbo ule ule wa Kambona, then, meaning kwamba tungeujaribu japo kidogo huenda tungekuwa na mtizamo tofauti kicuhumi leo,
Kwa nini Kambona, alikimbia? Maisha yangu yote nikiwa mdogo kupitia elimu ya bongo, nilifundishwa mengi mabaya kuhusiana na Kambona, lakini ninaamini kuwa only one hoja sticks, nayo ni yeye kukimbia Azimio La Arusha, hilo ndilo tulilokuwa tukifundishwa kama hoja ya msingi ya kukimbia kwake, unless kuna sababu nyingine, basi isemwe hapa tule education,
Kuhusu ile mutiny, I smell rat kuhusiana na role ya Kambona, kama ulivyosema ni kweli kabisa, Bomani alikuwa akiishi nyumba ya kwenye kona kuelekea Hospital ya Ocean Road, upande wa kulia alikuwa Jamal, upande wa kushoto alikuwa Mark Bomani (AG), usoni alikuwa Lusinde, kushoto kwake alikuwa Mwakawago, na kulia kwa Lusinde alikuwa Kawawa, ndio unaingia Ikulu kwa pembeni, siku ile ya noma Kambona alikuwa invisible, hawa wanajeshi waliziba njia zote zinazoingia na kutoka eneo hilo, lakini mkuu aliweza kupita kati yao na kuingia Ikulu, baadaye kutoka na kurudi tena, na hatimaye kuanza kuongea na wanajeshi, mpaka kuwashawishi waweke silaha chini, all this time mawaziri na viongozi wote waliokuwa wakiishi eneo hilo, yaani P. Bomani, M. Bomani, Mwakawago, Jamal, Msuya, Kawawa, Dr. Chiduo(ambaye naye alikuwa akiishi eneo hilo), na Mzee Kitenge (aliyekuwa bosi wa Relwe) wote walikuwa mikononi mwa wanajeshi hao, na baadaye waliachiwa kutokana na amri ya Kambona, ambaye baadaye aliapa kuwa alikuwa hajui kuwa walikamatwa, that is a joke kwa Kambona side, ukweli ni kwamba he had a hand on the whole situation, maana jinsi alivyoenda na kurudi kwenye situation nzima, I do not know,
Lakini haibadilishi jinsia kuwa mawazo yake kuhusiana na mwelekeo wa nchi yalipaswa kupewa uzito na Mwalimu, kwenye kuyapuuza na kufikia kukimbia kwake, tulipoteza kichwa kikali kwa sababu binafsi ninaon kuwa sasa hivi tunahangaikia yale yale aliyoyasema then, na pia haibadili ukweli kuwa tuna uchumi uliokwama, na hatujui la kufanya ni kwa sababu msingi iliyopandwa mapema ulikuwa ni wa wasi wasi, na hiyo lawama hakuna wa kumpa zaidi ya Baba wa Taifa letu, haimfanyi Kambona kuwa malaika katika conduct zake na mawazo yake, the matter of fact alinikatisha tamaa kabisa pale siku ile Jangwani, aliposema uongo tena mchana kweupeee!
Ahsante Wakuu!